Swahili News @habaritz Channel on Telegram

Swahili News

@habaritz


🐾

Swahili News (Swahili)

Karibu kwenye Telegram channel ya 'Swahili News'! Hapa ndipo utakapopata habari za hivi punde kutoka ndani na nje ya Tanzania. Kama jina linavyosema, tunajikita katika kutoa taarifa za kisasa zinazohusu siasa, uchumi, michezo, burudani, na mambo mengine mengi kwa lugha ya Kiswahili

Channel yetu inalenga kutoa taarifa za kuaminika na za kina ili kuhakikisha wasomaji wetu wanapata ujumbe ulio sahihi na wa uhakika. Pia, tunatoa fursa kwa wasomaji kujadiliana na kutoa maoni yao kuhusu habari za leo

Ikiwa wewe ni mpenzi wa habari za Kiswahili, basi hii ni channel sahihi kwako! Jiunge nasi leo ili uweze kuwa mmoja wa watu wa kwanza kupata taarifa muhimu za siku. Hapa 'Swahili News' tunajivunia kutoa habari za kuaminika na za uhakika kwa lugha ya Kiswahili. Karibu sana!

Swahili News

18 Feb, 14:22


🗞️📰@HabariTz ✰✰✰

Sergei Skripal: Jasusi wa Zamani wa URUSI aliyenusurika kifo cha kemikali 2018 nchini Uingereza
We are 100% privately-owned. Our ethos outlines the one goal we strive for - to offer content production and promotions all at affordable, sustainable prices. We are here for the long-term, fostering customer relationships that last for a lifetime.

Swahili News

18 Feb, 14:18


VOA Express

Swahili News

18 Feb, 14:09


Wanaharakati Uganda washinikiza Besigye aachiwe huru

Swahili News

18 Feb, 13:54


@HabariTz ✰✰✰

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ataka Hamas iangamizwe | VOA Swahili
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio anasema Hamas lazima itokomezwe. Alizungumza akiwa pamoja na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na kuunga mkono msimamo wa Rais Donald Trump kuhusu uhuru wa Gaza dhidi ya Hamas.

VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili.

Swahili News

18 Feb, 13:51


Mkutano wa Usalama wa Munich wahudhuriwa na Makamu Rais wa Marekani

Swahili News

18 Feb, 13:46


@HabariTz ✰✰✰

Ghasia za uchaguzi zatishia usalama wa waandishi wa Habari | VOA Swahili
Mataifa mengi yameshuhudia ghasia na maandamano kabla na baada ya uchaguzi. Mara nyingine mataifa yakigeuka kuwa hatari kwa wahusika wa uchaguzi na jamii kwa jumla.

Baadhi ya matukio hayo yamekua hatari kwa waandishi wa habari, ambao mara kwa mara wanajikuta katikati ya vurugu hizo na wengine kujeruhiwa vibaya au hata kupoteza maisha.

VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili.

Swahili News

18 Feb, 13:46


@HabariTz ✰✰✰

Waasi wa M23 wasonga mbele Bukavu | VOA Swahili
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo waasi wa M23 wameuteka Bukavu siku ya Jumapili, mji mkuu wa jimbo la Kivu Kusini. Muda mfupi baadaye hali ya utulivu inashuhudiwa na sasa wakazi waliobaki nyumbani walitoka nje kujaribu kujikimu kimaisha

VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili.

Swahili News

18 Feb, 13:35


Waasi wa M23 waingia Bukavu, wanajeshi wa DRC waondoka

Swahili News

18 Feb, 13:31


🗞️📰@HabariTz ✰✰✰

Fahamu Kuhusu VR BOX Na Jinsi Inavyobadilisha Namna Tunavyoingiliana na Teknolojia
We are 100% privately-owned. Our ethos outlines the one goal we strive for - to offer content production and promotions all at affordable, sustainable prices. We are here for the long-term, fostering customer relationships that last for a lifetime.

Swahili News

18 Feb, 13:31


@HabariTz ✰✰✰

Fahamu Kuhusu VR BOX Na Jinsi Inavyobadilisha Namna Tunavyoingiliana na Teknolojia
We are 100% privately-owned. Our ethos outlines the one goal we strive for - to offer content production and promotions all at affordable, sustainable prices. We are here for the long-term, fostering customer relationships that last for a lifetime.

Swahili News

18 Feb, 13:15


🗞️📰@HabariTz ✰✰✰

M23 wazidi kusonga mbele maeneo ya Kivu Kusini – DW – 18.02.2025 (1)
Waasi wa M23 wanaendelea kusonga mbele katika jimbo la Kivu kusini, ambapo wameuteka mji wa Bukavu na kuelekea njia mbalimbali wakilenga barabara zinazounganisha Kivu kusini na majimbo mengine.

Swahili News

18 Feb, 13:15


🗞️📰@HabariTz ✰✰✰

M23 wazidi kusonga mbele maeneo ya Kivu Kusini – DW – 18.02.2025 (1)
Waasi wa M23 wanaendelea kusonga mbele katika jimbo la Kivu kusini, ambapo wameuteka mji wa Bukavu na kuelekea njia mbalimbali wakilenga barabara zinazounganisha Kivu kusini na majimbo mengine.

Swahili News

18 Feb, 13:15


@HabariTz ✰✰✰

M23 wazidi kusonga mbele maeneo ya Kivu Kusini – DW – 18.02.2025 (1)
Waasi wa M23 wanaendelea kusonga mbele katika jimbo la Kivu kusini, ambapo wameuteka mji wa Bukavu na kuelekea njia mbalimbali wakilenga barabara zinazounganisha Kivu kusini na majimbo mengine.

Swahili News

18 Feb, 13:15


@HabariTz ✰✰✰

M23 wazidi kusonga mbele maeneo ya Kivu Kusini – DW – 18.02.2025 (1)
Waasi wa M23 wanaendelea kusonga mbele katika jimbo la Kivu kusini, ambapo wameuteka mji wa Bukavu na kuelekea njia mbalimbali wakilenga barabara zinazounganisha Kivu kusini na majimbo mengine.

Swahili News

18 Feb, 12:36


Zaidi ya raia 200 wameuwa na wanamgambo wa Sudan wiki hii - Ripoti

Swahili News

18 Feb, 12:19


@HabariTz ✰✰✰

Sunsets with giraffes 💚#Giraffe #Shorts

Swahili News

18 Feb, 12:19


@HabariTz ✰✰✰

SportsArenaTz

MKEKA WA LEO ☘️

🏦 1XBET :: ODDS 5
🏦 CODE :: 9HMZD

Kuweka mkeka .. Bofya
👉 shortclck.com/arenatv

Promo Code 👉 ARENATV

Swahili News

18 Feb, 12:19


🗞️📰@HabariTz ✰✰✰

SportsArenaTz

MKEKA WA LEO ☘️

🏦 1XBET :: ODDS 5
🏦 CODE :: 9HMZD

Kuweka mkeka .. Bofya
👉 shortclck.com/arenatv

Promo Code 👉 ARENATV

Swahili News

18 Feb, 12:16


M23 wazidi kusonga mbele katika maeneo ya Kivu Kusini

Swahili News

18 Feb, 12:11


🗞️📰@HabariTz ✰✰✰

Capt Ibrahim Traoré wa Burkinafaso

Swahili News

13 Feb, 03:31


Kiongozi wa upinzani Tanzania asema hawatosusia uchaguzi

Swahili News

13 Feb, 03:31


Machar: Mkataba wa amani Sudan Kusini uko hatarini

Swahili News

13 Feb, 03:23


Tetesi za soka Ulaya Alhamisi:

Swahili News

13 Feb, 03:17


@HabariTz ✰✰✰

UVUMILIVU NI SILAHA MUHIMU SANA!

Swahili News

13 Feb, 03:06


Azam Sports

DODOMA JIJI | “...kuna kitu kinaitwa wenge”

Dodoma Jiji FC yarejea nyumbani mkoani Dodoma huku ikieleza sababu za kuomba mchezo wao dhidi ya Simba usogezwe mbele.

Afisa habari wa timu hiyo, Moses Mpunga anazungumzia hali ya baadhi ya wachezaji waliopata madhara...

Swahili News

13 Feb, 03:04


Azam Sports

KMC FC | “...Yanga wana faida ya kuwa na Moalin ambaye amepita KMC”

KMC FC baada ya kuchukua alama tatu kwa Singida BS, sasa ipo kwenye maandalizi ya nguvu kuwavaa Yanga SC katika mchezo wa Ijumaa....

Msikie afisa habari wa timu hiyo, Khalid Chukuchuku pamoja na baadhi ya wachezaji katika ‘KMC Media Day’

Swahili News

13 Feb, 03:04


Mpango wa utalii wa Visit Rwanda 'haulingani na maadili ' ya PSG – Mulumbu

Swahili News

13 Feb, 03:02


Azam Sports

Yalifungwa matatu lakini hii nayo ilikuwepo......

Swahili News

13 Feb, 03:02


Azam Sports

AZAM FC | “....heshima yetu iliyopotea, itarejeshwa”

Azam FC yazungumzia kichapo ilichokipata kutoka kwa pamba Jiji FC, yaahidi kurejesha heshima yake kupitia Mashujaa FC na wote watakaofuata ikisema “...yeyote atakayekaa vizuri, huyohuyo tunakata, tunafunua”.

Azam FC vs Mashujaa FC ni Jumamosi Februari 15 kwenye Dimba la Azam Complex LIVE

Swahili News

13 Feb, 03:02


Azam Sports

SINGIDA BS | “...mtazamo wetu bado haujabadilika.... ubora unabaki kuwa ubora”.

Afisa Habari wa Singida Black Stars, Hussein Masanza anatoa onyo kwa JKT Tanzania akiwataka wasiingie kwenye mchezo wa kesho wakiwa na matokeo ya mechi zilizopita akiwakumbusha kuhusu ubora wao...

Mechi ni kesho saa 10:00 jioni LIVE

Swahili News

13 Feb, 02:54


Rais wa Liberia awasimamisha kazi maafisa 457 wa serikali

Swahili News

13 Feb, 02:54


Belarus yamwachilia mwanahabari wa radio inayofadhiliwa na Marekani

Swahili News

13 Feb, 02:54


Wanafunzi wa Malawi watatizika baada ya kusitishwa kwa msaada wa USAID

Swahili News

13 Feb, 02:39


Trump asema ameanza mazungumzo na Putin na Zelenskiy kumaliza vita vya Ukraine

Swahili News

13 Feb, 02:39


DRC yafunga anga yake kwa ndege za Rwanda

Swahili News

13 Feb, 01:20


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Baada ya Tanzania kuonekana kuwa na vigezo na sifa mbalimbali ikiwemo miruko ya Ndege isiyopungua elfu hamsini ( 50000) katika Viwanja vyake vya Ndege vya Kimataifa, huduma bora, usalama wa Abiria na mizigo, imechaguliwa kuwa Mwenyeji wa Mkutano mkubwa wa Bodi ya Baraza la Viwanja vya Ndege Afrika (ACI).

Mkurugenzi Mkuu mpya wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege vya Tanzania Abdul Athumani Mombokaleo, alipoketi na Mtangazaji Salama Jabir ( @EceJay ) amesema hii itakuwa mara ya pili kwa Tanzania kuwa Mwenyeji wa Mkutano huo ambapo kwa mara ya kwanza ilikuwa Mwenyeji mwaka 2007.

Tanzania kuwa Mwenyeji wa Mkutano huu utakaofanyika Arusha kuanzia tarehe 24 hadi 30 mwaka 2025 ni faida kwa Tanzania kutokana na mambo mbalimbali ikiwemo Wageni watakaokuja Tanzania kutoka Nchi mbalimbali za Afrika. #MillardAyoUPDATES

Swahili News

13 Feb, 01:20


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Jumuiya ya Maridhiano na Amani nchini Tanzania (JMAT) imezindua shamrashamra mbalimbali kuelekea kwenye kilele cha "Maridhiano Day" ambayo kitaifa yatafanyika Jijini Arusha kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano AICC chini ya Kaulimbiu isemayo "Uchaguzi wa amani 2025 kwa maendeleo ya watanzania wote."

Mgeni rasmi kwenye uzinduzi huo ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) Sheikh Alhad Mussa Salum ambaye aliambatana na Mgeni maalum, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda.

Shekh Dkt. Alhad, amesema kuelekea kilele hicho February 26,2025 shughuli mbalimbali zitafanyika Jijini Arusha zikiongozwa na Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya Dini na Viongozi wa kimila ikiwa ni pamoja na kuchangia damu kufanya utalii wa ndani, n.k.
#MillardAyoUPDATES

Swahili News

13 Feb, 00:51


@HabariTz ✰✰✰

SHINIKIZO LA JAMII NA STRESS HUPELEKEA KUTOJIAMINI!

Swahili News

12 Feb, 22:31


@HabariTz ✰✰✰

Jux amvisha pete mkewe Priscila kwa mara ya pili, video yao yawavutia wengi mtandaoni

Swahili News

12 Feb, 22:16


@HabariTz ✰✰✰

Putin amwalika Trump kwenda Moscow, Russia
Rais wa Russia Vladimir Putin na Rais wa Marekani Donald Trump siku ya Jumatano walijadili kumaliza vita nchini Ukraine, wamekubaliana kukutana katika siku zijazo na Putin amemualika Trump mjini Moscow, Kremlin ilisema.

Putin alizungumza na rais aliyeko madarakani kwa mara ya mwisho Februari 2022 wakati alipozungumza kwa simu na Joe Biden muda mfupi kabla ya kuamuru majeshi yake kuingia Ukraine.

Msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov amesema kuwa Putin na Trump wamejadili Mashariki ya Kati, uhusiano wa pamoja, Ukraine na mabadilishano ya wafungwa kati ya Washington na Moscow, shirika la habari la serikali TASS limeripoti .



VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili.

Swahili News

03 Feb, 23:46


DRC: Waasi watangaza sitisho la mapigano "kwa sababu za kibinadamu"

Swahili News

03 Feb, 22:38


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Katibu Mkuu wa CCM Taifa Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi anatarajiwa kuongoza CCM @ 48 Marathon maalumu iliyoandaliwa na Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama hicho (UVCCM) kuelekea maadhimisho ya miaka 48 ya CCM.

Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohammed Ally Kawaida amesema hayo leo February 03,2025 wakati akiongea na Waandishi wa Habari katika viwanja vya Jakaya Kikwete Convertion Jijini Dodoma.

