Kwa Tsh 3000 tuu
Chakushangaza Telegram 帖子

Njoo▶tukujuze ▶tukushangaze ▶tukuelimishe ▶tuulishe ubongo wako madini
CHANNEL ILIANZISHWA RASMI MNAMO 11/06/2019
CHANNEL ILIANZISHWA RASMI MNAMO 11/06/2019
4,721 订阅者
4,984 张照片
168 个视频
最后更新于 28.02.2025 22:03
Chakushangaza 在 Telegram 上分享的最新内容
Hatimaye Telegram imeanza kupata faida baada ya miaka 11 tangu ilipoanzishwa. Mwaka huu umekuwa mwaka mzuri kwa Telegram, baada ya kuwa mwaka wa kwanza kwa app hiyo kuanza kupata faida.
Telegram ina watumiaji zaidi ya milioni 950 kila mwezi, huku milioni 12 wakilipa kwa huduma za premium. Mwaka huu imepata mauzo ya dola Bilioni 1.
Mkurugenzi Mtendaji, Pavel Durov, alikuwa amekadiria Telegram itaanza kupata faida mwaka 2025, lakini sasa amedokeza uwezekano wa kuuza hisa za kampuni kwa umma (IPO) ili kuipa jamii nafasi ya kufaidika na thamani ya Telegram na kununua hisa za Telegram.
Telegram ilianzishwa August 14, 2013 kama mtandao wa kijamii huko Urusi. Kwa sasa, anakadiriwa kuwa na thamani ya dola bilioni 15.5.
Imagine baada ya miaka 11 ndio inaanza kupata faida!
______________
Telegram
Telegram ina watumiaji zaidi ya milioni 950 kila mwezi, huku milioni 12 wakilipa kwa huduma za premium. Mwaka huu imepata mauzo ya dola Bilioni 1.
Mkurugenzi Mtendaji, Pavel Durov, alikuwa amekadiria Telegram itaanza kupata faida mwaka 2025, lakini sasa amedokeza uwezekano wa kuuza hisa za kampuni kwa umma (IPO) ili kuipa jamii nafasi ya kufaidika na thamani ya Telegram na kununua hisa za Telegram.
Telegram ilianzishwa August 14, 2013 kama mtandao wa kijamii huko Urusi. Kwa sasa, anakadiriwa kuwa na thamani ya dola bilioni 15.5.
Imagine baada ya miaka 11 ndio inaanza kupata faida!
______________
Telegram
#CHAKUSHANGAZA
Wakoloni walipokuja hawakuwa wengi katika maumbile ila walikuwa wengi kichwani na wakatengeneza wengi katika wale wanao watawala
Walifahamu jamii zilikuwa na migogoro hivyo waliifwata jamii dhaifu na kuionesha huruma, kwanza unahitaji akili ya mtu kuliko unavyo uhitaji mwili wake,kisha atakupa mwili wake kama zawadi
Ni kama Seneca alivyo sema "Nitupe kwa mbwa mwitu, nitarudi nikiwa nimewaongoza"
Ili upate elimu ambayo wao waliweza kuipa chapa ni elimu bora ilibidi uwe kama wao, kuanzia wanacho amini mpaka kuishi katika lugha yao, ndiyo maana jamii inaamani kuzungumza kingereza ni jambo linalo kupa Ukuu sana
Lakini kuna kitu wakoloni hao walifahamu,ipo siku wao watafika mwisho katika maumbile, hivyo waka hakikisha hawaondoki katika akili, ili wao waishi lazima kwanza wawagawe walio watawala na waishi katika mifumo yao
Ndiyo maana sehemu kubwa ya maamuzi ya nchi nyingi hutegemea maamuzi ya nchi zinazo itwa nchi kubwa, lakini wakaweka siasa kisha dini wakaiongezea makali sana
Leo wapumbavu sisi dini na siasa zinatugawa mpaka tunawekana uchi, hata wenye elimu bado wamekuwa wapumbavu katika dini na siasa, wakoloni hawapo nasi kimaumbile lakini wapo nasi kiakili
Wakoloni wanaendelea kunifundisha kuwa "Usimuhitaji binadamu katika maumbile kwakua ni mtumwa kiasili ila muhitaji aliye ndani ya binadamu ili umfanye awe binadamu wa kimaumbile ili awe mtumwa kama zawadi"
Wakoloni walipokuja hawakuwa wengi katika maumbile ila walikuwa wengi kichwani na wakatengeneza wengi katika wale wanao watawala
