*🌹🌹ALLAH KATUUMBIA WAKE ILI WAWE KITULIZO KWETU*
*قال السعدي: "وَمِنْ آيَاتِهِ الدالة على رحمته وعنايته بعباده*
*Amesema Imam Al-Saadi (rahimahullah): “Na miongoni mwa ishara zake zinazoashiria rehema yake, na kuwajali kwake waja wake,*
*وحكمته العظيمة وعلمه المحيط،*
*Na hekima yake kubwa na ilimu yake iliyoenea*
*أَنْ خَلَقَ لَكُمْ مِنْ أَنْفُسِكُمْ أَزْوَاجًا تناسبكم وتناسبونهن ،*
*Kwamba amekuumbieni wake kutokana na nafsi zenu wanaowafaa,*
*لِتَسْكُنُوا إِلَيْهَا وَجَعَلَ بَيْنَكُمْ مَوَدَّةً وَرَحْمَةً*
*Ili mupate utulivu na akaajilia baina yenu mapenzi na huruma."*
*❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪انظر: "تفسير السعدي" (ص: 639❫.*
══════ ❁✿❁ ══════
*📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
*📡Subscribe my WhatsApp channel*
https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R
*🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa*
https://chat.whatsapp.com/KesmKGWw58z5X5pW7HYbMy
*🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga*
*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa*
*VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌*
*💉Kuwa muadilifu us'badili chochote*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*."*