UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard @udsmtz Channel on Telegram

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

@udsmtz


The University Dar es salaam Press channel

https://www.udsm.ac.tz

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard (English)

Are you a student, alumni, or simply interested in keeping up with the latest news and updates from the prestigious University of Dar es Salaam? Look no further than the 'UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard' Telegram channel, also known as @udsmtz. This channel serves as the official press channel for the university, providing subscribers with a direct line to important announcements, events, and academic information.

The University of Dar es Salaam is one of Tanzania's leading higher education institutions, known for its commitment to excellence in teaching and research. By joining the 'UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard' channel, you'll have access to a wealth of resources and updates that will keep you informed and connected to the university community.

Whether you're a current student looking for updates on class schedules and campus events, an alumni interested in staying connected to your alma mater, or simply someone who values staying informed about higher education in Tanzania, this channel has something for everyone. From faculty profiles to research highlights, from admission deadlines to job opportunities, the 'UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard' ensures that you won't miss a beat.

Stay ahead of the curve and join the 'UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard' Telegram channel today. Visit https://www.udsm.ac.tz to learn more about the University of Dar es Salaam and start receiving updates right to your phone. Don't miss out on this valuable source of information and engagement with one of Tanzania's most esteemed institutions.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

12 Feb, 17:40


Habari zenu ndugu viongozi wenzangu!? Poleni na mitihani kwa walioanza na pia hongereni kwa maandalizi ya mitihani hii. Naomba kutoa taarifa mahususi kwa wanafunzi wa mwaka wa tatu CoSS (Non- BAED) KWAMBA VIONGOZI WAO (MACRS) KUTOKA DEPARTMENT HIZO WANAPASWA KUFIKA OFISI YA COORDINATOR OF UNDERGRADUATE-CoSS KUFANYA ZOEZI LA KUCHAMBUA REPORT ZENU ZA FIELD (PT) KWAAJILI YA UKAMILISHWAJI WA ZOEZI LA KUWEKA SAWA ALAMA ZENU. FANYENI INAVYOWEZEKANA NDUGU VIONGOZI WANGU LICHA YA UWEPO WA MITIHANI ANGALAU LIWE NDANI YA SIKU HIZI 3, LEO JUMATANO, ALHAMISI NA IJUMAA. UKIFIKA OFISINI PALE UTAPEWA MAELEKEZO NA MASIJALA WA OFISI HIYO. ASANTENI๐Ÿ“Œ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

12 Feb, 17:34


๐Ÿšจ *MABADILIKO MAPYA YA MITAALA YA ELIMU SHULE ZA MSINGI, SEKONDARI NA VYUO* 2025

MABORESHO YA MITAALA AMBAYO YANAENDA KUBADILISHA MFUMO WETU WA ELIMU:

1. Mtihani wa darasa la Saba utafutwa ifikapo 2027.

2. Mwanafunzi akianza darasa la kwanza lazima amalize Kidato cha nne. Hii itaitwa Elimu ya Msingi.

3. Kutakuwa na Mtihani wa Upimaji wa Kitaifa wa darasa la sita (STANDARD SIX NATIONAL ASSESSMENT) ifikapo 2026.

4. Mwanafunzi atatakiwa asome fani fulani kabla hajamaliza Kidato cha nne ili aweze kujiajiri au kuajiriwa baada ya kumaliza. Hii itaanzia Secondary ambapo kutakuwa na mikondo miwili; Jumla na Amali.

5. Lugha ya kufundishia na kujifunzia itakuwa kiswahili, Kiingereza kitakuwa kama somo kwa Shule za Kiswahili Medium na lugha ya kufundishia English, kiswahili kitakuwa Kama somo kwa Shule za English Medium.

6. Elimu ya Msingi itakuwa miaka 6. Mwanafunzi ataanza darasa la kwanza akiwa na miaka 6 tofauti na ya sasa miaka 7.

8. Elimu ya Awali mwanafunzi ataanza akiwa na miaka 5. Mwanzoni elimu ya awali haikuwa rasmi na shule za Serikali haikuwepo. Sasa itakuwepo kwa utaratibu huo.

9. Masomo ya Elimu ya Msingi yatakuwa ni KKK(Kusoma, Kuhesabu, Kuandika), Jiografia, kiswahili, Sanaa na Michezo, Hisabati, Sayansi, historia ya TANZANIA na Maadili, Dini na kiingereza na Stadi za Kazi itachomekwa.

10. Kiingereza kitafundishwa kuanzia darasa la kwanza kwa shule za Kiswahili na kiswahili kitafundishwa kuanzia darasa la kwanza kwanza kwa shule za kiingereza.

11. Shule zenye uwezo zitafundisha angalau somo moja la lugha za kigeni kama Kichina au Kifaransa.

12. Sekondari kutakuwa na mikondo 2, mkondo wa jumla na Amali (Ufundi). Mwanafunzi atachagua kutokana na uwezo, matakwa na malengo yake ya baadaye.

13. Mkondo wa amali (ufundi) utakuwa na fani zifuatazo:-
> Kilimo na Ufugaji.
> Umakenika.
> Biashara na Ujasiriamali.
> Sanaa na Ubunifu.
> Elimu ya Michezo.
> Ufugaji wa Nyuki.
> Uchimbaji wa Madini.
> Urembo.

14. Mwanafunzi wa Mkondo wa Amali atatakiwa kuchukua Masomo manne (4) ya jumla na moja la fani.

15. Masomo ya jumla ya wanafunzi wa Amali ni:-
> Hisabati.
> Elimu ya Biashara.
> Kiingereza.
> Historia ya Tanzania na Maadili.

16. Wahitimu wa Amali watapata vyeti viwili yaani:-
> Cheti cha ujumla cha Elimu ya Sekondari (NECTA) na Cheti cha Amali ( NACTIVET).

17. Kila shule itakuwa na Wakala wa VETA ili kusimamia masuala ya Ufundi.

18. Kila shule haitakuwa na Mikondo zaidi ya miwili ya Ufundi, hii ni kwa ajili ya Ufanisi na fani ziwe zinaendana na fursa za eneo husika.

19. Kutaanzishwa somo jipya la Mawasiliano ya Kitaaluma (ACADEMIC COMMUNICATION) katika A-level na Ualimu.

20. CODING itafundishwa Shule za Msingi.

21. INFORMATION and COMPUTER STUDIES (ICS) itabadilishwa na kuitwa COMPUTER SCIENCE.Somo limesukwa upya.

22. CIVICS itaunganishwa na Historia ya TANZANIA na Maadili kwa O-level.

23. O-level Masomo ya lazima yatakuwa 6 badala 7 ya Sasa.

24. Katika O-level Masomo ya Biology na Geography yatakuwa Masomo ya kuchagua pia kwa sababu Maudhui yake yamekuwa kwenye Masomo ya Jiografia na Sayansi ya Shule ya Msingi kwa mfano Afya ya Jamii, Afya ya Uzazi, Magonjwa ambukizi nk.

25. Civics, Maarifa ya Jamii, Uraia na Maadili yamefutwa, Maudhui yake yameingia katika somo la Historia ya TANZANIA na Maadili.

26. General Studies (GS) katika A-level itafutwa na Maudhui yake yatawekwa katika Somo la Historia ya TANZANIA na Maadili na Mawasiliano ya Kitaaluma.

27. Kufuta baadhi ya Masomo kumefanyika ili kuondoa tatizo la kujirudiarudia kwa Maudhui.

28. Michepuo katika Elimu ya O-level imeongezeka kutoka minne (4) hadi tisa (9).

Michepuo iliyoongezeka ni:-
> Sanaa.
> Lugha.
> Muziki.
> Michezo.
> Tehama.

29. Masomo ya O-level yatakuwa:-
> Biology.
> Physics.
> Chemistry.
> History.
> Geography.
> Historia ya TANZANIA na Maadili.
> Hisabati.
> Kiswahili.
> English.
> Elimu ya Biashara.
> Utunzaji wa _Taarifa za Fedha.
> Computer Science.
> Bible Knowledge.
> Elimu ya Dini ya kiislamu etc.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

12 Feb, 17:34


30. Astashahada ya Ualimu itafutwa kisha itaanzishwa Stashahada (DIPLOMA) ya Elimu ya Awali, Ualimu wa Msingi na Ualimu wa Elimu Maalumu.

> Watakaosoma Stashahada watakuwa waliomaliza Kidato cha Sita na itasomwa kwa miaka miwili.

31. Walimu wa Sekondari wote watakuwa na Shahada (DEGREE). kwa sababu nchi nyingi zinaenda na mwelekeo huu.

32. Vyuo vilivyokuwa vinatoa Stashahada (DIPLOMA) ya Ualimu wa Sekondari vitatumika kutoa continuous Professional Development.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

12 Feb, 12:32


โŒโŒšSAAโฐโŒ
๐ŸšซNOT ALLOWED๐Ÿšซ
๐Ÿ“ตโŒPHONES NOT ALLOWED๐Ÿšซ๐Ÿ“ต
โŒ๐ŸšซKARATASI๐ŸšซโŒ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

11 Feb, 14:04


Don't plan to miss to see Creative Arts finalist UE 's

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

11 Feb, 14:04


Ni leo kuanzia saa1 usiku
Hii sio ya kukosa wote mnakaribishwa
Katika idara ya Sanaa Bunifu

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

10 Feb, 12:18


it's tomorrowโœจ๏ธ
Don't plan to miss this๐ŸŽต๐ŸŽถ
Venue: Creative Arts

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

08 Feb, 10:54


Best of luckโœจ๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

07 Feb, 21:21


Jumuiya ya wanafunzi wa Sayansi ya Siasa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam inawaalika wanafunzi na wadau wote leo katika mdahalo utakaohusu mgogoro unaoendelea nchini Kongo ( DRC ).