Walifahamu jamii zilikuwa na migogoro hivyo waliifwata jamii dhaifu na kuionesha huruma, kwanza unahitaji akili ya mtu kuliko unavyo uhitaji mwili wake,kisha atakupa mwili wake kama zawadi
Ni kama Seneca alivyo sema "Nitupe kwa mbwa mwitu, nitarudi nikiwa nimewaongoza"
Ili upate elimu ambayo wao waliweza kuipa chapa ni elimu bora ilibidi uwe kama wao, kuanzia wanacho amini mpaka kuishi katika lugha yao, ndiyo maana jamii inaamani kuzungumza kingereza ni jambo linalo kupa Ukuu sana
Lakini kuna kitu wakoloni hao walifahamu,ipo siku wao watafika mwisho katika maumbile, hivyo waka hakikisha hawaondoki katika akili, ili wao waishi lazima kwanza wawagawe walio watawala na waishi katika mifumo yao
Ndiyo maana sehemu kubwa ya maamuzi ya nchi nyingi hutegemea maamuzi ya nchi zinazo itwa nchi kubwa, lakini wakaweka siasa kisha dini wakaiongezea makali sana
Leo wapumbavu sisi dini na siasa zinatugawa mpaka tunawekana uchi, hata wenye elimu bado wamekuwa wapumbavu katika dini na siasa, wakoloni hawapo nasi kimaumbile lakini wapo nasi kiakili
Wakoloni wanaendelea kunifundisha kuwa "Usimuhitaji binadamu katika maumbile kwakua ni mtumwa kiasili ila muhitaji aliye ndani ya binadamu ili umfanye awe binadamu wa kimaumbile ili awe mtumwa kama zawadi"
#CHAKUSHANGAZA
Gerard Ludi alikuwa ni jasusi la kiKaburu aliyekuwa anajitambulisha kama muandishi wa habari na aliyefanikiwa kupenyeza na kuweza kuwa karibu na maraisi wote wa Front Line States (Kaunda, Nyerere, Neto, Khama, Machel) kwa nyakati tofauti. Hizi ni baadhi ya picha alizozipiga wakati wa kazi yake ya ujasusi. (Kutoka kwenye kitabu chake kinachoitwa “The Communistisation of the ANC”)
Picha 1- hii picha aliichukua ndani ya behewa la Tazara mwaka 1975 kwenye picha ni Nyerere, William Tolbert (Raisi wa Liberia) na Li Yao Wen (Generali wa Jeshi la China)
Picha 2- Mkutano wa maraisi wa Front Line States kilichofanyika Lusaka, Zambia (Kaunda, Neto, Nyerere, Khama na Samora)
Picha 3- Jasusi Gerald Ludi akijifanya akivua Samaki kwenye Ziwa la Katiba (Zambia) kumbe akimsubiri Joshua Nkomo (kiongozi wa ZAPU). Nkomo alikuwa anauza siri kwa makaburu.
Gerard Ludi alikuwa ni jasusi la kiKaburu aliyekuwa anajitambulisha kama muandishi wa habari na aliyefanikiwa kupenyeza na kuweza kuwa karibu na maraisi wote wa Front Line States (Kaunda, Nyerere, Neto, Khama, Machel) kwa nyakati tofauti. Hizi ni baadhi ya picha alizozipiga wakati wa kazi yake ya ujasusi. (Kutoka kwenye kitabu chake kinachoitwa “The Communistisation of the ANC”)
Picha 1- hii picha aliichukua ndani ya behewa la Tazara mwaka 1975 kwenye picha ni Nyerere, William Tolbert (Raisi wa Liberia) na Li Yao Wen (Generali wa Jeshi la China)
Picha 2- Mkutano wa maraisi wa Front Line States kilichofanyika Lusaka, Zambia (Kaunda, Neto, Nyerere, Khama na Samora)
Picha 3- Jasusi Gerald Ludi akijifanya akivua Samaki kwenye Ziwa la Katiba (Zambia) kumbe akimsubiri Joshua Nkomo (kiongozi wa ZAPU). Nkomo alikuwa anauza siri kwa makaburu.
#CHAKUSHANGAZA
Picha ya kwanza
Ni mwaka 1978 Mwalim Julius Kamabarage Nyerere ana mpa pole Mama Ngina baada ya kufiwa na mume wake Mzee Kenyatta.
