*🌹🌹JE KUOA NI NUSU YA DINI❓* Darsa namba (4)
*قال العلامة إمام عبد العزيز بن باز رحمه الله*
*📝Amesema Al-Allaamah imam Abdul Aziiz bin baazi (rahimahullah)*
*وإن تيسر أنه ينظر للمرأة قبل الزواج؛ فهو أحسن،*
*Lakini pakiwa na wepesi mwanaume kumuangalia mwanamke anae taka kumuoa kabla ya ndoa basi ni jambo zuri*
*النبي ﷺ أمر الخاطب أن ينظر أخبر ﷺ إذا خطب أحدكم امرأة،*
*Mtume ﷺ kamuamrisha muoaji kumuangalia atakae muoa, ametoa khabari mtume ﷺ pindi akiposa mmoja wenu*
*فإن استطاع أن ينظر إلى ما يدعوه إلى نكاحها؛ فليفعل.*
*Basi akiweza kumuangalia anae taka kumuoa mule munamo pelekea kumuoa basi afanye hivo*
*وسأله رجل قال: يا رسول الله، إني خطبت فلانة،*
*Na mtu mmoja alimuuliza mtume ﷺ akasema: ewe mjumbe wa Allah hakika yangu mimi nimemposa fulani*
*فقال: أنظرت إليها؟ قال: لا، قال: اذهب فانظر إليها فإذا تيسر النظر إليها؛ فهو أولى،*
*Mtume ﷺ akamuuliza: umemuangalia? Akasema yule mtu: hapana, mtume ﷺ akasema: nenda kamuangalie pindi pakiwa na wepesi kumuangalia, hakika jambo hilo ni bora zaidi*
*وينبغي لأهلها أن يسمحوا بذلك، تنظره، وينظرها، لا بأس.*
*Na inatakikana kwa walezi wa mwanamke waridhie jambo hilo*
*لكن في محل ما فيه خلوة، ينظر إليها، وتنظر إليه مع حضور والدها، أو أمها، أو أخيها،*
*Lakini isiwe sehemu ya kujitenga, mwanaume amuangalie mwanamke huyo, na mwanamke amuangalie mwanaume huyo, na awepo mzazi wa kiume wa mwanamke, au mama yake au kaka yake*
*يعني ليس في خلوة في مكان ما فيه خلوة،*
*Yaani wasiwe mahali pa upweke, wawe sehemu ambayo haina upweke*
*لأن الخلوة من أسباب وقوع الفاحشة.*
*Kwani hakika ya wao kuwa sehemu ya upweke ni sababu ya kupatikana kwa uovu."*
*❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪فتاوى الجامع الكبير ما صحة القول بأن الزواج شطر الدين❫.*
══════ ❁✿❁ ══════
*📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
*📡Subscribe my WhatsApp channel*
https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R
*🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa*
https://chat.whatsapp.com/KesmKGWw58z5X5pW7HYbMy
*🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga*
*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa*
*VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌*
*💉Kuwa muadilifu us'badili chochote*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*."*