Nyote mnakaribishwa.

We Welcome you All buddy๐Ÿ˜Š

Free Meal & Drinks will be provided to all participants ๐Ÿฝ ๐Ÿ˜‹

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

07 Feb, 21:21


๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ
LEO TUNAMALIZA NA HII ๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†
THEME: STUDENT TALK AND NETWORKING

UDHRMA KWA KUSHIRIKIANA NA MUHRMA (kutoka Mzumbe University) TUTAFANYA EVENT YETU YENYE LENGO KUBWA LA KUBADILISHANA UZOEFU (TALK) NA KUFAHAMIANA (NETWORKING).

NB: FREE ENTRY
UDHRMA
#WE APPRECIATE OUR CAREER

WOTE MNAKARIBISHWA. ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

07 Feb, 21:21


Habari rafiki,

Tunakukumbusha kuwa tukio letu la Gender Equal Clean-Up litafanyika leo. Hii ni fursa nzuri ya kushiriki katika juhudi za usafi huku tukipaza sauti kwa ajili ya usawa wa kijinsia.

โณ Tarehe: 8/2/2025
๐Ÿ“ Mahali: hospital ya chuo
๐Ÿ•˜ Muda: 1:00 asubuhi Hadi 4 na nusu asubuhi

Tujumuike kwa mshikamano ili kuleta mabadiliko chanya katika jamii yetu Tafadhali hakikisha umejiandaa na mavazi yanayofaa kwa shughuli za usafi.

Tunasubiri kukuona kesho

#GenderEqualCleanUp

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

06 Feb, 16:33


Kama bado UNACHANGAMOTO ya BIMA, fanya kama maelekezo yalivyo kabla ya mitihani kufika

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

06 Feb, 15:51


Jumuiya ya wanafunzi wa Sayansi ya Siasa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam Inawaalika wanafunzi na wadau wote katika mdahalo utakaohusu Mgogoro unaoendelea nchini Kongo ( DRC ).

Nyote mnakaribishwa.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

05 Feb, 20:08


https://t.me/Udsmtz
Congrats to 3.1K subscribers to our telegram channelโœจ๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

05 Feb, 20:06


https://whatsapp.com/channel/0029VaeA8pP8fewvwsVLlR2m
Congrats to 900 followers
A hundred to 1K followers milestone to our whatsapp channelโœจ๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

05 Feb, 20:06


Don't plan to missโ™ป๏ธ
It happens tomorrowโœจ๏ธ
Venue : Sanaa Studio at Creative Arts Department

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

05 Feb, 09:40


https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLScnPKZIt2TKoiagVLrUXMc098dbxzL8p29pgxJuK4tJYMQr3w/viewform?usp=sharing

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

05 Feb, 09:40


๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ
THIS SEMESTER TUNAMALIZA NA HII ๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†
THEME: STUDENT TALK AND NETWORKING

UDHRMA KWA KUSHIRIKIANA NA MUHRMA (kutoka Mzumbe University) TUTAFANYA EVENT YETU YENYE LENGO KUBWA LA KUBADILISHANA UZOEFU (TALK) NA KUFAHAMIANA (NETWORKING).

NB: FREE ENTRY
UDHRMA
#WE APPRECIATE OUR CAREER

WOTE MNAKARIBISHWA. ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

05 Feb, 09:30


EXCHANGE PROGRAM
*ABROAD SEMESTER STUDIES*
Apply now. ๐Ÿ‘‰๐Ÿพ https://forms.gle/QcfsZCFdqsWFpyt19
Deadline its 23:59 or 11:59PM

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

05 Feb, 09:30


LEADERSHIP TRAINING COURSE ITAKUWEPO UDSM SASA KWA BEI PUNGUFU ZAIDI. YOUR WARMLY WELCOME๐Ÿ’ฏ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

04 Feb, 20:55


*Kwa Mujibu wa TANGAZO mwanafunzi hatarusiwa kutumia SAA YEYOTE YA MKONONI " WRISTWATCH"*

Hivyo jumuiya ya wanafunzi wa sayansi ya siasa Chuo kikuu cha Dsm ( DUPSA ) inawataka wanachama wake kutumia njia mbadala kama vile saa za shingoni au Ukutani ( Analogy).

Elisha Michael
Mwenyekiti DUPSA.
0657410979

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

04 Feb, 16:33


Habari rafiki yangu โœ‹
Wizara ya Jinsia na Makundi Maalum inakuletea fursa ya kipekee kushiriki katika Equality Awareness na Elimu ya Afya ya Uzazi, itakayofanyika chuoni tarehe 8 Februari 2025.

Hii ni nafasi bora kujifunza zaidi kuhusu usawa wa kijinsia, haki zako, na afya ya uzazi, mada muhimu kwa maendeleo ya jamii yetu. Aidha, kama ishara ya kujali ustawi wa jamii, tukio hili litaambatana na zoezi la usafi hospitalini, tukionesha mshikamano wetu kwa vitendo.

Usikose Kuwa sehemu ya mabadiliko

Tarehe: 8/2/2025
Mahali: Chuo
Muda: 1:00-4:30

Jiunge nasi ili kuleta athari chanya kwa jamii

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

04 Feb, 16:33


KEY ANNOUNCEMENTโ™ป๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

04 Feb, 16:33


Wizara ya Mikopo inapenda kuuhabarisha umma

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

04 Feb, 16:33


Wizara ya Elimu, Daruso-Mlimani inakusihi leo utembee na hii

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

02 Feb, 19:55


Tupitie supplementary na madhara yake pia zingatia na tarehe hapo chini.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

02 Feb, 19:41


Habari za wakati huu wanafunzi wenzangu ,
Natumai mko vizuri.

Nataka kuwajulisha kwamba tunajiandaa kwa trip ya DARUSO kwenda Dodoma kwa ajili ya ziara ya Bunge la JMT. Nafasi hii imekuja kwa kuchelewa lakini kutokana na ratiba ya Bunge na sisi tuna UE tarehe 12 hivyo Safari yetu itaanza asubuhi ya tarehe 4, ambapo tutasafiri hadi Dodoma na kulala huko(wanafunzi wote wanaruhusiwa kwenda, wanaohitaji๐Ÿ™๐Ÿค). Tarehe 5 tutakuwa na fursa ya kuingia bungeni na kushuhudia shughuli za Bunge, kisha tutarudi Dar es Salaam.

Ningependa kukufahamisha kuwa malazi yamepatikana, hivyo gharama ya Tsh 55,000 inajumuisha usafiri wa kwenda na kurudi pamoja na malazi. Hata hivyo, chakula utajitegemea. Pia, tumepanga kuwa na cameraman kwa ajili ya picha na video za safari hii ambazo utazipata bure.

Kama utakuwa tayari naomba unijulishe mapema leo ndo mwisho wa confirmation ya safari ili niwape format ya kuandika barua ya kuipeleka department, tafadhali nijulishe mapema.
Safari ni official na inatambulika hivyo hakuna changamoto yoyote kwa upande wa utawala wa Chuo kuhusu safari hiyo.

Kama uko tayari wasiliana na
SHEIZA ABDALAH 0756214998
ili akuadi kwenye Whatsapp group maalum kwaajili ya safari hii

Mwisho wa kutoa mchango wa safari hii ni kesho saa 2:00 mchana
Karibu tujumuike pamoja tukajifunze namna shughuli mbali mbali za Bunge zinavyoendeshwa.


SOLANKI, NEERALI PARESH
VICE PRESIDENT DARUSO
Contact: 0788875579
Asante sana.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

02 Feb, 15:59


https://timetable.udsm.ac.tz

Ratiba ya Mitihani ya mwisho wa semester ipo online tayari...

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

01 Feb, 14:05


Happy New Month to y'allโœจ๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

31 Jan, 20:16


Ni keshooo NUFAIKA BONANZAA๐Ÿฅณ๐Ÿฅณ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

30 Jan, 22:49


Habari.

Kwa wanafunzi wote mnaalikwa kwenye Fainali ya Shindano la Mdahalo lililoandaliwa na Umoja wa Ulaya (EU) kesho Ijumaa, 31/1/2025 utakaofanyika ukumbi wa Maktaba kuanzia saa tatu asubuhi hadi saa saba mchana.

NOTE: Breakfast and Lunch will be provided

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

30 Jan, 20:04


ONLINE MEETING SEASON ONE

Day: Friday , 31/01/2025
Time: 2030 hrs
To join the meeting click:
https://meet.google.com/zxb-cask-upx

Or open Meet and enter this code: zxb-cask-upx

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

30 Jan, 12:31


Alhamis ya leo si ya kukosa kwenye movie screeing katika idara ya Sanaa Bunifuโ™ป๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

30 Jan, 12:29


Tafadhali muwajulishe wanafunzi wenzenu kuwa wanapaswa kuwa wamefanya registration na tayari wana vitambulisho kwa ajili ya mitihani. Wasisubiri dakika za majeruhi ndipo wafanye registration. Ni hatari . Kila mmoja anapaswa awe makini na ratiba ya mitihani. Watu wengi huchanganya muda wa kwenda kufanya mitihani na kujikuta anafanya special kwa sababu hiyo. Kuwa active kwenye magroup Ili usije ukapitwa na activities zinazoendelea kuhusiana na mitihani. Zingatia muda wa kufika chumba cha mitihani. Kabla ya saa Moja kamili hakikisha umeshafika chumba cha mtihani. Ni stress kukosa mitihani kwa uzembe wa kuchelewa. Tutaendelea kuwashirikisha mengi kuhusu masuala ya mitihani katika kipindi hiki. Kuweni makini na muende kwa usalama. Tunawatakia Kila la heri katika mitihani yenu. Degree ya kwanza ndio msingi wa Elimu zinazofuata. Hakikisha unasoma kwa bidii na kutengeneza GPA nzuri. Kila la heri wote. Taarifa hii inatoka ofisi ya mkuu wa Idara, Idara ya Sanaa Bunifu kwa kushirikiana na ofisi ya uratibu wa mitihani ya Idara.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

28 Jan, 20:33


Alhamis hii si ya kukosa kwenye movie screeing katika idara ya Sanaa Bunifuโ™ป๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

28 Jan, 20:33


Tukutane Jumamosi

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

28 Jan, 12:25


Habari za Leo

Kutafanyika Room shopping tarehe 31.1.2025 kuanzia saa nne asubuhi.