Picha ya pili Mama Ngina anasalimiana na Rais Kaunda Kaunda.
Kenyatta na Mama Ngina walipishana miaka 40 kiumri
Kwa lugha ya sasa ni sawa na kusema MZEE KENYATTA alioa Mtoto wa 2000 😂😂, . Mama Ngina alizaliwa mnamo mwaka 1933 kwa sasa ana umri wa miaka 91.Kuna watoto wengine wa Mzee Kenyatta aliozaa na kwa mke mkubwa walikuwa na umri mkubwa kuliko mama mdogo wao mama Ngina mfano Peter Muigai alizaliwa 1920,Merry alizaliwa 1926.
Mama Ngina alikuwa mke mdogo na mke wa nne kwa Mzee Kenyatta. Pia Mzee Kenyatta aliwahi kuwa na mke mzungu.
Hapo kwenye picha Moi anajua tuu atakamata chaka (kiti cha urais) .Mzee Kenyatta alikufa akiwa usingizini kwenye ikulu ya Mombasa. Kenyatta alikuwa hapendi kukaa ikulu ya Gatundu Nairobi alikuwa anapendelea Mombasa.
Zaidi ya yote dakika za uzeeni Mzee Kenyatta alikuwa hapandagi ndege kwasababu matatizo ya moyo.
Mzee Kenyatta rais wetuMwalimu Julius Kamabarage Nyerere alikua hamuiti Nyerere alikuwa anamuita Julius maana kiumri alikuwa ni kama mwanaye.
Raisi wa awamu iliyopita kabla ya RUTO, Uhuru Kenyatta alivyozaliwa mwaka 1961 Kenyatta alikuwa Nakuru akahutubia mkutano, akawaambia wananchi kuwa mama Ngina amepata mtoto ataitwa Uhuru huyu atakuja kuwafikisha kwenye maziwa na asali ilikuwa kama anamtabiria na kweli akaja kuwa raisi.
Picha ya kwanza
Ni mwaka 1978 Mwalim Julius Kamabarage Nyerere ana mpa pole Mama Ngina baada ya kufiwa na mume wake Mzee Kenyatta.
Picha ya pili Mama Ngina anasalimiana na Rais Kaunda Kaunda.
Kenyatta na Mama Ngina walipishana miaka 40 kiumri
Kwa lugha ya sasa ni sawa na kusema MZEE KENYATTA alioa Mtoto wa 2000 😂😂, . Mama Ngina alizaliwa mnamo mwaka 1933 kwa sasa ana umri wa miaka 91.Kuna watoto wengine wa Mzee Kenyatta aliozaa na kwa mke mkubwa walikuwa na umri mkubwa kuliko mama mdogo wao mama Ngina mfano Peter Muigai alizaliwa 1920,Merry alizaliwa 1926.
Mama Ngina alikuwa mke mdogo na mke wa nne kwa Mzee Kenyatta. Pia Mzee Kenyatta aliwahi kuwa na mke mzungu.
Hapo kwenye picha Moi anajua tuu atakamata chaka (kiti cha urais) .Mzee Kenyatta alikufa akiwa usingizini kwenye ikulu ya Mombasa. Kenyatta alikuwa hapendi kukaa ikulu ya Gatundu Nairobi alikuwa anapendelea Mombasa.
Zaidi ya yote dakika za uzeeni Mzee Kenyatta alikuwa hapandagi ndege kwasababu matatizo ya moyo.
Mzee Kenyatta rais wetuMwalimu Julius Kamabarage Nyerere alikua hamuiti Nyerere alikuwa anamuita Julius maana kiumri alikuwa ni kama mwanaye.
Raisi wa awamu iliyopita kabla ya RUTO, Uhuru Kenyatta alivyozaliwa mwaka 1961 Kenyatta alikuwa Nakuru akahutubia mkutano, akawaambia wananchi kuwa mama Ngina amepata mtoto ataitwa Uhuru huyu atakuja kuwafikisha kwenye maziwa na asali ilikuwa kama anamtabiria na kweli akaja kuwa raisi.
#CHAKUSHANGAZA
KWA NINI KATIKA ALAMA YA LGBTQ WAMETANGULIZWA "L"? (LESBIAN = =Wasaganaji) KAMA WANGEFUATA ALPHABETICAL ORDER BASI WANGEANZA NA "B" BISEXUAL. Lakini kwa nini ni L????