Mbali na Marathon hiyo UVCCM wamepanga kujitolea kutoa damu kwa ajili ya Watu wenye uhitaji ikiwa na lengo la kuunga mkono kampeni ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kupunguza vifo kwa akina Mama wanaojifungua.
#MillardAyoUPDATES

Swahili News

03 Feb, 22:38


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Rais Paul Kagame wa Rwanda katika mahojiano yake yaliyofanyika leo na CNN, amesema hafahamu kama Wanajeshi wa Nchi yake wapo mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Katika mahojiano hayo na Mwandishi @LarryMadowo , Rais Kagame ameleeza kuwa kuna vitu vingi yeye mwenyewe hajui.

Tuhuma za Rwanda kuhusika na mgogoro wa DRC zimekuwepo kwa muda mrefu huku Serikali ya kongo (DRC) ikidai kuwa Rwanda inaunga mkono Waasi wa M23 ambapo Rwanda imekuwa ikikanusha madai hayo licha ya ripoti za Umoja wa Mataifa zinazodai kuwa Vikosi vya Rwanda vimekuwa vikiendesha operesheni za kijeshi kwa kushirikiana na M23 katika maeneo ya Nyiragongo, Rutshuru na Masisi.

Hata hivyo mpaka sasa Rwanda haijatoa tamko rasmi kufafanua kauli ya Kagame lakini Waangalizi wa masuala ya usalama wanasema kauli hiyo inaweza kuwa mbinu ya kisiasa kuepuka lawama za moja kwa moja.
#MillardAyoUPDATES

Swahili News

03 Feb, 22:38


@HabariTz ✰✰✰

WOLPER amsamehe RICH MITINDO, afunguka mazito kuhusu NDOA yao, upendo umerejea, aweka video hii

Swahili News

03 Feb, 22:37


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Uongozi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa pamoja wamekubaliana kuungana kwa pamoja kutafuta suluhisho la kumaliza mgogoro wa Mashariki mwa Congo ambapo mkutano huo wa pamoja utafanyika Jijini Dar es salaam katika tarehe ambayo itatangazwa baadaye.

Mwenyekiti wa EAC, William Ruto amesema Rais wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan, Rais wa Rwanda, Paul Kagame, Rais wa Congo (DRC), Felix Tshisekedi, Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, Rais wa Uganda, Yoweri Museveni na Rais wa Somalia Hassan Mohamud wamethibitisha kushiriki mkutano huo.

Ruto amesema kwa kutumia jitihada za pamoja watahakikisha amani inarejea na kutawala kwenye ukanda huu.
#MillardAyoUPDATES

Swahili News

03 Feb, 22:36


@HabariTz ✰✰✰

Kagame adai hajui kama wanajeshi wa nchi yake wako DRC

Swahili News

03 Feb, 19:50


@HabariTz ✰✰✰

Marekani yawataka raia waliopo DRC waondoke mara moja

Swahili News

03 Feb, 19:49


Azam Sports

KENGOLD: “Tunahitaji alama 42”

KenGold wanasema wanazihitaji alama tatu kutoka kwa Yanga...

Afisa Habari wa timu hiyo Jose Mkoko anaeleza walivyojipanga kuzinasa pointi hizo wakikumbushia pia kilichomkuta Kagera Sugar...

Swahili News

03 Feb, 19:49


Azam Sports

YANGA SC: “...hadi sasa ubingwa wa ligi kuu, uko mikononi mwetu”

Yanga yaendelea na maandalizi ya kuwakabili KenGold, mchezo utakaopigwa Jumatano ya wiki hii....

Meneja Habari na Mawasiliano wa timu hiyo, Ally Kamwe anatoa malelezo mafupi kuelekea mchezo huo akisema hawaichukuli poa KenGold lakini pointi tatu za mchezo huo ni muhimu kuelekea safari yao ya kutetea taji la ubingwa.

Swahili News

03 Feb, 19:49


Azam Sports

AZAM FC: “...ni siku kumi za moto”

Afisa Habari wa Azam FC, Hasheem Ibwe, anaeleza kuhusu maandalizi yao na ugumu kuelekea mechi zao mbili zijazo, wakianza na KMC Alhamisi Februari 6, 2025.

Swahili News

03 Feb, 19:49


Azam Sports

YANGA SC: “...ni siku ya Aucho kuokota “

Jumatano wiki hii, ni siku ambayo Yanga itakipiga dhid ya KenGold kwenye Dimba la KMC, Dar es Salaam, lakini pia itakuwa ni siku ya kiungo wa Yanga, Khalid Aucho kupokea zawadi.....

Ally Kamwe anatoa maelezo kuhusu sababu za jambo hili, akisisitiza kuwa ni zawadi ya fedha na si kuku wala bata...

Swahili News

03 Feb, 19:49


Azam Sports

TABORA UNITED: “...Simba hatakaa atufunge tena”

Tabora United baada ya kula 3-0 kutoka wa Simba, wanasema haitatokea tena kwa kuwa mbinu zao wameshazingundua...

Afisa habari wa Tabora United, Christina Mwagala anazungumza kitu hapa akisema Simba waliwavizia....

Swahili News

03 Feb, 19:49


Azam Sports

65' |
Al Nassr 2-0 Al-Wasl FC

LIVE

Swahili News

03 Feb, 19:38


@HabariTz ✰✰✰

Asilimia 75 ya vijana Kenya wakabiliwa na ukosefu wa ajira
Asilimia 75 ya vijana walio na umri wa miaka 35 wanakabiliwa na ukosefu wa ajira nchini Kenya.

Ili kukabiliana na hilo, serikali pamoja na mashirika mengine yamekuwa yakiwahimiza vijana kusomea taaluma za ujuzi wa kiufundi, ambazo ni rahisi kujiajiri ama kupata ajira viwandani.

VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili.

Swahili News

03 Feb, 19:09


@HabariTz ✰✰✰

SADC na EAC kukutana kuhusu vita vya Goma, DRC
Jumuiya ya nchi za kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zitaandaa mkutano wa pamoja Ijumaa na Jumamosi wiki hii kuzungumzia mzozo wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Mkutano huo utafanyika mjini Dar es Salaam, Tanzania, taifa ambalo ni mwanachama wa jumuiya zote mbili - SADC na EAC. Hatua hii inafuatia makubaliano kati ya mwenyekiti wa SADC Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe, pamoja na mwenyekiti wa EAC Rais William Ruto wa Kenya. Taarifa kutoka Ikulu ya Nairobi inasema kwamba Rais Felix Tshisekedi wa DRC na Rais Paul Kagame wa Rwanda wamethibitisha kushiriki mkutano huo, pamoja na Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini, Rais Yoweri Museveni wa Uganda na Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia.

Swahili News

03 Feb, 19:08


@HabariTz ✰✰✰

Netanyahu kufanya ziara Washington | VOA Swahili
Wakati Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, anajiandaa kuja Washington kukutana na Rais Donald Trump, Hamas iliwaachilia mateka wengine watatu wa Israel, wakiwemo raia wawili wa Marekani baada ya kushikiliwa kwa takriban miezi 16, na Israel iliwaachilia huru dazeni ya wafungwa wa Kipalestina. Awamu inayofuata ya sitisho la vita vya Gaza inatarajiwa kuwa katika ajenda za wawili hao watakapokutana Jumanne.

VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili.

Swahili News

03 Feb, 18:40


Kwa Undani

Swahili News

03 Feb, 18:11


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Sasa mafuta ya Excellium yana fomula mpya yenye nguvu 3 kwa 1 ikimaanisha:
- Kilomita nyingi zaidi.
- Injini inadumu muda mrefu na
- Inapunguza utoaji wa hewa ukaa.

Mafuta ya Excellium yenye viambata yanapatikana katika vituo vya mafuta vya @totalenergies

Swahili News

03 Feb, 18:04


Beyonce ashinda tuzo ya juu katika Grammy kwa mara ya kwanza

Swahili News

03 Feb, 17:38


Rais wa Afrika kusini ameapa kuendelea kuisaidia DRC dhidi ya M23

Swahili News

02 Feb, 06:14


Tetesi za soka Ulaya Jumapili: Man United yaongeza kasi ya kumsajili mshambuliaji wa Mali El Bilal

Swahili News

02 Feb, 04:15


Azam Sports

SERIE A

Saa 8:30 mchana, Juventus watakuwa nyumbani dimba la Allianz wakiwakaribisha Empoli.

Katika mzunguko wa kwanza timu hizi zilipokutana walitoka sare tasa.

Je, leo nani kuondoka na alama tatu?.....usikose kutazama kipute hiki mbashara kupitia AzamSports4HD.

Lega Serie A @seriea

Swahili News

02 Feb, 04:15


Azam Sports

NBC Premier League leo Jumapili

Mnyama Simba SC yupo ugenini dimba la Ali Hassan Mwinyi akiwakabili Tabora United.

Je, Nyuki wa Tabora kuendeleza ubabe kwa vigogo ama watakutana na makucha ya Mnyama?

Mechi hii itaruka mbashara kupitia AzamSports1HD.

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama NBCPL.

Swahili News

01 Feb, 23:22


Azam Sports

MATOKEO |
FT: Atalanta 1-1 Torino

Ilikuwa LIVE

Swahili News

01 Feb, 23:22


Azam Sports

MATOKEO |

FT: Union Berlin 0-0 RB Leipzig

Ilikuwa LIVE

Swahili News

01 Feb, 23:22


Azam Sports

MATOKEO |

FT: Espanyol 1-0 Real Madrid

Ilikuwa LIVE

Swahili News

01 Feb, 23:22


Azam Sports

MATOKEO |

FT: Al Ittihad 4-3 Al Okhdood

Ilikuwa LIVE

Swahili News

01 Feb, 23:22


Azam Sports

MATOKEO |

FT: Atletico Madrid 2-0 Mallorca

Saa 5:00 usiku ni Espanyol dhidi ya Real Madrid,

Swahili News

01 Feb, 23:22


Azam Sports

MAPUMZIKO |

HT: Espanyol 0-0 Real Madrid,

Swahili News

01 Feb, 22:20


Shambulio la Marekani lamlenga mpanga mikakati wa IS Somalia

Swahili News

01 Feb, 21:17


Wademocrat wamchagua Ken Martin kuwa mwenyekiti mpya wa taifa

Swahili News

01 Feb, 19:50


Machozi na shangwe kwa Wapalestina walioachiwa Ukingo wa Magharibi

Swahili News

01 Feb, 18:19


@HabariTz ✰✰✰

WCB kuna kitu hakipo sawa? kuna shida kusaini WASANII 6 mwaka huu? Mashabiki wafunguka haya

Swahili News

01 Feb, 17:57


@HabariTz ✰✰✰

WAZEE WA UBAYA UBWELA WALIKUWA WANAFUATILIA SHUGHULI YA MTANI "SIJAONA CHA KIGENI"

Swahili News

01 Feb, 17:45


@HabariTz ✰✰✰

𝐈𝐋𝐈 𝐊𝐔𝐒𝐇𝐈𝐍𝐃𝐀, 𝐔𝐍𝐀𝐇𝐈𝐓𝐀𝐉𝐈 𝐌𝐁𝐈𝐍𝐔 𝐙𝐀 𝐔𝐒𝐇𝐈𝐍𝐃𝐈 -𝐃𝐄𝐍𝐈𝐒 𝐌𝐏𝐀𝐆𝐀𝐙𝐄
Nunua Vitabu Vyetu kwa Urahisi Kupitia WhatsApp! 📚💬

Swahili News

01 Feb, 17:41


@HabariTz ✰✰✰

MARIAM BIRIHANI HUYU HAPA KMC KUISAPOTI YANGA YAKE, ATIA NENO USHINDI WA 4-0

Swahili News

01 Feb, 17:18


@HabariTz ✰✰✰

Thambo Mbeki alisema haya kuhusu M23 na kwanini DRC na Rwanda zitaendelea kuwa na Uhasama

Swahili News

01 Feb, 17:15


@HabariTz ✰✰✰

Explore The Secret Areas of Earth Where Nature Remains Untouched | 4K UHD | BBC Earth
Travel to the far corners of the planet and discover the secrets of Earth’s few remaining untouched lands, all brimming with life. From the Namib Desert to Patagonia, only a handful of places on Earth can claim to be largely unchanged. Isolated from the rest of the world, these places have been protected from the most damaging effects of human interference. Delicately balanced, species-rich, unique ecosystems. In these lands, life exists as nature intended.

Swahili News

01 Feb, 17:15


Jioni

Swahili News

01 Feb, 16:54


@HabariTz ✰✰✰

Akamatwa kwa kumfatilia Mke wake wa Zamani kwenye Mitandao

Swahili News

30 Jan, 06:51


@HabariTz ✰✰✰

Ndege ya Abiria yenye watu 64 Yagongana na Helikopta ya Kijeshi Karibu na Washington

Swahili News

30 Jan, 06:11


@HabariTz ✰✰✰

RAIS WA DRC CONGO FELIX TSHISEKEDI AMETOA HOTUBA NZITO NA KUTANGAZA VITAA NA MAADUI RWANDA NA M23
Hotuba ya Rais Felix Tshisekedi, Vita vya DRC congo na M23 leo, M23 Congo 2025 today, vita ya congo na m23 leo

Swahili News

30 Jan, 05:20


DeepSeek: Programu ya China ya akili mnemba (AI) inayozungumzwa duniani

Swahili News

30 Jan, 05:19


Tshisekedi asema hatoachia hata sentimita moja kwa M23!

Swahili News

30 Jan, 05:10


@HabariTz ✰✰✰

Shambulio la droni la Israel lauwa Wapalestina 10 Tamum – DW – 30.01.2025 (1)
Wizara ya afya ya Palestina imesema shambulio la droni ya Israel katika kijiji cha Tamun kilichopo Ukingo wa Magharibi limesababisha vifo vya watu 10.