Wanawake Mabibo Block C
Gharama ni 15,000

Mambo ya kuzingatia
1. Usishop kama hauhitaji au huwezi kulipia
2. Usipolipia utafungiwa matokeo
3. hamasisheni wanawake watumie fursa hii kipindi hiki Cha mitihani

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

27 Jan, 14:04


Hello family,
Welcome to the incredible birdwatching of 2025
Let's enjoy nature on February 1, 2025.
Conservation begins with us๐Ÿฆ…๐Ÿ•Š๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

26 Jan, 18:59


https://t.me/Udsmtz
Congratz to 3000 subscribers via Telegram channelโœจ๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

26 Jan, 18:58


https://whatsapp.com/channel/0029VaeA8pP8fewvwsVLlR2m
Congrats to 800 followers via our Whatsapp Channel

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

26 Jan, 14:50


๐Ÿšจ *URGENT NOTICE*๐Ÿšจ

Following the circular from the Chief Secretary that public servants in Dar es Salaam City should work from home on 27th and 28th January 2025, all classes and academic meetings scheduled on those dates are hereby cancelled.

More details will soon follow from the Office of DVC PFA.๐Ÿค

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

25 Jan, 16:12


๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

24 Jan, 21:00


IMPORTANT & URGENT ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

23 Jan, 13:38


EXCHANGE PROGRAM
*ABROAD SEMESTER STUDIES*
Apply now. ๐Ÿ‘‰๐Ÿพ https://forms.gle/QcfsZCFdqsWFpyt19

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

23 Jan, 13:37


NIDA wameruhusu Mhusika achukuliwe Kitambulisho chake. Ikumbukwe kuwa mwisho ni 31st January 2025, na ni AMRI sio OMBI.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

23 Jan, 08:42


LEO ALHAMIS HUA NI SIKU YA SINEMA!!!! FREE ENTRANCEโ™ป๏ธ

Idara ya Sanaa Bunifu (UDSM) inawakaribisha tena Alhamisi hii, Saa 1230 jioni kuitazama Filamu ya NAKUPENDA iliyoandaliwa na director JUMA SAADA. Filamu hii imeshinda tuzo kadhaa za ndani na nje na kuonyeshwa kwenye matamasha ya kimataifa likiwemo African Film Festival New Zealand. Screening itafwatiwa na mijadala na Watayarishaji na Mastaa wa Filamu wakitupa experiences za utayarishaji wa filamu ya NAKUPENDA na ilivyofanikisha ukuaji wa Kiwanda cha Filamu nchini. Ni pale pale SANAA STUDIO. DON'T MISS. NJOO NA MARAFIKI #TUNAPENDA CINEMA.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

22 Jan, 20:22


ALHAMISI NI SIKU YA SINEMA!!!!

Idara ya Sanaa Bunifu (UDSM) inawakaribisha tena Alhamisi hii, Saa 1230 jioni kuitazama Filamu ya NAKUPENDA iliyoandaliwa na director JUMA SAADA. Filamu hii imeshinda tuzo kadhaa za ndani na nje na kuonyeshwa kwenye matamasha ya kimataifa likiwemo African Film Festival New Zealand. Screening itafwatiwa na mijadala na Watayarishaji na Mastaa wa Filamu wakitupa experiences za utayarishaji wa filamu ya NAKUPENDA na ilivyofanikisha ukuaji wa Kiwanda cha Filamu nchini. Ni pale pale SANAA STUDIO. DON'T MISS. NJOO NA MARAFIKI #TUNAPENDA CINEMA.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

19 Jan, 18:41


HABARI,
Ndugu wanafunzi walimu na wanafunzi wote kwa ujumla napenda kuwakumbusha mambo haya.

1. Usitupe wala kuchana mtihani wako (tests) hata kama umepata 3, utakusaidia kama ushahidi pale marks zako zisipo onekana kwenye aris 3. Tunza mpaka matokeo ya UE yatakapo toka hapo *tr 4/4/2025 (ijumaa)* kwa mujibu wa almanac ya chuo.

2. Kahikisha unafuatilia na kutatua maswala yote ya course work( usisubiri zimebaki siku 2 tuanze UE ndio uanze kufuatilia ) uta carry kwa uzembe wako.

3 . OGOPA SUPPLEMENTARY , CARRY OVER NA DISCONTINUED. Tusome kwa bidii hivi vitu vinaathiri sana , tupambane bila kujali zimebaki siku ngapi .

4 . Mwisho tuendelee kumtanguliza Mungu katika masomo yetu, tunapoelekea kufanya mtihani wa mwisho wa semester 1.

Maandalizi mema

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

18 Jan, 11:41


Habari za Leo viongozi

Kumekuwa na maombi mengi ya nafasi za vyumba Kwa wanafunzi wa kike na maeneo yao yamejaa
Lakini kumekuwepo na nafasi za hapa na pale kwenye mabweni ya wanaume na ambazo Kwa Sasa nimependekeza kuwaomba wanaume wahame jengo Moja Ili wazijaze hizo nafasi sehemu mbalimbali, hivyo nilikutana na wakazi wa block C Mabibo na kuwaomba wahamie kujaza nafasi block zingine
Kuna baadhi ya nafasi pia Magufuli hostel hivyo Kwa muktadha huo mwanafunzi yoyote wa kiume anayekaa Mabibo block C, D na E ambaye angependa kuhamia Magufuli Hostel afike ofisi ya USAB aweze kuhamishiwa huko

Viongozi naomba tusaidiane kuhamasisha wakazi wa block C waweze kuhama Kwa wakati Ili pengine wanafunzi wa kike waweze kupata huduma hii kipindi hiki Cha mitihani

Regards, USAB Manager: Madam Zabibu

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

17 Jan, 09:51


๐ŸŒน๐Ÿ“Œ
*_____*

*Habari za wakati huu, Waheshimiwa Wanafunzi,*

Tumepokea taarifa ya dharura kutoka hospitali yetu ya chuo kuhusu mwanafunzi wa mwaka wa pili ambaye ni mgonjwa. Kwa sasa, anapungukiwa na damu kwa kiwango cha hatari kutokana na tatizo alilonalo.

*Kwa hali hii, tunaomba msaada wa wanafunzi angalau 15 wenye nia ya kuchangia damu ili kuokoa maisha yake. Kundi lake la damu ni B+. Hili ni jambo la dharura, hivyo tunaomba usaidizi wenu wa haraka kwa kuchangia au kusambaza taarifa hii kwa wengine.*

Kwa maelezo zaidi au kujitolea, tafadhali wasiliana kupitia namba:
*+255 654 658 668* (Naibu Waziri wa Afya na Cafeteria).

Mungu awabariki kwa upendo na ushirikiano wenu katika kusaidia mwenzetu mwenye uhitaji.

Asanteni sana.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

15 Jan, 16:22


ALHAMISI NI SIKU YA SINEMA!!!!

Idara ya Sanaa Bunifu (UDSM) inawakaribisha tena Alhamisi hii, Saa 1230 jioni kuitazama Filamu ya NYARA iliyoandaliwa na Wanene Entertainment. Screening itafwatiwa na mijadala na Watayarishaji na Mastaa wa Filamu wakitupa experiences za utayarishaji wa filamu ya Nyara na maono yao ya ukuaji wa Kiwanda cha Filamu nchini. Ni pale pale SANAA STUDIO. DON'T MISS. NJOO NA MARAFIKI.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

15 Jan, 16:09


A month countdown to goโ™ป๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

15 Jan, 16:04


https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSdywL87v4p60Hdab0lIiPWbL1QJWS9aLQKYbC3wj27vlyC0gA/viewform?usp=preview

Ili kupata taarifa za wanafunzi wanaoishi nje ya Chuo na Changamoto mbalimbali wanazokumbana nazo wakiwa mtaani na namna ya kuwasaidia

Wanafunzi wote wa chuo kikuu cha Dar es salaam(UDSM-MLIMANI) Waliopanga Nje ya Chuo Wanahitajika kujaza Fomu hii

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

12 Jan, 06:28


๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟWe Wish You a Happy 61 Years Of The Glorious Revolution Of Zanzibar๐Ÿ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

10 Jan, 09:46


- online lessons: January 16 - February 7
- face-to-face lessons: February 17 โ€“ 21 (These are approximate dates. Dates are subject to change and may vary slightly)

Link to registration form: https://forms.gle/naP6Vxu2igseP7LDA

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

09 Jan, 21:56


Mdahalo wa kitaaluma ulioandaliwa na shirika la TANZANIA APPLIED EDUCATION FOUNDATION (TAEF) utakaofanyika tar 12/01/2025 katika kuenzi Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.

