🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD) @ruduudilmiyyahssalafiyyahtz Channel on Telegram

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

@ruduudilmiyyahssalafiyyahtz


🖋️HII NI CHANNEL KHAASWA KWA AJILI YA KUKUSANYA NA KUTAWANYA RUDUUD ZA KIELIMU NA ZA KISALAFI DHIDI YA WATU WA BIDAA.

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD) (Swahili)

Je! Umevutiwa na kujifunza zaidi kuhusu dini ya Kiislamu kwa njia ya elimu na msingi wa Salafi? Basii, sasa kuna suluhisho la kutatua maswala yako yote ya kidini kupitia 'قناة الردود العلمية السلفية (Idara ya Ruduud)'. Hii ni channel maalum ambayo imeundwa kusanya na kutawanya ruduud za elimu na za Kisalafi dhidi ya watu wa bid'aa.

'قناة الردود العلمية السلفية (Idara ya Ruduud)' inakusudia kutoa ufahamu wa kina kuhusu mafundisho ya Kiislamu kutoka kwa mtazamo wa Salafi, ambayo ni msingi wa uhakika na sahihi wa dini. Kupitia channel hii, utapata majibu sahihi na ya kina kuhusu maswali yako yote yanayohusiana na dini ya Kiislamu.

Kwa kujiunga na 'قناة الردود العلمية السلفية (Idara ya Ruduud)', utapata ufahamu mpana kuhusu mafundisho ya dini, itikadi na vitendo vya Waislamu. Pia, utapata maelezo sahihi kuhusu mambo ya kidini na jinsi ya kuyachambua kwa mujibu wa mafundisho ya Salafi.

Hivyo, ikiwa unatafuta channel ya kuelimisha na kutoa majibu sahihi kuhusu dini ya Kiislamu kwa msingi wa Salafi, basi 'قناة الردود العلمية السلفية (Idara ya Ruduud)' ndio mahali sahihi kwako. Jiunge sasa ili uweze kujifunza zaidi na kuwa na uelewa wa kina kuhusu imani yako na mafundisho ya dini yako ya Kiislamu.

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

10 Feb, 08:43


🗃️|-هذه دعوتنا وعقيدتنا•

🕌|-MASJID SSALAFIYYAH MWANDEGE - PWANI TANZANIA 🇹🇿

⚒️|-SILSILA YA RUDUUD DHIDI YA MAHIZBI WA KIBARAAMIKA•

💉💊|-NASHIRU BNU JUMU'AH BNU MGAGI NA MWENZAKE ABUU NAJAASH ALLAH AWAONGOZE.

📂 MADA:
📑¹³|-RADDI NA BAYAANI JUU YA NASHIRU BNU JUMU'AH ALLAH AMUONGOZE.

🔂¹|-LENGO LA BAYANI HIZI ILI KUMFANYA NASHIRU AREJEE KATIKA HAQQI NA AACHE KUFANYA UHUNI KATIKA DA'WAH.

🔂²|-KUBAINISHA BAADHI YA MIUONGO YAKE MINGI JUU YETU ALIYO IZUWA MBELE ZA WATU BILA YA HAYAA.

🔂³|-NASAHA JUU YA KULAZIMIYANA NA UKWELI NA KUACHANA NA UWONGO.

|-MAJLIS 13•

🎙️|-MZUNGUMZAJI:-
USTADH ABUU ZAYD JUMU'AH IBN ABDILLAHI حفظه الله تعالى ورعاه

📆 TAREHE:-
11 SHA'BAAN 1446H•
10 FEBRUARI 2025M•

📻|-Subscribe To Our Audios Channel

📡|-https://t.me/duruusabiyZaydTz
📺|-Subscribe To Our ShortClips Channel
📡https://t.me/shortclipsabuuZayd

•┈┈•◈◉✹❒📚❒✹◉◈•┈┈•

نسـأل اللــہ أن ينفــ؏ بهـذا المقـطـ؏ الجميـ؏ 🤲🏾

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

06 Feb, 10:21


🗃️|-هذه دعوتنا وعقيدتنا•

🕌|-MASJID SSALAFIYYAH MWANDEGE - PWANI TANZANIA 🇹🇿

⚒️|-SILSILA YA RUDUUD DHIDI YA MAHIZBI WA KIBARAAMIKA•

💉💊|-NASHIRU BNU JUMU'AH BNU MGAGI NA MWENZAKE ABUU NAJAASH ALLAH AWAONGOZE.

📂 MADA:
📑¹²|-BAYAAN JUU MANHAJI YA NASHIRU IBNU JUMU'AH BNU MGAGI ALLAH AMUONGOZE.

📑|-ZIJUWE ALAMA MIONGONI MWA ALAMA ZA WATU WA BID'AH KWA DALILI ZAKE ZAWAZI.

🔂¹|-FARAKA NA KUGAWANYIKA MAKUNDI.

🔂²|-KUFUATA SHUBUHAATI NA KUACHA DALILI ZA WAZI.

🔂³|-KUFUATA MATAMANIO YA NAFASI NA KUACHA DALILI.

|-MAJLIS 12•

🎙️|-MZUNGUMZAJI:-
USTADH ABUU ZAYD JUMU'AH IBN ABDILLAHI حفظه الله تعالى ورعاه

📆 TAREHE:-
07 SHA'BAAN 1446H•
06 FEBRUARI 2025M•

📻|-Subscribe To Our Audios Channel

📡|-https://t.me/duruusabiyZaydTz
📺|-Subscribe To Our ShortClips Channel
📡https://t.me/shortclipsabuuZayd

•┈┈•◈◉✹❒📚❒✹◉◈•┈┈•

نسـأل اللــہ أن ينفــ؏ بهـذا المقـطـ؏ الجميـ؏ 🤲🏾

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

06 Feb, 08:10


🗃️|-هذه دعوتنا وعقيدتنا•

🕌|-MASJID SSALAFIYYAH MWANDEGE - PWANI TANZANIA 🇹🇿

⚒️|-SILSILA YA RUDUUD DHIDI YA MAHIZBI WA KIBARAAMIKA•

💉💊|-NASHIRU BNU JUMU'AH BNU MGAGI NA MWENZAKE ABUU NAJAASH ALLAH AWAONGOZE.

📂 MADA:
📑¹¹|-BAYANI JUU YA MANHAJI YA NASHIRU IBNU JUMU'AH BNU MGAGI ALLAH AMUONGOZE.

🔂¹|-SIKILIZA BAADHI YA VITUKO NA UJANJA UJANJA WA ABUU NAJAASHI NA RAFIKIYAKE NASHIRU ALLAH AWAONGOZE.

🔂²|-NASHIRU NI MTU WA MANHAJI MSAMBA KWANI ANASHIRIKIYANA NA VIPOTE VINGI KAMA VILE ANSWARU SUNNA, MASUFI, NA MAHIZBI WAKIBARAAMIKA.

|-MAJLIS 11•

🎙️|-MZUNGUMZAJI:-
USTADH ABUU ZAYD JUMU'AH IBN ABDILLAHI حفظه الله تعالى ورعاه

📆 TAREHE:-
07 SHA'BAAN 1446H•
06 FEBRUARI 2025M•

📻|-Subscribe To Our Audios Channel

📡|-https://t.me/duruusabiyZaydTz
📺|-Subscribe To Our ShortClips Channel
📡https://t.me/shortclipsabuuZayd

•┈┈•◈◉✹❒📚❒✹◉◈•┈┈•

نسـأل اللــہ أن ينفــ؏ بهـذا المقـطـ؏ الجميـ؏ 🤲🏾

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

05 Feb, 08:24


🗃️|-هذه دعوتنا وعقيدتنا•

🕌|-MASJID SSALAFIYYAH MWANDEGE - PWANI TANZANIA 🇹🇿

⚒️|-SILSILA YA RUDUUD DHIDI YA MAHIZBI WA KIBARAAMIKA•

💉💊|-NASHIRU BNU JUMU'AH BNU MGAGI NA MWENZAKE ABUU NAJAASH ALLAH AWAONGOZE.

📂 MADA:
📑¹⁰|-RADDI NA BAYAANI JUU YA NASHIRU BNU JUMU'AH ALLAH AMUONGOZE.

🔂|-KUMKUMBUSHA DALILI ZILIZOJULISHA UMUHIMU WA KUIKIMBILIA SULUHU NA SIO KUIVINJA KAMA ALIVYO FANYA NASHIRU ALLAH AMUONGOZE.

|-MAJLIS 10•

🎙️|-MZUNGUMZAJI:-
USTADH ABUU ZAYD JUMU'AH IBN ABDILLAHI حفظه الله تعالى ورعاه

📆 TAREHE:-
06 SHA'BAAN 1446H•
05 FEBRUARI 2025M•

📻|-Subscribe To Our Audios Channel

📡|-https://t.me/duruusabiyZaydTz
📺|-Subscribe To Our ShortClips Channel
📡https://t.me/shortclipsabuuZayd

•┈┈•◈◉✹❒📚❒✹◉◈•┈┈•

نسـأل اللــہ أن ينفــ؏ بهـذا المقـطـ؏ الجميـ؏ 🤲🏾

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

05 Feb, 08:23


🗃️|-هذه دعوتنا وعقيدتنا•

🕌|-MASJID SSALAFIYYAH MWANDEGE - PWANI TANZANIA 🇹🇿

⚒️|-SILSILA YA RUDUUD DHIDI YA MAHIZBI WA KIBARAAMIKA•

💉💊|-NASHIRU BNU JUMU'AH BNU MGAGI NA MWENZAKE ABUU NAJAASH ALLAH AWAONGOZE.

📂 MADA:
📑⁰⁹|-RADDI NA BAYAAN JUU YA NASHIRU BNU JUMU'AH ALLAH AMUONGOZE.

🔂¹|-LENGO LA BAYANI HIZI ILI KUMFANYA NASHIRU AREJEE KATIKA HAQQI NA AACHE KUFANYA UHUNI KATIKA DA'WAH.

🔂²|-JITIHADA NILIYOIFANYA JUU YA KUTAFUTA WATU WATAKAO TUSIKILIZA NA KUHUKUMU BAINA YETU NANI MWENYE MAKOSA NA ILI ATUBIE NA ATENGENEZE ALIPO KOSEA NA ABAINISHE, NA MAAJABU ALIYOFANYA YAFANYA BAADA YA KUPITA SULHU HIYO.

|-MAJLIS 09•

🎙️|-MZUNGUMZAJI:-
USTADH ABUU ZAYD JUMU'AH IBN ABDILLAHI حفظه الله تعالى ورعاه

📆 TAREHE:-
06 SHA'BAAN 1446H•
05 FEBRUARI 2025M•

📻|-Subscribe To Our Audios Channel

📡|-https://t.me/duruusabiyZaydTz
📺|-Subscribe To Our ShortClips Channel
📡https://t.me/shortclipsabuuZayd

•┈┈•◈◉✹❒📚❒✹◉◈•┈┈•

نسـأل اللــہ أن ينفــ؏ بهـذا المقـطـ؏ الجميـ؏
🤲🏾

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

04 Feb, 11:13


🗃️|-هذه دعوتنا وعقيدتنا•

🕌|-MASJID SUNNA HOYOYO - MKURANGA TANZANIA 🇹🇿

⚒️|-SILSILA YA RUDUUD DHIDI YA MASUFI•

💉💊|-RADDI KWA MUHAMMAD IBNU LALABI ALLAH AMUONGOZE.

📂 MADA:
📑⁰³|-RADDI KWA MUHAMMAD IBNU LALABI ALLAH AMUONGOZE.

🔂|-HUKMU YA MAIMAMU WA KISALAFI JUU YA WATU MWENYE KUWEKA MTINDO MAALUMU WA KUOMBA DUA NA KUMTAJA ALLAH KWA PAMOJA.

|-MAJLIS 03•

🎙️|-MZUNGUMZAJI:-
USTADH ABUU ZAYD JUMU'AH IBN ABDILLAHI حفظه الله تعالى ورعاه

📆 TAREHE:-
04 SHA'BAAN 1446H•
03 FEBRUARI 2025M•

📻|-Subscribe To Our Audios Channel

📡|-https://t.me/duruusabiyZaydTz
📺|-Subscribe To Our ShortClips Channel
📡https://t.me/shortclipsabuuZayd

•┈┈•◈◉✹❒📚❒✹◉◈•┈┈•

نسـأل اللــہ أن ينفــ؏ بهـذا المقـطـ؏ الجميـ؏ 🤲🏾

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

04 Feb, 11:09


🗃️|-هذه دعوتنا وعقيدتنا•

🕌|-MASJID SUNNA HOYOYO - MKURANGA TANZANIA 🇹🇿

⚒️|-SILSILA YA RUDUUD DHIDI YA MASUFI•

💉💊|-RADDI KWA MUHAMMAD IBNU LALABI ALLAH AMUONGOZE.

📂 MADA:
📑⁰²|-RADDI KWA MUHAMMAD IBNU LALABI ALLAH AMUONGOZE.

🔂|-MLINGANIZI YEYOTE NIHARAAMU KUSEMA NA KUTOA FATUWA KWA UJINGA.

🔂|-KUMFUNDISHA DALILI ZA MAKATAZO YA KUFANYA DUA NA ADHKARI KWA SAUTUI.

|-MAJLIS 02•

🎙️|-MZUNGUMZAJI:-
USTADH ABUU ZAYD JUMU'AH IBN ABDILLAHI حفظه الله تعالى ورعاه

📆 TAREHE:-
04 SHA'BAAN 1446H•
03 FEBRUARI 2025M•

📻|-Subscribe To Our Audios Channel

📡|-https://t.me/duruusabiyZaydTz
📺|-Subscribe To Our ShortClips Channel
📡https://t.me/shortclipsabuuZayd

•┈┈•◈◉✹❒📚❒✹◉◈•┈┈•

نسـأل اللــہ أن ينفــ؏ بهـذا المقـطـ؏ الجميـ؏ 🤲🏾

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

04 Feb, 11:08


🗃️|-هذه دعوتنا وعقيدتنا•

🕌|-MASJID SUNNA HOYOYO - MKURANGA TANZANIA 🇹🇿

⚒️|-SILSILA YA RUDUUD DHIDI YA MASUFI•

💉💊|-RADDI KWA MUHAMMAD IBNU LALABI ALLAH AMUONGOZE.

📂 MADA:
📑⁰¹|-RADDI KWA MUHAMMEDI IBNU LALABI ALLAH AMUONGOZE.

🔂|-KUAMRISHA SUNNA NA KUKATAZA BID'AH HILO NI KATIKA MATENDO MEMA.

🔂|-UWONGO ALIO KUNA NAO MUHAMMEDI IBNU LALABI ALLAH AMUONGOZE.

|-MAJLIS 01•

🎙️|-MZUNGUMZAJI:-
USTADH ABUU ZAYD JUMU'AH IBN ABDILLAHI حفظه الله تعالى ورعاه

📆 TAREHE:-
04 SHA'BAAN 1446H•
03 FEBRUARI 2025M•

📻|-Subscribe To Our Audios Channel

📡|-https://t.me/duruusabiyZaydTz
📺|-Subscribe To Our ShortClips Channel
📡https://t.me/shortclipsabuuZayd

•┈┈•◈◉✹❒📚❒✹◉◈•┈┈•

نسـأل اللــہ أن ينفــ؏ بهـذا المقـطـ؏ الجميـ؏ 🤲🏾

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

04 Feb, 09:31


🗃️|-هذه دعوتنا وعقيدتنا•

🕌|-MASJID SSALAFIYYAH MWANDEGE - PWANI TANZANIA 🇹🇿

⚒️|-SILSILA YA RUDUUD DHIDI YA MAHIZBI WA KIBARAAMIKA•

💉💊|-NASHIRU BNU JUMU'AH BNU MGAGI NA MWENZAKE ABUU NAJAASH ALLAH AWAONGOZE.

📂 MADA:
📑⁰⁸|-RADDI NA BAYAANI JUU YA NASHIRU BNU JUMU'AH ALLAH AMUONGOZE.

🔂¹|-LENGO LA BAYANI HIZI ILI KUMFANYA NASHIRU AREJEE KATIKA HAQQI NA AACHE KUFANYA UHUNI KATIKA DA'WAH.

🔂²|-DHANA YAKE MBAYA JUU YA NDUGU ZAKE WA MASJIDU QUBAA NDIO IMEMFIKISHA NASHIRU KATIKA HALI MBAYA YA KIMANHAJI.

|-MAJLIS 08•

🎙️|-MZUNGUMZAJI:-
USTADH ABUU ZAYD JUMU'AH IBN ABDILLAHI حفظه الله تعالى ورعاه

📆 TAREHE:-
05 SHA'BAAN 1446H•
04 FEBRUARI 2025M•

📻|-Subscribe To Our Audios Channel

📡|-https://t.me/duruusabiyZaydTz
📺|-Subscribe To Our ShortClips Channel
📡https://t.me/shortclipsabuuZayd

•┈┈•◈◉✹❒📚❒✹◉◈•┈┈•

نسـأل اللــہ أن ينفــ؏ بهـذا المقـطـ؏ الجميـ؏ 🤲🏾

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

03 Feb, 20:55


Na haiwi kwetu sisi turejee ndani yake isipokuwa Akitaka Allaah Mola wetu Mlezi; Mola wetu Mlezi amekienea kila kitu kwa Elimu, kwa Allaah sisi tunategemea; Mola wetu Mlezi (tunakuomba) Hukumu baina yetu na baina ya watu wetu kwa haki, Na Wewe Ndiye Mbora wa(pekee) wa Wenye kuhukumu.

*(Suwratu Al-Aaraaf Aya ya 89)*

Amesema Al-Imaam Ibnu Kathiyr (رحمه الله تعالى) katika Tafsiri ya kauli ya Allaah:

{وَمَا يَكُونُ لَنَا أَنْ نَعُودَ فِيهَا إِلا أَنْ يَشَاءَ اللَّهُ رَبُّنَا}وَهَذَا رَدٌّ إِلَى الْمَشِيئَةِ، فَإِنَّهُ يَعْلَمُ كُلَّ شَيْءٍ، وَقَدْ أَحَاطَ بِكُلِّ شَيْءٍ عِلْمًا...

(Tarjama):(Na haiwi kwetu sisi turejee ndani yake isipokuwa Akitaka Allaah Mola wetu Mlezi). Na hii ni kurejesha kuelekea Mashiiah (kutaka kwa Allaah), basi kwa hakika Yeye(Allaah) anajua Kila kitu, na hakika amekienea kila kitu kwa Elimu(ujuzi)...

*(Rejea Tafsiyr Ibnu Kathiyr)*

Pia kauli yake hiyo kuwa haiwezekani inajulisha amefungamanisha jambo lake na kisichowezekana.
Amesema Mwanachuoni wa Tafsiri Al-Imaam Al-Baghwiy (رحمه الله تعالى) akifasiri kauli ya Allaah:

( وَلَا يَدْخُلُونَ الْجَنَّةَ حَتَّىٰ يَلِجَ الْجَمَلُ فِي سَمِّ الْخِيَاطِ) أي : حتى يدخل البعير في ثقب الإبرة ، والخياط والمخيط الإبرة ، والمراد منه : أنهم لا يدخلون الجنة أبدا *لأن الشيء إذا علق بما يستحيل كونه يدل ذلك على تأكيد المنع* ، كما يقال : لا أفعل كذا حتى يشيب الغراب.... يريد لا أفعله أبدا.