Swahili News

30 Jan, 05:09


Ahmed Al-Sharaa ateuliwa rais wa mpito Syria

Swahili News

30 Jan, 05:09


Wizara ya Wapalestina yasema shambulio la Israel limesababisha vifo vya 10 katika Ukingo wa Magharibi

Swahili News

30 Jan, 05:06


Tetesi za soka Ulaya Alhamisi: Arsenal kuwasilisha ofa ya pili kwa Aston Villa kumnunua Ollie Watkins

Swahili News

30 Jan, 04:56


@HabariTz ✰✰✰

SportsArenaTz

🚨 Hatma ya nyota watatu wa Singida Black Stars wanaodaiwa kubadili uraia ili kuwa Watanzania Josephat Arthur Bada, Emmanuel Keyekeh na Mohammed Domaro Camara inatarajiwa kufahamika baada ya kikao cha Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inayokutana leo kusikiliza mashauri mbalimbali likiwamo la wachezaji hao.
.
Wachezaji hao wamekuwa gumzo kwa karibu wiki nzima tangu ilipotolewa taarifa kwamba wamebadilisha uraia kutoka ule waliokuwa nao, huku kukiwa na sintofahamu kutokana na kudaiwa baadhi ya taratibu za kuwapa wageni uraia wa tajnisi kuonekana kama zimekiukwa.

Swahili News

30 Jan, 04:52


@HabariTz ✰✰✰

WILLY NGOMA MSEMAJI WA M23 AZUNGUMZA HADHARANI GOMA ASEMA WANAWASAKA WANAJESHI WA DRC NA BURUNDI

Swahili News

30 Jan, 04:51


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

MillardAyoMagazetiTanzania January 30, 2025,

Swahili News

30 Jan, 04:51


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Ndinga ni matunzo, tunza injini yako na kilainishi cha Quartz maalumu kwaajili ya magari yanayotumia petroli, kinachokidhi viwango vya kimataifa na kimeidhinishwa na watengeneza wakuu wa vifaa halisi (OEMs).

Vilainishi vya Quartz vinapatikana katika vituo vya mafuta vya @totalenergies

Swahili News

30 Jan, 04:51


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

MillardAyoMagazetiniKENYA January 30, 2024,

Swahili News

30 Jan, 04:50


Trump atajiandaa kuandaa kituo cha Guantanamo kwa ajili ya wahamiaji 30,000

Swahili News

30 Jan, 04:50


@HabariTz ✰✰✰

MANGE KIMAMBI AFICHUA HAYA ISHU YA TRUMP KUINYIMA TANZANIA MSAADA WA MALARIA NA UKIMWI

Swahili News

30 Jan, 04:49


@HabariTz ✰✰✰

Mfungwa aliyebadili jinsia katika gereza moja Marekani amewasilisha kesi mahakamani akidai kuwa amri ya Rais Donald Trump inayoelekeza serikali kutambua jinsi mbili pekee na kuwataka wafungwa kama yeye kuwekwa katika magereza ya wanaume inakiuka Katiba ya Marekani.
-
Mfungwa huyo anawakilishwa na mawakili katika makundi ya kutetea haki za binadamu.
-
@lasteck2024 anaelezea zaidi
-
-
-
-
#

Swahili News

30 Jan, 04:48


@HabariTz ✰✰✰

WASHIRIKISHE WANAO MALENGO YAKO!

Swahili News

30 Jan, 04:46


@HabariTz ✰✰✰

SportsArenaTz

2025 ni vibunda 💰🥳

Swahili News

30 Jan, 04:46


@HabariTz ✰✰✰

SportsArenaTz

BOOM SHAKALAKA 💸💸🎉🎉
ODDS 11 tumeshinda 🔥🔥

Acha kuliwa kiboya na Kanji Jiunge na familia ya Ushindi

ARENA VIP Group ☘️
Whatsapp 0743867256

Swahili News

30 Jan, 04:46


@HabariTz ✰✰✰

Yaliyozungumzwa kwenye mkutano wa viongozi wa EAC kuhusu mgogoro wa M23, Tshisekedi aususia

Swahili News

23 Jan, 07:46


@HabariTz ✰✰✰

Mr Eazi akoshwa na Diamond kwenye Young, Famous & African, staa mwingine ajuta kumponda

Swahili News

23 Jan, 07:37


DRC: Tunachokifahamu kuhusu utekaji wa M23 wa maeneo ya Kivu Kusini na Kaskazini

Swahili News

23 Jan, 07:18


@HabariTz ✰✰✰

TRUMP AKOLEZA VITA URUSI NA UKRAINE, ATISHIA KUTUMA SILAA ZAIDI UKRAINE, PUTIN AMJIBU

Swahili News

23 Jan, 06:58


@HabariTz ✰✰✰

SportsArenaTz

Aliyekuwa Mchambuzi wa masuala ya soka pale AZAM TV, Dominick Salamba amefunguka kuwa anashangwaza namna waamuzi wa Shirikisho la soka Afrika (CAF) wanavyopambana kuibeba Simba kuliko Yanga
.
“Kinachoshangaza ni kwamba pamoja na utandawazi wa sasa, kwanini waamuzi wa CAF wanafanya makosa mengi? Inafikirisha sana ukitazama mechi za Simba marefa wanakuwa upande wao, lakini ukitazama mechi za Yanga inaumiza sana ni kama huyu aliyekataa penati halali la Yanha dhidi ya MC Alger juzi.
.
Aliwaza nini kutoweka penati na mchezaj kashika ndani ya boksi? Picha za marudio zinaonyesha alishika mpira. Na sheria iko wazi. Kama umeshika kwenye boksi ni penati. Ukikataa na timu ikatolewa kama vile inaumiza sana.”

[Champions 🗞️]

Swahili News

23 Jan, 06:46


@HabariTz ✰✰✰

Trump atishia vikwazo vipya kwa Urusi ‘Putin asipomaliza vita vya kipuuzi na Ukraine’

Swahili News

23 Jan, 06:19


@HabariTz ✰✰✰

NI HATARI! TRUMP ALITAKA KUNDI LA TALIBAN AFGHANISTAN KURUDISHA SILAA ZA MAREKANI, TALIBANI WAMJIBU

Swahili News

23 Jan, 06:14


@HabariTz ✰✰✰

UZA HIVYO VITU AMBAVYO HAUVITUMII!

Swahili News

23 Jan, 06:13


@HabariTz ✰✰✰

Duniani Leo
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C. #habari

Swahili News

23 Jan, 06:12


@HabariTz ✰✰✰

BREAKING: TRUMP AANZA KUWATIMU WAHAMIAJI MAREKANI, MAELFU WAANZA KUKIMBIA, HALI ILIVO

Swahili News

23 Jan, 06:11


@HabariTz ✰✰✰

Uongozi mpya wa CHADEMA waagizwa kuunda haraka Tume ya Ukweli na Upatanishi
Mwenyekiti Mstaafu Freeman Mbowe ameutaka uongozi mpya kuunda tume ya ukweli na upatanishi ili kurudisha umoja ndani ya chama hicho uliopotea wakati wa kampuni.

Wakili Tundu Lissu ameshinda nafasi ya Mwenyekiti kwa kupata Kura 513, sawa na asilimia 51.5, akimshinda aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe ambaye amepata kura 482, sawa na asilimia 48.3, huku Odero Charlse akipata kura 1 sawa na asilimia 0.1.⁣

Hata hivyo mwenyekiti huyo Mpya Wakili Tundu Lisu amesema uchaguzi ulikuwa huru na kuvitaka vyama vyengine vya upinzani na chama tawala kuiga mfano kutoka kwao.⁣
Ripoti ya mwandishi wa VOA, Amri Ramadhani.⁣⁣

Swahili News

23 Jan, 06:11


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

MillardAyoMagazetiniKENYA January 23, 2024,

Swahili News

23 Jan, 06:10


@HabariTz ✰✰✰

BREAKING: TRUMP AMCHANA LIVE PUTIN KWAMBA HATAKI KUIUMIZA URUSI KWA IYO AMALIZE VITA UKRAINE HARAKA

Swahili News

23 Jan, 06:07


@HabariTz ✰✰✰

''Nakuomba kwa jina la Mungu uwe na huruma na wapenzi wa jinsi moja na wahamiaji ambao wanaogopa sana.
Baadhi yao wanaogopa kuwa wazazi wao ambao ni wahamiaji watafukuzwa na pia nakuomba mheshimiwa rais Trump uwe na moyo wa huruma kwa wakimbizi waliotoroka vita na mateso makubwa nchini kwao''

-
Rais Donald Trump amekashifu hotuba iliyotolewa kanisani alipokwenda kumshukuru Mungu kwa ushindi wake.
Katika hotuba hiyo Kasisi bi Mariann Edgar Budde alimtaka Trump kuonyesha huruma kwa makundi yaliyoko hatarini, hususan jamii ya LGBT na wahamiaji.

-
-
-

Swahili News

23 Jan, 06:07


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

MillardAyoMagazetiTanzania January 23, 2025,

Swahili News

23 Jan, 06:06


@HabariTz ✰✰✰

Uongozi mpya wa CHADEMA waagizwa kuunda haraka Tume ya Ukweli na Upatanishi
Mwenyekiti Mstaafu Freeman Mbowe ameutaka uongozi huo mpya kuunda tume ya ukweli na upatanishi ili kurudisha umoja ndani ya chama hicho uliopotea wakati wa kampeni za uchaguzi.
Wakili Tundu Lissu ameshinda nafasi ya Mwenyekiti kwa kupata Kura 513, sawa na asilimia 51.5, akimshinda aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe ambaye amepata kura 482, sawa na asilimia 48.3, huku Odero Charlse akipata kura 1 sawa na asilimia 0.1.
Hata hivyo mwenyekiti huyo Mpya Wakili Tundu Lisu amesema uchaguzi ulikuwa huru na kuvitaka vyama vyengine vya upinzani na chama tawala kuiga mfano kutoka kwao.

Ripoti ya mwandishi wa VOA, Amri Ramadhani.⁣

Swahili News

23 Jan, 06:05


@HabariTz ✰✰✰

Lissu asema kama mahasimu wa Chadema wanaweza ushindani wafikie viwango vyao
Wakili Tundu Lissu ameshinda nafasi ya Mwenyekiti kwa kupata Kura 513, sawa na asilimia 51.5, akimshinda aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe ambaye amepata kura 482, sawa na asilimia 48.3, huku Odero Charlse akipata kura 1 sawa na asilimia 0.1.
Hata hivyo mwenyekiti huyo Mpya Wakili Tundu Lissu amesema uchaguzi ulikuwa huru na kuvitaka vyama vyengine vya upinzani na chama tawala kuiga mfano kutoka kwao.

Ripoti ya mwandishi wa VOA, Amri Ramadhani.⁣

Swahili News

23 Jan, 06:05


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, amemteua John Mnyika kuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho ambapo Wajumbe wa Baraza Kuu wamempitisha.

Mnyika ambaye muda wake wa utumishi umemalizika leo baada ya kukamilika kwa uchaguzi, sasa anaenda kufanya kazi na Mwenyekiti mpya Tundu Lissu na Uongozi mpya.
#MillardAyoUPDATES

Swahili News

23 Jan, 06:05


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Mchana pa moto, usiku panawaka !! karibu PALM VILLAGE u-bust vibe yako, pita PALM VILLAGE SHOPPING MALL u-vunje wish list yako......... 📍MIKOCHENI, WARIOBA

Swahili News

23 Jan, 06:05


@HabariTz ✰✰✰

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024/2025, NECTA YATANGAZA KUTANGAZWA KWA MATOKEO FORM FOUR
NECTA Yatangaza tarahe 23 January 2025 kutangaza matokeo ya Kidato cha Nne 2024-2025

Jinsi ya Kutazama matokeo

Swahili News

23 Jan, 06:04


@HabariTz ✰✰✰

Operesheni Pandora: Jaribio la Kudhibiti Akili za Binadamu kwakutumia Mawimbi ya Microwave
We are 100% privately-owned. Our ethos outlines the one goal we strive for - to offer content production and promotions all at affordable, sustainable prices. We are here for the long-term, fostering customer relationships that last for a lifetime.

Swahili News

19 Jan, 12:11


@HabariTz ✰✰✰

Malkia wa Nyuki: Li'ti Kidanka
Katika mwendelezo wa Makala za kivuli cha ukoloni wa Ujerumani Afrika tunamtizama Li'ti Kidanka. Wakoloni wa Kijerumani walipoingia Afrika Mashariki, walikutana na nguvu ambayo hakuna aliyekuwa ameitarajia ya Li'ti Kidanka. Li’ti Kidanka alikuwa kiongozi wa kiroho kutoka jamii ya kabila la WaNyaturu mkoani Singida, kanda ya Kaskazini-Kati mwa Tanzania.

Swahili News

19 Jan, 12:08


@HabariTz ✰✰✰

Balaa la MAGAMBO mbele ya Rais SAMIA lawaacha wajumbe MIDOMO WAZI

Swahili News

19 Jan, 12:08


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Wageni Waalikwa mbalimbali wakiwemo Wasanii tayari wapo ukumbi wa Jakaya Convention Centre ikiwa ni siku ya pili ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM unaoongozwa na Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan leo January 19, 2025.
#MillardAyoUPDATES

Swahili News

19 Jan, 12:08


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

#VIDEO Hivi ndivyo msafara wa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ulivyowasili katika ukumbi wa Jakaya Convention Centre Jijini Dodoma ikiwa ni siku ya pili ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM leo January 19, 2025. #MillardAyoUPDATES

Swahili News

19 Jan, 12:07


@HabariTz ✰✰✰

Kocha wa Yanga adai ligi ya Tanzania ni dhaifu, ni ngumu kushindana kimataifa

Swahili News

19 Jan, 12:07


@HabariTz ✰✰✰

Utata waibuka kupitisha jina la RAIS SAMIA kugombea, KIKWETE atoa neno zito kumaliza utata

Swahili News

19 Jan, 12:07


@HabariTz ✰✰✰

Gharama za Cheni za DIAMOND huwezi kugusa, saa yake ni MILIONI 80, Msikilize kwenye video hii
#diamondplatnumz

Swahili News

19 Jan, 12:07


@HabariTz ✰✰✰

Sitisho la Mapigano Gaza laanza baada kucheleweshwa saa kadhaa

Swahili News

19 Jan, 12:07


@HabariTz ✰✰✰

'I am Missing my Zuchu' Diamond amwaga hisia zake hadharani

Swahili News

19 Jan, 12:07


@HabariTz ✰✰✰

TikTok yafungwa rasmi Marekani, ni vilio tu mtandaoni

Swahili News

19 Jan, 12:07


@HabariTz ✰✰✰

TRT Afrika Swahili

- Kenya imetuma maafisa 200 zaidi wa polisi nchini Haiti, kutoa msaada kwa kikosi cha usalama katika nchi hiyo ya Caribbean.
- Baadhi ya nchi 10 kwa pamoja zimeahidi kuwa na zaidi ya wanajeshi 3,100 kwa ajili ya Haiti kama sehemu ya kikosi cha kupambana na genge kinachoungwa mkono na Umoja wa Mataifa.
- Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya Kipchumba Murkomen alisema kundi hilo jipya linajumuisha polisi 217 kutoka Kenya, ambao wataungana na maafisa 400 waliotumwa mwaka jana.