Kukaa kimya kwetu ni kukubali kuzika vijana wetu bila wajukuu. Nilikubali kuwa sisi tumeamua kuwa kizazi cha mwisho katika Nchi zetu za Afrika ili wao wakija kuchuma Maliasili wasikumbane tena na upinzani wa Aina yoyote.
Toka Zama hizo Mataifa ya magharibi yaliichukulia Bara la Afrika kama Poli ambalo halina mmiliki na kila mmoja alikuwa na haki ya kwenda kuwinda wanyama (waafrika) na kuwatumia katika shughuli zake. Ziwe nyumbani au katika mashamba yao makubwa.
Waliendelea kuja na kubeba kili walichoiba kinafaa huku wakiwachukulia waafrika kama Nyani ambao wanapatikana katika bara lililojaa giza.
Ilifika wakati wakaanza kuhitrafiana na kugombana wao kwa wao ndipo wakaamua sasa waligawane ili kila mtu awe na kipande chake. Walifanya hivyo na kila taifa likamiliki kipande chake.
Kamwe hawakujua kama waafrika ni watu wenye akili hivyo waliendelea kufanya walichofanya.
Kati yao kuna Binaadam wenye utu kiasi. Wakaamua kupingana wao kwa wao na kuomba wachukue waafrika na kuanza kuwafundisha mila na tamaduni zao na jinsi ya kuwasadia kutawala waafrika wenzao.
Walitengeneza Group kubwa la wasomi ambao hata hivyo walibaki kuwa mawakala tu wa wakoloni wakifanikisha shughuli za wakoloni hapa Afrika.
Mkoloni hakuwa na haja tena ya kusimamia waafrika akiwa Afrika bali alitumia mawakala wake ambao tayari alikuwa amewafundisha jinsi ya kutawala wenzao.Wasomi hawa walipewa hadhi walizokuwa nazo wakoloni kuanzia Majina, mavazi, vyakula, Nyumba, na kila kitu........
Ilikuwa ni ngumu kuchomoka maana watawala wengi walijiona kuwa wao ni Binaadam na sio WATU tena. Wakapola mali zetu wakaenda kujenga ulaya, na zingine wanaficha katika mabenki ya ulaya na hata walipo kufa mali walizopora na majumba waliojenga yakasalia ulaya.
Ili kuzuia Fikra za waafrika zisfunguke wakawaletea Dini. Na hapa ndio penye code. Maana waafrika wao kucha kutwa ni kubishana kuhusu Dini hizi za kikoloni. Kila mtu akiona dini aliyorithishwa na mabwana zake ni bora kuliko ya wengine. Ndio maana hutumia muda mwingi katika Midahalo na makongamano kubishana kuhusu dini. Fuatilia midahalo ya kina Ndacha na wenzie akina Mazinge.....
☀️Wakati hawajafahamu kuwa Nguvu ya Afrika iko katika mikono imara ya Mama zetu waliendelea kupambana na vijana wakiume wakawaletea madawa ya kulevya, ili wawe mapoyoyo lakini bado Mama zetu waliendelea kulea Familia na kukawa na familia zenye nguvu ambazo hazikuwa zikihudumiwa na wanaume. Wamama wakaendelea kubeba mimba na kuzaa watoto ambao leo hij tupo na tunapambana kuhakikisha Asili ya Mama Afrika haipotei kabisa.
Hapa ndipo walipokuja na mtego wa haki sawa ambao umewavuruga mama zetu. Sasa wanataka. Haki sawa baba kama ni mlevi mama naye anataka Alewe mpaka apande juu ya meza. Kama. Baba anafanya kazi za masafa mama naye anataka afanye kazi hizo.
Hii iliwapa nafasi ya kuwalea watoto wetu kwa maana mama ambaye ndiye mlezi hana muda tena wa kulea watoto
Tukachukua watoto wetu na kuwapeleka katika shule ambazo zilianzishwa na ndugu zetu lakini zikifadhiliwa na Hao hao. Na baadhi ya watoto wetu ambao walitelekezwa na baba zao na mama zao wakawachukua na kuwalaza katika vituo vya kulelea watoto yatima. Wakawafundisha kuwa LGBTQ Ni haki za binaadam.........
Yote hayo ni sawa na nilianza tu ili upate picha kwa nini Wasaganaji wanapewa kipaumbele kuliko Mashoga,
1. Unapofanikiwa kumteka binti mmoja na kumfanya Msaganaji umefanikiwa kuzuia ongezeko la watu 3 hadi 7 ambao wamezaliwa na huyo binti. Hapa huitaji tena matumizi ya Kondomu wala uzazi wa mpango.