(Tarjama):(Na wala hawataingia Peponi mpaka Ngamia aingie katika tundu ya sindano.): Yaani : Mpaka aingie Ngamia katika tundu ya sindano, na Al-Khiyaatwu na Al-Mikhyatwu ni Sindano, na makusudio yake: Kwamba hawataingia Peponi abadani *kwasababu Kitu kikifungamanishwa kwa ambacho hakiwezekani kutokea, inajulisha hivyo juu ya kusisitiza kuzuilika kutokea,* kama inavyosemwa, "Sifanyi kadha mpaka kunguru aote mvi... akikusudia sifanyi Abadan.

*(Rejea Tafsiyr Al-Baghwiy)*

Nasema: Ziada ya neno lake *haiwezekani* ni amefungamanisha kuwa haendi na Rai husika na haiwezekani.
Inashangaza sana kwamba Rai hiyo ambayo hawezi kuiacha mpaka kujulisha haiwezekani kuiacha.

Kisha *ikiwa* Rai anayoikusudia ni Rai kuwa:

AlhamduLillah mtu amekosea namba za simu zipo, muelekeze ndugu yako kosa lake. Asa kuna baadhi ya watu ukizungumza maneno haya wanakuambia umeweka sharti kwamba kwa maana mtu akikosea ni lazima umpigie simu. Akhy! Al aana Al mutakalimu Abuu Rabiiy,  mimi ndio ninaye zungumza nimeeleweka vizuri ?!

*(Mwisho wa kunukuu)*

Basi atakuwa amejiwekea sharti yeye kwa maneno abadani mpaka Qiyaama kinasimama na kwa neno haiwezekani.
Kwasababu inajulisha hatotumia au kwenda katika Rai kama (anavyoiita) ya kukosoa makosa ya Ndugu hadharani kwasababu maneno hayo yake ya ujumla hayajapambanua kuwa ni kosa gani, je ni la hadharani au la wazi au la mtu mmoja, kosa la kipeke.

Mazingatio yako kwenye neno *ikiwa*.
Na ikiwa kama tulivyobainisha hapo basi amejiwekea yeye sharti ya kutotoa Naswiyha hadharani yaani kwa nafsi yeye.

Haya ndio aliyoniwepesishia Allaah kuyaandika.
والله المستعان.

والحمد لله.

*كتبه: أبو عقيل عثمان بن حبيب التنزاني-وفقه الله تعالى*
٥/شعبان/١٤٤٦هجرية

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

02 Feb, 23:07


📜 *BAYAANI YA ABUU 'AQIYL 'UTHMAAN BN HABIYB (وفقه الله تعالى)*📜

*بسم الله الرحمن الرحيم.*

الحمد لله رب العالمين، والصلاة والسلام على رسول الله وآله وصحبه.

أما بعد:
Mimi ni Abuu 'Aqiyl 'Uthmaan bn Habiyb, nilikuwa nikifanya Tarjama ya Ruduud za Ashaykh Abuu 'AbdiRrahmaan Mu'aadh Az-Za'iym (حفظه الله تعالى) juu ya vitabu vya Ndugu yetu Shaykh Abul Yamaan Al-Maswqariy (وفقه الله), Al-Ghuluu na Ash-Shifaa. Baada ya kuwa ametarajaa Shaykh 'Adnaan (وفقه الله تعالى) na kukiri makosa yaliyokuwamo katika vitabu vyake viwili na kufutwa katika Channel yake ambayo vilisambazwa humo awali. Tumeshuhudia kuwa ametimiza sharti za Tawbah(Tarajuu )ya kisheria na tayari imetumwa katika channel yake waraka wa Ubainifu juu ya Kutarajaa kwake kuhusiana na kadhia ya makosa yaliyokuwamo katika vitabu vyake viwili, kama walivyobainisha na kuweka wazi sharti husika Al-Ustaadh Abuu Haatim 'AbduLlaah bn Jumu'ah (حفظه الله تعالى) na Al-Ustaadh Abuu Usaamah Faarah bn 'AbdilQaadir (حفظه الله تعالى) kwa rejea kutoka katika Qur'aan na Sunnah kwa ufahamu wa Wema Waliotangulia.
Hivyo basi kuanzia leo sitaendelea In Shaa Allaah kufanya Tarjama ya Ruduud zile juu ya kitabu As-Shifaa na Al-Ghuluu, kwani mnasaba wake umekwisha baada ya Ndugu yetu Shaykh Abul Yamaan (وفقه الله) kutarajaa na kuwajulisha watu kuwa vitabu vina makosa, hivyo wajiweke navyo mbali.
Na In Shaa Allaah nitaendelea na Khayr ya kutawanya na kufanya Tarjama katika mambo mengine ambayo ni katika Dini yetu, sawa sawa zikawa ni Ruduud nyingine za Kielimu na haki zenye kubainisha haki (zisizohusiana na Vitabu viwili Al-Ghuluu na Ash-Shifaa) kwa watu wa Baatwil au Naswiyha kwa Waislamu au Vitabu au Risala zenye kutetea Sunnah na watu wake kwa haki waliokuwa juu yake.

والحمد لله رب العالمين.

*Ameiandika Abuu 'Aqiyl 'Uthmaan bn Habiyb At-Tanzaaniy(وفقه الله تعالى).*

Tarehe 04/ Sha'abaan, 1446H.

https://t.me/ruduudilmiyyahssalafiyyahTZ

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

02 Feb, 23:06


🗒️ *BAYANI YA ABUU SUHAYLAH ABDIRRAHMAAN [ وفقه الله تعالى ]*

https://t.me/ruduudilmiyyahssalafiyyahTZ

بسم الله الرحمن الرحيم

الحمد لله رب العالمين، والصلاة والسلام على رسول الله وآله وصحبه.

أما بعد :

Mimi Abuu Suhaylah AbduRrahmaan nilikuwa nikifanya Tarjama ya Ruduud za Shaykh Abuu AbdiRrahmaan Mu'aadh Aza'iiym ( حفظه الله تعالى ) juu ya vitabu vya Shaykh Abul Yamaan Al Masw'qariiy ( وفقه الله ) " Al-Ghuluu " na " Ashifaa " . Baada ya kuwa ametarajaa Shaykh Adnaan ( وفقه الله تعالى ) na kukiri makosa yaliyokuwemo katika vitabu vyake viwili na kufutwa katika Channel yake ambayo vilisambazwa humo awali. Nimeshuhudia kuwa ametimiza sharti za Tawbah ya kisheria na tayari imetumwa katika channel yake waraka wa Ubainifu juu ya Kutarajaa kwake kuhusiana na kadhia ya makosa yaliyokuwamo katika vitabu vyake viwili kama walivyobainisha na kuweka wazi sharti husika Ustaadh Abuu Haatim Abdullaah bin Jumu'ah ( حفظه الله تعالى ) na Ustaadh Abuu Usaamah Faarah ( حفظه الله تعالى ) kwa rejea kutoka katika Qur'aan na Sunnah kwa ufahamu wa Wema Waliotangulia.

Hivyo basi kuanzia leo sitoendelea In Shaa Allaah kufanya Tarjama ya Ruduud zile juu ya kitabu As-Shifaa na Al-Ghuluu, kwani mnasaba wake umekwisha baada ya Shaykh Abul Yamaan ( وفقه الله ) kutarajaa na kuwajulisha watu kuwa vitabu vina makosa hivyo wajiweke navyo mbali.

Na In Shaa Allaah nitaendelea na Khayr ya kutawanya na kufanya Tarjama katika mambo mengine ambayo ni katika Dini yetu, sawa sawa zikawa ni Ruduud nyingine za Kielimu na haki zenye kubainisha haki (zisizohusiana na Vitabu viwili Al-Ghuluu na Ash-Shifaa) kwa watu wa Baatwil au Naswiyha kwa Waislamu au Vitabu au Risala zenye kutetea Sunnah na watu wake kwa haki waliokuwa juu yake.


والحمد لله رب العالمين.


📚 *Abuu Suhaylah AbdulRahmaan Ibn Alexander At-Tanzaaniy [ حفظه الله تعالى ]*

Tarehe 04/ Sha'abaan, 1446H

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

02 Feb, 23:05


🔥جديد جديد جديد🔥




🕌•MASJID AN-NUWR•🕌

🏪•GONGO LA MBOTO [KWA DIHUMU]•🏪

🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿

🎙️BAYAAN JUU YA TARAAJUI YA ABUL YAMAAN 'ADNAAN ALMASWQARIY ALLAAH AMUHIFADHI:-


🎙️USTAADHI ABUU 'ABDILLAAHI HABIYB - حفظه الله ورعاه.


🎙️https://t.me/alhabiybduruusTZ

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

02 Feb, 19:28


بسم الله الرحمن الرحيم
                              
✴️•MASJID SUNNAH•✴️

🏔NANYUKI,KENYA 🏔


KUFURAHIA TARAJU YA

الشيخ أبو اليمان عدنان المصقري حفظه الله  

PAMOJA NA NASAHA KWA MASALAFI


  🗓 USIKU WA JUMAPILI; TAREHE 0⃣3⃣
    SHA'BAAN 1⃣4⃣4⃣6⃣H
                 SAWA NA
       0⃣2⃣/0⃣2⃣/2️⃣0⃣2⃣5⃣M•

🗯TUNAKUNASIHINI KUISKIZA NA KUITAWANYA🗨•

💺 USTAADH ABUU USAMAH FARAH (حفظه الله ورعاه)•

https://t.me/abu_usaamah_farah •

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

02 Feb, 19:27


بسم الله الرحمن الرحيم


🔥•جديد جديد جديد•🔥


🕌•DAARUL HADIYTH MARKAZ 'UTHMAAN BNU 'AFFAAN•🕌

🏔•BOMANG'OMBE [HAI]•🏔

🏪•KILIMANJARO•🏪

🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿

🎙️•BAYAANA NA BISHARA KWA WAISLAMU NA MASALAFI KHAASWA KWA YALIYOJIRI NDANI YA MASIKU HAYA KATIKA DA'WAH YETU HII MUBAARAKA.

👉•BISHARA KWA MASALAFI KUNAKO TARAAJUU YA ABUL YAMAAN AL-MASWQARY ALLAAH AMUHIFADHI.


🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿

🗓USIKU WA JUMATATU: TAREHE 04/SHA'BAAN/ 1446 H, SAWA NA: TAREHE 03/02/2025 M.

🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿

💺🎙️USTAADH ABUU HAATIM 'ABDULLAAHI BNU JUMU'AH BNU 'ABDILLAAH
(حفظه الله ورعاه).

🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿

🔥https://t.me/abiyhaatimabdullaahTZ

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

01 Feb, 17:00


💥بسم الله الرحمن الرحيم💥

🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊

💊💉💉💉💉💉💉💉💉💊

❇️ MARKAZ SUNNAH •❇️

🌅 NANYUKI,KENYA 🌅

💊💉RADDI YA KIELIMU KWA JAAHIL ALI SAID MAJJO PAMOJA NA KUVUNJA SHUB'HA ZAKE DHAIFU KUHUSU IKH'TWILAT.💊💉

🚑💉💉💉RADDI NAMBA 3⃣

💥 YALIYOMO

🔨🔨🔨
▫️Kuzivunja  Shub'ha zake dhaifu kuhusu ikh'twilat.

🔨🔨🔨
▫️Tumamueleza Jaahil Ali Saīd kwamba akiendelea, atazidi kufedheheka .

🔨🔨🔨
▫️Pia Tumamueleza Jaahil Ali Saīd asikimbie kwa Dawla au kwa wazee na ajue kwamba ruduud ni katika dini.

🔨🔨🔨
▫️Tunawaambia mahiz'biy wote,mkiongea hatutanyamaza bali tutawaraddi

TAREHE 0⃣2⃣ SHA'BAAN 1⃣4⃣4⃣6⃣H
SAWA NA 0⃣1⃣0⃣2⃣2⃣0⃣2⃣5⃣

💺AL USTADH ABUU USAAMAH (حفظه الله ورعاه).
https://t.me/abu_usaamah_farah 🎙

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

01 Feb, 15:10


💥بسم الله الرحمن الرحيم💥

🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊

💊💉💉💉💉💉💉💉💉💊

❇️ MARKAZ SUNNAH •❇️

🌅 NANYUKI,KENYA 🌅

💊💉RADDI YA KIELIMU KWA JAAHIL ALI SAID MAJJO PAMOJA NA KUVUNJA SHUB'HA ZAKE DHAIFU KUHUSU IKH'TWILAT.💊💉


🚑💉💉💉RADD NAMBA 2⃣

💥 YALIYOMO

🔨🔨🔨
▫️Fatwa za wanazuoni wa Sunnah kuhusu uharamu wa ikh'twilat.

العلامة ابن القيم رحمه الله
العلامة النووي رحمه الله
العلامة ابن باز رحمه الله
العلامة ابن عثيمين رحمه
العلامة صالح اللحيدان رحمه الله
العلامة التويجري رحمه الله
العلامة صالح الفوزان حفظه الله

TAREHE 0⃣2⃣ SHA'BAAN 1⃣4⃣4⃣6⃣H
SAWA NA 0⃣1⃣0⃣2⃣2⃣0⃣2⃣5⃣

💺AL USTADH ABUU USAAMAH (حفظه الله ورعاه).
https://t.me/abu_usaamah_farah 🎙

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

01 Feb, 11:09


🔊KUBAINISHA HAQQI!

TUTAISEMA HAQQI.

HATUTAOGOPA LAWAMA YA MWENYE KULAUMU!!

📢 🔥🔥 🔊

🎙❩ Ustadh Abuu Usaamah Faarah Na Ustadh Abuu Hātim Abdullāhi bin jumu'ah Allaah awahifadhi Na awathibitishe katika haqqi.


▪️ ⇓⇓⇓⇓⇓⇓ ▪️
https://t.me/shortclipsabuuusaamah

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

01 Feb, 10:50


🎙هذه دعوتنا وعقيدتنا🎙
   

🕌•DAARUL HADIYTH MARKAZ ÙTHMAAN BIN ÀFFAAN•🕌

🌋•BOMANG'OMBE•🌋

🏪•KILIMANJARO•🏪
«««««🏔🏔🏔🏔🏔«««««

📙كتاب: العلامة يحيى بن علي الحجوري المفتری عليه.

تأليف: أبي عبد الله حسين بن مسعود الجيجلي الجزاٸري.


══════✥.❖.✥ ══════
🔥KITABU KINACHOBAINISHA TUHUMA ZA UONGO AMBAZO MAHIZBI WANAMNASIBISHA NAZO SHEYKH YAHYA ALHAJUURY الله AMUHIFADHI KATIKA HALI YA KUMCHAFUA KUTOKANA NA HUSDA WALIZONAZO.
══════✥.❖.✥══════

🎁DARSA NAMBA 4⃣2⃣

SHUBUHA YA PILI AMBAYO WANAMNASIBISHA NAYO SHAYKH حفظه الله.

🔥KUDAI KWAO KUWA SHEYKH YAHYAحفظه الله ANASEMA SEHEMU KUBWA KATIKA SUNNA NI WAHYI.

🛠MUNAAQASHA UNAOWEKA WAZI YALE ALIYOYATAJA ARAFAAT KATIKA NUKUU ZA KISHERIA NA YALE ALIYOYATAJA KATIKA MANENO YA WANAWACHUONI KATIKA HALI YA KUBADILISHA UHALISIA NA KUTAJA DALILI KATIKA SEHEMU AMBAYO SIYO SAHIHI.


📖📖📖📖📖📖📖📖

📆SIKU YA JUMANNE: TAREHE 22/07/1446 H = 21-01-2025 M.

📖📖📖📖📖📖📖📖

💺MUDARRIS🎙

USTAADH ABUU HAATIM ÀBDULLAAH BIN JUMU'AH - حفظه الله تعالى ورعاه.

📖📖📖📖📖📖📖📖

💺https://t.me/abiyhaatimabdullaahTZ

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

01 Feb, 08:43


.               بسم الله الرحمن الرحيم

الحمد لله والصلاة والسلام على رسول الله وعلى آله وصحبه ومن والاه أما بعد :-

⬅️ " كلمة منهجية قيمة جدا ننصح بها بعنـوانــ :-

👈 " (‏ من سلك سبيل أهل السنة استقام قوله وكان من أهل الحق والاستقامة والاعتدال وإلا حصل في كذب وجهل ونقص ونتاقض )..

📮" للشيخ المفضال / أبي حمزة حسن باشعيب حفظه الله تعالى ..

👆 " نسأل الله أن ينفع بها الإسلام والمسلمين ..

↩️ " ننصح بتحملها ونشرها - والدال على الخير كفاعله ..

https://t.me/joinchat/AAAAAEUOImL0TpNosBuN7A

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

01 Feb, 07:24


(Rejea Tafsiyr Al-Qurtwubiy, Tafsiyr ya Aya ya 106, Suwratu Al-Baqarah).

Nasema: Hivyo basi Khabari au Taarifa zisizokuwa katika Hali ya hukumu au maamrisho na makatazo katika Wahyi hazina Naskhu, sembuse Khabari au Taarifa ambayo Al-Ustaadh Abuu Usaamah Khamis (هداه الله تعالى) alizozithibitishia Naasikh na Mansuukh!.
Na huo ni msisitizo juu ya makosa aliyoyaingia na Ukumbusho juu ya kutubia juu ya maneno yake kwani ni baatwil ya wazi.

NUKTA YA PILI:

Katika vitabu vya Wanachuoni sawa sawa katika maudhui ya Usuul za Kifiqhi au za Usuul za Tafsiyr, au Tafsiyr, wengi wa Wanachuoni katika vitabu vyao wanaweka Tofauti baina ya Al-Badaau na An-Naskhu.

Na huyu hapa Mwanachuoni wa Tafsiri Al-Mufassir Al-Qurtwubiy (رحمه الله تعالى) ananukuu tofauti husika:

قال النحاس : والفرق بين النسخ والبداء أن النسخ تحويل العبادة من شيء إلى شيء قد كان حلالا فيحرم ، أو كان حراما فيحلل . وأما البداء فهو ترك ما عزم عليه ، كقولك : امض إلى فلان اليوم ، ثم تقول لا تمض إليه ، فيبدو لك العدول عن القول الأول ، وهذا يلحق البشر لنقصانهم . وكذلك إن قلت : ازرع كذا في هذه السنة ، ثم قلت : لا تفعل ، فهو البداء.

Amesema An-Nahhaas: Na tofauti baina ya An-Naskhu na Al-Badaau, ni kwamba An-Naskhu ni kubadilika kwa ibada kutoka kwenye kitu (kimoja) kwenda kitu(kingine) kilikuwa Halali basi kikaharamishwa, au kilikuwa Haramu kikahalalishwa. Na ama Al-Badaau ni kuacha kile alichoazimia juu yake, kama kauli yako: Nenda kwa Fulani Leo, kisha unasema usiende kwake yeye, basi inadhihirika kwako wewe (ikawa sababu ya) kuhama kutokea(katika) kauli ya kwanza, na hili linalazimiana (liko pamoja) na Wanadamu kwasababu ya upungufu wao. Na pia kadhalika ukisema: Panda kitu fulani ndani ya Mwaka huu, kisha ukasema: Usifanye(usipande), basi hii ndio Al-Badaau.

(Rejea Tafsiyr Al-Qurtwubiy, Tafsiyr ya Aya ya 106 ya Suwratu Al-Baqarah).

Nasema: Hii inajulisha kuwa Al-Badaau haiwi kwa Allaah kwasababu imefungamana na ujinga-kutokujua na hiyo Al-Badaau ni kwa Mwanadamu ambaye huenda akazungumza kwa matamanio na kwa ujinga wa matokeo ya kile alichokiamua au kuazimia.