Washiriki watapata fursa ya kutoa maoni na kuishauri Serikali katika mada kuu kama ilivyoelezwa ndani ya fomu hii.

Wanaohitaji kushiriki tafadhali jaza kiunganishio hiki (google form)

https://forms.gle/hDqR3pqqTZ6fMqmJ8

NYOTE MNAKARIBISHWA

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

09 Jan, 17:11


TANZANIA YOURTH BIODIVERSITY NETWORK UDSM _CHAPTER we come in another way never miss this is best for yourth
Who are interested with environment and biodiversity conservation
๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ This is the time for you not staying idle engange in this event so that you can do networking and gain other skills

Welcome all

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

09 Jan, 17:11


*๐Ÿ’งCoICT AND SJMC JOGGING๐Ÿ‘Ÿ*

*๐Ÿ“ธUongozi wa DARUSO CoICT Ukishirikiana na DARUSO SJMC Pamoja na EAST AFRICA RADIO unakuletea Jogging Ambayo Itafanyika Kwa Kila Wiki๐Ÿ’ฅ*

*๐Ÿ—“๏ธSIKU:Jumamosi*
*โฐMUDA: 06:30 hrs ( Saa Kumi na Mbili na Nusu Asubuhi)*
*๐Ÿ“ LOCATION: CoICT Grounds*
*๐Ÿƒโ€โ™‚๏ธ DISTANCE: 1-6kms*

*_๐Ÿคธ๐Ÿฟโ€โ™€Baada ya Jogging Tutaweza Kufanya Mazoezi Mepesi ya Viungo.๐Ÿคธโ€โ™€_*

*๐Ÿ“๐Ÿ’ฆ๐ŸŒŠMatunda na Maji Vitakuepoโœ…๐Ÿ‰๐Ÿ‡*

*๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅUSIPANGE KUKOSA๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ*

_*๐Ÿ™Kwa wale watakaoshirki Naombeni Tuandike Majina kwenye Hii Form Hapa๐Ÿ‘‡*_
https://forms.gle/apC6YgdGKi3R4ATq5



*#visitCoICT*
*#ictistheartoftheworld*

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

09 Jan, 17:11


๐ŸŽ‰โœจ SOLD OUT! SOLD OUT
Thank You for Your Incredible Support! โœจ๐ŸŽ‰

๐Ÿšจ Weโ€™re excited to announce that ALL tickets for our Study Tour to the Bank of Tanzania on ๐Ÿ—“๏ธ 16th January 2025 are officially SOLD OUT! ๐ŸŽŸ๏ธ๐Ÿ™Œ

๐Ÿ’š A huge THANK YOU to everyone who showed up, supported, and secured their spot! ๐Ÿฅณ Your enthusiasm has made this possible, and we canโ€™t wait to share this incredible learning journey with you. ๐ŸŒŸ๐Ÿ’ผ

For those who missed out this time, donโ€™t worry! Stay tuned for more exciting opportunities ahead. ๐Ÿš€๐Ÿ‘ฉโ€๐ŸŽ“

Letโ€™s keep the fire of knowledge burning! ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ’ก

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

09 Jan, 14:03


Wanaotarajia kuhudhulia wanapaswa kujisajili hapa ili kusaidia takwimu hizi katika uandaaji ( accommodations )mfano chakula na vinywaji.

https://docs.google.com/forms/d/1bU7sPbdyj1P-L2mgFTIR3WTF3UIbqlA0nHXoWnn_ycY/edit?chromeless=1

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

09 Jan, 14:03


Wanaotarajia kushiriki wanajisajili hapa ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

https://docs.google.com/forms/d/1bU7sPbdyj1P-L2mgFTIR3WTF3UIbqlA0nHXoWnn_ycY/edit?chromeless=1

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

09 Jan, 12:59


Kwa changamoto yoyote ya kitaaluma, ushauri kuhusu GPA, SUPPLEMENTARY, CARRY OVER, DISCONTINUATIONS, JINSI YA KUKUSANYA COURSE WORK, JINSI YA KUANDIKA BARUA MBALIMBALI mfano Postponment letter, kurejea kwenye masomo tena baad ya kuahirisha masomo. WIZARA YA ELIMU UDSM imeandaa siku ya jumamosi hii tarehe 11/01/2025 kukuhudumia moja kwa moja maana UE ni mda si mrefu fika bila kukosa mjuze na mwenzako eneo ni OFISI YA WAZIRI MKUU DARUSO KARIBU NA YOMBO 1

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

09 Jan, 12:36


Don't plan to miss this weekend UDBS C033

register here๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSe3LJH0udSwaxQ45-eQi2s0pB8s3gJhk0CB7h06Yoco2XLtzQ/viewform?usp=header

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

09 Jan, 09:38


Msikose Leo hii katika kuangalia olema

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

08 Jan, 00:15


Be informed โ™ป๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

07 Jan, 18:01


Kazi kwenu wachezaji na mashabiki.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

07 Jan, 18:01


Tomorrow fixture

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

07 Jan, 18:00


๐Ÿ“ข๐Ÿ“ข๐Ÿ“ข Ni CoAF JOGGING CLUB ๐Ÿƒ๐Ÿ’จ Na jumamosi hii ya tarehe 11/01/2025 kinawaka Kama kawaida ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
โš ๏ธโš ๏ธโš ๏ธWashtue Wana Kwa pamoja tunakutana viwanja vya CoAF parking kwaajili ya kufanya jogging Kwa pamoja โœŠ ni saa 12 ahsubuhi โŒš & Free drinks kama Kawa ๐Ÿ’ฆ
๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ Usisubiri daktari akuambie mazoezi ufanye kam dawa ๐Ÿค hakikisha jumamosi hii haukosi ๐Ÿ™Œ

Hii ni yetu sote (wanaume na wanawake) Wote mnakaribishwa ๐Ÿƒ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

07 Jan, 17:56


Kheri ya Mwaka Mpya 2025.
Napenda kuwajulisha kwamba Fondazione Edu kwa ushirikiano na DICA imetoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi 10 wa UDSM (Full Scholarship) kuanzia mwaka wa masomo 2024/2025.
Wanafunzi waliopata wanaelekezwa kuchukua barua zao kwa Dean of Students kuanzia tarehe 06/01/2025 na kisha kuripoti DICA wakiwa na taarifa za kibenki kwa ajili ya hatua zaidi.
Wanufaika ni hawa wafuatao:
1. Theresia Gitani ( BA Edu)
2. โ Masanyiwa Masunga (BA Edu)
3. โ Abedi Bakari ( Bsc Meteolorogy)
4. โ Digna A Kaijage ( BSc Wildlife)
5. โ Omary Henry Rashid( BSc Mathematics)
6. โ Pamela Mangalaya ( BA Edu)
7. โ Rajab Omary (Bsc Mechanical Engneering)
8. โ Maureen Novatus Makunga(Bsc Mathematics and Statistics)
9. โ Evance Festo Mtungโ€™e( Bsc Engnering)
10. โ Ally Sadala ( BA Statistics)
Mnasisitizwa kufika DICA kabla ya tarehe 08/01/2025 kuanzia saa 3:00As hadi saa 7:00 Mch.
Asante
0753914915

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

07 Jan, 10:42


Cancellation ya vipindi kuanzia saa nane hadi saa kumi na mbili jioni Leo. Vipindi vitaendelea saa kumi na mbili jioni

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

05 Jan, 17:01


"โณ The countdown is on! Only 6 days left to secure your spot for the Bank of Tanzania Study Tour happening on 16th January 2025. ๐Ÿฆ

๐Ÿšจ Slots are filling up fast, and half are already gone! Donโ€™t wait until the last minute โ€“ make your payment today and be part of this exclusive learning experience๐Ÿค—.

๐Ÿ’ฐ Members: 5,000/=
๐Ÿ’ฐ Non-Members: 10,000/=
๐Ÿ‘• UDIAA White T-shirt: 15,000/=

๐Ÿ“Œ Payment via Tigopesa: 19173481 , Name: UDIAA.
๐Ÿ“ž For inquiries: 0676557505

Letโ€™s make it happen! ๐Ÿ’ผโœจ
#UDIAA #StudyTour #BankOfTanzania"

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

04 Jan, 21:15


Muhimu

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

01 Jan, 11:13


โœจ๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

01 Jan, 11:13


Happy New Year 2025 Wishes๐ŸŒŽ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

01 Jan, 11:11


๐ŸŽ‰ Happy New Year ๐ŸŽ‰

May the year be of Prosperity and success

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

01 Jan, 11:11


โ™ป๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

01 Jan, 11:11


Happy new year โค๏ธ
May this year bring more success, happiness, wins and joyfully life๐Ÿฅ‚
And may all what you have prayed, be accomplished in 2025๐Ÿคฉโค๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

01 Jan, 11:11


Happy New Year 2025 to y'allโœจ๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

31 Dec, 14:28


TAFADHALI USITUMIE SIPA KUSAINI BOOM. TUTUMIE HESLB APP. TUZINGATIE UTARATIBU BAADAYE TUSIJE JIINGIZA KWENYE CHANGAMOTO ZISIZO ZA LAZIMA.
NI MUHIMU SANA ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

30 Dec, 15:03


Don't miss out this once-in-a-lifetime opportunity ๐Ÿ˜Š

We will be with the following department
1. Internal audit department
2. Human resources department
3. Treasury department

Food also will be there ๐Ÿ˜Š๐Ÿ”ฅ

Why should you miss?
Pay now via Lipa number (mixx by yas) 19173481
Or Dm for more information ๐Ÿ”ฅ