Swahili News

19 Jan, 12:07


@HabariTz ✰✰✰

TRT Afrika Swahili

Israel inapokea majina ya mateka ili kuachiliwa chini ya makubaliano ya Gaza, vyombo vya habari vya Israel vinaripoti, huku waziri mwenye misimamo mikali Itamar Ben-Gvir akijiuzulu kutoka kwa serikali kwa sababu ya makubaliano ya kusitisha mapigano.

Swahili News

19 Jan, 12:07


@HabariTz ✰✰✰

TRT Afrika Swahili

- Zaidi ya wakimbizi wa ndani 55,000 wa Sudan wamerejea katika maeneo ya kusini mashariki mwa jimbo la Sennar, zaidi ya mwezi mmoja baada ya jeshi kutwaa tena mji mkuu wa jimbo hilo.
- Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) lilisema kuwa timu zake za uwanjani "zilifuatilia urejeshwaji wa takriban watu 55,466 waliokimbia makazi yao.
- Njaa imetangazwa katika baadhi ya maeneo ya nchi, lakini hatari inaenea kwa mamilioni ya watu zaidi, ikiwa ni pamoja na maeneo ya kaskazini mwa Sennar.

Swahili News

19 Jan, 12:07


@HabariTz ✰✰✰

Unafahamu kwamba wadudu na wanyama nao huwapa zawadi wapenzi wao kama ilivyo kwa binadamu tu.
-
Je ni wadudu au wanyama gani hutoa zawadi? na ni zawadi za aina gani?
-
@elizabethkazibure anaelezea
-
-
-

Swahili News

19 Jan, 12:07


@HabariTz ✰✰✰

Jaribio la saba la Roketi ya SpaceX Starship.
Jaribio la saba la Roketi ya SpaceX Starship
lilifanyika tarehe 17 Januari 2025 na kufanikiwa kuruka ila baada ya dakika 8 kilipoteza mawasiliano. Hata hivyo sehemu ya roketi hiyo ilifanikiwa kurudi kwenye eneo la kurushia. kuanzisha. # spaceX

Swahili News

19 Jan, 12:07


@HabariTz ✰✰✰

FANYA HIVI KUWA MSIKILIZAJI MZURI!

Swahili News

19 Jan, 12:07


@HabariTz ✰✰✰

SportsArenaTz

🚨 Kwa sasa Yanga inarudi kujiandaa na mechi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Copco ya Mwanza katika hatua ya 64 Bora sambamba na kusubiri kuanza kwa ngwe ya pili ya Ligi Kuu ikianza na kiporo dhidi ya Kagera Sugar, mechi zote zikipigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex.

Swahili News

19 Jan, 12:07


@HabariTz ✰✰✰

SportsArenaTz

CS Constantine 🇩🇿 wakiwa Ugenini mechi 5 za mwisho CAF

Etoile 1-0 Constantine
Rwanda Police 1-2 Constantine
Nsoatreman 0-2 Constantine
Sfaxien 0-1 Constantine
Bravos 3-2 Constantine

Swahili News

19 Jan, 12:07


@HabariTz ✰✰✰

Fortunatus Buyobe

Ilibainika kuwa:-

1. Wabongo “kamlaza” mkewe chini kwa risasi tatu

2. God is “Missing in action”

3. Wabongo bado ni tatizo kwani hajulikani aliko na pia anamiliki chuma kilichobakiwa na risasi 27 sasa.

Naam!

Wabongo hakuchukuliwa tena kama wabongo mzee wa mastory.

Swahili News

19 Jan, 12:07


@HabariTz ✰✰✰

Fortunatus Buyobe

Akiwa lindo alikuwa anakodisha “Chuma” bila risasi lakini hadi unafika muda wa kukabidhi lindo ndio harudishiwe chuma watu wakiwa wameshafanyia kazi na yeye kupewa chake.

So upole wake pale Tabora B watu wakamchukulia poa kwamba hadi wale tunda lake.

Swahili News

07 Jan, 01:50


Trudeau kujiuzulu kama waziri mkuu wa Canada

Swahili News

06 Jan, 23:59


@HabariTz ✰✰✰

Swahili News

06 Jan, 23:59


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

KURASA ZA MAGAZETI YA LEO
.
Karibu kusoma kurasa za magazeti ya Leo kupitia @255globalradio na kufuatilia uchambuzi kupitia kipindi cha FRONT PAGE, @godmuya atakupitisha katika kurasa hizi za magazeti kuanzia saa 02:30 asubuhi mpaka saa 04:00 asubuhi.
.
Soma Gazeti la Championi kwa urahisi mtandaoni kupitia Global App: https://globalapp.co.tz

Host: @godmuya @masai_offical @happygidion76 @manyotatz_rich

✍️@stephagraphics

Follow Kurasa zetu za Kijamii za Facebook na Instagram
@globaltvonline @globaltvonline_2 @255globalradio

Swahili News

06 Jan, 23:58


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Asia Mustapha ni binti ambaye ameishi kwa takribaniiaka 20 bila figo zotebili, akitegemea huduma ya kusafisha damu kwa njia yaashine (dialysis).

Mwanzoni, huduma hiyo ilikuwa ya gharama kubwa, lakini serikali kupitia Wizara ya Afya iligharamiaatibabu hayo kwaieziinne.

Hata hivyo, baada ya kipindi hicho, hakukuwa nasaada zaidi waoja kwaoja.

Kwa sasa, Asia hawezi kutembea kutokana naifupa yake kutoboka, hali inayosababishwa na ugonjwa wake waudarefu.

Aidha, Asia alipoteza wazazi wake wote wawili, ambao walikuwa tegemeo lake kubwaaishani.

Asia ameomba nafasi ya kuonana na Rais @samia

Swahili News

06 Jan, 23:58


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Kufuatia mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Kahama na kusababisha mafuriko, wananchi wa maeneo hayo wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuwasaidia kumaliza changamoto wanazopitia kutokana na mafuriko hayo.

Video kamili ipo You

Swahili News

06 Jan, 21:42


Azam Sports

Dakika za jiooooooooooooooooni Milan wanafanya 'come-back' ya ukweli na kuchukua ndoo....

FT: Inter Milan 2-3 AC Milan

Burudani zinaendelea LIVE kwa Kiswahili na @seif_bongi

Swahili News

06 Jan, 21:42


Azam Sports

Super-Sub...

Ndugu zangu qa 'Blue' si mnamkumbuka huyu...!!?

Leo ameingia dakika ya 77 na kupiga chuma ya ushindi dakika za majeruhi...na mwisho yeye ndiye nyota wa mchezo....

FT: Inter Milan 2-3 AC Milan

Burudani zinaendelea LIVE kwa Kiswahili na @seif_bongi

Swahili News

06 Jan, 21:42


Azam Sports

85' |

Inter Milan 2-2 AC Milan

LIVE kwa Kiswahili na @seif_bongi

Swahili News

06 Jan, 21:42


Azam Sports

80' |

Inter Milan 2-2 AC Milan

LIVE kwa Kiswahili na @seif_bongi

Swahili News

06 Jan, 21:42


Azam Sports

50' |

Inter Milan 2-0 AC Milan

LIVE kwa Kiswahili na @seif_bongi

Swahili News

06 Jan, 21:42


Azam Sports

60' |

Inter Milan 2-1 AC Milan

LIVE kwa Kiswahili na @seif_bongi

Swahili News

06 Jan, 20:21


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Mume wa msanii wa zamani wa Bongo Fleva Happiness Pella maarufu kama sister P, amefunguka kupitia Global Tv na kueleza kuwa ilikuwa rahisi kwake kumbadilisha sister P Kwa njia ya Maombi.

Video kamili ipo You

Swahili News

06 Jan, 20:20


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Kufuatia tukio la kikatili lililotokea hivi karibuni baada ya mtoto mmoja kufanyiwa kitendo cha kikatili na kutelekezwa porini akiwa hajitambui, wananchi wa eneo hilo wameomba msaada kwa Serikali kwani hilo ni tukio la pili kutokea katika mazingira hayo.

Video kamili ipo You

Swahili News

06 Jan, 20:20


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Mwenyekiti wa kwakivesa, Habibu Mbota, ambaye pia ni balozi wa maji Mkoa wa Tanga, akishirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo amefanikiwa kutoa vifaa vya shule kwa zaidi ya watoto wapatao 400 katika Kata ya Chanika, Halmashauri ya Mji wa Handeni.

Msaada huo unajumuisha uniform za shule, madaftari, na mabegi, na umetolewa kwa lengo la kusaidia wanafunzi katika jamii mbalimbali za eneo hilo.

Huu ni mchango mkubwa katika kuhakikisha watoto wanapata vifaa muhimu kwa ajili ya masomo yao, na unatoa motisha kwa wengine kuendelea kuwekeza katika elimu ya watoto. Tunatarajia kuwa msaada huu utaongeza mwelekeo chanya katika elimu na kuhamasisha wengine kuchangia maendeleo ya jamii.

🔴 Tufuatilie kupitia You

Swahili News

05 Jan, 21:36


Azam Sports

75’ |

Roma 2-0 Lazio

LIVE kwa Kiswahili na @seif_bongi

Swahili News

05 Jan, 21:36


Azam Sports

Ni sare..... Je, hapo vipi???

FT: Al Hilal 1-1 MC Alger.

Ilikuwa LIVE

Swahili News

05 Jan, 21:36


Azam Sports

MSIMAMO | Kazi bado ipo kwa watatu wa juu.....huyo mwingine ameshayaaga mashindano na anachosubiri ni kukamilisha ratiba tu...!!!

Kituo kinachofuata ni:-

Bravos FC vs Simba SC;

CS Costantine vs CS Sfaxien.

Simba inahitaji sare yoyote kwenye raundi hii inayofuata ili kutinga robo fainali....

Swahili News

05 Jan, 21:36


Azam Sports

90’ |

Roma 2-0 Lazio

LIVE kwa Kiswahili na @seif_bongi

Swahili News

05 Jan, 21:36


Azam Sports

MSIMAMO | Hilal bado pointi moja kufuzu robo fainali lakini kwa wengine safari bado mbichi.....

Kituo kinachofuata ni"-

Al HIlal vs Yanga;

MC Alger vs TP Mazembe....

Swahili News

05 Jan, 21:36


Azam Sports

Wametiwa adabu......

FT: CS Costantine 4-0 FC Bravos

Ilikuwa LIVE kwa sauti ya @leomusikula_tz

Swahili News

05 Jan, 21:19


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

RT moja kama umetazama mechi ya leo tafadhali...

Swahili News

05 Jan, 21:19


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Swahili News

05 Jan, 21:19


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Swahili News

05 Jan, 20:20


@HabariTz ✰✰✰

Jacqueline Wolper atangaza kuvunjika kwa ndoa yake na Rich Mitindo

Swahili News

05 Jan, 20:16


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, amekagua mradi wa ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari katika Kata ya Bugoro, kisiwani Kome, ambapo Serikali imetenga zaidi ya shilingi milioni 584 kwa ajili ya ujenzi huo.

Shigongo amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake za kuwajali wananchi wa Buchosa kwa kuwaletea maendeleo.

Video kamili ipo You

Swahili News

05 Jan, 20:16


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Mwanadada Jesca Kikumbi almaarufu Jesca Kitambaa Cheupe ameyapuuzia madai yanayotolewa na baadhi ya watu, wakiuhusisha utajiri wake na Freemason na kueleza kuwa tangu lini Freemason akaishi tabata kama anavyoishi yeye?

Jesca ambaye ni mtoto wa marehemu King Kikii, amesema madai hayo hayana ukweli wowote na kwamba mafanikio aliyonayo yametokana na kujituma na kuwa na nidhamu ya fedha kwa kipindi kirefu.

Mahojiano kamili yapo Yioutube, Global TV.

Host: @zali

Swahili News

05 Jan, 18:30


Sintofahamu inaibuku katika juhudi za kumkamata Rais wa Korea Kusini

Swahili News

05 Jan, 18:21


Nicolas Sarkozy anatarajiwa kufika mahakamani Jumatatu kwa kesi nyingine

Swahili News

05 Jan, 18:06


Raia tisa nchini Mali wakiwemo wanawake na watoto waliuawa kwa shambulizi

Swahili News

05 Jan, 17:19


@HabariTz ✰✰✰

Life between hearing and deafness | DW Documentary
Oliver Faulstich is 37 years old. He treads the line between people who are deaf, and those who can hear. When he was 15 years old, he fell ill with a rare form of meningitis. He lost his hearing from one day to the next.

A shock for the teenager - and for his parents, too. Thanks to the modern technology of cochlear implants and a lot of training, he can now lead an almost unrestricted life again, as a family man. But everyday life remains exhausting. Now, he campaigns for people who find themselves in situations similar to his own.

Swahili News

05 Jan, 17:18


Jioni

Swahili News

05 Jan, 17:05


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Jeshi la Polisi kanda Maalum ya Dar es Salaam linachunguza tukio la Dastan Mutajura kupotea katika mazingira ya kutatanisha.

Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro imeeleza kuwa jeshi hilo Januari 4, 2025 lilipokea taarifa kutoka kwa wananchi juu ya kuonekana gari aina ya Mercedes Benz likiwa limetelekezwa eneo la Buza Sigara jijini Dar es Salaam.

Taarifa hiyo imeongeza kuwa, Januari 5, 2025 katika Kituo cha Polisi Chang'ombe zilipokelewa taarifa kutoka kwa ndugu wa Mutajura ambao walilitambua gari hilo na kueleza kuwa tangu alipoondoka Januari 4, 2025 kwenda kwenye shughuli zake, hakuwa amerejea.

Swahili News

05 Jan, 16:35


Waziri Mkuu wa Italia amekutana na Rais mteule wa Marekani Donald Trump

Swahili News

31 Dec, 20:38


@HabariTz ✰✰✰

TRT Afrika Swahili

Sherehe za kuvuka mwaka 2025 zimefanyika kwa wakati tofauti duniani. Nchi nyingi zimefanya shamrashamra za fataki.