Lakini An-Naskhu inakuwa kwa Wahyi kwani Allaah ana elimu juu ya kila kitu na kila jambo anajua yaliyokuwa kabla na yanayokuwa sasa na yatakayokuwa mbeleni na yale ambayo hayatakuwa yangekuwa yangekuwaje. Allaah anajua wakati gani aweke Sheria Fulani na anajua wakati gani ataleta nyingine na hii ni kwa Elimu yake juu ya kila kitu na Kila jambo na kwa Hikma yake iliyotimia.
Na kwaajili hii wale waliofanya Al-Badaau na An-Naskhu ni kitu kimoja wakaingia katika upotevu wa mbali kabisa, kila Kundi uelekeo wake.

Mayahudi wakakanusha kabisa kuwa hakuna An-Naskhu(ambayo wanaona ndio Al-Badaau) na Ar-Raafidhwah wakathibitisha An-Naskhu kuwa ndio Al-Badaau na kumpa Allaah mpaka sifa ya kutokujua ya mbeleni juu ya anayoyaamrisha na kuyakataza na mfano wa hayo.
Tunamuomba Allaah Afya na Salama.

Amesema Mwanachuoni Abuu Ja'afar An-Nahhaas (رحمه الله تعالى):

النسخ لم يكن إلى النبي - صلى الله عليه وسلم - إلا بالوحي من الله - جل وعز - إما بقرآن مثله على قول قوم، وإما بوحي من غير القرآن، فلما ارتفع هذان بموت النبي - صلى الله عليه وسلم - ارتفع النسخ.

An-Naskhu haikuwa kwa An-Nabiyy (صلى الله عليه وسلم) isipokuwa kwa Wahyi kutoka kwa Allaah -Jal'la Wa 'Azza- Ima kwa Qur'aan mfano wake, kwa kauli ya watu(Moja ya kauli zao ni hiyo Iliyotangulia kuhusiana na An-Naskhu), na ima kwa Wahyi usiokuwa Qur'aan, basi pale ambapo vilipoisha (vilipokatika/sitika) kwa mauti(kufariki) kwa An-Nabiyy (صلى الله عليه وسلم), An-Naskhu (nayo) ikaisha(ikakatika).

(Rejea الناسخ والمنسوخ, Juzuu ya Kwanza, ukurasa wa 406).

Nasema: Hii inajulisha haijuzu na ni jinai kudai kauli ambayo sio Wahyi ni Naasikh na nyingine ni Mansuukh. Pia kauli kuwa Naasikh na Mansuukh hazipo tena kwa kuendelea kutokea baada ya kukatika Wahyi inajulisha na kusisitiza kuwa kauli ya Al-Ustaadh Abuu Usaamah Khamis (هداه الله تعالى) ni baatwil kwasababu taarifa mbili ya asubuhi na ya jioni amezipa sifa ambazo ni sifa za Wahyi.
Hivyo basi inawajibika kwake yeye kutubia kwa Allaah na kutengeneza na kubainisha.

والله المستعان.

والحمد لله.

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

01 Feb, 07:24


كتبه: أبو عقيل عثمان بن حبيب التنزاني-وفقه الله تعالى
٢/شعبان/١٤٤٦هجرية

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

01 Feb, 07:24


Yaani Anaainisha Jal'la Thanaauhu (Allaah) kwa kauli yake (Tarjama):(Hatubadili/Hatufuti katika Aya yoyote): Hatuhamishi katika hukumu yoyote kuelekea nyingine, basi tunaibadili na kuibadilisha, na hilo ni abadili Halali (kuwa) Haram, na Haram (kuwa) Halali, Na Kilichoruhusiwa (kuwa) Kilichokatazwa(kwa kuharamishwa), na Kilichokatazwa (kwa kuharamishwa) (kuwa) Kilichoruhusiwa. Na haiwi hivyo isipokuwa katika Kuamrisha (Amri) na Kukataza (Katazo), na Kizuizi (kifungo) na Kuachia, na Kuzuia(Zuio) na Kuruhusu(Ruhusa). Ama Khabari (Taarifa) basi haiwi ndani yake Naasikh na Mansuukh.

(Rejea Tafsiyr At-Twabariy, na Tafsiyr Ibnu Kathiyr akinukuu kutoka kwa Al-Imaam At-Twabariy).

Na Amesema Al-Imaam Abuu 'Umar Yuusuf (Maarufu kama Ibn 'AbdilBarr) (رحمه الله تعالى) akiwa anataja Fawaaid katika Hadiyth:

وفيه أن حديث رسول الله صلى الله عليه وسلم فيه الناسخ والمنسوخ ، كما في كتاب الله عز وجل، وهذا إنما يكون في الأوامر والنواهي من الكتاب والسنة ، وأما في الخبر عن الله عز وجل، أو عن رسوله صلى الله عليه وسلم، فلا يجوز النسخ في الاخبار البتة، بحال..

Na ndani yake, kwamba Hadith ya Mtume wa Allaah (صلى الله عليه وسلم) ndani yake kuna Naasikhu na Mansuukh, kama katika Kitabu cha Allaah 'Azza WaJal'la, na hii kwa hakika si vinginevyo inakuwa katika Maamrisho na Makatazo katika Kitabu na Sunnah, na ama katika Khabari kutoka kwa Allaah 'Azza WaJal'la, au kutoka kwa Mtume Wake (صلى الله عليه وسلم), basi haijuzu An-Naskhu katika Khabari katu(kamwe) kwa hali yoyote..

(Rejea التمهيد, Juzuu ya 3, ukurasa wa 215, chapa ya وزارة الأوقاف والشؤون الإسلامية - المغرب, yenye idadi ya Juzuu 26).

Nasema: Tayari imekuwa wazi kuwa kusema kuna Taarifa au Khabari mbili au zaidi kuwa kuna Naasikhu na Mansuukh kutoka kwa Allaah au kutoka kwa Mtume (صلى الله عليه وسلم) ni kosa kubwa sana na jinai kubwa ( inayolazimu ukafiri), sembuse Taarifa au Khabari zisizokuwa kuwa Wahyi kuzisifia kuwa Moja ni Naasikh na nyingine ni Mansuukh! Na jawabu ni kuwa Khabari zisizokuwa Wahyi ndio bila shaka haifai kabisa, kwanza kwasababu sio Wahyi na pili hata kama ingekuwa Wahyi Khabari katika Wahyi hazina Naasikh na Mansuukh(yaani Khabari zisizokuwa na hukmu ndani yake).

Na tanbihi ni kuwa "sembuse" niliyoitaja hapo juu si yenye kukusudia hukumu ya Ukafiri (kwamba itakuwa Ukafiri zaidi)kwa kujuzisha Naasikh na Mansuukh katika Khabari zisizokuwa Wahyi, bali nakusudia neno "sembuse" katika kutokujuzu kuwa Khabari ambazo sio Wahyi kusema kuna Naasikhu na Mansuukh ndio haijuzu kabisa, hivyo watu watanabahi juu ya hilo.
Kisha ilitakiwa katika Khabari na Taarifa za watu(Khabari zisizokuwa Wahyi)tuseme ni Khabari au Taarifa isiyokuwa sahihi, au Taarifa ya uongo. Ama Moja kuiita Naasikh na nyingine Mansuukh ni kosa kubwa na ni jinai katika elimu ya Kiislam ambayo jinai hiyo inapelekea kupenyeza maarifa mapya kuwa katika Uislaam inajuzu kusema Khabari au Taarifa mfano wa zile alizozitaja katika swauti yake kuziita Moja Naasikh na nyingine Mansuukh.

Hayo yaliyotangulia yanajulisha msemaji amekosea na anatakiwa kuleta Toba ya kweli na ya Wazi juu ya maneno yake hayo. Na kama inavyojulikana Toba ni Waajibu kwa kila Muislam anapokosea, hivyo tunamnasihi Al-Ustaadh Abuu Usaamah Khamis (هداه الله تعالى) atubie juu ya kauli yake hiyo.

Kisha baadhi ya Wanachuoni wameiingiza Khabari katika Wahyi ambayo ndani yake kiuhalisia ni Maamrisho au Makatazo, kuhalalishwa au kuharamishwa kutokea An-Naskhu.

Amesema Mwanachuoni Al-Mufassir Al-Qurtwubiy (رحمه الله تعالى):

الثامنة : اختلف علماؤنا في الأخبار هل يدخلها النسخ ، فالجمهور على أن النسخ إنما هو مختص بالأوامر والنواهي، والخبر لا يدخله النسخ لاستحالة الكذب على الله تعالى . وقيل : إن الخبر إذا تضمن حكما شرعيا جاز نسخه...

Nane: Wametofautiana Wanachuoni wetu katika Khabari; Je, inaingia ndani yake An-Naskhu? Jumuhuri (ya Wanachuoni wako) juu ya kwamba An-Naskhu kwa hakika si vinginevyo ni mahususi kwa Maamrisho na Makatazo, na Khabari haiingii kwenye An-Naskhu kwasababu ya kutokuwezekana Uongo juu ya Allaah -Ta'ala. Na inasemwa kwa hakika Khabari itakapofungamana na hukmu ya kisheria itajuzu kubadilika/kufutwa kwake..

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

01 Feb, 07:24


📃الرد والتسديد📜:
بسم الله الرحمن الرحيم


🔥https://t.me/ruduudilmiyyahssalafiyyahTZ

إن الْحَمْدَ للهِ نَحْمَدُه ونستعينُه ، ونستغفرُه ، ونعوذُ باللهِ من شرورِ أنفسِنا ، وسيئاتِ أعمالِنا ، مَن يَهْدِهِ اللهُ فلا مُضِلَّ له ، ومَن يُضْلِلْ فلا هادِيَ له ،أشهدُ أن لا إله إلا اللهُ وحدَه لا شريكَ له ، وأشهدُ أنَّ مُحَمَّدًا عبدُه ورسولُه، صلى الله عليه وعلى آله وأصحابه ومن تبعهم بإحسان إلى يوم الدين.

{يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ حَقَّ تُقَاتِهِ وَلَا تَمُوتُنَّ إِلَّا وَأَنْتُمْ مُسْلِمُونَ}[ آل عمران : 102] .

{يَا أَيُّهَا النَّاسُ اتَّقُوا رَبَّكُمُ الَّذِي خَلَقَكُمْ مِنْ نَفْسٍ وَاحِدَةٍ وَخَلَقَ مِنْهَا زَوْجَهَا وَبَثَّ مِنْهُمَا رِجَالًا كَثِيرًا وَنِسَاءً وَاتَّقُوا اللَّهَ الَّذِي تَسَاءَلُونَ بِهِ وَالْأَرْحَامَ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلَيْكُمْ رَقِيبًا}[ النساء : 1 ]

{يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ وَقُولُوا قَوْلًا سَدِيدًا يُصْلِحْ لَكُمْ أَعْمَالَكُمْ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ وَمَنْ يُطِعِ اللَّهَ وَرَسُولَهُ فَقَدْ فَازَ فَوْزًا عَظِيمًا}[الأحزاب : 70 ،71].

أما بعد :  فإن أصدق الحديث كتاب الله، وخير الهدي هدي محمد صلى الله عليه وسلم، وشر الأمور محدثاتها، وكل محدثة بدعة، وكل بدعة ضلالة، وكل ضلالة في النار.

أما بعد:

قال الله تعالى:
{ وَإِذۡ أَخَذَ ٱللَّهُ مِیثَـٰقَ ٱلَّذِینَ أُوتُوا۟ ٱلۡكِتَـٰبَ لَتُبَیِّنُنَّهُۥ لِلنَّاسِ وَلَا تَكۡتُمُونَهُۥ فَنَبَذُوهُ وَرَاۤءَ ظُهُورِهِمۡ وَٱشۡتَرَوۡا۟ بِهِۦ ثَمَنࣰا قَلِیلࣰاۖ فَبِئۡسَ مَا یَشۡتَرُونَ }
Na pale ambapo Allaah alipochukua agano la wale ambao waliopewa Kitabu; Kwa hakika mtakibainisha kwa watu na wala hamtakificha. Basi wakakitupa nyuma ya migongo yao na wakabadilisha kwacho kwa thamani iliyo ndogo. Basi ni ubaya ulioje wa yale wanayoyabadili!  

(Suwratu Aali-'Imraan Aya ya 187).

أقول مستعينا بالله ولا حول ولا قوة إلا بالله العلي العظيم ؛
Kwa hakika nimesikiliza kipande cha swauti ambacho Al-Ustaadh Abuu Usaamah Khamis (هداه الله تعالى) akizungumza kutoa Taarifa ambayo Taarifa hiyo aliipa sifa ambayo haistahiki na akaingia katika kosa tena kosa hatari.
Nikaona inawajibika kubainisha haki na usawa na ubatilifu wa kauli yake ili kulinda itikadi ya Kiislam na kuwabainishia Waislamu ili wasiwe ni wenye kutumia mfano wa kauli yake aliyoitamka, hali ya kudhania kuwa inajuzu kutumia kauli husika.

Kauli yenyewe alisema kama ifuatavyo akiisifia Taarifa au Khabari:

..Hiyo ya asubuhi sie tunazungumza ya jioni kwa Naasikh na Mansuukh...sie tunazungumza ya jioni we unazungumza ya asubuhi....

(Mwisho wa kunukuu).

Nasema: Tazama anajulisha kuwa Taarifa au Khabari ya Jioni na Taarifa au Khabari ya Asubuhi ni Naasikh na Mansuukh.

Kwanza: Naasikh na Mansuukh haiiwi katika Khabari zilizokuja katika Wahyi zile ambazo haziko katika maana ya hukumu au maamrisho na makatazo, sembuse Khabari au Taarifa zisizokuwa Wahyi kusemwa kuwa zina Naasikh na Mansuukh.

Pili; Inatakiwa ijulikane kuwa kutumia maneno hayo kusifia maneno ambayo si Wahyu kuwa kuna ambayo ni Naasikh na mengine ni Mansuukh ni kosa kubwa na jinai. Na inalazimu kuwa msemaji anachanganya baina ya Al-Badaau na An-Naskhu.

NUKTA YA KWANZA:

أقول مستعينا بالله ولا حول ولا قوة إلا بالله العلي العظيم:

Aswli juu ya Mas'ala haya hunukuu Wanachuoni kauli ya Allaah katika Suwratu Al-Baqarah.
قال الله تعالى:
مَا نَنسَخْ مِنْ آيَةٍ أَوْ نُنسِهَا نَأْتِ بِخَيْرٍ مِّنْهَا أَوْ مِثْلِهَا ۗ أَلَمْ تَعْلَمْ أَنَّ اللَّهَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ.
Hatubadili/Hatufuti katika Aya yoyote au kuisahaulisha isipokuwa Tunaleta iliyo bora kuliko hiyo au mfano wake; Je, wewe hujui kwamba Allaah Ni Muweza juu ya kila kitu?

(Suwratu Al-Baqarah Aya ya 106).

Amesema Al-Imaam At-Twabariy (رحمه الله تعالى):

" يعني جل ثناؤه بقوله: (ما ننسخ من آية): ما ننقل من حكم آية ، إلى غيره فنبدله ونغيره ، وذلك أن يحول الحلال حراما، والحرام حلالا والمباح محظورا، والمحظور مباحا. ولا يكون ذلك إلا في الأمر والنهي، والحظر والإطلاق، والمنع والإباحة. فأما الأخبار، فلا يكون فيها ناسخ ولا منسوخ ".

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

31 Jan, 07:31


مقطع صوتي من أبي سلمان محمد الحلياني

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

30 Jan, 19:50


بسم الله الرحمن الرحيم


🔥•جديد جديد جديد•🔥



🕌•DAARUL HADIYTH MARKAZ 'UTHMAAN BNU 'AFFAAN•🕌

🏔•BOMANG'OMBE [HAI]•🏔

🏪•KILIMANJARO•🏪

🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿

🎙️•BAYAANA YA WAZI KWA YALE YALIYOTOKEA KATIKA KIKAO KILICHOFANYIKA JIJINI DAR-ES-SALAAM KWA MWANAZUONI WA SUNNAH SHEIKH SALIYM BIN ÈID AL-HILAALIY حفظه الله تعالى.

🔩SEHEMU YA PILI {2}.

🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿


🗓USIKU WA IJUMAA: TAREHE 01/SHA'BAAN/ 1446 H, SAWA NA: TAREHE 31/01/2025 M.

🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿

💺🎙️USTAADH ABUU HAATIM 'ABDULLAAHI BNU JUMU'AH BNU 'ABDILLAAH
(حفظه الله ورعاه).

🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿

🔥https://t.me/abiyhaatimabdullaahTZ

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

11 Jan, 21:00


HIVI NDIVYO AMBAVYO ALLAAH عز وجل HUWAADHIBU MADHALIMU KWA ADHABU NDOGO HAPA DUNIANI KABLA YA ADHABU KUBWA AAKHIRAH KATIKA MOTO WA JAHANNAM.

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

11 Jan, 20:18


💥بسم اللّه الرّحمن الرّحيم💥                               


❇️MASJID MUZ'DALIFAH•❇️


🌅KIAMIAKO, NAIROBI KENYA 🌅


💊💉RADDI YA KIELIMU KWA JAAHIL SUFI WA KI-IKHWAANI MWENYE TUHMA ZA WANAWAKE ANAYEITWA MURSAL KAISHE.💊💉


🚑💉💉💉RADDI NAMBA 4⃣


🔥YALIYOMO

🔨🔨🔨 Kuwatahadharisha watu wa Kiamaiko kutokana na da'wah group na Bida'h zinazofanywa kwenye ta'ziyya.

🔨🔨🔨 Kumpa Jaahil Mursal nasiha awape wanachuoni wa Sunnah  heshima

🔨🔨🔨 Tumamueleza Jaahil Mursal akiendelea atafedheheka zaidi❗️

💊 💊 💊 💊 💊 💊 💊

 🗓 JUMAMOSI ; TAREHE 1⃣1⃣
      RAJAB 1️⃣4️⃣4️⃣6⃣
                 SAWA NA
       1⃣1⃣/0️⃣1⃣/2️⃣0️⃣2️⃣5⃣M•

BAADA YA SWALAH YA ISHAA

💺 MZUNGUMZAJI

USTAADH ABUU USAAMAH (حفظه الله ورعاه).
https://t.me/abu_usaamah_farah

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

11 Jan, 20:17


💥بسم اللّه الرّحمن الرّحيم💥                               


❇️MASJID MUZ'DALIFAH•❇️


🌅KIAMIAKO, NAIROBI KENYA 🌅


💊💉RADDI YA KIELIMU KWA JAAHIL SUFI WA KI-IKHWAANI MWENYE TUHMA ZA WANAWAKE ANAYEITWA MURSAL KAISHE.💊💉


🚑💉💉💉RADDI NAMBA 3⃣


🔥YALIYOMO

💉Tunamkumbusha Jaahil Mursal kujibu maswali yetu wala asikimbie.

🔨
Kutojibu kwake ni alama ya wazi kuwa lisemwalo lipo

🔨Tunamnasihi Jaahil Mursal atubie kwa Allāh kwa yale anayotuhumiwa nayo.

🔨Kumnasihi Jaahil Mursal awape wake za watu na binti za watu amani,na awache kufunza wanawake bila sitara.

🔨Kumfunza jahil mursal jinsi ya kusoma basmallah(بسم الّله الرّحم الرّحم)

🔨Kumfunza jahil mursal jinsi ya kusoma hamdallah (الحمد لله)

🔨 Kumfunza Jaahil Mursal maana ya ta'ziyya na raddi kwa Shub'ha zake dhaifu.