Have a nice time๐Ÿ”ฅ๐Ÿซ‚

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

29 Dec, 12:18


Namba za simu mikoa yote
1. Arusha 0762171198
2. DSM 0754341933
3. Dodoma +255677020158
4. Geita +255762931791
5. Iringa 0765721100
6. Kilimanjaro 0753684389
7. Kigoma +255759201524
8. Kagera 0787059966
9. Katavi +255711660239
10. Lindi +255712523283
11. Morogoro 0787636627
12. Mwanza 0752565656
13. Mtwara+255784364820
14. Mara+255782495549
15. Manyara 0755362222
16. Mbeya+255742070071
17. Njombe +255621135416
18.Pwani +255752066382
19. Rukwa +255754219369
20. Ruvuma+255654832026
21.Singida +255657849135
22. Shinyanga 0784756591
23. Simiyu+255689787201
24. Songwe+255767684391
25. Tanga+255625272128
26. Tabora+255756585641
SAIDIA KUSAMBAZA

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

29 Dec, 12:18


Wanaotarajia kuhudhulia wanapaswa kujisajili hapa ili kusaidia takwimu hizi katika uandaaji ( accommodations )mfano chakula na vinywaji.

https://docs.google.com/forms/d/1bU7sPbdyj1P-L2mgFTIR3WTF3UIbqlA0nHXoWnn_ycY/edit?chromeless=1

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

28 Dec, 21:04


Wanaotarajia kuhudhulia wanapaswa kujisajili hapa ili kusaidia takwimu hizi katika uandaaji ( accommodations )mfano chakula na vinywaji.

https://docs.google.com/forms/d/1bU7sPbdyj1P-L2mgFTIR3WTF3UIbqlA0nHXoWnn_ycY/edit?chromeless=1

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

28 Dec, 21:04


You are all welcome....Time to end up our 2025 with music.....Let's Hear from others Culture .

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

28 Dec, 20:18


Habari za wakati huu.

Kwa wale ambao Mmesafiri na hamjarejea bado. Wala hamna ratiba za kufika chuo siku ya jumatatu. Nawatahadharisha hakikisha unafika jumatatu kama una vipindi uattend effectively. Hakutakuwa na sababu yoyote ya kusingizia either ikatokea mmepewa quiz or Assigment ( Any cases) . Na Lazima zitatolewa Epuka usumbufu kwa uzembe wako.

Ushauri.
Ahsanteni!

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

28 Dec, 18:43


๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

08 Dec, 20:22


Wenye changamoto ya bima kupata control no suluhisho limepatikana ๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

08 Dec, 08:50


Hii event si ya kukosa hata kidogo ni tarehe 10/12/2024 ukumbi wa New Library karibuni sana usipange kukosa

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

08 Dec, 08:39


Kwa wateja wa CRDB ๐Ÿ”Š

Kama boom lako limeisha ๐Ÿ™‚
Unaweza kuchukua boom advance kuanzia 1,000/= mpaka 150,000/=
Kwa kutumia Sim Banking

Pesa hii unayokopa itakatwa automatic wakati Boom lako la pili litakapoingizwa โš ๏ธ๐Ÿค

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

06 Dec, 19:44


5,10 and 21 km map routine

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

06 Dec, 19:44


Few hours to go

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

06 Dec, 19:44


It begins at the dawn

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

06 Dec, 19:43


Its tomorrow

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

06 Dec, 17:16


ZINGATIA ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

06 Dec, 17:00


Register now kupitia link hapo chini
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
https://surveyheart.com/form/674f58a70654c93c16f5f393


It's tomorrow ๐Ÿค— usipange kukosa njoo wewe njoo na rafiki Yako ....mafunzo pamoja mambo mazuri yote yatakuwepo๐Ÿ— usipange kukosa njoo mapema kabisa ni UDBS C520

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

06 Dec, 16:38


Don't hesitate to come and build up on your career...with us ...hatunaga dogo๐Ÿ”ฅโค๏ธwe share cause we love...โœ…โค๏ธ....Fill the link below ..and confirm your presence...You are all welcomeโค๏ธ
https://forms.gle/H2qDmHPpe3aFkYkS7

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

06 Dec, 15:56


Muhimu

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

06 Dec, 14:12


Seminar hiii IMEAHIRISHWA MPAKA trh. 14

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

06 Dec, 14:09


HABARI KWA UJUMLA

Napenda kuwataarifu kuwa , jumamosi hii tutakuwa na event special sana

Event hii ni UNIVERSITY TOUR
Ambayo itawakutanisha wanafunzi wa vyuo vitatu UDSM, ARIDHI NA NIT

hivyo basi kwa wanaotokea udsm usafiri utakuwepo wa *kuwapeleka na kuwarudisha* ๐ŸšŒ๐ŸšŒ๐ŸšŒ๐ŸšŒ๐ŸšŒ

Drinks ๐Ÿธ ๐Ÿน ๐Ÿธ na bites vitakuwepo vya kutoshaa kwaajili yako

Kumbuka hii event ni BUREEE

TUTAONDOKA HAPA SAA 2 KAMILI ASUBUHI
Wale wa main campus gari itakuwa shato, then tutawapitia wa mabibo, ni full mziki

Nawakumbusha,
Jitahidini sana kuhudhuria events mbalimbali ili muonekane, changamkeni, fursa ndo zipo humo humo๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

Join hili group na uconfirm kama unaenda

https://chat.whatsapp.com/Lnzg9f61tuEK4LDfWh5ZP3

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

04 Dec, 15:24


Join us for an exciting *Symposium Event* on *7th December*

๐Ÿ—“ *Date:* 7th December
๐Ÿ“ *Venue:*[C124-UDBS block C]
๐Ÿ’ฐ *Entry Fee* :5,000 TZS (for non-members)

Don't miss this opportunity to connect, learn, and grow. Mark your calendar and be part of the experience.

#UDIAA
# we shape your future today

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

03 Dec, 18:05


Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/HciQgyoJvhYCEVfu5rOGCI

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

02 Dec, 14:37


Alhamisi hii kwenye Film Screening inayoandaliwa na Idara ya Sanaa Bunifu tunaitazama na kuichambua tamthiliya ya Bunji iliyoandaliwa na Isarito Mwakalindile. Cast na Crew members watakuwepo. Njoo na rafiki mpenda filamu na sinema.

#tunapendasinema

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

02 Dec, 14:37


Join us for an exciting *Symposium Event* on *7th December*

๐Ÿ—“ *Date:* 7th December
๐Ÿ“ *Venue:*[C124-UDBS block C]
๐Ÿ’ฐ *Entry Fee* :5,000 TZS (for non-members)

Don't miss this opportunity to connect, learn, and grow. Mark your calendar and be part of the experience.

#UDIAA
# we shape your future today

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

02 Dec, 14:36


TANGAZO

Wanafunzi jinsia ya kiume wanaohitaji vyumba hall 2, hall 4, hall 6, Magufuli na Mabibo vyumba vipo vichache wafike USAB Kwa aliji ya utaratibu.

2/12/2024

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

01 Dec, 13:01


Wenye changamoto ya kupata control number za Bima zingatia

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

11 Nov, 10:13


Library users fuatilieni hii ratiba ya sasa kwa wiki hii

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

08 Nov, 17:04


Ni kesho burudani ndani ya Mabibo Hostel๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

08 Nov, 17:04


The University Dar es salaam Press channel

https://t.me/Udsmtz

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

08 Nov, 17:04


SAFARI YA MABADILIKO INAENDELEA

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

08 Nov, 17:04


Follow the University Of Dar es salaam Dashboard channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VaeA8pP8fewvwsVLlR2m

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

07 Nov, 17:04


Apply now ๐Ÿ‘๐Ÿพ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

07 Nov, 17:02


CLASS REPRESENTATIVE (CRs) & EXCOM-FINANCE TUKIO NI LENU* .

TAFADHALI NAWAOMBA SANA KILA MOJA AFIKE MAPEMA KWA KUZINGATIE MUDA. NI SEMINA ELEKEZI YA UONGOZI HASA KATIKA NAMNA YA KUSAINI SITAHIKI ZETU KWA KUTUMIA HESLB APP.

*NI MUHIMU SANA, TODAY'S WORLD MARKET DEPENDS ON CONNECTION* .

KARIBUNI SANA
๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

07 Nov, 17:02


https://chat.whatsapp.com/FpafhVyBbCP1egFQRMhznM
GROUP HILI NI MAHUSUSI KWA AJILI YA USHIRIKIANO KATI YA WIZARA YA MIKOPO NA CLASS REPRESENTATIVE 2024/2025

๐Ÿ“Œ *CRs wa COURSES*

๐Ÿ“Œ *CRs wa SEMINARS*

TUNAOMBA USHIRIKIANO WENU KATIKA KUWAFIKIA WANAFUNZI WENZETU HASA KATIKA SUALA ZIMA LA KUSAINI SITAHIKI ZETU KAMA Boom(MA), Ada(TU) n.k

KARIBUNI SANA
๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

07 Nov, 16:27


๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“ŒTANGAZO ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ
Habari, Naomba uwaambie wale watu wa Special supplementary Za DS kuwa watafanya mtihani Ijumaa.
Venue: SR 10
Time: between 09:00-12:00. Late coming will not be entertained

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

07 Nov, 16:27


*Taarifa*

Kesho siku ya Ijumaa tarehe 8/11/2024 ndiyo mwisho wa:

โ–  Special Supplementary Examinations.
โ–  First Year Programme Transfer.