Kwa hiyo familia moja ya Wasaganaji unakuwa mezuia idadi ya watu kuanzia 6 hadi 14...
Kwa hesabu nyepesi ukiwa na familia 1000 za Wasaganaji unakuwa imezuia idadi ya ongezeko la watu kuanzia 6,000 hadi 14,000 katika miongo ya maisha yao.
KWA NINI KATIKA ALAMA YA LGBTQ WAMETANGULIZWA "L"? (LESBIAN = =Wasaganaji) KAMA WANGEFUATA ALPHABETICAL ORDER BASI WANGEANZA NA "B" BISEXUAL. Lakini kwa nini ni L????
Kukaa kimya kwetu ni kukubali kuzika vijana wetu bila wajukuu. Nilikubali kuwa sisi tumeamua kuwa kizazi cha mwisho katika Nchi zetu za Afrika ili wao wakija kuchuma Maliasili wasikumbane tena na upinzani wa Aina yoyote.
Toka Zama hizo Mataifa ya magharibi yaliichukulia Bara la Afrika kama Poli ambalo halina mmiliki na kila mmoja alikuwa na haki ya kwenda kuwinda wanyama (waafrika) na kuwatumia katika shughuli zake. Ziwe nyumbani au katika mashamba yao makubwa.
Waliendelea kuja na kubeba kili walichoiba kinafaa huku wakiwachukulia waafrika kama Nyani ambao wanapatikana katika bara lililojaa giza.
Ilifika wakati wakaanza kuhitrafiana na kugombana wao kwa wao ndipo wakaamua sasa waligawane ili kila mtu awe na kipande chake. Walifanya hivyo na kila taifa likamiliki kipande chake.
Kamwe hawakujua kama waafrika ni watu wenye akili hivyo waliendelea kufanya walichofanya.
Kati yao kuna Binaadam wenye utu kiasi. Wakaamua kupingana wao kwa wao na kuomba wachukue waafrika na kuanza kuwafundisha mila na tamaduni zao na jinsi ya kuwasadia kutawala waafrika wenzao.
Walitengeneza Group kubwa la wasomi ambao hata hivyo walibaki kuwa mawakala tu wa wakoloni wakifanikisha shughuli za wakoloni hapa Afrika.
Mkoloni hakuwa na haja tena ya kusimamia waafrika akiwa Afrika bali alitumia mawakala wake ambao tayari alikuwa amewafundisha jinsi ya kutawala wenzao.Wasomi hawa walipewa hadhi walizokuwa nazo wakoloni kuanzia Majina, mavazi, vyakula, Nyumba, na kila kitu........
Ilikuwa ni ngumu kuchomoka maana watawala wengi walijiona kuwa wao ni Binaadam na sio WATU tena. Wakapola mali zetu wakaenda kujenga ulaya, na zingine wanaficha katika mabenki ya ulaya na hata walipo kufa mali walizopora na majumba waliojenga yakasalia ulaya.
Ili kuzuia Fikra za waafrika zisfunguke wakawaletea Dini. Na hapa ndio penye code. Maana waafrika wao kucha kutwa ni kubishana kuhusu Dini hizi za kikoloni. Kila mtu akiona dini aliyorithishwa na mabwana zake ni bora kuliko ya wengine. Ndio maana hutumia muda mwingi katika Midahalo na makongamano kubishana kuhusu dini. Fuatilia midahalo ya kina Ndacha na wenzie akina Mazinge.....
☀️Wakati hawajafahamu kuwa Nguvu ya Afrika iko katika mikono imara ya Mama zetu waliendelea kupambana na vijana wakiume wakawaletea madawa ya kulevya, ili wawe mapoyoyo lakini bado Mama zetu waliendelea kulea Familia na kukawa na familia zenye nguvu ambazo hazikuwa zikihudumiwa na wanaume. Wamama wakaendelea kubeba mimba na kuzaa watoto ambao leo hij tupo na tunapambana kuhakikisha Asili ya Mama Afrika haipotei kabisa.
Hapa ndipo walipokuja na mtego wa haki sawa ambao umewavuruga mama zetu. Sasa wanataka. Haki sawa baba kama ni mlevi mama naye anataka Alewe mpaka apande juu ya meza. Kama. Baba anafanya kazi za masafa mama naye anataka afanye kazi hizo.