💊 💊 💊 💊 💊 💊 💊

 🗓 JUMAMOSI ; TAREHE 1⃣1⃣
      RAJAB 1️⃣4️⃣4️⃣6⃣
                 SAWA NA
       1⃣1⃣/0️⃣1⃣/2️⃣0️⃣2️⃣5⃣M•

BAADA YA SWALAH YA MAGHRIB

💺 MZUNGUMZAJI

USTAADH ABUU USAAMAH (حفظه الله ورعاه).
https://t.me/abu_usaamah_farah

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

11 Jan, 20:14


🎋🎋🎋🎋🎋🎋🎋🎋🎋🎋🎋🎋

🖇SHAIRI : SHUKRANI USTADHI
(
#Simba Ba Osama yule)

📝 Imeandikwa na Al akh Abu
Miqdad Rashid
Gonela


🎙 AL AKH ABU YAZIID
SHARIIF حفظه الله

♻️♻️♻️♻️♻️♻️♻️♻️♻️♻️♻️

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

11 Jan, 20:14


🎋🎋🎋🎋🎋🎋🎋🎋🎋🎋🎋
🖇SHAIRI :
RAHMANI MHIFADHI MWALIMU
ABU USAMAH FARAH حفظه الله ورعا
ه

📝 Imeandikwa na Al akh Abu Miqdad Rashid (Gonela)


🎙 Al akh Abu Yaziid
shariif ibn Hussein
حفظه الله
.

https://t.me/shortclipsabuuusaamah

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

11 Jan, 20:14


🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴

🖇SHAIRI : " NANYUKI "

🏔🏔🏔🏔🏔🏔🏔🏔

📝 imeandikwa na Al akh Abu Miqdad Rashid ( Gonela)


🎙 Al akh Abu Yaziid shariif ibn Hussein حفظه الله

https://t.me/shortclipsabuuusaamah

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

11 Jan, 09:57


🗃️|-هذه دعوتنا وعقيدتنا•

🕌|-MASJID SSALAFIYYAH MWANDEGE - PWANI TANZANIA🇹🇿

📢|-KITABU CHA TAWHEED📢

📓|-العقيدة الطحاوية

✍️|-أبو جعفر أحمد بن محمد بن سلامة الطحاوي النحفي المصري رحمه الله.


📂 MADA:
🔂²⁹|-MANHAJI YA AHLI SSUNNA KATIKA KUAMINI KARAMA ZA MAWALIY WA ALLAH.

🛠|-IMEAMBANA NA RADDI KWA MAWALIY FEKI WALIO TENGENEZWA NA BAADHI YA MASHEKHE WA KISUUFI..

DARSA NAMBARI
2️⃣9️⃣

🎙️|-MFUNDISHAAJI:-
USTADH: ABUU ZAYD JUMU'AH IBN ABDILLAHI حفظه الله تعالى ورعاه

📆 TAREHE:-
11 RAJAB 1446H•
11 JANUARI 2025M•

📻|-Subscribe To Our Audios Channel
📡|-https://t.me/duruusabiyZaydTz
📺|-Subscribe To Our ShortClips Channel
📡https://t.me/shortclipsabuuZayd

•┈┈•◈◉✹❒📚❒✹◉◈•┈┈•

نسـأل اللــہ أن ينفــ؏ بهـذا المقـطـ؏ الجميـ؏ 🤲🏾

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

11 Jan, 08:50


🎧(ما يجب على السلفي حين ظهور منحرف اتجاه نصح المتأهلين وتلميع المنافحين)

فضيلة الشيخ أبي حاتم الجزائري

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

11 Jan, 08:48


⤴️⤴️⤴️⤴️⤴️⤴️



بسم الله الرحمن الرحيم


🔘 الحمد لله والصلاة والسلام على رسول الله وآله وصحبه ومن اقتفى أثره واهتدى بهداه.


↩️أما بعد:


فتقدم لكم (دار الحديث عثمان بن عفان) للعلوم الشرعية بـ (بوما) محافظة (كليمنجارو) بأرض تنزانيا هذه المادة الصوتية والتي هي:


بعنوان:


وقفات سلفية ببيان بعض الشبهات الخلفية

وفيها:

شرعية الرد العلني على الباطل المعلن والمسارعة في ذلك
ومقاصده الشرعية وأدلته من الكتاب والسنة والإجماع

ومعه:

بيان بطلان القول
بأن كل رد أو جرح أو تحذير يلزم منه التبديع


للشيخ أبي حاتم يوسف الجزائري -وفقه الله-


نرجو أن ينفع الله بها السامعين.

------------------
📎رابط قناة شيخنا الفاضل أبي حاتم يوسف الجزائري-حفظه الله-:
https://t.me/youssefalgazairi

📎رابط مجموعة شيخنا الفاضل أبي حاتم يوسف الجزائري حفظه الله على الواتساب:
https://chat.whatsapp.com/LeATa3IKKMdFS61xo3IOXS

🔸🔹🔸🔹🔸🔹

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

11 Jan, 07:21


siri, maadamu atatimiza haya yote kama inavyohitajika kisheria, na kutangaza hadharani makosa yake kama alivyoyafanya hadharani. Kwa kile kinachotimiza linalohitajika na kupatikana kutoka kwake makusudio. Na Allaah ndiye msaidizi.


ITAENDELEA.


✍🏽Imefanyiwa Tarjama na:- Abuu Suhaylah AbduRrahmaan Ibn Alexander At-Tanzaaniy {وفقه الله تعالى}.

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

31 Dec, 06:02


|■| Na ninaongezea juu ya hilo faida kutoka kwa Shaykh Mu'aadh حفظه الله تعالى akinukuu maneno ya Mashaykh na Maimamu wa Sunnah


قال الشيخ أبو عبدالرحمن معاذ بن أحمد بن فؤاد الزعيم حفظه الله تعالى :-

وإنما العلماء يقولون : إذا رأى المُنْكِرُ أنَّ المصلحة تحصل بذلك أكثر، ويحصل الإنكار والبيان للنَّاسِ كما ينبغي، ولا يُؤخَّرُ البيان عن وقت الحاجة ، هذا جميل، ولكن كونه يُعدُّ شرطاً، أو يُذَمُ من لم يصنع ذلك، أو يُثرب عليه ، أو يُتّهم ويُرمَى بالأباطيل هذا باطل جداً، بل هُوَ شرطٌ مُبْتَدَعُ محدث في باب الدعوة والأمر والنهي، ومخالِفٌ لمنهج أهل السُّنَّة والجماعة في هذه المسألة كما في : مصباح الظلام" للشيخ يوسف الجزائري (ص: ۷۷) بتأيد شيخنا العلامة يحيى الحجوري حفظه الله - . ولقد بين علماؤنا ذلك بياناً شافياً، قال شيخ الإسلام ابن تيمية رحمه الله : 《 وأما إذا أظهر الرجل المنكرات وجب الإنكار عليه علانية 》 .ا.هـ. مجموع الفتاوى" (۲۸ / ۲۱۷-۲۱۸)، وقال العلامة أحمد النجمي : 《 والقاعدة الشرعية : أنَّ النصيحة في الخطأ الفَرْدِي تكون سِراً أولاً، وأما الخطأ الذي يُقال أو يُفعل على رؤوس الملأ فيجب أن يُبيَّن على رؤوس الملأ، هذا مقتضى النصيحة العامة المسلمين...》"

النصائح والتحذيرات : 29-30

Amesema " Hakika si vinginevyo Wanachuoni wanasema ; Pindi atakapoona Mwenye kukemea kwamba *maslahi yanayopatikana katika hilo* ( la nasaha kwa siri ) *ni mengi zaidi* na kunapatikana kukemea na ubainifu kwa watu kama inavyopasa , na wala hakucheleweshwi kutokana na wakati wa haja ( jambo ) *hili ni zuri* Na lakini kuwa kwake kunahesabiwa ( kwamba kufanya kwa siri ) *ni sharti , au anakemewa yule ambaye hajafanya hivyo , au anatiwa dosari juu yake au anatuhumiwa na anasemwa vibaya kwa baatwili hii ni baatwili kwa kiasi kikubwa* bali hilo ni sharti la lililozushwa katika mlango wa Da'awah na kuamrisha na kukataza, ( sharti ambalo ) linakhalifu manhaj ya Ahl Sunaah wal jama'ah katika mas'ala haya kama [ ilivyoelezwa ] katika " مصباح الظلام " ya Shaykh Yusuph Al-jazaaiyr حفظه الله - na hakika wamebainisha Wanachuoni wetu hilo ubainifu wenye kukinaisha. Amesema Shaykh Al Islaam Ibn Taymiyyah رحمه الله - { Na ama pindi atakapodhihirisha mtu uovu inawajibika kukemea juu yake hadharani } المجموع الفتاوى na akasema Mwanachuoni Ahmad An-Najmiiy :- { Na Msingi wa kisheria :Ni kwamba Nasaha katika kosa la mtu mmoja peke yake inakuwa kwa siri kwanza, ama kosa ambalo linalosemwa na kufanywa mbele za watu hadharani, basi inawajibika libainishwe mbele za watu hadharani, huu ndio muktadhwa wa Nasaha kwa Waislamu wote.....}

النصائح والتحذيرات : 29-30


|●| Na hii pia ni radd kwa wale wanafunzi wanaofuata kichwa mchunga kwa stara ya kudai kuwa hizi ruduud kwa Adnaan maslai yake ni madogo na wanaona wanachotaka walimu ndio kina maslai makubwa na sisi kutowasikiliza walimu katika hilo tunakosea ndio maana tunaitwa HATUNA ADABU

Tunawaambia kuwa :-

[ وإنما العلماء يقولون : *إذا رأى المُنْكِرُ أنَّ المصلحة تحصل بذلك أكثر* ، ويحصل الإنكار والبيان للنَّاسِ كما ينبغي، ولا يُؤخَّرُ البيان عن وقت الحاجة ، هذا جميل، *ولكن كونه يُعدُّ شرطاً، أو يُذَمُ من لم يصنع ذلك، أو يُثرب عليه ، أو يُتّهم ويُرمَى بالأباطيل هذا باطل جداً، بل هُوَ شرطٌ مُبْتَدَعُ محدث في باب الدعوة والأمر والنهي، ومخالِفٌ لمنهج أهل السُّنَّة والجماعة* ]

Rejea tarjama hapo juu , na pia nawazidishia kaifia ya utoaji nasaha :-


قال الشيخ أبو عبدالرحمن معاذ بن أحمد بن فؤاد الزعيم حفظه الله تعالى :-

ولقد أيد شيخنا العلامة يحيى الحجوري -حفظه الله - أخانا الشيخ أبا حاتم يوسف الجزائري - حفظه الله - على قولِهِ في كتابه: "مصباح الظَّلام" (ص: ۷۷): (ذلك أن منهج أهل السنة والجماعة واضح مقرّر بأنَّ كيفية ردَّ الخطأ عندهم : تكون من جنس حالة الخطأ من حيث إسراره وإعلانه؛ فما كان الخطأ فيه لم يشتهر وكان أمره منحصراً على المخطئ كان النصح له من ذلك الجنس، وما كان الخطأ فيه مشتهراً ومعلناً وإن كان من أعلم الناس وأشدهم تمسكاً ردُّوا عليه علناً، ولم يشترطوا الإسرار في ذلِكَ؛ إذ أن الخطأ من أهل العلم يُنشَر باسم الدين.

النصائح والتحذيرات : 31

Amesema Shaykh Mu'aadh حفظه الله تعالى :-

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

31 Dec, 06:02


Na hakika amemuunga mkono Shaykh wetu Mwanachuoni Yahya Al hajour حفظه الله - [ kumuunga ] ndugu yetu Shaykh Abaa Haatim Yusuph Al-jazaaiyr - حفظه الله تعالى - juu ya kauli yake katika kitabu chake " 77 : مصباح الظلام " { Hilo ni kwamba manhaj ya ahli sunnah Wal jama'a ipo wazi yenye kukariri kwamba namna ya kukosoa kosa kwao wao ; kuna kuwa katika jinsi ya hali ya kosa lilivyo katika namna ya usiri wake na utangazwaji wake ; basi lile kosa lililokuwa halijaenea ( kutangazwa ) na ikawa jambo lake limefungamana juu ya aliyekosea ( basi ) inakuwa kumnasihi kwake katika jinsi hiyo ( ya siri ) na lile kosa lililoenea na kutangazwa hata kama kutoka kwa Mjuzi zaidi kwa watu na ameshikama zaidi ( basi ) anaradiwa hadharani, NA WALA HAKUWEKEWI SHARTI KUFANYA ( nasaha ) KWA SIRI KATIKA HILO. Kwa sababu kwamba kosa kutoka kwa Mwanachuoni linaenezwa kwa jina la dini.

النصائح والتحذيرات ; 31


☆| Hitimisho ; Tunamnasihi Shaykh Khamisi atubie juu hili sharti alilolileta katika dini ya Allaah na pia nawapa nasaha masalafi wote kwa ujumla na hasa hasa wale ambao waliokuja juu kumkemea ndugu yetu Abuu Yaasir Asukumiiy kwa kufuta duruus katka channel basi wamkemee pia Shaykh Khamisi mfano wa vile au zaidi ya vile walivyomkemea Abuu Yaasir kwani ikiwa kweli wao wana uchungu na dini ya Allaah na wanachukia Bid'ah na bila ya shaka wanajua kuwa Bid'ah inapendwa zaidi na Ibliiys kuliko maasi basi wadhihirishe uchungu wao na kukasirika kwao juu ya Bid'ah hii ya Sharti alioikariri Shaykh Khamisi وفقه الله تعالى kwa kumpa nasaha na kumkemea kutoka kila pande mashariki na magharibi yake kama tulivyoona kwa Abuu Yaasir Asukumiiy ambae kwao wao kitendo cha kufuta duruus wameona ni munkar. Na wametanguliza la Abuu Yaasir kuliko hilo la msingi wa Bid'ah.

والله أعلم، والحمدلله رب العالمين.

✍🏽Imeandikwa na:- Abuu Suhaylah Abdulrahmaan Ibn Alexander Mgoka حفظه الله تعالى.

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

31 Dec, 06:02


🗒️ *لا نجعل ما ليس شرط شرطا وكل شرط ليس في شريعة محمد صلى الله عليه وسلم فهو باطل ومردود.*

🔥https://t.me/ruduudilmiyyahssalafiyyahTZ


📚 *IKIWA NI RADD KWA YALE ANAYOYAKARIRI MARA KWA MARA SHAYKH KHAMISI IBN AME بصره الله:*

بسم الله الرحمن الرحيم

الحَمْدُ للهِ نَحْمَدُهُ، وَنَسْتَعِينُهُ ، وَنَسْتَغْفِرُهُ، وَأَشْهَدُ أَنْ لَّا إِلَهَ إِلَّا اللَّهُ وَحْدَهُ لَا شَرِيكَ، وَأَشْهَدُ أَنَّ مُحَمَّدًا عَبْدُهُ وَرَسُولُهُ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَعَلَى آلِهِ وَصَحْبِهِ وَسَلَّمَ ،


يقول الله تعالى: { فَمَن كَانَ يَرْجُو لِقَاءَ رَبِّهِ فَلْيَعْمَلْ عَمَلًا صَالِحًا وَلَا يُشْرِكْ بِعِبَادَةِ رَبِّهِ أَحَدًا } [ الْكَهْف : 110 ]


ويقول تعالى: {وَكَذَلِكَ نُفَصِّلُ الْآيَاتِ وَلِتَسْتَبِينَ سَبِيلُ الْمُجْرِمِينَ} [الأنعام: 55].

أَمَّا بَعْدُ:

■ Hakuna shaka kwamba kumpa nasaha aliyekosea ni katika haki za ndugu kwa ndugu yake na tunaamini ya kwamba kupeana nasaha ni jambo zuri na ni dini. Kama ilivyokuja katika hadith :-

• أن النبيَّ صلى الله عليه وسلم قال: [ الدِّين النَّصيحة، قلنا: لمَن يا رسول الله؟ قال: لله، ولكتابه، ولرسوله، ولأئمَّة المسلمين وعامَّتهم ] رواه مسلم.

• Hakika Nabii sala na salamu ziwe juu yake amesema: [ Dini ni naswiha , Tukasema : Ni kwa nani Ewe mtume wa Allaah? Akasema : Kwa Allaah, Na kwa kitabu chake , Na kwa mtume wake, Na kwa maimamu wa waislamu...... ] Amepokea Imaam Muslim


■ Lakini sisi katika dini yetu hatuchupi mipaka na wala hatuzui katika sheria ya Allaah na wala hatufanyi lisilokuwa sharti kuwa ni sharti

• فقد قال النبي صلى الله عليه وسلم : 《 مَنْ أَحْدَثَ فِي أَمْرِنَا هَذَا مَا لَيْسَ فِيهِ فَهُوَ رَدُّ 》 رواه البخاري ومسلم. وفي رواية لمسلمٍ《 مَنْ عَمِلَ عَمَلاً لَيْسَ عَلَيْهِ أَمْرُنَا فَهُوَ رَدُّ 》

︎ Hakika amesema Mtume sala na salamu ziwe juu yake: 《 Yeyote atakaezua katika dini yetu hii kile ambacho hakimo ndani yake basi hilo ni lenye kurejeshwa 》Amepokea Bukhari na Muslim na katika riwaya ya Muslim 《 Mwenye kutenda tendo lolote ( ambalo ) hakuna juu yake sheria yetu basi hilo ni lenye kurejeshwa 》


■ Basi fahamu Ewe ndugu yangu msomaji kwamba kuweka sharti la kutoa nasaha kwa siri kwanza kabla ya kuradd na kutoa nasaha hadharani juu ya mtu ambaye amekosea hadharani na likaenea kosa lake , sharti hilo halipo katika kitabu wala Sunnah bali ni sharti la watu wa Bid'ah lililozushwa katika mlango wa Da'awah na kuamrisha mema na kukataza maovu na linakhalifu manhaj ya Ahl Sunaah wal jama'ah.

Na miongoni mwa watu wa Bid'ah ambao wamepita njia hiyo ya kuweka sharti hilo ni Adnaan Ar'uuwr , Muhammad Al-Imaam na Al waswabiiy na Muhammad Ibn Hizaam kama alivyoeleza hilo Shaykh Mu'aadh Aza'iiym [ Allaah amuhifadhi ] katika kitabu chake { 27-29 : النصائح والتحذيرات }


■ قال الشيخ أبو حاتم سعيد بن دعاس المشوشي اليافعي [ رحمه الله ]

قال الإمام في "الإبانة" (ص/ ٢٦٦ - ط الأولى) وهو في الثانية (ص/ ۲۸۸)، تحت قاعدة: (إشهار الجرح فيمن حقه النُّصح)، قال: (قد يعلم العالم بخطإِ من أخيه العالم، - فيندفع إلى الإنكار عليه !! -، والقدح فيه، وهو يقــدر على نصحه بالحسنى، ويعلم أنه يقبل النُّصْحَ، فهذا مما - لا يقبل التشهير بـه ! - ، فسلوكه طريق الجرح والتشهير - تَعصُّبُ خَفِيُّ للنَّفْسِ والهَوى ؟!!) . اهـ

《 الرد على الطبعَةِ الثَّانِيةِ من كتاب "الإبانة" للإمام وإصراره على أخطاءه : 12 》


■ Amesema Shaykh Abuu Haatim Sa'iyd Bin Da'aas [ رحمه الله ] :-

Amesema Imaam katika " الإبانة " ( chapa ya kwanza uk 266 ) na katika chapa ya pili ( uk 288 ) chini ya msingi { kueneza jarh kwa yule ambaye haki yake ni nasaha } Amesema 《 Hakika anaweza akajua Mwanachuoni kosa kwa ndugu yake Mwanachuoni, basi akafanya haraka katika kumkemea na kumkosoa katika kosa hilo, Na hali yakuwa anaweza akampa nasaha kwa njia iliokuwa nzuri , na ( hali ya kuwa ) anajua kwamba huyo ( ndugu yake ) anakubali nasaha . Basi hili ni katika yale yasiokubalika kuyaeneza , basi ( na ) kupita kwake katika njia hii ya kujeruhi na kueneza ni ta'aswub iliojificha ya nafsi na matamanio 》


︎ Baada ya kunukuu maneno hayo akayakosoa na kubainisha ubatilifu wake mpaka akasema Shaykh Abuu Haatim Sa'iyd Bin Da'aas رحمه الله katika kitabu hicho ukurasa wa 13 -:

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

31 Dec, 06:02


لا كما قال الإمام حيث جعله شرطاً لازماً، من خالفه كانَ إنكاره - تعصباً خفياً للنفس والهوى !!