Wahusika wote wajulishwe kuwa baada ya kesho hakuna mtihani wowote utakaofanyika.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

07 Nov, 16:27


Habari? Mnaarifiwa kuwa mitihani maalum/marudio dirisha la mwisho...kwa waliokosa kufanya mitihani hiyo awamu ya kwanza...hususani mitihani ya kozi za fasihi kmv KF 102, KF 103, KF 222, KF 206, KF 205, KF 302, KF 303, KF 319.....itafanyika kesho Ijumaa tarehe 08/11/2024 saa 2:00-5:00 asubuhi ktk ukumbi wa mikutano wa TATAKI...Chumba Na. 204. Fika ktk chumba nusu saa kabla..ili ukaguliwe. Fika ukiwa na ID, na barua ya kuruhusiwa kufanya mtihani huo.. Ujumbe huu usambazwe kwa wanafuni wa mwaka wa 2 na 3

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

06 Nov, 23:10


Tuzingatie muda ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

06 Nov, 17:44


Hii maalumu kwa wanafunzi wanafunzi wenye umri chini ya miaka 18

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

05 Nov, 18:36


ROOM SHOPPING๐Ÿ”ฅ ๐Ÿ”ฅ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

04 Nov, 05:18


Ni Mwaka mpya wa Masomo na Tarehe 4/11/2024 ndo Leo ndani ya Viunga mbalimbali vya Chuo Kikuu Cha Cha Dar es salaam.
.
Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu Cha Cha Dar es salaam DARUSO Mlimani inawatakia kilalaheri katika safari ya Masomo yanayoanza Leo mpaka pale mwisho wa Semester ya kwanza kuona kama umeweza kuvuna kile ulichokipanda.
.
Kumbuka JUHUDI zako yapo mikononi mwako hasa kwa wanafunzi ni kujisomea kwa hali ya juu zaidi na kutumia muda vizuri kwa kuzingatia Maeneo Masomo hayo yanapoendeshwa..
.
Hivyo kwa niaba ya Serikali tunasema Mungu awatangulie katika maisha haya mapya ndani ya Chuo chetu Cha UDSM.
.
Kumbuka Mawasiliano yote ndani na nje ya Darasa yaanzie kwa viongozi wa Madarasa ndipo yafike kwa viongozi wa Baraza ambao ni Mawaziri kabla ya kuwafikia Walimu husika .
.
CR's mnasisitizwa kwa hali na Mali kuhakikisha Mawasiliano yanawafikia Wanafunzi kwa wakati sahihi na Mahali sahihi bila kuchelewa Ili mambo yaweze kwenda vizuri.
.
Vedastus Gunda
Mkurugenzi wa Mawasiliano /Msemaji DARUSO MLIMANI

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

04 Nov, 04:23


TANGAZO TANGAZO TANGAZO
Kama unachangamoto yoyote kwenye matokeo Yako basi unaombwa onana na waziri wa elimi au mbunge wako ...

Sup?
Disco?

Kwa mawasiliano zaidi piga cm namba 0777987868 na 0618777868

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

04 Nov, 04:17


Habari Naitwa Busungu Pius Mathias.

UDSM Alumni 2019- COSS; BA in Sociology
Nimependekezwa kuwania tuzo ya
"MWANAHARAKATI CHIPUKIZI SHUJAA KATIKA KUPINGA NA KUKOMESHA UNYANYASAJI WA KIJINSIA(UWAKI) Zanzibar"
Naomba utumie sekunde 10 tu kunipigia kura,
Andika email yako kisha bonyeza kwenye kwenye jina Busungu Pius Mathias.

Kisha shuka chini kabisa kisha submit, utakuwa umenipigia kura.
Barikiwa

https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLScFgZ1xapsa9HErs_1wSn7XWr3J61GC4ydW-iJt0AvSl_-_iw/viewform?usp=sf_link

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

03 Nov, 23:01


Hatimaye siku ya kuanza mwaka mpya wa masomo imefika
The day has come true
Welcome freshers
Keep going continous
All the best finalists

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

02 Nov, 18:49


ATTENTION ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ
Kwa wanafunzi wote ambao walisajiliwa katika mfumo wa bima kwa kutumia namba za NIDA, wanapofanya registration aris upande wa NHIF watatakiwa kujaza namba hiyo ya NIDA katika kipengele kinachomtaka ajaze namba ya NIDA lakini pia katika kipengele cha mwisho kinachomtaka ajaze namba ya kadi. (Tunasema namba ya NIDA ijazwe mara mbili).
Vile vile control number zinaendelea kutolewa hivyo tuwe wavumilivu.
Niwatakie masomo mema katika muhula mpya wa masomo unaoenda kuanza 4/11/2024๐Ÿ™๐Ÿป

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

02 Nov, 18:47


Habari wana UDSM,
Tunawaletea platform mpya ya NAPS itakayowawezesha wana UDSM kupata huduma mbalimbali muhimu, ikiwemo:
โ€ข Matangazo ya Chuo: Kupata taarifa na matangazo yote ya chuo kwa urahisi.
โ€ข Maktaba ya Kidigitali: Kupata Notes, Past Papers, Vitabu, na Makala za elimu
โ€ข Fursa za Wanafunzi: Kupata Taarifa za Scholaships, Traings warsha mbalimbali, semina, na fursa maalum kwa wanafunzi.

NAPS pia inakupa nafasi ya kushirikiana na wanafunzi wengine kwa kushea maudhui ya elimu bila gharama yoyote.

Kwa sasa, programu hii inapatikana kwenye mfumo wa Android. Kuipata, pakua kwa kubonyeza:

https://play.google.com/store/apps/details?id=com.naps.naps_mobile_app&pcampaignid=web_share

Karibuni sana na tufurahie huduma hizi kwa pamoja!

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

01 Nov, 20:30


Fursa kutoka chuo kikuu cha Dar es saalam please apply now

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

01 Nov, 20:30


Wanafunzi wa mwaka wa kwanza kutoka COHU, COSS na UDSOL basi Wawasiliane na viongozi wao Hawa kupata ratiba ya masomo yao

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

01 Nov, 11:16


Continuous ๐Ÿ”ฅ
Taarifa muhimu sana ๐Ÿ”Š

1: stahiki za mwaka mpya wa masomo, ikiwemo boom zimeanza kulipwa ๐Ÿ”Š

2: utakapopokea meseji ya kusaini boom hakikisha unasaini kabla ya siku 30 kuisha kupitia App na sio sipa๐Ÿ™โš ๏ธ๐Ÿค.

3: wizara inawasisitiza wanufaika wote kutembelea mara kwa mara account zao.

4: kama bado hujawekewa stahiki zako endelea kusubiria zoezi la malipo limeanza ๐Ÿ’ก๐Ÿค

Wizara inawatakia utekelezaji mwema

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

01 Nov, 11:11


Happy New Month of November! May the new month be full of HOPE.
_____
I pray that the eyes of your heart may be enlightened in order that you may know the hope to which he has called you, the riches of his glorious inheritance in his holy people, and his incomparably great power for us who believe. That power is the same as the mighty strength.

ยฉ๏ธFriday November 01, 2024.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

31 Oct, 22:54


Zingatieni hii kitu first year wale walinzi mnaowaona huwa wanasumbua sana kama hujafata sheria na wapo very strict

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

31 Oct, 22:54


Ratiba za masomo kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza zilizochambuliwa zipo tayari cha kufanya wawasiliane na viongozi hao wa college, school na instute wapate ratiba zao ambao wapo hapo kwenye barua hiyo

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

31 Oct, 18:08


5. Mzazi au aliyekuwa anakusomesha amestaafu rasmi.

6. Hali duni ya kiuchumi ya Mzazi/Wazazi/Familia yenu.

Scenarios _no1, no2, no3, no4 & no5_, aliyekuwa anakusomesha anaweza kuwa ni _Ndugu_ au _Jamaa_ au _Rafiki_ au _Msamaria Mwema_ au _kikundi cha Wasamaria Wema_ au _kikundi cha Kijamii_.

Scenario _no1_ utapaswa kuwa na softcopy ya Cheti cha Kifo cha aliyekuwa anakusomesha ambacho kimehakikiwa na RITA/ZCSRA au kuwa na Barua ya Uthibitisho ktk RITA/ZCSRA kama Kifo kimetokea nje ya Tanzania.

Scenario _no2_ inataka uthibitisho wa ziada kutoka Jeshi la Magereza. And all other necessary documentations kuonyesha kuwa Mzazi au aliyekuwa anakusomesha yupo Gerezani.

Scenario _no3_ itafaa kukiwa na documentations (Medical Reports) za Mhusika, ambazo pia itapendeza zikiwa verified na MOiC/DMO/RMO. MOiC - Medical Officer in Charge. DMO - District Medical Officer. RMO - Regional Medical Officer.

Scenario _no5_ utapaswa kuwa na Barua rasmi kutoka kwa Mwajiri wa mwisho wa Mzazi au aliyekuwa anakusomesha ili kuthibitisha wazi kwamba mhusika amestaafu rasmi tyr.

Bila kujali utatumia Scenario ipi au Scenarios zipi au Scenarios zote hapo juu, utapaswa kuwa na Barua rasmi ambazo zimeandikwa na watu/wahusika kutoka sehemu zifuatazo;-
- Shule uliyosoma,
- Aliyekusomesha wewe Mrufani,
- Wewe mwenyewe Mrufani,
- Mzazi wako wewe mwenyewe Mrufani (though hapa ni kwa Scenarios _no2_, _no5_ & _no6_) tu,
- Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa/Kijiji.