Swahili News

31 Dec, 20:38


@HabariTz ✰✰✰

TRT Afrika Swahili

Anayedaiwa kumiliki na kuendesha tovuti haramu ya kusambaza filamu maarufu ‘FMovies’ mapema mwezi uliopita alitambulishwa baada ya kukamatwa na Polisi wa Mji wa Hanoi nchini Vietnam kufuatia uchunguzi wa muda mrefu.

Phan Thanh Cong, 34, raia wa Vietnam aliyekamatwa na mshirika wake, Nguyen Tuan Anh, wanasemekana waliendesha tovuti hiyo na kujizolea ‘pesa nyingi’ kutokana na matangazo.

Hii ni kwa mujibu wa Torrentfreak, tovuti inayofuatilia habari za hakimiliki mtandaoni.

Tovuti ya Fmovies iliyofungwa na mamlaka ya Vietnam mwezi Julai 2024, ilihudumu tangu 2016 na inadaiwa kusambaza filamu na vipindi vya televisheni takriban 50,000 bila leseni kutoka kwa watayarishaji na wamiliki halali.

Kulingana na Motion Picture Association (MPA) na Alliance for Creativity and Entertainment (ACE), FMovies na tovuti zingine chini ya mwamvuli wake ndizo zilikuwa vyanzo vikubwa zaidi ulimwenguni vya usambazaji haramu wa filamu, ikivutia zaidi ya watumiaji bilioni 6.7.

Disemba 2023,......

Swahili News

31 Dec, 20:04


Azam Sports

AZAM FC | “...mtoto atafundishwa mpira...na atapata cheti pamoja na full kiti ya Azam FC”

Azam FC yaja na kitu kipyaaaaa.... Kitu hiki ni ‘Azam FC Youth Holiday Clinic’ kwa ajili ya mafunzo ya soka kwa watoto.

Mafunzo haya ni kwa nadharia na vitendo.....

Meneja Masoko wa Azam FC, Tunga Ally anafafanua kuhusu yaliyomo kwenye program hii, gharama yake pamoja na utaratibu...

Mwishoooooni unakula shairi kutoka kwa Lookman Shaban.

Swahili News

31 Dec, 20:04


Azam Sports

DAKIKA 90 | “.... Fabrice Ngoma ndiyo power engine ya Simba SC.. ”

Je, ni nani mchezaji bora wa Simba baada ya mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC?

Sikia waliotajwa na wachambuzi Charles Abel, Michael Kashinde na @leomusikula_tz

Usikose kipindi cha ‘Dakika 90’ leo na kila Jumatatu saa 4:30 usiku

Swahili News

31 Dec, 20:04


Azam Sports

MAPINDUZI CUP 2025 | “...nimeshaona, tunaweza tukafanya vizuri”

Neno kutoka kwa Kocha wa Kilimanjaro Stars, Ahmad Ally wakati kikosi hicho kikielekea Zanzibar kwa ajili ya michuano ya Kombe la Mapinduzi. Kocha Ahmad amesisitiza kuwa lengo na matarajio ni kufanya vizuri na kurejea na kikombe....

Swahili News

31 Dec, 20:03


Azam Sports

YANGA SC | “Mechi yetu ya tarehe 4, tunakwenda kushinda”.

Mjumbe wa Baraza la Wadhamini, Yanga SC, Tarimba Abbas anasema kwa jinsi ambavyo kocha wao ameanza kukitambua kikosi chake, inawezekana kufuzu robo fainali ligi ya mabingwa Afrika, na ushindi wa kwanza utakuwa ni dhidi ya TP Mazembe, Jumamosi hii.

Swahili News

31 Dec, 20:03


Azam Sports

MSHIKEMSHIKE: Je ni kitu gani ambacho huwezi kukisahau katika mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC 2024/25

Tuandikie maoni yako hapa na sisi tutayasoma kwenye kipindi cha Mshikemshike saa 3:00 usiku LIVE

Swahili News

31 Dec, 19:39


Miaka 25 ya Rais Putin: Kwanza rafiki, na sasa adui

Swahili News

31 Dec, 19:29


@HabariTz ✰✰✰

Babalevo adai wasanii wengi wa Tanzania wana njaa kali na wanasubiri kampeni za CCM ziwaokoe

Swahili News

31 Dec, 18:50


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Msanii filamu na mchekeshaji Asha Boko amefunguka kupitia Global Tv na kueleza kuwa, hawezi kumpangia mtoto wake aolewe na nani na kwamba amemuachia uhuru achague mwenyewe.

Video kamili ipo You

Swahili News

31 Dec, 18:50


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linafuatilia tukio linalosambaa mitandaoni likionesha picha ya binti anayedaiwa kuwa mfanyakazi wa ndani, ambaye inadaiwa kuungua baada ya kumwagiwa maji ya moto usoni na bosi wake kwa kushirikiana na mganga wa kienyeji.

Akizungumza na vyombo vya habari, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama, amesema upelelezi wa tukio hilo unaendelea. Kamanda Mkama amebainisha kuwa binti huyo alikuwa akiishi katika Kata ya Kihonda, Manispaa ya Morogoro, na tayari amesafirishwa hadi mkoani Dodoma kwa matibabu au hatua zaidi.

Aidha, Jeshi la Polisi linamshikilia mtu anayedaiwa kuhusika na tukio hilo kwa ajili ya mahojiano na hatua za kisheria zaidi.

Video kamili ipo You

Swahili News

31 Dec, 18:50


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezungumza na umma wa watanzania leo usiku na kusema kuwa, miezi mitano ya utoaji wa huduma ya mradi wa SGR inafurahisha kutokana na ongezeko kubwa la watumiaji ndani ya kipindi kifupi.

Video kamili ipo You

Swahili News

31 Dec, 18:50


globalpublishers

Mahakama Kuu Kanda ya Iringa imewaachia huru wanachama watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), akiwemo aliyekuwa Katibu wa Jimbo George Sanga, pamoja na wenzake Gudluck Mfuse na Octatus Mkwela, baada ya kushindwa kuthibitishwa kwa mashtaka ya mauaji ya kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Emmanuel Mlelewa.

Hukumu hiyo ilisomwa kwa njia ya mtandao na Jaji Mfawidhi wa Kanda ya Iringa, Danstan Ndunguru, akiwa mkoani Njombe. Jaji Ndunguru alieleza kuwashahidiliotolewa napande wa mashtakalikuwa wa kimazingira pekee, bilashahidi wa moja kwa moja wa kuhusisha washtakiwa na tukio hilo.

"Ilishahidi wa kimazingirathibitike, lazimawe wa kujitosheleza. Hata hivyo,pande wa Jamhurimeshindwa kuthibitisha mashtaka hayo," alisema Jaji Ndunguru.

Udhaifu washahidi: Mashahidi waliotolewa hawakuweza kuonyesha moja kwa moja kuhusika kwa washtakiwa. Kushindwa kwa mashahidi muhimu kufika mahakamani: Hasa Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa, ambaye alitarajiwa kutoashahidi muhimu.

Kwa...

View original post

Swahili News

31 Dec, 18:50


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Baba mdogo wa marehemu Sunday Mwakanosya, amefunguka kupitia Global Tv na kueleza chanzo cha kifo cha mtangazaji huyo.

Video kamili ipo You

Swahili News

31 Dec, 18:50


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Msanii wa filamu Irene Uwoya amefunguka kupitia Global Tv na kueleza kuwa, Steve Nyerere anastahili pongezi kwa jambo alilolifanya.

Video kamili ipo You

Swahili News

31 Dec, 18:39


@HabariTz ✰✰✰

DENIS MPAGAZE: Funga Na Fungua Mwaka Na Kanuni Hizi 7
We are 100% privately-owned. Our ethos outlines the one goal we strive for - to offer content production and promotions all at affordable, sustainable prices. We are here for the long-term, fostering customer relationships that last for a lifetime.

Swahili News

31 Dec, 18:33


Kwa Undani

Swahili News

09 Dec, 18:58


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Msemaji wa mabaunsa hapa nchini, Emanuel Andrea Ngweta amefunguka kupitia Global TV, na kueleza kuwa mahusiano yaliyomfurahisha na kuyapenda ni ya @kajalafrida na @harmonize

Swahili News

09 Dec, 18:58


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa makamishna wa Jeshi la Polisi.

Soma taarifa kamili.

Swahili News

09 Dec, 18:56


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

TotalEnergies inakutakia heri ya sikukuu ya uhuru wa Tanganyika. Katika siku hii muhimu, tuendelee kujivunia uzalendo wetu na uhuru wetu, ambao umeleta maendeleo chanya katika taifa letu. #uhuruday🇹🇿 @totalenergies

Swahili News

09 Dec, 18:56


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Naibu Kamishna wa Polisi DCP. Kombo Khamis Kombo kuwa Kamishna wa Polisi na amemteua kuwa Kamishna wa Polisi Zanzibar akichukua nafasi ya CP. Hamad Khamis Hamad ambaye ameteuliwa kuwa Balozi.

Rais Samia amempandisha pia cheo Naibu Kamishna wa Polisi DCP. Tatu Rashid Jumbe kuwa Kamishna wa Polisi na amemteua kuwa Kamishna wa Utawala na Menejimenti ya Rasilimali Watu katika Jeshi la Polisi akichukua nafasi ya CP. Suzan Kaganda ambaye ameteuliwa kuwa Balozi.
#MillardAyoUPDATES

Swahili News

09 Dec, 18:56


@HabariTz ✰✰✰

Waasi wa Syria wakiingia katika mji mkuu, Damascus
Kanda ya video inawaonyesha waasi wa Syria wakiingia katika mji mkuu, Damascus.
Video hiyo inaonyesha vikundi vya watu wenye silaha wakiwa katika magari madogo na malori yanayopita mjini na wengine wakitembea kwa miguu mitaani, huku milio ya risasi ikifyatuliwa hewani kiholela.
Waasi hao walitangaza Jumapili kuwa walikuwa ‘wameikomboa Damascus’ na kumpindua Rais Bashar al-Assad.
Wakati huo huo, jeshi la Syria lilisema kuwa linaendelea na operesheni dhidi ya ‘vikundi vya magaidi’ katika miji ya Hama na Homs, na pia nje ya mji wa Deraa. (AP)

Swahili News

09 Dec, 18:52


@HabariTz ✰✰✰

TETESI: Israel Mwenda kujiunga na Yanga | SnS Sports

Swahili News

09 Dec, 18:37


Kwa Undani

Swahili News

09 Dec, 18:33


@HabariTz ✰✰✰

TRT Afrika Swahili

Katika picha mjongeo inayosambaa mitandaoni ambayo tarehe yake haijabainika, Kocha wa Manchester City Pep Guardiola, anaonekana akishikwa na hasira kali baada ya kudhihakiwa na shabiki wa Liverpool.

Iliwalazimu wasaidizi wake wamzuie muhispania huo wakati akijiandaa kumshambulia shabiki huyo.

Swahili News

09 Dec, 18:31


@HabariTz ✰✰✰

Etana amcheka Diamond 'Waliniharibia show yangu, yao pia imeflop na yeye hakuweza hata kutumbuiza'

Swahili News

09 Dec, 18:19


@HabariTz ✰✰✰

Jay Z naye yatamkuta ya Diddy baada ya kushutumiwa kubaka? Heshima yake yawekwa matatani!

Swahili News

09 Dec, 18:05


Afisa katika UN anaahidi viwango vya ajira kwa wahamiaji vinaheshimiwa Saudia.

Swahili News

09 Dec, 17:57


@HabariTz ✰✰✰

Banks are Gambling your money w/ Tom Bilyeu
Entrepreneur and podcaster Tom Bilyeu of Impact Theory and Shane on our algorithm-induced national divorce, the erosion of public trust giving rise to new voices, how Tom data-tracks his sleep, A.I. induced massive change, the A.I. paperclip maximizer experiment, capitalism vs. Communism, banks’ Fractional Reserve System as a means of control, inflation as a hidden tax, Big Food’s big bad, the sane center as a unifying destination, Tom’s favorite books for maximizing knowledge, and how incremental self-improvement leads to long term growth and much more.

Check out Tom's YT Channel:

Swahili News

09 Dec, 17:51


DRC imekumbwa na ugonjwa usiojulikana unaoathiri watoto; Inasema WHO

Swahili News

09 Dec, 17:26


@HabariTz ✰✰✰

BABALEVO anamfuata WILLY PAUL Kenya na kumfungulia kesi kwa kufanya Vurugu kwenye Show ya Diamond

Swahili News

09 Dec, 17:25


@HabariTz ✰✰✰

This young bear cub is a symbol of hope 🥹

Swahili News

09 Dec, 17:17


Azam Sports

SIMBA SAFARINI: Kikosi cha Simba kimewasili Instabul kutokea Algeria tayari kurejea jijini Dar es Salaam baada ya mchezo wake wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Costantine uliopigwa jana na Simba kupoteza kwa mabao 2-1.

Swahili News

09 Dec, 17:17


Azam Sports

MSHIKEMSHIKE: Desemba 14, TP Mazembe vs Yanga (CCL), Desemba 15, Simba vs CS Sfaxien (CCC).

Je, una maoni gani kwa wawakilishi wa Tanzania?

Tuandikie maoni yako hapa na sisi tutayasoma kwenye kipindi cha Mshikemshike saa 3:00 usiku LIVE

Swahili News

09 Dec, 17:15


@HabariTz ✰✰✰

MAKONDA ashambuliwa na wachungaji uko Arusha kwa Maombi makali

Swahili News

09 Dec, 17:14


@HabariTz ✰✰✰

The soy priest of Venezuela | DW Documentary
Father Jose Maria Gimeno has a mission - he wants to convert mothers in Venezuela's slums. His message: Stop eating meat, cook with soy!

In his church in the megacity of Barquisimeto in northern Venezuela, a Catholic priest gives cooking classes. He wants to show how soy can replace meat in almost every dish. But he is not motivated by veganism or a change in diet due to climate change. Jose Maria simply wants to ensure that the children in the slums are well fed. Dried soy is rich in protein and can help prevent malnutrition. It's inexpensive, which is crucial in a country hit hard by inflation. A report by Antonia Herrera.