وهذا اشتراط لم يذكر الإمام عليه أثارة من علم، ولم يذكر عليه دليل ولا برهان، سوى قول لابن القيم من " الطرق الحكمية"، وقول للشوكاني من "أدب الطلب" لا يدلان على ما حكم به وأصله عند التأمل بل مقصودهما في وادٍ ومقصود الإمام في واد آخر.

ودليل الشرع وهدي النبي صلى الله عليه وسلم يدلان على فساد هذا الاشتراط الذي من خالفه لم يكن فعله مشروعاً، وكان إنكاره للخطإِ - تعصباً خفياً للنفس والهوى ! - على فكر الإمام - هداه الله -


Si kama alivyosema Imaam kiasi amejaalia kuwa ni sharti la lazima ( ambalo ) atakaeenda kinyume inakuwa kukemea kwake ni Ta'aswub iliojificha ya nafsi na matamanio !!

Na uwekaji huu wa sharti hajataja Imaam juu yake athari yeyote katika elimu na wala hajataja dalili wala ubainifu isipokuwa kauli ya Ibn Qayyim katika " الطرق الحكمية " na kauli ya Shawkaan katika " أدب الطلب " ambazo hazijulishi juu ya kile alichohukumia na msingi wake upo katika kufikiria, Bali makusudio yao ( hao wanachuoni ) yapo bonde lengine na makusudio ya Imaam yapo bonde lengine.

Na dalili ya sheria na muongozo wa Mtume { sala na salamu ziwe juu yake } zinajulisha juu ya ubaya wa uwekaji wa hili sharti ( ambalo ) mwenye kwenda nalo kinyume haiwi kitendo chake cha kisheria , na kuna kuwa kukemea kwake ni Ta'aswub iliojificha ya nafsi na matamanio ! - kwa mtazamo wa Imaam هداه الله.


︎ Mpaka hapo tunafahamu kuwa kuweka sharti hilo ni msingi miongoni mwa misingi ya watu wa matamanio na Ahl Sunnah wenye kutoa nasaha walishabainisha hilo alhamdulillaah.

Lakini katika jambo la hatari haukuacha kukaririwa msingi huo wa Bid'ah kwa maana baadhi ya watu wamekuwa wakiurejea rejea mfano hivi sasa tunamsikia Shaykh wetu Abuu Usaamah Khamisi Ibn Ame [ Allaah ampe uoni ] akikariri maneno yenye kujuza msingi huu.


● Alisema katika sauti yake ya mwanzo :- { "Bali uzuri zaidi tumekutana na Shaykh Adnaan kule, akatueleza kama mtu anaona yeye analo kosa.. amfuate yupo tayari kutaraajaa na yupo tayari kuondosha makosa yote yanayonekana ni makosa, Mtu amfuate, kwa hiyo hao wanaofanya tarjama , kama ujumbe mfupi tunaeleza kadhaalika Shaykh ametoa fursa Mfuateni kama hampajui alipo tutawapeleka, kama hamjui alipo eh tutawapeleka "}

[ Mwisho wa nukuu ]


Maneno hayo kutoka Adnaan ambayo ameafikiana nayo Shaykh Khamisi tulishayabainisha na tukayatolea hoja za kielimu kuwa sio lazima wala sio sharti kumfuata alipo kwa muda ambao makosa yake ameyaeneza mwenyewe kwa nafsi yake.

Basi tukadhania kuwa baada ya hoja za kielimu tulizompa Shaykh Khamisi atakubaliana na haki tulioibainisha na ataacha kuona ulazima na sharti la kufanya hivyo katika kumpa Adnaan naswiha lakini Shaykh wala hajalikubali hilo badala yake akatafuta pa kujiegemeza akidhani ataokoka na kujikinga.


|■ Akasema katika sauti yake ya pili ;-

" Sawa Mashaykh kwenye mlango wa sulhu tumefunga sulhu hili tamko limezungumzwa kwamba anayeona kuna tatizo *amfuate amfahamishe. Sio mimi ni sulhu imezungumza hii ni mawafikiano ya ndani ya sulhu* . Sasa leo nikisema kwamba mtu umegundua kama kuna tatizo kwa Shaykh Adnaan *mfuate* ! Anasema Aah inamaana kufanya radd mpaka mtu umfuate kwake! , mpaka mtu ukakae ukumbini kwake! Sebreni kwake ndo umfahamishe! Mimi nazungumzia sulhu kule tulikubaliana hivyo ! *Atakaye gundua kuna kosa tumeambiwa tumfuate tumfahamishe* alafu tusikie yeye anajirekebisha vipi. *Akikataa sio swala la kukamata mic kushambulia, swala la kukamata mic ku..!* Yan akikataa Mashaykh wamesema kama atakataa hilo jambo lileteni kwetu sisi. *Hatujamfuata huyo Shaykh Adnaan katika hayo. Hatujapeleka taarifa kwa Mashaykh , leo vijana wanakuja wanasema eti wanafanya Tarjama , wanafanya vurugu alafu wanasema tarjama! hii ni sahihi wazee?* Yani embu tuzungunze kwa wale ambao akili zinafanya kazi , maana yake haya mazungumzo sizungumzi kwa kila mmoja , nazungumza kwa wale ambao akili zao zinaweza zikadiriki kwamba hapa kuna hatari na hapo ni swawabu "

[ Mwisho wa kunukuu ]

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

31 Dec, 06:02


|□ Tazama Ewe ndugu msomaji jinsi Shaykh Khamisi alivyokariri hilo sharti na ulazima wa kumfuata Adnaan na akajaalia atakaeenda kinyume na hilo sharti au ulazima huo basi mtu huyo anakuwa anafanya vurugu na tendo lake sio sahihi. Kwa kauli yake :-

*Hatujamfuata huyo Shaykh Adnaan katika hayo. Hatujapeleka taarifa kwa Mashaykh , leo vijana wanakuja wanasema eti wanafanya Tarjama , wanafanya vurugu alafu wanasema tarjama! hii ni sahihi wazee?*

👆🏻Na kauli yake hii inafanana na ile ya Muhammad Al-Imaam alipoweka sharti hilo na kumkosoa alienda kinyume na sharti hilo 👇🏼

قال الإمام في "الإبانة" (ص/ ٢٦٦ - ط الأولى) وهو في الثانية (ص/ ۲۸۸)، تحت قاعدة: (إشهار الجرح فيمن حقه النُّصح)، قال: (قد يعلم العالم بخطإِ من أخيه العالم، - فيندفع إلى الإنكار عليه !! -، والقدح فيه، وهو يقــدر على نصحه بالحسنى، ويعلم أنه يقبل النُّصْحَ، فهذا مما - *لا يقبل التشهير بـه ! - ، فسلوكه طريق الجرح والتشهير - تَعصُّبُ خَفِيُّ للنَّفْسِ والهَوى* ؟!!) . اهـ

Amesema Imaam katika " الإبانة " ( chapa ya kwanza uk 266 ) na katika chapa ya pili ( uk 288 ) chini ya msingi { kueneza jarh kwa yule ambaye haki yake ni nasaha } Amesema 《 Hakika anaweza akajua Mwanachuoni kosa kwa ndugu yake Mwanachuoni, basi akafanya haraka katika kumkemea na kumkosoa katika kosa hilo, Na hali yakuwa anaweza akampa nasaha kwa njia iliokuwa nzuri , na ( hali ya kuwa ) anajua kwamba huyo ( ndugu yake ) anakubali nasaha . *Basi hili ni katika yale yasiokubalika kuyaeneza , basi ( na ) kupita kwake katika njia hii ya kujeruhi na kueneza ni ta'aswub iliojificha ya nafsi na matamanio* 》


|■| Na sisi tunamwambia Shaykh Khamisi kwamba :- dalili za kisheria na muongozo wa mtume ( sala na salamu ziwe juu yake ) zinajulisha juu ya ubaya wa uwekaji wa hili sharti ambalo mwenye kwenda nalo kinyume haiwi kitendo chake cha kisheria na kuna kuwa kukemea kwake ni vurugu na tendo lisilosahihi - Kwa mtazamo wa Shaykh Khamisi بصره الله

Majibu hayo ni kama ya Shaykh Abuu Haatim Sa'iyd kwa Muhammad Al-Imaam :-

ودليل الشرع وهدي النبي صلى الله عليه وسلم يدلان على فساد هذا الاشتراط الذي من خالفه لم يكن فعله مشروعاً، وكان إنكاره للخطإِ - تعصباً خفياً للنفس والهوى ! - على فكر الإمام - هداه الله -

Na dalili ya sheria na muongozo wa Mtume { sala na salamu ziwe juu yake } zinajulisha juu ya ubaya wa uwekaji wa hili sharti ( ambalo ) mwenye kwenda nalo kinyume haiwi kitendo chake cha kisheria , na kuna kuwa kukemea kwake ni Ta'aswub iliojificha ya nafsi na matamanio ! - kwa mtazamo wa Imaam هداه الله


Rejea hapo juu radd ya Shaykh Abuu Haatim Sa'iyd Bin Da'aas katika maneno hayo ya Muhammad Al-Imaam.

Kwa hiyo tunamwambia Shaykh Khamisi kuwa anatakiwa atubie toba ya kweli juu ya kuweka kwake huo msingi na sharti hilo na ama kujiegemeza kwake katika Sulhu ndio imesema { kama anavyodai } hivyo hilo halimkomboi kwani tayari kumedhihiri kwake yeye kukubaliana na hilo na kulifanyia kazi hilo.

Na kwa hoja tulizomsimamishia haikutakiwa Shaykh Khamisi atafute uchochoro wa kusukumizia katika Sulhu bali ilitakiwa akiri kosa na atubie toba ya kweli ama kujiegemeza katika Sulhu na Mashaykh wa Sulhu jambo hilo ni sawa na ile manhaj tunayoikemea " *SHAYKH KANENA* "

Na pia tunamwambia Shaykh Khamisi kuwa uwepo wa Mashaykh wabora katika ile Sulhu na kukubaliana juu ya sharti hilo kama anavyodai ( japo kuwa sisi hatujasikia hilo katika taraajui zao ) jambo hilo sio hoja wala dalili la kuthibiti kwa hilo sharti kwani hao Mashaykh [ Allaah awahifadhi ] hawana haki ya kuweka sharti katika kile ambacho sio sharti katika dini ya Allaah.

قال الله تعالى في كتابه الكريم :- "《 أَمْ لَهُمْ شُرَكَاءُ شَرَعُوا لَهُم مِّنَ الدِّينِ مَا لَمْ يَأْذَن بِهِ اللَّـهُ ۚ وَلَوْلَا كَلِمَةُ الْفَصْلِ لَقُضِيَ بَيْنَهُمْ ۗ وَإِنَّ الظَّالِمِينَ لَهُمْ عَذَابٌ أَلِيمٌ 》 [ الشُّورى : 21 ]


Tarjama :- 《 Je, wanao wao washirika walio wawekea Sheria katika dini, lile ambalo Allaah Hakulitolea idhini? Na lau kama si neno lililoamuliwa na kuhukumiwa, lingemalizwa baina yao. Na kwa hakika waliodhulumu kwao wao ni adhabu iumizayo 》

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

31 Dec, 05:13


وَذَكَرَ الْخَطِيبُ الْحَافِظُ أَنَّهُ مَذْهَبُ الْأَئِمَّةِ مِنْ حُفَّاظِ الْحَدِيثِ وَنُقَّادِهِ مِثْلِ الْبُخَارِيِّ، وَمُسْلِمٍ، وَغَيْرِهِمَا.

Na ama Jarhu basi kwa hakika haikubaliwi isipokuwa (ikiwa) imefasiriwa na imebainishwa sababu, kwasababu watu wanatofautiana katika lile ambalo linajeruhi na lile ambalo halijeruhi, basi (akatamka) kwa kuachia mmoja wao Jarhu kwa kuijengea juu ya jambo analiitakidi ni Jarhu na (kumbe) si Jarhu katika jambo hilo hilo, basi haina budi Ubainifu (kubainisha) sababu yake, ili itazamwe ndani yake; Je, ni Jarhu au sio(Jarhu), na hii iko wazi na ni utajo-unaokiriwa katika Fiqhi na Msingi yake.

Na ametaja Al-Khatwiybu Al-Haafidhw kwamba (hiyo ni) Madh'habu ya Maimamu katika Waliohifadhi Hadiyth na Wakosoaji wake mfano Al-Bukhaariy na Muslim na wengine.

(Rejea: imenukuliwa kutoka katika tovuti ya Ashaykh Ar-Raajihiy حفظه الله تعالى, itafuata utajo wake katika rejea ya Sharhu).

Amesema Ashaykh Mwanachuoni 'Abdul'Aziyz bn 'AbdiLlaah Ar-Raajihiy (حفظه الله تعالى) akisherehesha maneno hayo:
الجرح لا بد أن يبين السبب، فإذا قال المحدث أن هذا الراوي غير عدل مجروح، ما يقبل حتى يبين، مجروح لأنه مثلًا يفعل كذا من الفسق، يفعل كذا، يشرب الخمر، يذكر السبب حتى ينظر، لأن بعضهم قد يعده جرح وهو ليس بجرح، قد يقول مجروح، فإذا قيل له لماذا؟ قال رأيته يأكل في الشارع مثلًا، هذا قد يكون مخارم المروءة، وقد يكون في بعض الأحيان أنه لا بأس بالأكل في بعض الأزمنة، يأكل في مطعم مثلًا، فلا بأس في هذا، فقد يجرح بعض عوام الناس فيقول رأيته يأكل في مطعم فهذا يعتبر جرح، نقول هذا ما هو ليس بجرح، لا بد يبين، الجرح لا بد أن يبين..

Jarhu haina budi ibainishwe sababu, basi akisema Mtu wa Hadiyth kwamba huyu mpokezi si muadilifu (ni) aliyejeruhiwa, haikubaliwi mpaka ibainishwe, (ni) aliyejeruhiwa kwasababu yeye mfano anafanya kadha katika ufasiki, anafanya kadha, anakunywa pombe(ulevi), anataja sababu mpaka itazamwe, kwasababu baadhi yao anaweza akaihesabu ni Jarhu na (kumbe) sio Jarhu, anaweza akasema (ni) aliyejeruhiwa, ikisemwa kuambiwa yeye, "kwasababu gani?" Akisema nimemuona akila njiani mathalani, hii ni inakuwa katika viondoshaji murua, na inakuwa katika baadhi ya wakati hakuna tatizo, kwa kula katika baadhi ya zama, anakula katika mgahawa mathalani, hakuna tatizo katika hili, basi anaweza akajeruhi baadhi ya(mtu)katika Maawam, basi akasema, "nimemuona anakula mgahawani, basi hii izingatiwe ni Jarhu, tunasema hii sio Jarhu, haina budi ibainishwe; Jarhu haina budi (isipokuwa) ibainishwe...

(Rejea, tovuti ya Ashaykh katika kiungo https://shrajhi.com.sa/lessons/1234 ).

Nasema: Hilo linajulisha yale tuliyotanguliza kwamba kuna wakati mtu anaweza kutumia neno ambalo ni Jarhu lakini juu ya jambo hilo mtu hapaswi kujeruhiwa kwalo.

Na hili ndilo lililotokea kwa hawa ambao wanasema kuwa wanaofanya Tarjama ni watovu wa adabu.
Kisha wale wenye kuchukua kauli kwasababu tu Al-Ustaadh Abuu Usaamah Khamis amesema hawakutazama ni kwa Wajihi gani kinachofanyika ni utovu wa adabu na ni ipi dalili, lakini wao wakaelekea katika kubeba maneno hayo kibubusa.

Hivyo basi inatakiwa watu wachunguze wasikurupuke, wajue kabisa ni kwa dalili ipi kufanya Tarjama ya Ruduud za Kielimu zilizotiwa nguvu kwa dalili za kisheria ni utovu wa adabu.

Na tayari tulikwisha bainisha Uhalisia wa ufanyaji wa Tarjama wa Ruduud za Ashaykh Az-Za'iym (حفظه الله تعالى) Kwa ndugu 'Adnaan Al-Maswqariy, kwamba ni katika kuondoa munkar tena kwa njia ya kisheria na Mwenendo wa kisheria.
Basi ni juu yenu mthibitishe kuwa ni jambo baya kwa dalili za kisheria ili Jarhu yenu iwe imefungamana na dalili, hilo la kwanza katika sura hiyo.
Ama ikiwa ni kwasababu hoja yenu, ni kwasababu Shaykh Saliym Al-Hilaaliy (حفظه الله تعالى) amesema kama mnavyonukuu (na itakuja majibu zaidi In Shaa Allaah) iko wapi dalili yenu kwamba kumukhalifu katika hili ni utovu wa adabu?
Lakini ikiwa kauli yenu ni hatakiwi kukhalifiwa kwenye jambo lolote basi itatushangaza kwani itakuwa ndio ile ile kauli ya Masuwfiy. Na kujikinga ni kwa Allaah.

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

31 Dec, 05:13


Lakini kinyume chake tulinukuu kabla katika Makala Iliyotangulia miongoni mwa Mwenendo wa Assalaf walivyokuwa wakifanya na hapa tunanukuu pia kauli hiyo:
Amesema Al-Imaam As-Shaatwibiy (رحمه الله تعالى):

وكانت الأئمة بعد النبي صلى الله عليه وعلى آله وسلم يستشيرون الأمناء من أهل العلم في الأمور المباحة ليأخذوا بأسهلها فإذا وضح الكتاب والسنة لم يتعدوه إلى غيره اقتداءً بالنبي صلى الله عليه وعلى آله وسلم, هذه جملة ما قال في تلك الترجمة مما يليق في هذا الموضع مما يدل على أن الصحابة رضي الله عنهم لم يأخذوا أقوال الرجال في طريق الحق إلا من حيث هم وسائل للتوصل إلى شرع الله لا من حيث هم أصحاب رتب رتب أو كذا كذا وهو ما تقدم.

Na walikuwa Maimamu baada ya An-Nabiyy(Muhammad -صلى الله عليه وعلى آله وسلم) wakiwataka ushauri waaminifu wenye amana katika watu wa elimu(Wanachuoni )katika mambo ya halali ili wachukue (wafanye) kwa jepesi lake, basi pindi inapokuwa wazi Kitabu na Sunnah hawakuwa wakivuka kumuelekea yeyote, hali ya kumuiga An-Nabiyy -صلى الله عليه وعلى آله وسلم -, Hii ni jumla ya yale aliyosema (Al-Bukhaariy) katika hiyo Tafsiri katika yale yanayoendana hadhi katika haya maudhui katika yale yanayojulisha juu ya kwamba Maswahaba -رضي الله عنهم -Hawakuchukua kauli za watu katika njia ya haki isipokuwa kwa upande ambao wao (watu hao) ni njia kuifikia Sheria ya Allaah, sio katika upande  ambao wao ni watu wa darja ya juu, au kadha na ndio kilichotangulia.