Itafaa, itapendeza na inashauriwa iwe hivyo, kwamba hao Wahusika hapo juu waandike Barua kujitambulisha wao wenyewe, kukutambulisha wewe Mrufani na kuielezea (na kuthibitisha) scenario yako au scenarios zote basing na wewe mwenyewe Mrufani. Barua zote zinaweza kuandikwa kwa kutumia Tarakirishi (Computer), tunasema Typing, au kwa kutumia mkono (Handwritten). La muhimu zaidi ziwe signed physically (na/au kuwekwa Mihuri) na Wahusika walioandika hiyo Barua.

Basing na wewe mwenyewe Mrufani, utakavyoamua utumie Barua ipi na scenario ipi inakugusa... tambua kwamba sehemu ya *_OTHER REASONS_* inataka ufanye compilation ya Vielelezo/Viambatanisho vyako na kuweka vyote kwa pamoja kama document moja (in a one PDF file format).

Tambua na ukumbuke, kila Barua kutoka hizo sehemu ina nguvu na umuhimu wake, tafadhali usikate tamaa mapema na kuona inashindikana kuziandaa na/au kuzipata. Ni kheri usumbuke na/au uwajibike zaidi kwa sasa kuliko kuja kukaa Mwaka mzima wa Masomo bila Mkopo na mwishowe kujikuta kwenye mteremko mkali wa kubaki nyumbani kisa kushindwa kumudu gharama za Elimu ya Juu.

***
โš ๏ธ *_Zingatia:_* โš ๏ธ

- Usiwe desperate sana na kufikia uamuzi wa kughushi kiambatanisho chochote kile. Usighushi kitu chochote, USIGHUSHI. Don't glorify matatizo kisa Mkopo ambao utakuja kuwajibika kuulipa wote (na riba juu) hapo baadae.

- Suala la _'Names Mismatch'_ lipo pale pale, na litaangaliwa kwa upande wa kila Kiambatanisho kilicho na jina lako wewe Mrufani (Appellant) na/au jina la Mzazi/Wazazi wako. Marking scheme ya majina yako na ya Wazazi wako ni Cheti cha Kuzaliwa cha Mrufani (Appellant).

- Serikali ya Mtaa/Kijiji utakayotumia Barua yao ni ile ambayo ulienda kusainisha wakati unaomba Mkopo.

- Anuani yako na ya Mzazi/Mlezi wako, utapaswa kutumia ambazo ulijaza wakati unaomba Mkopo. Angalia page no5 kwenye ile Fomu yako ya Mkopo, utaziona.

- Barua zote utakazoweka, kama zimeandikwa kwa mkono (Handwritten) basi zitapaswa kuandikwa kwa kutumia kalamu ya wino wa blue na mihuri husika isomeke vyema ...pia ziwe directed kwa Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB kupita anuani ifuatayo;-
-
Mkurugenzi Mtendaji,
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu,
S.L.P 76068,
15471, Dar-Es-Salaam.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

31 Oct, 18:08


*๐Ÿ“๐ŸŽ“HESLB APPEALS WINDOW; 4TH NOV. 2024 - 11TH NOV. 2024๐ŸŽฒ
*

Mrufani (Appellant) ni yule _Muombaji_ au _Mnufaika_ ambaye hajaridhishwa na Allocations zilizofanywa na HESLB kwa Mwaka husika wa Masomo, kwa case yetu tunaangalia Allocations za Mwaka wa Masomo 2024/25.

- _Muombaji;_ Huyu ni Fresher au FTCA (First-Time Continuing Applicant) ambaye hajapata Mkopo kabisa au kiasi alichopata hajaridhika nacho.

- _Mnufaika;_ CLB (Continuing Loan Beneficiary) ambaye kwa Mwaka wa Masomo 2024/25 hajaridhika na kiasi alichopangiwa na HESLB.

Sasa basi, kwenye Mfumo wa OLAMS mtakutana Appeals Reasons nyingi kidogo, na nyingine sio mpya machoni penu... ni vitu vile vile mlitumia wakati wa Applications, and we hope baadhi yenu mtakumbuka tuliwahimiza mviweke standby.

Wakati wa Kukata Rufaa ya Mkopo wa HESLB, sababu kuu huwa ni mbili tu;- _No Loan Allocated_ & _Insufficient Loan Amount._ Kisha zinafata supporting reasons. Sasa hapa kwenye Supporting Reasons ndipo kunataka umakini wa hali ya juu. Fuatana nasi;

1. *CHETI CHA KUZALIWA CHA MRUFANI.*

Sehemu hii ni LAZIMA kwa kila Mrufani. Inatumika tu kuonyesha kuwa kweli wewe ni Mtanzania. Tunaamini kila mmoja anatambua namna ya kujaza hii sehemu basing na alipozaliwa. It's the same kama ilivyokuwa wakati wa Application. Unless otherwise uwe umefanya changes kwenye hicho Cheti chako cha Kuzaliwa, utaweka hizo updated details za Cheti chako cha Kuzaliwa.

2. *CHETI CHA KIFO CHA MZAZI WA MRUFANI.*

Sehemu hii inajazwa ikiwa Mzazi wa Mrufani ametangulia mbele za haki. Tunaamini kila mmoja anatambua namna ya kujaza hii sehemu basing na mahali kifo cha Mzazi wake kilipotokea. It's the same kama ilivyokuwa wakati wa Application. Unless otherwise uwe umefanya changes kwenye hicho Cheti cha Kifo cha Mzazi, utaweka hizo updated details za Cheti cha Kifo cha Mzazi wako.

3. *FOMU MAALUM YA ULEMAVU WA MRUFANI NA/AU MZAZI WA MRUFANI.*

Tunaamini kila mmoja wenu anakumbuka namna ya kuipata na kuijaza hiyo Fomu ya Ulemavu. Kama kuna mistakes ulizifanya wakati wa Application kwenye hiyo Fomu, basi kwa sasa jitahidi usizirudie tena. Nenda Hospitali ya Rufaa kwa ngazi ya Wilaya/Mkoa kisha hiyo Fomu ijazwe kwa usahihi kama inavyotakiwa.

4. *FOMU MAALUM YA UFADHILI WA ELIMU YA MRUFANI.*

Kwa maneno mengine inaitwa _"HESLB Cooperate Sponsorship Form"_. Tunaamini kila mmoja wenu anakumbuka namna inavyopatikana na njia sahihi ya kuijaza kama inavyotakiwa. Baadhi yenu, tuseme wengi wenu, mlidiriki kughushi hii Fomu kitu ambacho kinawagharimu na kitakuja kuwagharimu zaidi hapo baadae. Tafadhali msirudie the same mistakes mlifanya wakati wa Application.

5. *MZAZI WA MRUFANI HAJULIKANI.*

Sehemu ya _Unknown Parent(s)_ inajazwa na Mrufani ambaye kwenye Cheti chake cha Kuzaliwa kinasomeka ifuatavyo;- _Father's Name - UNKNOWN_, na/au _Mother's Name - UNKNOWN_. Kama kweli Mzazi hajulikani na bado kuna majina ya Mzazi (though kuna baadhi yenu mmeweka majina ya Babu zenu ama ya kujitungia), basi Mrufani anapaswa kuwajibika kuwasiliana na RITA/ZCSRA ili Cheti chake cha Kuzaliwa kifanyiwe marekebisho kuonyesha kuwa kweli Mzazi hajulikani.

***

Maelezo hayo hapo juu, tunaamini mnaweza kuwa mmeona ni kama yale yale tu wakati wa Application. Na sasa wakati wa Rufaa kuna nini na nini kipya cha kuongeza kujitetea? Ukiangalia sisi wengine ambao hatuna hivyo Viambatanisho hapo juu. Usihofu, tuendelee hapa chini...

Kwenye Mfumo wa OLAMS, Wakati wa Rufaa kuna sehemu ya kujazwa ni maarufu kama *_"OTHER REASONS"_*. Yes, sehemu hii ndo huwa ya kujitetea ipasavyo ili kuonyesha na kuthibitisha kuwa una uhitaji mkubwa wa Mkopo wa Elimu ya Juu na ya kuwa huna uwezo wa kumudu gharama za Elimu ya Juu. Sasa nini na nini cha kujaza? Kuwa makini kwenye kusoma haya maelekezo (tunayaandika kwa Mfumo wa Scenarios);-

*_Scenarios;_*

1. Aliyekuwa anakusomesha ametangulia mbele za haki.

2. Mzazi wako na/au aliyekuwa anakusomesha ni mahabusu gerezani au anatumikia kifungo.

3. Aliyekuwa anakusomesha ana ulemavu na/au tatizo lolote kubwa la kiafya.

4. Aliyekuwa anakusomesha hana uwezo tena wa kumudu gharama za Elimu ya Juu.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

31 Oct, 07:54


TANGAZO TANGAZO TANGAZO
Kama unachangamoto yoyote kwenye matokeo Yako basi unaombwa onana na waziri wa elimi au mbunge wako ...

Sup?
Disco?

Kwa mawasiliano zaidi piga cm namba 0777987868 na 0618777868

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

29 Oct, 19:50


Habar za wakati huu naomba kutoa ufafanuzi juu ya continuous kupangiwa vyumba ,

Zoezi la upangaji wa vyumba kwa continuous lilianza tarehe 31agosti kwa kufungua dirisha la wanafunzi kuomba kupewa kipaumbele cha kupangiwa vyumba dirisha la maombi hayo lilifungwa tareh 15 Sept 2024 .

Aidha wanafunzi wa continuous wapatao 5000 plus walifanya maombi ya kupewa kipaumbele cha kupangiwa vyumba , idadi hii ilikuwa kubwa sanaa kulinganisha na vyumba vilivyobaki baada ya freshers kupangiwa na kuleta ugumu nani apewe kipaumbele nani aachwe katika wanafunzi 5000 plus .

