VITU [9] VINAVYOWEZA KUPUNGUZA PERFORMANCE YAKO KITANDANI!
1. Hofu Ya Mimba, Magonjwa, kufumaniwa N.k
2. Uchafu wa mwanamke (Ukeni, harufu ya mdomoni au mazingira mchafu ya kitandani au chumba.
3. Kukamia Mechi (amekula hela zako, umemmiss sana) N.k
4. Ugeni (Kusex kwa mara ya kwanza na mtu husika).
5. Kutokula vizuri (chakula dhaifu) (Njaa).
6. Mawazo hasi (alivyo na Tako kubwa nitamwaga mapema) inakutokea vile vile.
7. Kusex mara nyingi sana, Punyeto (Unapoteza stamina)
8. Kusex na usiye mpenda (hayupo moyoni) aidha ni ex wife au rafiki.
9. Aibu, Kutokujiamini, Kuhofia utaharibu kulingana na historia ya show mbovu hapo nyuma.
NB: Inawezekana wewe ni mzima kabisa una nguvu vizuri,
ila hizo sababu zikakufanya uperform chini ya kiwango, asilimia kubwa niswala la kisaikolojia..🧠