(Rejea الاعتصام, Juzuu ya 3, ukurasa wa 472).

Huo ndio ulikuwa Mwenendo wa Assalaf na hakukuwa hata mmoja mwenye kudai kuwa endapo mtu atafuata dalili baada ya kuwa amepewa maelekezo na Mwanachuoni akaitwa ni Mtovu wa adabu au anafanya utovu wa adabu kwa kitendo chake tu hicho.

Na pia tulibainisha kuwa kubainisha hadharani kwa kufanyia Tarjama ni jambo la lazima kwani makosa ya Ndugu 'Adnaan Al-Maswqariy yamekwisha sambaa.

Na tukanukuu maneno yafuatayo;
Amesema  Mwanachuoni Ashaykh Ahmad bn Yahyaa An-Najmiy (رحمه الله تعالى) kama alivyoyanukuu Shaykh wetu Abuu Haatim Yuusuf Al-Jazaairiy (حفظه الله تعالى):

والقاعدة الشرعية: أن النصيحة في الخطأ الفردي تكون سراً أولاً، وأما الخطأ الذي يُقال أو يُفعل على رؤوس الملأ فيجب أن يبين على رؤوس الملأ، هذا مقتضى النصيحة لعامة المسلمين، فإن كانت النصيحة عندكم مرفوضة فقولوا ... فإن كنتم ترون أن النصيحة تشهير وتحبون أن تحابيكم على الأخطاء ونسكت عنكم فقولوا.
Na kanuni ya kisheria: Ni kwamba Naswiyha katika kosa la upweke (la mtu mmoja peke yake) inakuwa kwa Siri kwanza, ama kosa ambalo linasemwa na kufanywa mbele za watu hadharani, basi inawajibika libainishwe mbele za watu hadharani, huu ndio muktadha wa Nasaha kwa Waislamu wote (wengineo), basi ikiwa Naswiyha kwenu ninyi haitakiwi basi Semeni... Na ikiwa ninyi mnaona kwamba Naswiyha ni ushuhurishaji na mnapenda tuwapendezeshependezeshe (kuwapaka mafuta Kwa mgongo wa chupa) juu ya makosa na tukunyamazieni, basi Semeni.

(Rejea مصباح الظلام , ukurasa wa 77).

Na hoja nyingine ambazo zinathibitisha usahihi wa msimamo wetu kwamba ni Msimamo wa kisheria.

Lakini jambo kwa watu likawa mfano wa huyu:

Amesema Mwanachuoni Al-Maawardiy(رحمه الله تعالى ):

ولقد رأيت من هذه الطبقة رجلًا يُناظر في مجلس حَفْل، وقد استدل الخصم عليه بدلالة صحيحة، فكان جوابه عنها أن قال: إن هذه دلالة فاسدة، ووجه فسادها أن شيخي لم يذكرها، وما لم يذكره الشيخ فلا خير فيه ! فأمسك عنه المستدل تعجبا، ولأن شيخه كان محتشما....

Kwa hakika nimekwishaona katika tabaka hii Mtu anafanya mdahalo katika kikao cha watu wengi, na akawa amekwishatolea dalili hasimu juu yake kwa uletaji dalili uliokuwa sahihi, basi likawa jawabu lake kuhusiana nayo, "Kwa hakika huu uletaji dalili ni uliofisidika, na sura ya kufisidika kwake ni kwamba Shaykh wangu hajautaja, na kile ambacho hajakitaja Ashaykh hakuna kheri ndani yake! Basi akajizuia kutokana nae(akamnyamazia) mtoaji dalili hali ya kustaajabu, na kwamba Shaykh wake alikuwa muheshimiwa...

(Rejea أدب الدنيا والدين, ukurasa wa 149: الأدب الخامس).

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

31 Dec, 05:13


Nasema: Watu wetu Ndugu zetu wao wanaona kufanya Tarjama ni utovu wa adabu na vurugu kwasababu hajaruhusu Ashaykh Mwanachuoni Saliym Al-Hilaaliy (حفظه الله تعالى) pamoja na hoja tulizozitoa.
Basi kwa uchache wangekuja kutubainishia hoja tulizotoa haziko sawa kuliko uelekeo walio juu yake.
Ama katika upande kwamba ni vurugu kauli hii baatwil pia. Ni tangu lini ikawa kufanya jambo katika njia ya kisheria ikawa vurugu? Ikiwa ni vurugu kwa ufahamu wake Ustaadh mpya wa Da'awa basi hatushangai, lakini ni juu yake alete hoja za kielimu na sio Shaykh kasema.

Na maneno vurugu ameyasema katika swauti yake baina ya 6:15-6:23

"Ama kujifanya tarjama tarjama , Adnaan kadhaa hii sio Da'awah Akhy hiyo ni vurugu , vurugu kabisa!"

(Mwisho wa kunukuu)
Hilo linajulisha kuwa Ndugu 'Adnaan asifanyiwe lolote katika Naswiyha hadharani na kama kuna mambo inakhofiwa yatawapoteza Waislamu kutoka katika baadhi ya vitabu vyake vilivyosambazwa asiradiwe hadharani wala isifanyike Tarjama ya Ruduud juu yake kwa madai ni vurugu.!
Kweli inashangaza sana inaonekana wazi Al-Ustaadh Abuu Usaamah Khamis ana uchungu zaidi na Ndugu 'Adnaan kuliko wengine katika Waislamu kiasi kwamba kwasababu ya kumsitiri 'Adnaan uendelee uhatari wa kusambaa munkar na Bida'a zilizomo katika baadhi ya vitabu vyake ambavyo tayari vimegundulika ndani yake kuna makosa!

Na inatosheleza kubatilika kwa kauli hiyo hoja zilizotangulia katika Mas'ala ya maneno utovu wa adabu.

Itaendelea In Shaa Allaah.

والله المستعان.

والحمد لله
كتبه: أبو عقيل عثمان بن حبيب التنزاني-وفقه الله تعالى
٣٠/جمادى الآخرة/١٤٤٦هجرية

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

31 Dec, 05:13


📜أصلحك الله القول في هذه المسألة كذا وكذا، إلا أني لم أرد هذه، إنما أردت أن أرفعك إلى ما هو أكبر منها📋:
0️⃣3️⃣

🔥https://t.me/ruduudilmiyyahssalafiyyahTZ

بسم الله الرحمن الرحيم

إن الْحَمْدَ للهِ نَحْمَدُه ونستعينُه ، ونستغفرُه ، ونعوذُ باللهِ من شرورِ أنفسِنا ، وسيئاتِ أعمالِنا ، مَن يَهْدِهِ اللهُ فلا مُضِلَّ له ، ومَن يُضْلِلْ فلا هادِيَ له ،أشهدُ أن لا إله إلا اللهُ وحدَه لا شريكَ له ، وأشهدُ أنَّ مُحَمَّدًا عبدُه ورسولُه، صلى الله عليه وعلى آله وأصحابه ومن تبعهم بإحسان إلى يوم الدين.

{يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ حَقَّ تُقَاتِهِ وَلَا تَمُوتُنَّ إِلَّا وَأَنْتُمْ مُسْلِمُونَ}[ آل عمران : 102] .

{يَا أَيُّهَا النَّاسُ اتَّقُوا رَبَّكُمُ الَّذِي خَلَقَكُمْ مِنْ نَفْسٍ وَاحِدَةٍ وَخَلَقَ مِنْهَا زَوْجَهَا وَبَثَّ مِنْهُمَا رِجَالًا كَثِيرًا وَنِسَاءً وَاتَّقُوا اللَّهَ الَّذِي تَسَاءَلُونَ بِهِ وَالْأَرْحَامَ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلَيْكُمْ رَقِيبًا}[ النساء : 1 ]

{يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ وَقُولُوا قَوْلًا سَدِيدًا يُصْلِحْ لَكُمْ أَعْمَالَكُمْ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ وَمَنْ يُطِعِ اللَّهَ وَرَسُولَهُ فَقَدْ فَازَ فَوْزًا عَظِيمًا}[الأحزاب : 70 ،71].

أما بعد :  فإن أصدق الحديث كتاب الله، وخير الهدي هدي محمد صلى الله عليه وسلم، وشر الأمور محدثاتها، وكل محدثة بدعة، وكل بدعة ضلالة، وكل ضلالة في النار.

أما بعد:

قال الله تعالى:
{ وَإِذۡ أَخَذَ ٱللَّهُ مِیثَـٰقَ ٱلَّذِینَ أُوتُوا۟ ٱلۡكِتَـٰبَ لَتُبَیِّنُنَّهُۥ لِلنَّاسِ وَلَا تَكۡتُمُونَهُۥ فَنَبَذُوهُ وَرَاۤءَ ظُهُورِهِمۡ وَٱشۡتَرَوۡا۟ بِهِۦ ثَمَنࣰا قَلِیلࣰاۖ فَبِئۡسَ مَا یَشۡتَرُونَ }
Na pale ambapo Allaah alipochukua agano la wale ambao waliopewa Kitabu; Kwa hakika mtakibainisha kwa watu na wala hamtakificha. Basi wakakitupa nyuma ya migongo yao na wakabadilisha kwacho kwa thamani iliyo ndogo. Basi ni ubaya ulioje wa yale wanayoyabadili!  

(Suwratu Aali-'Imraan Aya ya 187).

أقول مستعينا بالله ولا حول ولا قوة إلا بالله العلي العظيم:

1. Maneno "utovu wa adabu" au "vurugu":
Tunaanza na hili kwasababu inawezekana asali ikaitwa matapishi ya nyuki wakachukia wote au baadhi kuila asali.
Na huo ndio Uhalisia wa alichokifanya kwa kudai kuwa jambo la kufanya Tarjama ni utovu wa adabu na vurugu. Mpaka inakuwa ikitumwa  Tarjama husika katika group miongoni mwa group, kauli ya mwenye kusema (mathalani) "vurugu au utovu wa adabu umefanyika katika group Fulani". Lakini la kushangaza ni kuwa kuna group yumo msemaji na anatuma mpaka link ya kusikiliza Darsa zake katika group ambayo inafanyika hiyo inayoitwa vurugu au utovu wa adabu. Bali hivi karibuni amekuwa kiongozi wa group inayotumwa ndani yake Tarjama.

Lakini sasa kuhusu kauli hiyo ilitakiwa hoja ya kisheria iliyokuwa wazi kwasababu huo mlango aliouingia ni mlango wa kujeruhi.
Mfano; Fulani ni Mlevi, hii inajulishwa na Sheria ya Kiislam kwamba ulevi ni miongoni mwa ambayo mtu akisifika nayo anakuwa amejeruhiwa.
Lakini haitofaa mtu kuitwa Mlevi kwasababu ya kunywa maziwa ya mnyama halali kuliwa au kinywaji chochote halali.

Hivyo basi pamoja na kutoka Jarhu mathalani Fulani Faasiq -Mlevi kwa kunywa ulevi ni kwasababu katika Sheria ina asili.

Vivyo hivyo tamko utovu wa adabu ni jambo akisifika nalo mtu ni jarhu juu yake lakini haiwi mtu asifike na utovu wa adabu mpaka kuwe na dalili alichokifanya kweli ni utovu wa adabu. Haiwi mtu amefanya jambo la kisheria halafu atupiwe maneno utovu wa adabu kwasababu ya kwenda kinyume na kile wanachokitaka baadhi ya watu.

Hiyo itakuwa ni sawa na anayemjeruhi mtu kwa kumuita Mlevi kwasababu ya kunywa maziwa ya ngamia au ya wanyama halali kuliwa au kunywa asali.

Anasema Mwanachuoni Ibnu Sw-Swalaah (رحمه الله تعالى):

وَأَمَّا الْجَرْحُ فَإِنَّهُ لَا يُقْبَلُ إِلَّا مُفَسَّرًا مُبَيَّنَ السَّبَبِ؛ لِأَنَّ النَّاسَ يَخْتَلِفُونَ فِيمَا يَجْرَحُ وَمَا لَا يَجْرَحُ، فَيُطْلِقُ أَحَدُهُمُ الْجَرْحَ بِنَاءً عَلَى أَمْرٍ اعْتَقَدَهُ جَرْحًا وَلَيْسَ بِجَرْحٍ فِي نَفْسِ الْأَمْرِ، فَلَا بُدَّ مِنْ بَيَانِ سَبَبِهِ، لِيُنْظَرَ فِيهِ أَهُوَ جَرْحٌ أَمْ لَا، وَهَذَا ظَاهِرٌ مُقَرَّرٌ فِي الْفِقْهِ وَأُصُولِهِ.

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

30 Dec, 19:40


Amesema Ibn Kathiyr Allah amrahaamu kwenye Kauli yake Allah mtukufu;

﴿وَمَنْ أَعْرَضَ عَنْ ذِكْرِي﴾ أَيْ: خَالَفَ أَمْرِي، وَمَا أَنْزَلْتُهُ عَلَى رَسُولِي، أَعْرَضَ عَنْهُ وَتَنَاسَاهُ وَأَخَذَ مِنْ غَيْرِهِ هُدَاهُ

Tarjama - ﴿وَمَنْ أَعْرَضَ عَنْ ذِكْرِي﴾ yaani, atakayekhaalifu amri yangu (amri ya Allah) yaani Quraan na amri niliyoteremsha kwa mtume wangu (Sunnah) akupuuza hayo na akausahau muongozo huo na akachukua muongozo mwingine usiokua wangu. (Mwisho). Basi mtu huyo ana yeye maisha ya dhiki.

Kwa haya machache namuomba Allah makala hii na naswiyha hizi iwe yenye manufaa kwa ndugu yetu Ustaadh Khamiys Bin Ameh Allah amuwafikishe na waislamu wote.... Aamiyn.

Kadhalika namuomba Allah Ikhlaaswi na swawaabu katika vitendo na maneno yangu.


✍️ABUU SHAQIYQ ABDUL-RAZZAAQ BIN SAALIM BIN ABDILLAHI BIN HASAN BIN 'IYSAA AL-LINDIYYU "MTELE MALILO" ALLAH AMUHIFADHI.

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

30 Dec, 19:40


kubainisha. Ni msingi wa bidaa ulioje iliopo ndani ya maneno haya.
Na yeyeote atakayeona maneno hayo mazuri na njia Bora ya kujenga ataingia kwenye maneno ya Imaamu Maaliki Allah amrahaamu aliposema;

* قال الإمام مالك: «من ابتدع في الإسلام بدعة يراها حسنة فقد زعم أن محمداً - صلى الله عليه وآله وسلم - خان الرسالة لأن الله يقول: {الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ} [المائدة: ٣] فما لم يكن يومئذ ديناً فلا يكون اليوم ديناً»

Tarjama - Yeyote atakayezua kwenye uislamu bidaa, akaiona bidaa hiyo ni nzuri, basi kwa hakika atakuwa amedai ya kwamba Mtume Muhammad صلى الله عليه وسلم amefanya khiyana kufikisha risala/ujumbe kwa sababu Allah anasema "*Leo hii nimewakamilishia dini yenu"* Yale ambayo enzi ya Mtume صلى الله عليه وسلم na maswahaba wake hayakuwa dini, basi hayawezi kuwa dini Leo hii. (Mwisho)

Hivyo basi msingi wake huo ambao ameutaja Ndugu Ustaadh Khamiys Bin Ameh ni msingi ambao haukufahamika kwa wema na hivyo Msingi wa kumfuata mtu nyumbani kwake kwa makosa yote hadi yaliyofanywa hadharani au kuandika na kumpelekea mwanachuoni ni msingi mbovu ambao unahitajika kukemewa vikali na msemaji atubie mara Moja.

*Suala la Sulhu:* Hapa Ndugu Ustaadh Khamiys Bin Ameh Allah amuwafikishe amekariri akitaja kuwa msingi huo wa kufuatana mtu akifanya kosa ni makubaliano ya Sulhu. Allah Akbar, ikiwa ni kweli basi waliokuwa katika Sulhu hiyo hapo walifumbwa na hawakuzinduka na kupelekea kuafikiana juu ya kosa hilo. Kama walikubaliana kweli kwa namna alivyoeleza Ustaadh Khamiys Bin Ameh Allah amuwafikishe basi huu ni munkari waliafikiana na hatuwezi kuwatii katika hilo. Sijui ni hoja gani walitumia kwani Sulhu inatakiwa kufuata dalili na sio rai kwa kauli ya Allah;

{ فَإِن تَنَٰزَعۡتُمۡ فِي شَيۡءٖ فَرُدُّوهُ إِلَى ٱللَّهِ وَٱلرَّسُولِ}

Tarjama - Basi iwapo mkizozana kwa jambo lolote, lirejesheni jambo Hilo kwa Allah na Mtume wake.

[Surah An-Nisāʾ: 59]

Na kwenye makubaliano hayo ambayo Ustaadh Abuu Usamaah Khamiys Bin Ameh anasema yanakhaalifu kitabu na Sunnah hivyo ni baatwili.

Ama Kauli zisemwazo kuwa kuchunga mafsada na maswaaliyh .... Yahitaji kubainisha ni mafsada gani yatatokea ikiwa Adnaani ataradiwa au tarjama itafanyika ambayo itakuwa hakuna budi kumnyamazia Adnaani Al Maswqariy ambayo sidhani kama yapo kama majibu hayajaja kuchunga undugu na ukhuwah kama wasemavyo. Ikiwa hoja ni hiyo mlango huo sio kwa Adnaani tu itakuwa kwa wote na itakuwa mlango wa naswiyha na ruduudi baina ya Ahlu Sunnah umefungwa kitu ambacho sio sawa kwa sababu na masalafi nao wanakosea.

*Nukta ya Kusema makosa yapo kwa Sheikh anayaduruusu watu wanyamaze*

Vipi watu wanyamaze hali ya kuwa vitabu vyenye makosa bado vipo mitandaoni na watu wanasoma. Ina mana wakati huu wale wanaosoma vitabu hivyo wataelewa vipi kuwa kuna makosa na wao hawajavitahadharisha vile vitabu na Wala Ndugu Adnaani Allah amuwafikishe hajafuta vile vitabu vyake Wala kurekebisha makosa.
Vipi watu wanyamaze katika hali kama hiyo?

Nani atabeba lawama juu ya wale watakaopotea na kuondoka na misingi mibovu iliyopo ndani ya vitabu vya Adnaani vyenye makosa?

Hakuna udhuru wowote ikiwa umeona munkari ukaunyamazia hali ya kuwa waweza kuuondoa au kukemea na umma ukapotea hali ya kuwa umejua munkari eti ukashindwa kukemea kwakua hoja za mtu huyo aliyefanya munkari zipo kwa Mwanachuoni fulani hali ya kuwa umeielewa hadithi ya Mtume صلى الله عليه وسلم ya kuondoa munkari.

Hatukatai mambo ya kuwatanguliza wanazuoni ila jambo hilo lina tafsiri na kama ingekuwa kuondoa munkari mpaka kuwasubiri wanachuoni basi ufisadi ungekithiri kila kona kwa sababu hao wanachuoni ni wachache mno.

Hatukatai suala la kuwasikiliza wanachuoni na masheikh lakini si kila sehemu atakayokuambia mwanachuoni nyamaza yatakiwa unyamaze.....mambo haya yana tafsiri na sio kwa ujumla kama yanavyoletwa sasa.