Hii iliwapa nafasi ya kuwalea watoto wetu kwa maana mama ambaye ndiye mlezi hana muda tena wa kulea watoto
Tukachukua watoto wetu na kuwapeleka katika shule ambazo zilianzishwa na ndugu zetu lakini zikifadhiliwa na Hao hao. Na baadhi ya watoto wetu ambao walitelekezwa na baba zao na mama zao wakawachukua na kuwalaza katika vituo vya kulelea watoto yatima. Wakawafundisha kuwa LGBTQ Ni haki za binaadam.........
Yote hayo ni sawa na nilianza tu ili upate picha kwa nini Wasaganaji wanapewa kipaumbele kuliko Mashoga,
1. Unapofanikiwa kumteka binti mmoja na kumfanya Msaganaji umefanikiwa kuzuia ongezeko la watu 3 hadi 7 ambao wamezaliwa na huyo binti. Hapa huitaji tena matumizi ya Kondomu wala uzazi wa mpango.
Kwa hiyo familia moja ya Wasaganaji unakuwa mezuia idadi ya watu kuanzia 6 hadi 14...
Kwa hesabu nyepesi ukiwa na familia 1000 za Wasaganaji unakuwa imezuia idadi ya ongezeko la watu kuanzia 6,000 hadi 14,000 katika miongo ya maisha yao.
Kwa Tanzania pekee ambayo ina watu 69,504,082.. huku wanawake wakiwa ni 31,687,990. Ukifanikiwa kuwafanya nusu yao ( 15,843,500 ambao watakuwa wametengeneza familia za Wasaganaji 7,921,750) utakuwa umefanikiwa kuzuia idadi ya ongezeko la watu kuanzia milion 23,765 250 hadi milion 110,904,500. Kwa kizazi husika bila matumizi ya kondomu wala uzazi wa mpango. Na ndio maana wanatumia gharama kubwa kuwalipa na kuahakikisha wanalindwa kwa gharama yoyote ile.
2. LESBIAN ni miongoni mwa makundi imara sana ni waaminifu kwa sababu ya hulka zao za maumbile na wana kuwa na mapenzi yenye nguvu. Kwa sababu hutumia muda mrefu zaidi wakati wanaposhiriki faragha zao. Hawasaritiani kama yalivyo makundi mengine katika jamii hii Ya Binaadam. LESBIANS ni wasili sana na huwa ni ngumu kugundulika kwa sababu wanakuwa kama marafiki tu ambao swali jamii hudhani kuwa ni marafiki wa kawaida jambo ambalo huwa vigumu hata wazazi wao kujua.
LESBIANS wengi huzalishwa katika shule za bweni hasa zile za wanawake kwa wanawake kwa sababu ni ngumu kuwalinda watoto wa kike hasa wakati wa usiku.
Sifa hizi zimeifanya Jumuiya ya LGBTQ kuwapa kipaumbele zaidi Wasaganaji kuliko makundi mengine kwa sababu ya faida hizo hapo juu.
2. LESBIAN ni miongoni mwa makundi imara sana ni waaminifu kwa sababu ya hulka zao za maumbile na wana kuwa na mapenzi yenye nguvu. Kwa sababu hutumia muda mrefu zaidi wakati wanaposhiriki faragha zao. Hawasaritiani kama yalivyo makundi mengine katika jamii hii Ya Binaadam. LESBIANS ni wasili sana na huwa ni ngumu kugundulika kwa sababu wanakuwa kama marafiki tu ambao swali jamii hudhani kuwa ni marafiki wa kawaida jambo ambalo huwa vigumu hata wazazi wao kujua.
LESBIANS wengi huzalishwa katika shule za bweni hasa zile za wanawake kwa wanawake kwa sababu ni ngumu kuwalinda watoto wa kike hasa wakati wa usiku.
Sifa hizi zimeifanya Jumuiya ya LGBTQ kuwapa kipaumbele zaidi Wasaganaji kuliko makundi mengine kwa sababu ya faida hizo hapo juu.
#CHAKUSHANGAZA
1955.USA.
Nyerere awasili USA,tayari kwa kuhutubia Umoja wa Mataifa kudai uhuru wa Tanganyika.
1955.USA.
Nyerere awasili USA,tayari kwa kuhutubia Umoja wa Mataifa kudai uhuru wa Tanganyika.