Swahili News

09 Dec, 17:13


Jioni

Swahili News

07 Dec, 09:58


Azam Sports

Tazama namna Mwenyekiti wa Chama cha Soka Kigoma (KFA), Ahmed Mgoyi aalivyowakaribisha wajumbe wa Mkutano mkuu wa bodi ya ligi.

Imeandaliwa na @jairomtitu3

Swahili News

07 Dec, 09:58


Azam Sports

Mtendaji mkuu wa bodi ya ligi azitaja agenda 11 za mkutano mkuu wa mwaka wa bodi ya ligi (TPLB)

Imeandaliwa na (@jairomtitu3)

Swahili News

07 Dec, 09:58


Azam Sports

TPLB YATOA ZAWADI KWA SIMBA NA YANGA Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) yatoa zawadi kwa klabu za @simbasctanzania na @yangasc kama ishara ya kutambua mchango wao katika kutangaza na kukuza chapa ya @ligikuu ya @nbc_tanzania ndani na nje ya Bara la Afrika kutokana na mafanikio yao kwenye michuano ya CAF kwa ngazi ya klabu.

Imeandaliwa na (@mussa.katuga)

Swahili News

07 Dec, 09:58


Azam Sports

SERIE A

Saa 2:00 usiku, Juventus watakuwa uwanja wa nyumbani Allianz wakiwakaribisha Bologna.

Juventus wanaingia katika mchezo huu wakiwa nafasi ya sita huku Bologna wakiwa nafasi ya nane.

Je, ni wenyueji wa mchezo ama wageni nani kuondoka na alama tatu?

Mchezo huu utaruka mbashara kupitia

Swahili News

07 Dec, 09:58


Azam Sports

BUNDESLIGA

Miamba Bayern Munich, Bayer Leverkusen na Borussia Dortmund wapo dimbani leo, je wataondoka na alama tatu ama kuangusha alama?

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama michezo hii.

Swahili News

07 Dec, 09:58


Azam Sports

Leo Barcelona na Real Madrid wapo viwanja vya ugenini.

Barcelona atakuwa nyumbani kwa Real Betis huku Madrid akiwa Girona.

Je, nani kuondoka na alama tatu nani kudondosha?

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mechi hizi mbashara kupitia AzamSports4HD

Swahili News

07 Dec, 09:16


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Mazingira rafiki ya Uwekezaji nchini yanaelezwa kuwa na tija hasa kwenye ushirikiano wa kibiashara baina ya nchi ya Tanzania na Malawi ambapo imesaidia ufanyaji wa Biashara kuwa rahisi baina ya Nchi hizo mbili.

Ameyasema hayo Meneja wa Biashara Dennis Hyera, kwenye ziara ya Makamishna wa Mamlaka ya Mapato ya Malawi "Malawi Revenue Authority" walipotembelea Kiwanda cha "Keds Tanzania Company Limited" kilichopo Kibaha mkoani Pwani ambapo Meneja Biashara wa kampuni hiyo amesema ushirikiano huo unalenga kukuza pato la Taifa na kuimarisha uchumi kwa wananchi wa Malawi na Tanzania kunufaika na bidhaa kwa bei nafuu.

Habari @imeldamtema
🔴Download Onasasa App, follow Global TV, like, comment ujifunze namna ya kutengeneza fedha mtandaoni.

Swahili News

07 Dec, 09:16


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watuhumiwa wanne kwa tuhuma za mauaji ya mtumishi wa TRA, Amani Simbayao aliyefariki wakati akipatiwa matibabu baada ya yeye na wenzake kushambuliwa wakiwa wanatekeleza majukumu yao, eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amewataja wanaoshikiliwa kuwa ni Deogratius Masawe (40), Bakari Iddi (30), Omary Issa na Rashid Mtonga (29) ambao pia wanatuhumiwa kumjeruhi mtumishi mwingine wa TRA, Adriano Fedrick.

Video kamili ipo Youtube, Global TV.

Swahili News

07 Dec, 09:16


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

GLOBAL TV imefika Nyumbani kwa Mtanzania aliyefariki akiwa anapatiwa matibabu nchini India.

Video ipo You

Swahili News

07 Dec, 09:16


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

DOKTA MKWAMBA, Mtaalamu wa tiba kutoka Pangani, Tanga aliyebobea kwenye matibabu ya magonjwa sugu mbalimbali yanayowasumbua watu anatarajiwa kutua jijini Dar es Salaam kuanzia Desemba 3, 2024.

Dokta Mkwamba anatibu matatizo ya uzazi kwa wanawake na wanaume, kusumbuliwa na ganzi mwilini, maumivu yasiyokwisha ya mgongo na kiuno, miguu kuwaka moto, maumivu ya kichwa yasiyokwisha na kukosa hamu ya kula.

Dokta Mkwamba anapatikana kwa simu namba
0678121625 au WhatsApp: 0752388329

Au fika ofisini kwake Pangani mkoani Tanga lakini kwa wakazi wa Dar es Salaam, atakuwepo kuanzia Desemba 3, 2024 kufuatia maombi ya watu wengi.

Swahili News

07 Dec, 09:16


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Usiku wa jana, wasanii wakongwe wa muziki, Juma Nature, Inspector Haroun na Mzee Yussuf walikiwasha kinomanoma kwenye Tamasha la Mafia Island Festival lililofanyika kisiwani Mafia mkoani Pwani katika eneo la Base Camp, Utende.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Mafia, Shabani Shabani ni mmoja wa viongozi waliokuwepo wakiungana na wananchi katika burudani.

Swahili News

07 Dec, 09:14


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Injini yako inahitaji rafiki wa kudumu. Chagua Rubia uone utofauti.

Swahili News

07 Dec, 09:00


@HabariTz ✰✰✰

TRT Afrika Swahili

Baadhi ya wasanii wa Afrika watakaotumbuiza kwenye jukwaa la Coachella 2025.

Swahili News

07 Dec, 08:53


Waasi wateka sehemu kubwa ya eneo kuu la kusini mwa Syria - ripoti

Swahili News

07 Dec, 07:54


Azam Sports

MAPINDUZI CUP 2025: Kikosi cha wachezaji wa zamani wa soka hapa Zanzibar (Zanzibar Old Stars) kama kawaida yao, asubuhi wameupiga mwingi katika dimba la Mao kisha 'wakapoz' kwa ajili ya picha.

Wakali hawa wa soka wanasema

(Imeandaliwa na @allymufti_tz)

Swahili News

01 Dec, 17:33


Mgombea wa upinzani Namibia akiri hatatambua matokeo ya uchaguzi wa rais

Swahili News

01 Dec, 17:19


Jioni

Swahili News

01 Dec, 17:10


@HabariTz ✰✰✰

Bringing criminal puppy traders to heel | DW Documentary
Experts estimate that Europe’s dog mafia makes around a billion Euros every year. Birgitt Thiesmann from the animal welfare foundation "Four Paws” fights against the illegal puppy trade.

The activist follows the trail of this business all over Europe. She talks to animal sanctuaries, police, vets and duped buyers. "I’ve been physically attacked and of course, you receive threats,” says Birgitt Thiesmann, "that’s just simply part of the job.” For more than 20 years, Birgitt worked as a reporter for the German youth magazine "Bravo”. After writing a reportage on the illegal puppy trade in Europe, she joined "Four Paws". Since then, she’s been part of the fight against criminal traders. Experts estimate they earn around one billion Euros selling puppies in Europe. This makes the illegal puppy trade just as lucrative as the criminal trade in drugs, weapons or women.

"The puppies are usually terminally ill. They’re not...

Swahili News

01 Dec, 16:32


UN yatoa wito wa kushughulikia kwa haraka mzozo wa Sudan

Swahili News

01 Dec, 16:17


Rais Biden aelekea Angola katika ziara yake ya kwanza barani Afrika

Swahili News

01 Dec, 16:14


@HabariTz ✰✰✰

Swahili News

01 Dec, 16:14


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali wa serikali pamoja na wa kimila wa jamii ya Kimasai (Malaigwanani) wanaoishi Ngorongoro na maeneo jirani katika Ikulu ndogo ya Arusha leo Desemba 1, 2024.

🔴Download Onasasa App, follow Global TV, like, comment ujifunze namna ya kutengeneza fedha mtandaoni.

Swahili News

01 Dec, 16:12


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Rais Mstaafu na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Jakaya Mrisho Kikwete hapo jana, Novemba 30, 2024 aliongoza mahafali ya 54 duru ya nne ya 2024 ya chuo hicho yaliyofanyika Katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

🔴Download Onasasa App, follow Global TV, like, comment ujifunze namna ya kutengeneza fedha mtandaoni.

Swahili News

01 Dec, 16:11


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Wadau mbalimbali hapo jana Jumamosi, Novemba 30, 2024 walijumuika katika Viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumbukumbu na dua kwa wapendwa wao waliotangulia mbele za haki ikiwa ni mwaka wa 10 sasa toka mpango huo uanzishwe.

🔴Download Onasasa App, follow Global TV, like, comment ujifunze namna ya kutengeneza fedha mtandaoni.

Swahili News

01 Dec, 16:11


Azam Sports

Goli la pointi tatu kwa Pamba Jiji likitiwa nyavuni na George Mpole.

FT: Pamba Jiji 1-0 Ken Gold.

Inafuata Dodoma Jiji vs Azam FC saa 3:00 usiku LIVE

Swahili News

01 Dec, 16:11


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Wazazi mbalimbali wa wanafunzi wanaosoma katika Shule ya Awali na Msingi ya Trinity Pre & Primary School iliyopo Bunju B jijini Dar es Salaam, wameisifia shule hiyo kwa jinsi ilivyowabadilisha watoto wao na kuwafanya waelewe haraka masomo.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wakati wa mahafali ya watoto wanaotarajiwa kuanza darasa la kwanza, wazazi hao wameupongeza uongozi wa shule na walimu kwa juhudi wanazozifanya na kuwashauri wazazi wengine kuwapeleka watoto wao shuleni hapo.

Shule ipo Bunju B, Dar es Salaam, Mtaa wa Mazingira Namba 8, kwa mawasiliano zaidi wapigie kupitia
+255 786962978
+255 767483590

Video ipo You

Swahili News

24 Nov, 21:37


@HabariTz ✰✰✰

Bishop T.D. Jakes apatwa na tatizo la kiafya madhabahuni baada ya mahubiri ya Jumapili
Tufuate kwenye Ukurasa wetu wa Facebook kwa kubonyeza link hii -

Swahili News

24 Nov, 20:41


@HabariTz ✰✰✰

ZUCHU na DIAMOND warudiana! Ni Mahaba Mazito kwenye Birthday Party
Tufuate kwenye Ukurasa wetu wa Facebook kwa kubonyeza link hii -

Swahili News

24 Nov, 19:40


Azam Sports

MATOKRO |
FT: Leganes 0-3 Real Madrid (Mbappe 43’, Valvede 66’, Bellingham 85')

Ilikuwa LIVE

Swahili News

24 Nov, 19:02


Azam Sports

“Tunakwenda kurekebisha makossa” maneno ya Kocha Mbwana Makata wa Tanzania Prisons alipozungumza baada ya timu yake kufungwa na JKT Tanzania.

Kwa upande wa Kocha Ahmad Ally wa JKT Tanzania, anasema mechi haikuwa rahisi
FT: JKT Tanzania 1-0 Tanzania Prisons

Swahili News

24 Nov, 19:02


Azam Sports

Neno kutoka kwa Mecky Maxime, kocha wa Dodoma Jiji na John Matambala, kocha msaidizi wa KMC walipozungumza baada ya mechi.

FT: Dodoma Jiji 2-1 KMC
Kesho Jumatatu saa 4:00 asubuhi ni Tabora Unite dhidi ya Singida Black Stars, LIVE

Swahili News

24 Nov, 19:00


Azam Sports

50’ |
Leganes 0-1 Real Madrid (Mbappe 43’)

Iko LIVE

Swahili News

24 Nov, 19:00


Azam Sports

MAPUMZIKO |
HT: Leganes 0-1 Real Madrid (Mbappe 43’)

Iko LIVE

Swahili News

24 Nov, 19:00


Azam Sports

MATOKEO |

FT: Napoli 1-0 Roma (Lukaku 54’)

Ilikuwa LIVE

Swahili News

24 Nov, 19:00


Azam Sports

Torebobe vs Ingwe🔥🔥.. Gusii Stadium, Wednesday, live on AzamSports3HD and AzamTv Max App

Swahili News

24 Nov, 18:04


Israel imelaani mauaji ya raia wake aliyeuawa UAE

Swahili News

24 Nov, 17:51


Iran imesema itafanya mazungumzo ya nyuklia na nchi tatu za ulaya

Swahili News

24 Nov, 17:47


@HabariTz ✰✰✰

Mwili wa Bridget, mdogo wake Neema wapatikana leo, siku 8 baada ya ghorofa la Kariakoo kuropomoka
Tufuate kwenye Ukurasa wetu wa Facebook kwa kubonyeza link hii -

Swahili News

24 Nov, 17:26


Azam Sports

Tazama ‘mishuti’ iliyopigwa kwenye mchezo wa kati ya Mlandege FC dhidi ya KMKM.

FT: Mlandege 2-1 KMKM

Ilikuwa LIVE

Swahili News

24 Nov, 17:25


Azam Sports

Goli la kutangulia la Dodoma Jiji likiwekwa nyavuni na Iddi Kipagwile kwa mkwaju wa penati.

HT: Dodoma Jiji 1-0 KMC

Iko LIVE

Swahili News

24 Nov, 17:25


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Mwili wa mdogo wake Neema Sanga, umepatikana leo Novemba 24, 2024 Kariakoo mara baada ya zoezi la uokoaji likiwa linaendelea.

Video ipo You

Swahili News

24 Nov, 17:25


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Mama mzazi wa Magdalena Joseph, Mwajuma Aabdurahman kupitia kipindi cha Mapito ya Global TV amefunguka na kueleza kwamba hakuna chenye thamani zaidi ya mtoto katika hali yeyote.

Aidha, mama huyo ameendelea kuwaomba viongozi wa nchi na Watanzania wote kumchangia matibabu ya mwanae aliye katika hali mahututi katika hospitali ya 'People Tree' iliyoko Bangalore nchini India.

Namba ya mchango:
0742540189 Joseph Stanclaus (Baba mzazi wa Magdalena Joseph)

Video ipo You

Swahili News

24 Nov, 17:25


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo leo Novemba 24, 2024 ameshiriki katika misiba miwili akiwa Buchosa, Mwanza.