*Mwisho, Narudia kauli yake Ustaadh Khamiys Bin Ameh Allah amwafikishe kwenye kalima yake ya kwanza dhidi ya watu wa Tarjama alisema akielezea maneno aliyoambiwa Sukumi Allah amwafikishe "SUKUMI AMEAMBIWA UMEPINDA HUJUI MANHAJI" Subhaana Allah, huu ni uzushi mkubwa na niliandika makala kubainisha uongo

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

30 Dec, 19:40


huu nikamtumia mwenyewe Ustaadh Khamiys Bin Ameh Allah amwafikishe na Sukumi pia Ustaadh Khamiys akanijibu hana muda wa kusoma.

Nilichomwambia Sukumi ni kwamba ana makosa ya kimanhaj na nikataraaja'a wakati huo huo tunazungumza hata kabla hatujakata mazungumzo na likaisha. Cha ajabu imetajwa kuwa ameambiwa *HAJUI MANHAJI.* kuna tofauti kati ya kusema kumwambia mtu ana kosa la kimanhaj na hujui manhaji. Ni maana mbili tofauti. Ama Kauli kusema *AMEPINDA* hilo halikusemwa na Wala mfanano wa maneno hayo hayakusemwa.
Kwa nini wanatuzulia? Wakumbuke kauli ya Allah aliposema;

{ يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ كُونُواْ قَوَّٰمِينَ لِلَّهِ شُهَدَآءَ بِٱلۡقِسۡطِۖ وَلَا يَجۡرِمَنَّكُمۡ شَنَـَٔانُ قَوۡمٍ عَلَىٰٓ أَلَّا تَعۡدِلُواْۚ ٱعۡدِلُواْ هُوَ أَقۡرَبُ لِلتَّقۡوَىٰۖ وَٱتَّقُواْ ٱللَّهَۚ إِنَّ ٱللَّهَ خَبِيرُۢ بِمَا تَعۡمَلُونَ }

Tarjama - Enyi walio amini! Kuweni wasimamizi madhubuti kwa ajili ya Allah mkitoa ushahidi kwa uadilifu. Wala kusiwapelekee kuchukiana kwenu na watu kutofanya uadilifu. Fanyeni uadilifu. Hivyo ndio kuwa karibu mno na uchaji Allah. Na mcheni Allah. Hakika Allah ni mwenye khabari za mnayo yatenda.

[Surah Al-Māʾidah: 8]

Anasema Imaamu Ibn Kathiyr akitafsir aya hiyo;


وَقَوْلُهُ: ﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا كُونُوا قَوَّامِينَ لِلَّهِ﴾ أَيْ: كُونُوا قَوَّامِينَ بِالْحَقِّ لِلَّهِ، عَزَّ وَجَلَّ، لَا لِأَجْلِ النَّاسِ وَالسُّمْعَةِ.

Tarjama - ﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا كُونُوا قَوَّامِينَ لِلَّهِ﴾ Yaani kuweni wasimamizi kwa haki kwa ajili ya Allah Mtukufu mwenye nguvu, si kwa ajili ya watu na kusikika. (Mwisho).

Kuna watu wanasema Ustaadh Khamiys Bin Ameh Allah amwafikishe alinijibu kuwa hana muda wa kusoma wenda nilitumia usulubu mbaya ndio mana alisema hivyo.
Naweka sms zote hapa ili muone huo usulubu.

Sms ya Kwanza kumtumia Ndugu Ustaadh Khamiys Bin Ameh Allah amwafikishe ni;

السلام عليكم ورحمة الله وبركاته

Vipi hali Ustaadh.

Katika Tanbihi yako kuhusu sisi watoa Tarjama ulisema kuwa Assukumiy aliambiwa "AMEPINDA HAJUI MANHAJ"

Haya maneno tumeulizana sote nani kamjibu hivyo na nani aliongeanae tukakuta yeye alinipigia simu mimi na mimi sikumwambia hivyo. Kama ni mkweli abainishe ni nani alimwambia hivyo.(Mwisho)

Na ya pili ni;

Bali nilichomwambia mimi kuwa ana makosa ya man-haj na baada ya kujadili tukakuta lile si kosa la kiman haji nikataraaja na kumuomba msamaha kwa hilo na ikawa limeisha na yeye akakiri limeisha. Sikumwambia hajui man haj. Na sikumwambia amepinda hiyo sikumwambia. Nilichomweleza ni hivyo na nilifuta kauli hiyo. Ikiwa nilikosea nikaomba msamaha nikafuta maneno je kulikuwa na haja yeye aendelee kusimulia watu kosa hilo na hadi wewe ikapelekea kuzungumza mezani hiyo ni sawa ? Tena kwa wajihi mwingine kwamba hajui manhaj.

Hii kwenye kalima yako kwa ufahamu wangu mdogo nimeona ni maneno ambayo yalikosa uadilifu kwetu.

بارك الله فيك
Allah atusamehe madhambi yetu. (Mwisho)

Akanijibu baada ya SMS hizo;

*Usipate shida akhiylkareem mm sina huo muda wa kusoma hayo* (Mwisho)

Na mimi nikamalizia;

Sawa na mimi sina kingine Cha kukuambia zaidi ya kukuhusia KUMCHA ALLAH basi.

بارك الله فيك (Mwisho )

Na hayo ndiyo yalikua mawasiliano yetu kwa sms za Kawaida baada ya kumtumia makala mzima WhatsApp nikaona haijasomwa ndipo nikaona nimzindue kwa sms ya kawaida.

Na hayo ndio machache niliyoafikishwa natumaini kupitia haya Ndugu Ustaadh Khamiys Bin Ameh Allah amuwafikishe atakuwa mwenye kuwaidhika.Na kwa kumalizia nimalizie na maneno ya Allah pindi pale mtu ukimfika uongofu kutoka kwake anasema;

{.....فَإِمَّا يَأۡتِيَنَّكُم مِّنِّي هُدٗى فَمَنِ ٱتَّبَعَ هُدَايَ فَلَا يَضِلُّ وَلَا يَشۡقَى}

Na pindi ukikufikieni uwongofu kutoka kwangu basi atakaye ufuata uwongofu wangu, hatapotea wala hatataabika.

[Surah Ṭā-Hā: 123]

Na akumbuke kauli ya Allah kadhalika;

{ وَمَنۡ أَعۡرَضَ عَن ذِكۡرِي فَإِنَّ لَهُۥ مَعِيشَةٗ ضَنكٗا وَنَحۡشُرُهُۥ يَوۡمَ ٱلۡقِيَٰمَةِ أَعۡمَىٰ }

Na atakaye puuza utajo wangi, basi kwa yakini ana yeye maisha yenye dhiki, na Siku ya Kiyama tutamfufua hali ya kuwa ni kipofu.

[Surah Ṭā-Hā: 124]

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

30 Dec, 19:40


{ إِنَّ ٱلَّذِينَ قَالُواْ رَبُّنَا ٱللَّهُ ثُمَّ ٱسۡتَقَٰمُواْ تَتَنَزَّلُ عَلَيۡهِمُ ٱلۡمَلَٰٓئِكَةُ أَلَّا تَخَافُواْ وَلَا تَحۡزَنُواْ وَأَبۡشِرُواْ بِٱلۡجَنَّةِ ٱلَّتِي كُنتُمۡ تُوعَدُونَ }

[Surah Fuṣṣilat: 30]

Tarjama - Hakika wale waliosema: Mola wetu Mlezi ni Allah! Kisha wakawa na msimamo thabiti, huwateremkia kwao wao Malaika wakiwaambia: Msiogope, wala msihuzunike; na wabashirie Pepo mliyo kuwa mkiahidiwa.(Mwisho)

Hii ni Moja ya faida ambayo Allah ameitaja kwa wale watakaosimama imara juu ya haki. Kwa haya nadhani atakuwa mwenye kuwaidhika Ustaadh Abuu Usaamah Khamiys Bin Ameh Allah amwafikishe In Shaa Allah.

*Jambo la pili ni naswiyhah juu ya kauli zake wakati akiwazungumzia wafanya tarjama.*

Nadhani kwa utangulizi nilioutoa wa kumcha Allah na kulazimiana na haki, natumai kwa yale ambayo nitayataja hapa namuomba Allah yawe ya haki na hivyo natarajia kwa naswiyha hizi zitakuwa zenye kujenga In Shaa Allah.

Kwanza nimjulishe Ustaadh Khamiys Allah amwafikishe. Dhamira yetu watoa tarjama sio kumvunjia mtu adabu, si kutaka umaarufu na wala si kutaka ukubwa bali kuurahisishia umma wa waswahili kujua kadhia na makosa ya ndugu Adnaani Al Maswqariy ili waweze kujiepushanayo na pia kusaidia dhumuni la sheikh Az-za'iym Allah amuhifadhi juu ya lengo lake la kubainisha haki na kutahadharisha baatwil zilizopo kwenye vitabu vya ndugu Adnaani Al Maswqariy na hii ni dini na ibada kwetu kwa kufanyia kazi kauli ya Allah aliposema;

{.... وَتَعَاوَنُوا۟ عَلَى ٱلۡبِرِّ وَٱلتَّقۡوَىٰۖ وَلَا تَعَاوَنُوا۟ عَلَى ٱلۡإِثۡمِ وَٱلۡعُدۡوَ ٰ⁠نِۚ وَٱتَّقُوا۟ ٱللَّهَۖ إِنَّ ٱللَّهَ شَدِیدُ ٱلۡعِقَابِ }

Tarjama - Na Saidizanene juu ya wema na kumcha Allah na wala msisaidizane juu ya madhambi na uadui. Na Mcheni Allah, kwa hakika Alllah ni mkali wa kuadhibu.

[Surah Al-Māʾidah: 2]

Hivyo, Tanbihi yako au tanbihi zenu juu ya kututaka kuacha tarjama hatukuzifanyia kazi kwakuwa hazikuwa na hoja na zinalenga kuficha haki ambayo amekujanayo Sheikh Az-za'iym Allah amuhifadhi na kuacha baatwil aliyokujanayo ndugu Adnaani Al Maswqariy ienee. Hivyo kauli ya kuacha tarjama inakhaalifu kauli ya Allah inayotaka liwe kundi kati yetu liamrishe mema na kukataza maovu kama asemavyo Allah;

{ وَلۡتَكُن مِّنكُمۡ أُمَّةࣱ یَدۡعُونَ إِلَى ٱلۡخَیۡرِ وَیَأۡمُرُونَ بِٱلۡمَعۡرُوفِ وَیَنۡهَوۡنَ عَنِ ٱلۡمُنكَرِۚ وَأُو۟لَـٰۤىِٕكَ هُمُ ٱلۡمُفۡلِحُونَ }

Tarjama - Na liwe miungoni mwenu kundi likilingania Kunako kheri na likiamrisha mema na likikataza maovu, na wao ndio wenye kufaulu.

[Surah Āli-ʿImrān: 104]

Pia Mtume صلى الله عليه وسلم anasema;

عَنْ أَبِي سَعِيدٍ الْخُدْرِيّ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ سَمِعْت رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم يَقُولُ:"مَنْ رَأَى مِنْكُمْ مُنْكَرًا فَلْيُغَيِّرْهُ بِيَدِهِ، فَإِنْ لَمْ يَسْتَطِعْ فَبِلِسَانِهِ، فَإِنْ لَمْ يَسْتَطِعْ فَبِقَلْبِهِ، وَذَلِكَ أَضْعَفُ الْإِيمَانِ". [رَوَاهُ مُسْلِمٌ].

Tarjama - Kutoka kwa Abiy Sa'iyd Al Khudriy رضي الله عنه amesema: Nimemsikia Mtume صلى الله عليه وسلم akisema: Yeyote atakayeona munkari kati yenu basi auondoe kwa mkono wake, ikiwa hawezi,kwa ulimi wake, ikiwa hawezi kwa moyo wake (achukie) na huko kuchukia ni udhaifi wa iymaan. [Muslim]

Kwa hadithi hiyo, ilitupaswa sisi tuendelee na lengo letu ukizingatia kuna kauli ya Allah inayosema;

{.... وَمَاۤ ءَاتَىٰكُمُ ٱلرَّسُولُ فَخُذُوهُ وَمَا نَهَىٰكُمۡ عَنۡهُ فَٱنتَهُوا۟ۚ وَٱتَّقُوا۟ ٱللَّهَۖ إِنَّ ٱللَّهَ شَدِیدُ ٱلۡعِقَابِ }

Tarjama - Na yale aliyowaleteeni mtume yachukueni na yale aliyowakatazeni komeni.

[Surah Al-Ḥashr: 7]

Jambo la kutii amri ya Mtume صلى الله عليه ni wajibu na wala haipaswi yeyote kuacha kauli ya mtume صلى الله عليه na kuchukua au kuiendea kauli ya mwingine na wala haipaswi kuwa na khiyari juu ya kufuata amri hiyo bali ni lazima kama alivyosema Allah mtukufu;

{ وَمَا كَانَ لِمُؤۡمِنࣲ وَلَا مُؤۡمِنَةٍ إِذَا قَضَى ٱللَّهُ وَرَسُولُهُۥۤ أَمۡرًا أَن یَكُونَ لَهُمُ ٱلۡخِیَرَةُ مِنۡ أَمۡرِهِمۡۗ وَمَن یَعۡصِ ٱللَّهَ وَرَسُولَهُۥ فَقَدۡ ضَلَّ ضَلَـٰلࣰا مُّبِینࣰا }

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

30 Dec, 19:40


Tarjama - Na haiwi kwa muumini wa kiume wala muumini wa kike pindi pale Allah na mtume wake wanapohukumu jambo wakawa na wao khiyari kutokana na amri yao (Allah na Mtume صلى الله عليه) na atakayemuasi Allah na Mtume Wake kwa hakika atakuwa amepotea upotevu wa wazi.

[Surah Al-Aḥzāb: 36]

Amesema Al Imaamu Ibn Kathiyr Allah amrahaamu akifasiri aya hiyo;

فَهَذِهِ الْآيَةُ عَامَّةٌ فِي جَمِيعِ الْأُمُورِ، وَذَلِكَ أَنَّهُ إِذَا حَكَمَ اللَّهُ وَرَسُولُهُ بِشَيْءٍ، فَلَيْسَ لِأَحَدٍ مُخَالَفَتُهُ وَلَا اخْتِيَارَ لِأَحَدٍ هَاهُنَا، وَلَا رَأْيَ وَلَا قَوْلَ، كَمَا قَالَ تَعَالَى: ﴿فَلا وَرَبِّكَ لَا يُؤْمِنُونَ حَتَّى يُحَكِّمُوكَ فِيمَا شَجَرَ بَيْنَهُمْ ثُمَّ لَا يَجِدُوا فِي أَنْفُسِهِمْ حَرَجًا مِمَّا قَضَيْتَ وَيُسَلِّمُوا تَسْلِيمًا﴾ [النِّسَاءِ:٦٥] وَفِي الْحَدِيثِ: "وَالَّذِي نَفْسِي بِيَدِهِ، لَا يُؤْمِنُ أَحَدُكُمْ حَتَّى يَكُونَ هَوَاهُ تَبَعًا لِمَا جِئْتُ بِهِ". وَلِهَذَا شَدَّدَ فِي خِلَافِ ذَلِكَ، فَقَالَ: ﴿وَمَنْ يَعْصِ اللَّهَ وَرَسُولَهُ فَقَدْ ضَلَّ ضَلالا مُبِينًا﴾ ، كَقَوْلِهِ تَعَالَى: ﴿فَلْيَحْذَرِ الَّذِينَ يُخَالِفُونَ عَنْ أَمْرِهِ أَنْ تُصِيبَهُمْ فِتْنَةٌ أَوْ يُصِيبَهُمْ عَذَابٌ أَلِيمٌ﴾ [النور:٦٣] .

Basi aya hii ni yenye kuenea kwa mambo yote, ya kwamba, pindi anapohukumu Allah na Mtume Wake Jambo lolote, haipaswi kwa yeyote kwenda kinyume/kukhaalifu wala haipaswi kuwa na khiyari hapa. Wala rai wala kauli, kama alivyosema Allah mtukufu "La! Naapa kwa mola wako, hawatoamini mpaka wakufanye wewe kuwa ni hakimu kwa yale waliyokhitalifiana baina yao kisha wasione uzito ndani ya nyoyo zao kwa yale uliyohukumu na wajisalimishe kujisalimisha" na kwenye hadithi "Hatoamini mmoja wenu mpaka matamanio yake yawe yenye kufuata Yale niliyokujanayo, kwa haya Allah akatilia mkazo kwa kwenda kinyume na hayo akasema "atakaye muasi Allah na Mtume wake kwa hakika amepotea upotevu wa wazi" kama kauli yake "Basi watahadhari wale ambao wanakhaalifu amri yake isije ikawapata wao fitna au ikawapata wao adhabu iumizayo". (Mwisho)

Kwa maneno hayo ya Allah na Mtume wake صلى الله عليه وسلم ،أ haikutupasa sisi tuache na kufuata maneno yako au yenu na hivyo tungeingia kwenye maneno ya Imamu Shaafiy kadhalika aliposema;

لقد ضل من ترك حديث رسول الله صلى الله عليه وسلم لقول من بعده

Tarjama - Kwa hakika amepotea yule ambaye ameacha hdithi ya Mtume صلى الله عليه وسلم kwa ajili ya kauli ya yeyote baada yake. (Mwisho)

Hivyo, tunakunasihi Ustaadh Khamiys Bin Ameh kurejea kwenye njia ya sawa kwani maneno yako yale hayakuwa sawa yanakhaalifu kitabu na sunnah na yanakhaalifu maneno ya wema waliotangulia.

*Nukta ya kutuita watu wa tarjama kuwa ni watovu wa adabu*

Namnasisihi ndugu yetu Abuu Usamaah Khamiys Bin Ameh Allah amwafikishe kuwa muadilifu juu ya kauli zake kwa kumkumbusha kauli ya Allah isemayo;

{ يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ ٱتَّقُواْ ٱللَّهَ وَقُولُواْ قَوۡلٗا سَدِيدٗا }

Tarjama - Enyi walioaamini, Mcheni Allah na semeni kauli ya sawa.

[Surah Al-Aḥzāb: 70]

Amesema Al imaamu Al Bagawiy kwenye tafsir yake akinukuu maneno ya maswahaba na wanachuoni juu ya kauli ya sawa ni ipi iliyokusudiwa kwenye aya;

قَوْلُهُ تَعَالَى ﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ وَقُولُوا قَوْلًا سَدِيدًا﴾ قَالَ ابْنُ عَبَّاسٍ: صَوَابًا. وَقَالَ قَتَادَةُ: عَدْلَا. وَقَالَ الْحَسَنُ: صِدْقًا. وَقِيلَ: مُسْتَقِيمًا. وَقَالَ عِكْرِمَةُ هُوَ: قَوْلُ لَا إِلَهَ إِلَّا اللَّهُ.

Tarjama - Na kauli yake Aliyetukuka. "Enyi walioaamini Mcheni Allah na semeni kauli ya sawa" Amesema Ibn Abbas رضي الله عنهما: Kauli ya sawa ni "Kauli ya Sawiya" Amesema Qataadah Allah amrahaamu: Kauli ya sawa ni Kauli ya *"UADILIFU"*, Amesema Al Hasan Al Basri kauli ya sawa ni Kauli *YA KWELI* na pamesemwa kauli ya sawa ni *ILIYONYOOKA*, na amesema 'Ikrimah: Hiyo ni Kauli ya *Hapana Mola asaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allah.*

Hivyo basi ikiwa sisi ni wenye kufunyia kazi amri ya Allah na Mtume wake صلى الله عليه وسلم haikupaswa kuitwa watovu wa adabu na hii ni kuwarudisha nyuma watu ambao wanabainisha haki na kudhihirisha dini ya Allah.