Kutokana na hiyo changamoto ofisi ya usab ilifikia maamuzi ya kuratibu zoezi la room shopping ambalo litafanyika tarehe 13, 14 na 15.

Naomba tuwe wavumilivu mpaka tareh 13 zoez litakapo fanyika , pia niwaombe tuwe makin sanaa na
Udanganyifu unaondelea kuhusu upangaji wa vyumba .

Mwisho tusiache kumuomba mungu katika kila tulifanyalo mungu awabariki sanaa muwe na wakati mwema .

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

29 Oct, 18:35


APPLICATION FOR CHANGE OF DEGREE PROGRAMME FOR 2024/2025 ACADEMIC YEAR.... Be informed ni kuanzia tarehe 04-08... Someni na muelewe kwa makini.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

29 Oct, 16:24


Habari za wakati huu,tujitahidi kupitia taarifa hii kuhusu bima ili tusisumbuke wakati wa usajili aris.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

29 Oct, 10:25


Haya ni mawasiliano ya viongozi wa taaluma kampasi zote za Chuo Kikuu Cha Dar es salaam pia tujitahidi tuzisome admissions letter au selection zetu vizuri tusiingie gharama mara mbili

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

29 Oct, 05:48


*FRESHERS ๐Ÿ”Š*
Taarifa muhimu kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza *Chuo Kikuu cha Dar es Salaam* ambao ni wanufaika wa mikopo๐Ÿค

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

29 Oct, 05:40


Tuzingatie sana kwa wale wote wenye special supplementary yaani ulikuwa na special exams ukafanya ukafel na wale wote waliokuwa wameomba kufanya special supplementary tufatilie kwenye idara husika au department husika za masomo hayo unayotakiwa kufany ikumbukwe2 kwamba mitihani hii ya special supplementary haina ratiba pia mwanafunzi anatakiwa kuwa amesha clear hiyo special supplementary/ pending examination ndani ya wiki ya kwanza baada ya kuanza semester

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

28 Oct, 12:52


Wakuu, kama Kuna watu wanakuja chuo na wanashuka mbezi wasisite, wapande Basi hili la chuo bila gharamayeyote mpaka main campus..kwa msaada zaidi wapige 0696487750 (Stephano)...Wizara ipo hapa kuhakikisha wanafika salama chuo
๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐ŸšŒ๐ŸšŒ๐ŸšŒ๐ŸšŒ๐ŸšŒ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

27 Oct, 08:04


FRESHERS ๐Ÿ”Š
Taarifa muhimu kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza *Chuo Kikuu cha Dar es Salaam* ambao ni wanufaika wa mikopo๐Ÿค

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

26 Oct, 22:33


Allocation zimeanza kuwekwa , tembelea account yako ๐Ÿ”Š
Malipo yakianza kufanyika kumbuka kusaini kwa kutumia App ya HESLB na sio sipa๐Ÿ™ ๐Ÿ”Š
Wanufaika wote watatumia mfumo wa DIDIS, hivyo wanufaika ambao walikuwa wanatumia mfumo wa finger print wanatakiwa kuwahi mapema mara chuo kitakapofunguliwa๐Ÿค๐Ÿ”Š

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

26 Oct, 07:40


Karibu sana Mlimani ๐Ÿ’ก

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

25 Oct, 12:09


HABARI YA WAKATI HUU
WIZARA YA MALAZI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM INAWATAARIFU WANAFUNZI WA MWAKA WA KWANZA KUWA TAYARI VYUMBA VISHAWEKWA KWENYE ACCOUNT ZA ARIS 3 .
ILI KUONA CHUMBA ULICHOPANGIWA FUATA HATUA ZIFUATAZO
1. INGIA KWENYE MFUMO WA ARIS 3 KWA KU LOGIN ACCOUNT YAKO
2. CHAGUA SEHEMU YA ACCOMMODATION
3. KISHA CHAGUA SEHEMU YA MY BED ILI KUONA CHUMBA ULICHOPANGIWA


BAADA YA KUONA CHUMBA NA UKAWA NA UHAKIKA WA KUKILIPIA CHUMBA HICHO UNARUHUSIWA KU ACCEPT CHUMBA ULICHOPANGIWA ILI KUPATA KUMBUKUMBU NAMBA YA MALIPO

ANGALIZO โ—โ—
KAMA HUNA MPANGO WA KUKAA HOSTEL USI ACCEPT CHUMBA ULICHOPANGIWA KWANI KITENDO CHA KU ACCEPT UTAKUWA TAYARI UMETENGENEZA BILL AMBAYO UTATAKIWA KUILIPA HATA KAMA HUTOKAA KWENYE CHUMBA HICHO.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

25 Oct, 09:09


*Taarifa*

โ–  C (Gold) maana yake Supplementary Examination Results

โ–  *!C!* (purple) maana yake Special Examination Results

โ–  I (red) maana yake hajafanya mtihani au matokeo hayajawa uploaded

Kwa mwanafunzi anayehisi kuna tatizo, malalamiko yake yaanzie kwa Examination Officer wa Idara yake, atapewa maelekezo ya nini afanye. Mwanafunzi anayetoa malalamiko yake kwa meseji ahakikishe:

โ–  Asalimie kwanza,
โ–  Ajitambulishe kwa jina
โ–  Registration number
โ–  Degree program (PSPA)
โ–  Mwaka wake (First Year),
โ–  Course code yenye shida (PS 229)
โ–  Course ina shida gani.

Mwanafunzi isiyetoa hizo taarifa na kutuma vimeseji nusunusu ujumbe wake siwezi kuufanyia kazi.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

24 Oct, 09:22


Kipyenga kimepulizwa tayari ratiba imetoka tuwahi mapema tukamilishe usajili pia tufanye malipo ya ada mapema kuepuka usumbufu usio wa lazima

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

24 Oct, 09:17


https://Timetable.udsm.ac.tz

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

23 Oct, 11:49


Je unakuja Main campus, Duce, Muce, Mchas,Ims au Mri zote mbili basi ishi kijanja chukua mawasiliano ya kiongozi wako kutokana na campus unayokuja TUPO TAYARI KUKUHUDUMIA 24/7

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

22 Oct, 09:32


Your warmly welcomeโœจ๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

22 Oct, 09:31


Tuzingatie sehemu zetu ili tuwahi orientation tusichanganye

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

17 Oct, 22:23


๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ

Matokeo ya mitihani ya Sup na special yatatoka tar 24 October. Hata hivyo mchakato wa kupandisha matokeo Aris 3 unaendelea hivyo kusababisha baadhi yetu kutokuona "Grades". Hivyo basi changamoto iliyopo itaisha baada ya zoezi hili kukamilika.

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

17 Oct, 21:39


๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐Ÿšจ

*Matokeo ya mitihani ya Sup na special yatatoka tar 24 October. Hata hivyo mchakato wa kupandisha matokeo Aris 3 unaendelea hivyo kusababisha baadhi yetu kutokuona "Grades". Hivyo basi changamoto iliyopo itaisha baada ya zoezi hili kukamilika.*

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

16 Oct, 10:37


Muhimu ๐Ÿ”Š
Wanufaika wote wa mikopo CKD wanapaswa kuhuisha (activate) account zao za benki kabla ya tarehe 15/10/2024, ili kuepusha usumbufu na pesa kurudishwa bodi wakati wa allocation za mwaka mpya wa masomo.

Zoezi la kuhuisha account linafanyika kwenye matawi (branch za benki husika) ,hivyo wizara ya mikopo UDSM inawasisitiza wanufaika kutembelea matawi yaliyo karibu yao ili kuhuisha account zao ๐Ÿ™๐Ÿค

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

16 Oct, 08:03


Ni muhimu

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

15 Oct, 10:13


To join the meeting on Google Meet, click this link:
https://meet.google.com/yth-rmps-sxf

Or open Meet and enter this code: yth-rmps-sxf

Hii ni link itakayotukutanisha kesho katika mjadala wetu katika mada ya MENTAL HEALTH AT ACADEMIC SETTINGS kuanzia sa moja kamili usiku mpk sa mbili kamili usiku. Tafadhali ambizaneni. Tujiunge wote katika hili sio la kukosa

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

15 Oct, 10:12


Habarini za wakati wakati huu, UDSM mental health club imeandaa mdahalo maalumu ukiwa ni mwendelezo wa online session zetu. Jumanne hii yaani tarehe 15-10-2024 tumeandaa online meeting yenye mada isemayo "MENTAL HEALTH AT ACADEMIC SETTINGS" mada hii ni special kabisa hasa kwa sisi wanafunzi, Karibu tujifunze,karibu tushauriane, unatunzaje afya yako ya akili katika mazingira Yako ya kitaaluma?. Meeting hii itaongozwa na uongozi wa mental health club chini ya katibu msaidizi ndg Michael Sanga. Na mwongeaji mkuu Bi Theodosia Cyprian ambae ni mtaalau wa saikolojia na Afya ya akili. Tafadhali mwambie rafiki Yako amwambie rafike yake. Hii sio ya kukosa. Ni kuanzia sa moja kamili mpaka sa mbili kamili usiku.

Udsm mental health club, we care for your mental health ๐Ÿ™

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

14 Oct, 09:04


To share is to careโ™ป๏ธ

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

14 Oct, 09:03


Follow the University Of Dar es salaam Dashboard channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VaeA8pP8fewvwsVLlR2m

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

14 Oct, 09:02


The University Dar es salaam Press channel

https://www.udsm.ac.tz
https://t.me/Udsmtz

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Darshboard

10 Oct, 18:49


Scholarship
Ufadhili

3,157

subscribers

1,833

photos

180

videos