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

30 Dec, 19:40


{ وَقُلۡ جَآءَ ٱلۡحَقُّ وَزَهَقَ ٱلۡبَٰطِلُۚ إِنَّ ٱلۡبَٰطِلَ كَانَ زَهُوقٗا }

Tarjama - Na sema ewe Muhammad, Imekuja haki na imetoweka baatwili, Kwa hakika baatwil ni yenye kutoweka.

[Surah Al-Isrāʾ: 81]

Aiache haki isemwe na watu wenye kuisema na ndio sifa ya waumini kuamarisha mema na kukataza maovu ama kinyume chake ni sifa za wanafiki kama Allah alivyosema;

{ ٱلۡمُنَٰفِقُونَ وَٱلۡمُنَٰفِقَٰتُ بَعۡضُهُم مِّنۢ بَعۡضٖۚ يَأۡمُرُونَ بِٱلۡمُنكَرِ وَيَنۡهَوۡنَ عَنِ ٱلۡمَعۡرُوفِ وَيَقۡبِضُونَ أَيۡدِيَهُمۡۚ نَسُواْ ٱللَّهَ فَنَسِيَهُمۡۚ إِنَّ ٱلۡمُنَٰفِقِينَ هُمُ ٱلۡفَٰسِقُونَ }

Wanaume wanaafiki na wanawake wanaafiki, baadhi yao kwa baadhi (wote ni hali Moja). Huamrisha maovu na huyakataza mema, na huifumba mikono yao. Wamemsahau Allah, basi naye Allah akawapuuza. Hakika wanaafiki ndio waovu.

{Sura At-Tawbah 67}

*Nukta ya kusema kama kuna akiona kosa kwa Adnaani basi aorodheshe ayapeleke kwa sheikh, kusema kama mmeona kosa au makosa kwa Adnaani mfuateni na kama hampajui kwake tuwepeleke*

Subhaana Allah, haya maneno ni makosa makubwa na si katika manhaji ya Ahlusunnah kuachia kauli kwa jumla jumla hivyo ambazo misingi yake si yenye kuenea. Nukta hii ameibainisha vizuri ndugu yetu Abuu Aqiyl Uthmaan Bin Habiyb Allah amuhifadhi katika makala yake akiradi kauli za Ndugu Ustaadh Khamiys Bin Ameh Allah amuwafikishe ile sauti yake ya kwanza. Ni kosa kwani si kila kosa naswiyha zake yalazimu mtu afuatwe bali ikiwa kosa limefanyika hadharani na kuenea kwa watu bayana yake pia yafaa kuwa hadharani na wala haishurutishi mtu afuatwe kama alivyoshurutisha yeye kwa msingi wake huo wa jumla jumla wenye kuenea kwa makosa yote. Hili alinasihiwa lakini hajatubia leo. Namnasihi arejee na afanyie kazi kauli ya Allah isemayo;

{ يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ تُوبُوٓاْ إِلَى ٱللَّهِ تَوۡبَةٗ نَّصُوحًا عَسَىٰ رَبُّكُمۡ أَن يُكَفِّرَ عَنكُمۡ سَيِّـَٔاتِكُمۡ وَيُدۡخِلَكُمۡ جَنَّٰتٖ تَجۡرِي مِن تَحۡتِهَا ٱلۡأَنۡهَٰرُ.... }

Enyi walio amini! Tubuni kwa Allah toba iliyo ya kweli! Asaa Mola wenu Mlezi akakufutieni maovu yenu na akakuingizeni katika Pepo zipitazotazo mito kati yake....

[Surah At-Taḥrīm: 8]

Kauli yake *"Kama mmeona makosa kwa Adnaani orodhesheni pelekeni kwa sheikh"* Hili nalo ni kosa kwani anajaalia kuwa Kuna mtu maalumu kuondoa munkari ambaye ukiona munkari kwa Adnaani usiuseme hata kama ana elimu ya kubainisha badala yake apelekewe Sheikh. Kauli hii imebeba msingi mpya kwa Ahlu Sunnah na atuambie ametoa wapi msingi huu!!!!! { قُلۡ هَاتُواْ بُرۡهَٰنَكُمۡ إِن كُنتُمۡ صَٰدِقِينَ }
Bali sisi twajua Kauli ya Mtume صلى الله عليه وسلم ambayo imetangulia ikieleza kuondoa munkari kwa yeyoto atakayeubaini na wala Mtume صلى الله عليه وسلم hakuamrisha maswahaba wakiona munkari wampelekee au wapeleke kwa viongozi au kwa wanazuoni hata kama hao waonaji wanaweza kuondoa au kukemea bali alisema aondoshe kwa mkono wake kwa vidhibiti na vidhibiti hivyo vinajulikana.Jambo hilo la kuorodhesha makosa na kumpelekea mwanachuoni hata kama mtu ana uwezo wa kuondoa,kukemea au kubainisha si sawa kushurutisha hilo na ingekuwa ni la ni la kheri basi wangetutangulia wema waliopita lakini hatuoni na kama lipo atuletee. Nami namkumbusha ndugu Ustaadh Khamiys Bin Ameh Allah amwafikishe aache kauli ya Mtume صلى الله عليه وسلم kama ilivyo katika asli na Wala asilete maneno yake kama Allah alivyokemea hilo kwa kusema;

{ يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ لَا تُقَدِّمُواْ بَيۡنَ يَدَيِ ٱللَّهِ وَرَسُولِهِۦۖ وَٱتَّقُواْ ٱللَّهَۚ إِنَّ ٱللَّهَ سَمِيعٌ عَلِيمٞ }

Tarjama - Enyi walio amini! Msitangulie chochote mbele ya Allah na Mtume wake, na mcheni Allah Hakika Allah ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.

[Surah Al-Ḥujurāt: 1]

Hivyo, Msingi wake huo ambao ni msingi uliozushwa atakikana atubie juu ya maneno yake hayo kwani akumbuke alipokua akiongea wapo watoto na watu wengine ambao wachanga kwenye sunnah hivyo, wanaweza kuelewa kumsema mtu yaani kumradi mtu hadharani ni fujo na utovu wa adabu na wataelewa yatakikana mkosefu afuatwe au makosa yaorodheshwe apelekewe mwanachuoni na si yeyote aradi au abainishe hata kama muonaji ana uwezo wa kuondoa au

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

30 Dec, 19:40


Ndugu yetu Abuu Usaamah Khamiys Bin Ameh Allah amuwafikishe atambue japo yeye ni mwalimu wetu, lakini hapaswi kutudhulumu au kutuvunjia heshima yetu kwa sababu tu pengine ameona sisi watu duni au vinginevyo.

*Tunamtaka Ustaadh Abuu Usaamah Khamiys Bin Ameh Allah amuwafikishe atuombe radhi na atutakase hadharani kama alivyotuchafua hadharani na atubie kwa Allah juu ya kosa hilo la kutuita hatuna adabu kwa sababu tu tumeamua kufuata maamrisho ya kwenye kitabu na Sunnah.*


*Naswiyha ya tatu Juu ya Kadhia ya Ndugu Adnaani Al Maswqariy Allah amuwafikishe*

Namuhusia Ustaadh Khamiys Bin Ameh Allah amuwafikishe juu ya kadhia hii kunyooka na Kuwa muwazi na kuwa sababu ya kumtengeneza Ndugu Adnaani Al Maswqariy Allah amuwafikishe na sio kumtia nguvu juu ya makosa yake au kuwarudisha nyuma wale wanaomradi Adnaani kama vile alivyokemea Shairi la Ndugu yetu Abuu Dardaa Amru Bin Hasan Allah amuhifadhi ambaye alimwashiria katika shairi lake kwa njia ya lawama juu yake. Hii inaonesha yeye hataki Ndugu Adnaani aguswe japo atakataa lakini hiyo ndio dhahiri ya matamshi yake.
Ndugu Ustaadh Khamiys Bin Ameh nakukumbusha kuwa kusaidizana kumewekewa vizingiti/vidhibiti nako ni kwa wema na uuchaji wa Allah na wala sio katika makosa Yaani madhambi na uadui kwa kauli ya Allah;

{ ....وَتَعَاوَنُوا۟ عَلَى ٱلۡبِرِّ وَٱلتَّقۡوَىٰۖ وَلَا تَعَاوَنُوا۟ عَلَى ٱلۡإِثۡمِ وَٱلۡعُدۡوَ ٰ⁠نِۚ وَٱتَّقُوا۟ ٱللَّهَۖ إِنَّ ٱللَّهَ شَدِیدُ ٱلۡعِقَابِ }

[Surah Al-Māʾidah: 2]
Tarjama imetangulia.

Angalia hiko kitendo chako Cha kuwashambulia wale wanaofanya Tarjama ambao wanakusudia baatwili ifahamike ili watu waiepuke wewe unasema kuwa hawana adabu ni kutengeneza au kumtetea Adnaani kwa kutaka makosa yake yasifahamike na umma unaweza kupotea kwa makosa yake.
Angalia huko ni kumpenda au kutompenda? Maana akupendaye hakuachi kwenye makosa bali atakuzindua. Na kumbuka ni sifa ya waumini kukatazana maovu wao kwa wao kama alivyosema Allah mtukufu;

{ وَٱلۡمُؤۡمِنُونَ وَٱلۡمُؤۡمِنَٰتُ بَعۡضُهُمۡ أَوۡلِيَآءُ بَعۡضٖۚ يَأۡمُرُونَ بِٱلۡمَعۡرُوفِ وَيَنۡهَوۡنَ عَنِ ٱلۡمُنكَرِ وَيُقِيمُونَ ٱلصَّلَوٰةَ وَيُؤۡتُونَ ٱلزَّكَوٰةَ وَيُطِيعُونَ ٱللَّهَ وَرَسُولَهُۥٓۚ أُوْلَٰٓئِكَ سَيَرۡحَمُهُمُ ٱللَّهُۗ إِنَّ ٱللَّهَ عَزِيزٌ حَكِيمٞ }

Tarjama - Waumini wanaume na waumini wakike baadhi ya ni vipenzi kwa baadhi, wanaamrisha mema na wanakataza mabaya/maovu, na wanasimamisha swala na wanatoa zakaa na wanamtii Allah na Mtume wake; Hao ndio Allah atawarahamu, hakika Allah ni mwenye nguvu mwenye hikma.

[Surah At-Tawbah: 71]

Amesema Al Imaamu Al Bagawiy akitafsir kauli hiyo ya Allah;

قَوْلُهُ تَعَالَى: ﴿وَالْمُؤْمِنُونَ وَالْمُؤْمِنَاتُ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ﴾ فِي الدِّينِ وَاتِّفَاقِ الْكَلِمَةِ وَالْعَوْنِ وَالنُّصْرَةِ.
﴿يَأْمُرُونَ بِالْمَعْرُوفِ﴾ بِالْإِيمَانِ وَالطَّاعَةِ وَالْخَيْرِ، ﴿وَيَنْهَوْنَ عَنِ الْمُنْكَرِ﴾ عَنِ الشِّرْكِ وَالْمَعْصِيَةِ وَمَا لَا يُعْرَفُ فِي الشَّرْعِ،

Tarjama -( Na Kauli yake (Allah) Waumini wanaume na waumini wakike baadhi yao ni vipenzi kwa baadhi ) Ni kwenye dini na kuafikiana kwenye neno (لا إله إلا الله) na kwa kusaidizana na kunusura.
﴿يَأْمُرُونَ بِالْمَعْرُوفِ﴾ wanaamrisha kuhusu iymaani na twaa'a yaani kutii kumtii Allah na Mtume wake صلى الله عليه وسلم na watawala wanaamrisha Kunako kheri.
﴿وَيَنْهَوْنَ عَنِ الْمُنْكَرِ﴾ yaani wanakataza kunako shirki na maaswiyah na Yale yanayofahamika katika sharia. (Mwisho)

Hizo ndizo sifa za waumini ambazo Allah amezitaja. Hivyo, ikiwa kweli wakusudia kheri kwa ndugu yako Adnaani Al Maswqariy ni lazima unamnasihi katika makosa yake na sio kusema kama mnaona ana makosa si mumfuate! Kana kwamba wewe hauoni na hauna mapenzi kwa ndugu yako huyo, kwa sababu ingekuwa una mapenzi ya kweli, yaani mapenzi ya dini; ungepupia wewe kumnasihi kwakua upo karibu naye unamtembelea na wakutananae kuliko sisi ambaye hatujui na wala hatuna ukaribunaye. Tumia ukaribu wako kumnasihi kwa hakika nasaha zinazotoka kwa mtu wa karibu mara nyingi zinamwingia apewaye naswiyha.

Na pia, acha watu waseme kwani haki lazima isemwe na baatwili lazima ibainishwe na itoweke kwa idhini ya Allah. Amesema mtukufu;

🎤قناة الردود العلمية السلفية🛠(IDARA YA RUDUUD)

30 Dec, 19:40


Na isubirishe nafsi yako pamoja na wanao muomba Mola wao Mlezi asubuhi na jioni, hali ya kuwa wanataka uso wake (Allah). Wala usikodoe macho yako kwao wao kwa kutaka pambo la maisha ya dunia. Wala usimt'ii yeyote tuliye ghafilisha moyo wake kutokana na utajo wetu, na akafuata matamanio yake na likawa jambo lake ni lenye kuharibika.(Mwisho)

Ndugu yetu, mwalimu wetu ndugu Khamiys Bin Ameh nakuhusia kuisema haki bila kumuogopa yeyote, kwetu hilo tumeamrishwa na Allah na ndio njia sahihi. Amesema Allah;

{ فَٱصۡدَعۡ بِمَا تُؤۡمَرُ وَأَعۡرِضۡ عَنِ ٱلۡمُشۡرِكِينَ }

[Surah Al-Ḥijr: 94]

Tarjama - Yatangaze yale uliyoamrishwa na wapuuzie/jiweke mbali na washirikina.

Amesema Imamu Qurtwubiy Allah Amrahamu katika tafsiri yake akitafsiri kauli hiyo ya Allah Mtukufu;

قَوْلُهُ تَعَالَى: ﴿فَاصْدَعْ بِما تُؤْمَرُ﴾ أَيْ بِالَّذِي تُؤْمَرُ بِهِ، أَيْ بَلِّغْ رِسَالَةَ اللَّهِ جَمِيعَ الْخَلْقِ لِتَقُومَ الْحُجَّةُ عَلَيْهِمْ، فَقَدْ أَمَرَكَ اللَّهُ بِذَلِكَ.

Tarjama - Na kauli yake aliyetukuka: (Tangaza uliyoamrishwa) Yaani, kwa yale uliyoamrishwa kwayo, yaani, *Fikisha* ujumbe wa Allah kwa viumbe wote ili hoja iwe imesimama kwao wao, Kwa hakika amekuamrisha Allah kwa jambo hilo. Mwisho wa tarjama.

Kwa hiyo Ustaadh Khamiys Bin Ameh Allah amuwafikishe atambue kama mlinganizi wa Allah ameamrishwa kufikisha haki na kuibainisha baatwil ili iwe sababu ya yeye na umma kuongoka na wala asiifiche haki ikawa sababu kwake ya kupata laana ya Allah na Allah amkinge kwa hilo.Atambue kuwa, yeye ni moja ya walinganizi wakubwa na maarufu Tanzania kama sio Afrika Mashariki kwa ujumla. Hivyo, kauli yake ni yenye kufuatwa na wengi hivyo azingatie nini anasema na nini anafanya ili yeye abaki salama na umma ubaki Salama.
Popote atakapokuwa ahakikishe anachosema ni haki akiwa anajikurubisha kwayo kwa muumba wake mtukufu na wala asiifiche haki na asisite kuibainisha baatwil katu.
Namkumbusha maneno ya Allah juu ya wale wanaoficha haki na hoja kutoka kwa Allah mtukufu kwa sababu ya maslahi ya Dunia au sababu yoyote ni jambo gani Allah amesema juu yao;

{ إِنَّ ٱلَّذِينَ يَكۡتُمُونَ مَآ أَنزَلۡنَا مِنَ ٱلۡبَيِّنَٰتِ وَٱلۡهُدَىٰ مِنۢ بَعۡدِ مَا بَيَّنَّٰهُ لِلنَّاسِ فِي ٱلۡكِتَٰبِ أُوْلَٰٓئِكَ يَلۡعَنُهُمُ ٱللَّهُ وَيَلۡعَنُهُمُ ٱللَّٰعِنُونَ }

[Surah Al-Baqarah: 159]


Tarjama - Hakika wale wanao ficha yale tuliyo yateremsha katika ubainifu na uongofu baada ya kuwabainishia hayo kwa watu kwenye kitabu, hao ndio Allah anawalaani na anawalaani kila mwenye kulaani.(Mwisho)

Amesema Imamu Ibn Kathiyr Allah amrahaamu akitafsir aya hiyo;

هَذَا وَعِيدٌ شَدِيدٌ لِمَنْ كَتَمَ مَا جَاءَتْ بِهِ الرسلُ مِنَ الدَّلَالَاتِ الْبَيِّنَةِ عَلَى الْمَقَاصِدِ الصَّحِيحَةِ وَالْهُدَى النَّافِعِ لِلْقُلُوبِ، مِنْ بَعْدِ مَا بَيَّنَهُ اللَّهُ -تَعَالَى -لِعِبَادِهِ فِي كُتُبِهِ، التِي أَنْزَلَهَا عَلَى رُسُلِهِ.

Tarjama - Haya ni makemeo makali kwa yeyote aliyeficha yale waliyokujanayo Mitume katika dalili zenye hoja juu ya makusudio sahihi na uongofu wenye manufaa katika nyoyo baada ya kuwa Alllah mtukufu kuwa amezibainisha kwa waja wake kwenye vitabu vyake ambavyo ameteremsha kwa mitume wake. Mwisho.

Pia Allah akaendelea kwa kuwakemea kwa ukali zaidi wafichao yale ambayo Allah ameyateremsha ambayo bila shaka yoyote ni haki, akasema;

{ إِنَّ ٱلَّذِينَ يَكۡتُمُونَ مَآ أَنزَلَ ٱللَّهُ مِنَ ٱلۡكِتَٰبِ وَيَشۡتَرُونَ بِهِۦ ثَمَنٗا قَلِيلًا أُوْلَٰٓئِكَ مَا يَأۡكُلُونَ فِي بُطُونِهِمۡ إِلَّا ٱلنَّارَ وَلَا يُكَلِّمُهُمُ ٱللَّهُ يَوۡمَ ٱلۡقِيَٰمَةِ وَلَا يُزَكِّيهِمۡ وَلَهُمۡ عَذَابٌ أَلِيمٌ }

[Surah Al-Baqarah: 174]

Tarjama - Hakika wale wafichao aliyo yateremsha Allah katika Kitabu, wakauza kwayo kwa thamani ndogo, hao hawali matumboni mwao isipo kuwa moto, wala Allah hatawasemesha Siku ya Kiyama, wala hatawatakasa. Nao watapata adhabu chungu.(Mwisho)

Kwa maneno hayo makali ya Allah ni husia tosha kwa ndugu yangu Ustaadh Khamiys Bin Ameh Allah amuwafikishe katika maneno yake alazimiane na haki na Wala asiwe mwenye kuyumba katika hilo, ashikamanenalo jambo hilo Kisha awe na msimamo, kwani Allah amewazungumzia vema wale wenye msimamo kama alivyosema;

1,970

subscribers

139

photos

125

videos