Shigongo alianza kushiriki katika msiba wa Hekima Jackson aliyefariki kwa ajali ya gari, lakini pia alishiriki katika msiba wa Bugangalia Kamiga Baba mdogo wa M/kiti wa CCM kata ya Bulyaheke.

Shigongo ametoa pole kwa wanafamilia waliondokewa na wapendwa wao.

Swahili News

21 Nov, 14:45


@HabariTz ✰✰✰

TRT Afrika Swahili

“Je, kuna mkataba wa Umoja wa Mataifa kwa Israeli ambao ni tofauti na katiba tuliyo nayo sote?”

Mjumbe wa Palestina katika Umoja wa Mataifa Majed Bamya alikosoa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, akiweka wazi unafiki wa sheria za kimataifa baada ya Marekani kupiga kura ya turufu kwa mara ya nne kupinga azimio la kusitisha mapigano Gaza.

Swahili News

21 Nov, 14:45


@HabariTz ✰✰✰

TRT Afrika Swahili

Unadhani ni ipi nafasi ya upinzani katika uchaguzi huu?

Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini Tanzania Chadema akizungumza na wananchi wa Nyamongo, Tarime vijijini. Baadae hii leo kiongozi huyo atazindua kampeni kanda ya Serengeti. Kwa mujibu wa Chadema, uzinduzi huo utafanyika katika jimbo la Tarime mjini.

Kampeni hizi za vyama vya kisiasa nchini Tanzania ni kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopangwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu.

Hata hivyo, kumekuwa na malalamiko kutoka upinzani wakidai kuenguliwa kwa baadhi ya viongozi wao.
Kwa upande wake, Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa, amesema kwamba baadhi ya wagombea wa vyama mbalimbali ambao awali waliwasilisha malalamiko yao kwa mamlaka zinazohusika na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchini humo tayari wamerejeshwa katika nafasi zao.

Swahili News

21 Nov, 14:40


@HabariTz ✰✰✰

NIMEKOMA KUCHAGUA WANAUME - PART 3
We are 100% privately-owned. Our ethos outlines the one goal we strive for - to offer content production and promotions all at affordable, sustainable prices. We are here for the long-term, fostering customer relationships that last for a lifetime.

Swahili News

21 Nov, 14:19


VOA Express

Swahili News

21 Nov, 14:12


@HabariTz ✰✰✰

MWIJAKU awachana Wafanyakazi wenzake na DIVA THE BAWSE ''Roho imeniuma sana, nimeumia sana''
Tufuate kwenye Ukurasa wetu wa Facebook kwa kubonyeza link hii -

Swahili News

21 Nov, 14:11


@HabariTz ✰✰✰

Javier Milei - Savior or destroyer? | DW Documentary
Formerly a political outsider, in November 2023 Javier Milei was elected president of Argentina. A libertarian and self-described anarcho-capitalist, he believes in the power of the free market and self-regulation, slashing public spending and reducing state intervention to a minimum.

Watch the documentary on our channel.

Swahili News

21 Nov, 14:11


@HabariTz ✰✰✰

Serikali ya Zimbabwe yaombwa kutatua uhaba vifaa vya matibabu ya Saratani
Wagonjwa wa saratani na watetezi wa tiba bora, wanaitaka serikali ya Zimbabwe kuhakikisha kwamba vituo vya kutibu saratani vina vifaa vya kutosha kuwatibu wagonjwa. Baadhi ya wagonjwa wanasema hospitali za serikali hazina vifaa vya matibabu.

VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili.

Swahili News

21 Nov, 14:01


@HabariTz ✰✰✰

MWIJAKU asema ROYCE ROLLYS ya DIAMOND ni mbovu ina Breki za hovyo, afunguka hajanunua Cybertruck
#diamondplatnumz #mwijaku
Tufuate kwenye Ukurasa wetu wa Facebook kwa kubonyeza link hii -

Swahili News

21 Nov, 13:51


@HabariTz ✰✰✰

Mauaji ya Wanawake Kenya yaongezeka
Kenya imeripoti ongezeko la mauaji ya wanawake katika hali ya kutatanisha tangu mwaka 2017. Takwimu za shirika la Africa Data Hub zinaonyesha zaidi ya wanawake 500 wameuawa kati ya mwaka 2016 na 2023. Mauaji yenye utatanishi ya wanawake yameibua lawama kote
nchini na sasa mashirika ya kutetea haki za wanawake yanaitaka serikali ya Kenya kutangaza mauaji hayo janga la kitaifa.

VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili.

Swahili News

21 Nov, 13:43


@HabariTz ✰✰✰

Uchafu waziba bwawa la kuzalisha umeme DRC
Chupa za plastiki, madumu na uchafu mwingine unaoziba bwawa la kufua umeme la Ruzizi Mashariki mwa Congo zinasababisha kukatika kwa umeme mara kwa mara na kuvuruga biashara, na hivyo kusisitiza changamoto za mazingira na uchumi katika eneo lenye upatikanaji mdogo wa huduma kwa umma.

VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili.

Swahili News

21 Nov, 13:37


@HabariTz ✰✰✰

MWIJAKU ammwagia sifa YAMMI, ampa MILIONI 50 katika hili, amtaja NANDY, historia kuwekwa DODOMA

Tufuate kwenye Ukurasa wetu wa Facebook kwa kubonyeza link hii -

Swahili News

21 Nov, 13:36


@HabariTz ✰✰✰

MAAJABU YA MJI WA TANGA - PART 2
We are 100% privately-owned. Our ethos outlines the one goal we strive for - to offer content production and promotions all at affordable, sustainable prices. We are here for the long-term, fostering customer relationships that last for a lifetime.

Swahili News

21 Nov, 13:31


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Kijana mmoja anayefahamika kwa jina la Julius Kimario maarufu Babuu Mkazi wa Mtaa wa Mianzinii katika Kata ya Kiranyi Wilayani Arumeru Mkoani Arusha amekutwa na chupa lita 70 za mkojo na ndoo za kinyesi sita huku akidai kwamba amezihifadhi kwenye chumba hicho anachoishi kwa miezi minne.

Julius anayejishughulisha na kazi ya ufundi wa maturubai ambaye amezua taharuki katika eneo hilo amesema kuwa Watu wanashangaa lakini hajihusishi na imani za kishirikina

“Hiyo haina shida yeyote sio imani za kishirikina wao ndio wanaoamini, nimejisaidia kwa kipindi cha miezi minne yale ni maji machafu yamechanganyika na kinyesi”

Wananchi wa eneo hilo walifika katika chumba hicho na kukuta Kijana huyo akiwa analala chini huku vitu mbalimbali vikikutwa chumbani kama fedha za zamani, vitabu mafuta huku wakimtaka ahame eneo hilo.
#MillardAyoUPDATES

Swahili News

21 Nov, 13:31


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa tiketi za ndege za kwenda na kurudi pamoja na posho ya kujikimu kwa timu ya taifa ya Umoja wa Gofu wa Wanawake (TLGU).

Hayo yamebainishwa na Ofisa Michezo kutoka Baraza la Michezo Taifa (BMT) Charles Maguzu katika viwanja Gymkana jijini Dar Es Salaam katika hafla fupi ya kuwaaga na kuwakabidhi bendera ya Taifa kwa ajili ya kuiwakilisha nchi katika mashindano ya bara la Afrika nchini Morocco.

🔴Download Onasasa App, follow Global TV, like, comment ujifunze namna ya kutengeneza fedha mtandaoni.

Swahili News

21 Nov, 13:31


globalpublishers

Chama cha ACT Wazalendo kimejinadi kuwa endapo kitapewa mamlaka na wananchi katika uchaguzi wa serikali za mitaa kitahakikisha kinatatua tatizo la usalama wa wananchi kwa kudhibiti ukamataji holela unaotajwa kufanywa na Jeshi la Polisi bila ya kutoa taarifa kwenye serikali ya kijiji au kitongoji.

Akizungumza wakati akifungua kampeni za ACT za uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika kijiji cha Songambele kilichopo kata ya Uyowa, jimbo la Ulyankulu mkoani Tabora, Novemba 20, 2024, Kiongozi mstaafu wa Chama hicho, Zitto Kabwe amesema ni muda mwafaka wa kuhakikisha utaratibu wa ukamataji watu unafuatwa, na kwamba hilo litawezekana tu ikiwa tu kutakuwa na utawala mzuri wa sharia ngazi ya kijiji utakaowekwa na chama hicho endapo kitapewa ridhaa

Sambamba na hilo. kiongozi huyo amesema chama chake kikipata ridhaa kitakomesha rushwa katika ofisi za vijiji kwa kuhakikisha kinatoa huduma bure kwa wananchi.

Naye Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake wa ACT Wazalendo Taifa,...

View original post

Swahili News

21 Nov, 13:31


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Mwili wa marehemu Neema Sanga aliyefariki katika ajali ya kuporomoka kwa ghorofa Kariakoo, ulivyoingizwa Kanisa kwa ajili ya Ibada maalum ya kumuaga.

Video ipo You

Swahili News

21 Nov, 13:31


Azam Sports

PAMBA JIJI vs SIMBA: “Tupo tayari kwa mechi na maandalizi yameenda vizuri” maneno ya Kocha Fadlu Davids wa Simba SC, akizungumzia mchezo wa kesho wa NBC Premier League dhidi ya wenyeji wao Pamba Jiji.

Kwa upande wake Kocha Fred Felix ‘Minziro’ amesema baada ya kupata matokeo mazuri kwenye mchezo wao uliopita dhidi ya Fountain Gate FC, presha sasa imepungua.

Nao wachezaji wa timu zote mbili Salum Ally Kipemba na Shomari Kapombe watoa neno kuelekea mchezo huo.

Mechi ni saa 10:00 jioni na itakuwa LIVE (Imeandikwa na @allymufti_tz)

Swahili News

21 Nov, 13:30


Azam Sports

Droo ya hatua ya 64 bora CRDB Bank Confederation Cup kufanyika Ijumaa hii Novemba 22, saa 5:30 asubuhi na kuruka mbashara kupitia AzamSports1HD.

Swahili News

21 Nov, 13:28


@HabariTz ✰✰✰

Morocco kujenga uwanja wa Mpira mkubwa Duniani utakaogharimu Tririoni 1.2 kwaajili ya Kombe la Dunia
Tufuate kwenye Ukurasa wetu wa Facebook kwa kubonyeza link hii -

Swahili News

21 Nov, 12:56


@HabariTz ✰✰✰

Walimkataa Asioe Binti Yao Wakidhani Ni Kijana Masikini. Baba Yake Alipokuja Mji Ulisimama

Swahili News

18 Nov, 14:29


@HabariTz ✰✰✰

Swahili News

18 Nov, 14:29


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa leo November 18,2024 amewaongoza Viongozi, Ndugu, Jamaa na Marafiki pamoja na Waombolezaji wengine mbalimbali katika viwanja vya Mnazi mmoja, kuiaga miili ya waliofariki kwenye poromoko la ghorofa Kariakoo Jijini Dar es salaam.
#MillardAyoUPDATES

Swahili News

18 Nov, 14:27


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo ameshiriki zoezi la kuaga miili ya waliofariki kwenye ajali ya kuporomoka kwa ghorofa Kariakoo, leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es salaam.

✍️ @stephagraphics

Video ipo You

Swahili News

18 Nov, 14:27


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Vilio vya waombolezaji vyatawala leo Novemba 18, 2024 katika viwanja vya Mnazi Mmoja katika zoezi la kuaga miili ya waliofariki kwenye ajali ya kuporomoka kwa ghorofa Kariakoo.

Video ipo You

Swahili News

18 Nov, 14:27


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Karibu kwenye Workshop ya Mfumo wa Usimamizi wa Shule (SHULEAPP)

Je, unataka kurahisisha usimamizi wa shule yako, kuboresha mawasiliano, na kuongeza ufanisi wa kazi? Workshop yetu inakupa fursa ya kujifunza na kuwekeza kwenye mfumo wa kisasa wa usimamizi wa shule ambao utaimarisha utendaji wa shule yako na kuongeza ufanisi.

Tarehe: 5 Disemba 2024
Mahali: JNICC (Ukumbi wa mikutano) Posta
Muda: Saa 3 asubuhi – 9 alasiri
Washiriki Wanaolengwa: Wakuu wa shule, wamiliki wa shule, walimu na wadau wa elimu.

Jisajili kupitia;

Swahili News

18 Nov, 14:27


Azam Sports

Klabu ya soka ya Yanga, imemtangaza Mustafa Kodro kuwa kocha msaidizi akiungana na Sead Ramovic ambaye ni kocha mkuu.

Kodro ni raia wa Bosnia and Herzegovina na ana umri wa miaka 43. Kabla ya kutangazwa leo na Yanga, kiungo huyo wa zamani wa soka alikuwa kocha msaidizi katika klabu ya TS Galaxy ya Afrika Kusini.

(Imeandaliwa na @allymufti_tz)

Swahili News

18 Nov, 14:27


Azam Sports

Bado siku sita kufika Novemba 24, Mashemeji Derby kupigwa ni AFC Leopards dhidi ya Gor Mahia

Mechi hii kupigwa saa 10:00 jioni na kuruka mbashara AzamSports3HD

@momanyi_elijah @official_gmfc @afcleopards_sc

Swahili News

18 Nov, 14:27


Azam Sports

MAPUMZIKO |
HT: JKT Queens 4-0 Ceasiaa Queens

Iko LIVE

Swahili News

18 Nov, 14:27


@HabariTz ✰✰✰

Swahili News

18 Nov, 14:27


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa leo November 18,2024 amewaongoza Viongozi, Ndugu, Jamaa na Marafiki pamoja na Waombolezaji wengine mbalimbali katika viwanja vya Mnazi mmoja, kuiaga miili ya waliofariki kwenye poromoko la ghorofa Kariakoo Jijini Dar es salaam.
#MillardAyoUPDATES

Swahili News

11 Nov, 23:33


Alix Didier aapishwa Waziri Mkuu mpya wa Haiti na kuahidi kurejesha usalama

Swahili News

11 Nov, 20:47


@HabariTz ✰✰✰

Afrika itarajie nini baada ya Marekani kumrejesha tena Donald Trump Madarakani?
Viongozi wa nchi za Afrika watuma salamu za pongezi kwa rais mteule wa Marekani kufuatika ushindi katika uchaguzi mkuu wa Marekani ambapo alichaguzliwa tena kuwa rais ya nchi hiyo kwa mara ya pili.

VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili.

Swahili News

11 Nov, 19:39


Azam Sports

GAMONDI AIONGOZA YANGA MAZOEZINI: Usikie uchambuzi wa kina kuhusu takwimu za Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi tangu atue mitaa ya Jangwani.

Mchambuzi wa soka @godlisten_muro7 ‘anatema’ madini

(Imeandikwa na @allymufti_tz)

Swahili News

11 Nov, 19:39


Azam Sports

STARS YAZIDI KUNOGA: “Simon Msuva tayari amekwisha ripoti kambini” maneno ya Afisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Clifford Mario Ndimbo akizungumzia muendelezo wa wachezaji wanaocheza kimatifa kuripoti kambini kwa ajili ya mechi za
Taifa Stars inajiandaa kuvaana na Ethiopia Novemba 16, kisha itaikaribisha Guinea ndani ya dimba la Benjamin Mkapa mnamo Novemba 19, 2024.

(Imeandaliwa na @allymufti_tz)

Swahili News

11 Nov, 19:38


Azam Sports

YANGA NA SABABU ZA KUHAMA UWANJA: “Kukaa mbali sisi na mtani wetu hatujazoea” maneno ya Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe akitaja sababu za wao kuamua kuhamia dimba la KMC Complex.

(Imeandikwa na @allymufti_tz)

Swahili News

11 Nov, 19:38


Azam Sports

KUFUZU AFCON 2025: Wachambuzi wa soka ambao pia ni waandishi wa habari za michezo nchini, Abdul Mkeyenge na Charles Abel watia neno kuelekea mechi mbili za Taifa Stars za
Taifa Stars inajiandaa kuvaana na Ethiopia Novemba 16, kisha itaikaribisha Guinea ndani ya dimba la Benjamin Mkapa mnamo Novemba 19, 2024.

(Imeandaliwa na @allymufti_tz)

Swahili News

11 Nov, 19:38


Azam Sports

SIMBA YATOA NENO YANGA KUHAMIA KMC: “Sisi hatuhami uwanja wa KMC” maneno ya Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally akizungumzia taarifa za watani wao Yanga SC, kuhamia katika dimba la KMC Complex, Mwenge.

(Imeandikwa na @allymufti_tz)

Swahili News

11 Nov, 19:36


Azam Sports

Waamuzi wa soka nchini waanza ‘kula shule’ ya VAR, Mkurugenzi wa Mashindano wa TFF, Salum Madadi atoa neno.

Swahili News

11 Nov, 19:36


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Habari yako mdau wangu karibu #Jamvini, Siku hizi ugomvi kwenye mahusiano imekuwa kama ni jambo la kawaida. Watu wanagombana kwelikweli. Utakuta mtu haipiti mwezi mmoja bilagombana na mpenzi wake. Anampenda, hayupo tayarimpoteza lakini maisha yao kila siku ni ugomvi. Mara nyingi ugomvi unapotokea, ladha ya pendo hupungua. Inachukua mudarudi kwenye upendo wa awali mara baada ya wapendanaogombana. Wahusika wanakuwa wanaukataa ugomvi lakini wapi, baada ya muda unatokea.

Nimekuwa nikipokea malalamiko mengitoka kwa wasomajihusu suala zima la ugomvi. Ngoja ‘tushee’ hapa kwa pamoja ujumbe huutoka kwa dada mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Sasha: “Kaka naomba msaada wako, nimekuwa nikigombana mara kwa mara na mpenzi wangu. Imefika mahali hadi napoteza kabisa hamu ya mapenzi. Hata ninapotakakutana naye, nawaza tu lazimatatokea ugomvi.

“Wakati mwingine naamuamuepuka kwatokutana naye automsemesha kabisa. Napata furaha ninapokuwa peke yanguliko ninapokuwa na mpenzi wangu, tulia......

Swahili News

11 Nov, 19:36


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

UTEUZI 📌

Swahili News

11 Nov, 19:28


@HabariTz ✰✰✰

Tshisekedi na Museveni kufanya makubaliano ya kijeshi
Na huko Beni katika jimbo la Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo jeshi la serikali ya Congo FARDC na lile la Uganda, UPDF wamefikia makubaliano mapya ya ushirikiano wa kijeshi, hii ni baada ya Rais wa Congo Felix Tshisekedi kukutana na mwenzake wa Uganda, Yoweri Museveni mjini Kampala katika siku za hivi karibuni.

VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habarilimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili.

Swahili News

11 Nov, 19:24


Mkutano wa COP29 waanza Azerbaijan

Swahili News

11 Nov, 19:18


@HabariTz ✰✰✰

Mkutano wa COP29 waanza Azerbaijan
Mkutano wa hali ya hewa COP29 unafanyika hivi leo Jumatatu huko Baku, Azerbaijan – nchi ambayo uchumi wake kwa kiasi kikubwa unahusu mauzo ya mafuta ghafi. Kwa zaidi ya siku 21, viongozi wa dunia na maelfu ya wajumbe watajaribu kushauriana juu ya njia ya kupunguza hewa chafu, huku kukiwa na maonyo kuwa viwango vya hali ya joto joto ulimwenguni si vikubwa.

VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habariimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili.

Swahili News

11 Nov, 19:12


@HabariTz ✰✰✰

Maswali yazuka kuhusu Trump atakavyotekeleza ahadi zake zampeni
Wakati utawala mpya wa Rais-mteule wa Marekani Donald Trump unaanza kuonekana utakavyokuwa, maswali kuhusu jinsi atakavyotekeleza ahadi zake zampeni, au hatama atataka kulipiza kisasi dhidi ya maadui wake, yakotika mawazo ya Wamarekani wengi. Wanaounga mkono maendeleo wakati huo huo, wanatafakari juu ya kushindwa kuingia White House

VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili.

Swahili News

11 Nov, 18:44


Makamu Rais wa Botswana atahudumu pia kama waziri wa fedha nchini humo

Swahili News

11 Nov, 18:44


Mkutano wa COP29 waanza Azerbaijan

Swahili News

11 Nov, 18:44


Waziri Mkuu wa Mauritius amekubali muungano wake unaelekea kushindwa

Swahili News

11 Nov, 18:44


Kwa Undani

Swahili News

11 Nov, 18:43


@HabariTz ✰✰✰

RICARDO MOMO GAMOND AMESHAMLA KICHWA/RASMI YANGA WAMEACHANA NA GAMOND NA BENCHI LOTE

Swahili News

11 Nov, 18:39


Trump amemteua Elise Stefanik kuwa balozi wa Marekani katika UN

Swahili News

02 Nov, 22:02


Azam Sports

Kimoko cha ugenini...!!!

FT: Monza 0-1 AC Milan

Ilikiwa LIVE

Swahili News

02 Nov, 20:48


Azam Sports

Kesho ni mchezo wa marudiano kufuzu CHAN kati ya Tanzania na Sudan.

Kuelekea mchezo huo, kocha Bakari Shime anasema kiwango walichokionesha ugenini watakihamishia Kwa Mkapa huku Nahodha Aishi Manula akiweka matumaini yake kwa "wachezaji vijana wenye njaa".

Hiki ndicho wamezungumza kuelekea mchezo huo....

Mechi itapigwa saa 10 jioni na itakuwa LIVE

Swahili News

02 Nov, 20:48


Azam Sports

Neno la makocha baada ya mechi....wote wanalia na matumizi sahihi ya nafasi zilizotengenezwa..

FT: Singida BS 0-0 Coastal Union.

Kesho ni Taifa Stars vs Sudan LIVE

Swahili News

02 Nov, 20:48


Azam Sports

MAPUMZIKO |

HT: Monza 0-1 AC Milan

LIVE

Swahili News

02 Nov, 20:48


Azam Sports

MSIMAMO: Vita kali ‘top-four’... tofauti ni pointi moja moja tu...!!!

Swahili News

02 Nov, 20:48


Azam Sports

‘Nyau-Nyau’

FT: Singida BS 0-0 Coastal Union.

Kesho ni Taifa Stars vs Sudan LIVE

Swahili News

02 Nov, 20:48


Azam Sports

Mechi tamu...Pointi tatu kwa BVB.

FT: Dortmund 2-1 Leipzig

Kaa tayari kwa bonge la game kwenye Serie A, Monza vs AC Milan LIVE

Swahili News

02 Nov, 19:12


Azam Sports

“.....hakuna anayependa kupoteza lakini inabidi tukubali...hii ni sehemu ya soka”.

Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi anasema kilichomgharimu ni kadi nyekundu lakini pia kipindi cha pili wamecheza vizuri zaidi ya Azam licha ya kuwa pungufu....

Naye kocha wa Azam FC, Rachid Taousi anaeleza furaha yake kuwa timu ya kwanza kufunga goli dhidi ya yanga anautoa ushindi huu kama zawadi kwa mashabiki na bosi wao...

Mchezaji bora wa mchezo huu ni kiungo wa Azam FC, Adolf Mutasingwa na anakabidhiwa tuzo yake kutoka Benki ya NBC.

FT: Yanga 0-1 Azam

Swahili News

02 Nov, 19:12


Azam Sports

MAPUMZIKO |

HT: Singida BS 0-0 Coastal Union.

LIVE

Swahili News

02 Nov, 19:12


Azam Sports

80’ |

Udinese 0-2 Juventus

LIVE

Swahili News

02 Nov, 19:12


Azam Sports

MAPUMZIKO |

HT: Udinese 0-2 Juventus

LIVE

Swahili News

02 Nov, 19:12


Azam Sports

65’ |

Dortmund 2-1 Leipzig

LIVE

Swahili News

02 Nov, 19:12


Azam Sports

Ushindi kwa Juve....

FT: Udinese 0-2 Juventus

Inafuata Monza vs AC Milan LIVE

Swahili News

02 Nov, 17:38


Azam Sports

Magoli yote manne yameelekea kwenye lango moja... Gor Mahia wakichomolewa dakika za jiooooooooni!!!

FT: Gor Mahia 2-2 Murang’a Seal.

Swahili News

02 Nov, 17:38


Azam Sports

TATU BILA.....!!!

FT: Bayern 3-0 Union Berlin

Inafuata Dortmund vs Leipzig saa 2:30 usiku LIVE

Swahili News

02 Nov, 17:37


Azam Sports

Yamefungwa magoli saba....!!!

FT: Girona 4-3 Leganes

Inafuata Villarreal vs Rayo Vallecano saa 2:30 usiku LIVE

Swahili News

02 Nov, 17:37


Azam Sports

75’ |
Yanga 0-1 Azam

LIVE

Swahili News

02 Nov, 17:37


Azam Sports

89’ |
Yanga 0-1 Azam

LIVE

Swahili News

02 Nov, 17:37


Azam Sports

Hatimaye.....!!!!

Hii ni baada ya kushinda mechi nane mfululizo za ligi kuu msimu huu...

FT: Yanga 0-1 Azam.

Je, nini kimetokea??? Weka uchambuzi wako hapa...!!!

Swahili News

02 Nov, 17:12


Jioni

Swahili News

28 Oct, 16:16


@HabariTz ✰✰✰

Methieu Mwanafunzi wa Ufaransa aliyejiua kwa kupandikizwa ndevu kimakosa na mtu aliyejifanya daktari

Swahili News

28 Oct, 16:12


@HabariTz ✰✰✰

TRT Afrika Swahili

Klabu ya Manchester United ya nchini Uingereza imemfukuza kazi kocha Erik ten Hag kufuatia matokeo mabovu ya timu hiyo kwenye Ligi Kuu ya EPL.

Uamuzi huo unakuja saa chache baada ya Manchester United kufungwa 2-1 na West Ham katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza.

Kocha huyo raia wa Uholanzi, amehudumu kwa kipindi cha miaka miwili na nusu na nafasi yake inachukuliwa na nyota wa zamani wa klabu hiyo Ruud van Nistelrooy kama kocha wa mpito.

Swahili News

28 Oct, 16:08


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Onyesho kubwa la mavazi linatarajiwa kufanyika Novemba 3, 2024 visiwani Zanzibar Michamvi Kae ndani ya hoteli ya kisasa ya @olzadia ambapo ndani ya onyesho hilo la mavazi, mrembo anayeshikilia taji la urembo barani Ulaya 2023,Tamara Zhukova atakuwa mmoja wa wageni wanaotarajiwa kuwepo siku hiyo.

Onesho hilo limepewa jina la The Fusion International Fashion Meet Music ambapo linatarajiwa kuhudhuriwa na watu mbalimbali kutoka nchi tofautitofauti kama Ujerumani, Italia, Nigeria na nyingine nyingi.

Ili kushiriki, fanya 'Booking' mapema kupitia namba 0773499582.

@olezahotel

Full mahojiano yatakujia Youtube, Global TV.

Habari @imeldamtema
🎥 @crush_wa_dadayako

Swahili News

28 Oct, 16:08


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Makatibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya zote za mkoa wa Geita wamekabidhiwa pikipiki tano zenye thamani ya Shilingi milioni 17.

Pikipiki hizo zimetolewa na Ndugu Jesca John Magufuli na kukabidhiwa kwa Katibu wa UVCCM mkoa wa Geita, Ndugu Abel Shamakala ili kuongeza ufanisi wa utendaji wa shughuli mbalimbali za ujenzi wa Jumuiya katika mkoa huo, ikiwa ni pamoja na kuwahi vikao na kufika Kwa vijana na kutafuta kero zao.

Mjumbe wa Baraza Kuu UVCCM Taifa, Ndugu Reuben Saganyika amemshukuru Ndugu Jesca Magufuli kwa
mchango wake.

“Hizi pikipiki zitakwenda kufanya kazi, na hasa kipindi hiki cha Uchaguzi, pikipiki hizi zitakwenda kusaka kura za Chama Cha Mapinduzi, zitakwenda kuleta ushindi Kwa Chama Chetu ndani ya mkoa wetu wa Geita, hivyo tunakushuruku sana Dada yetu” amesema Cde. Saganyika.

#kijananakijani
#TunazimaZoteTunawashaKijani

Swahili News

28 Oct, 16:08


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Katika kudhihirisha ubora wa mfumo mpya wa seva za Akili Mnemba (AI) katika Apple Intelligence, kampuni hiyo ya Apple inayohusika na utengenezaji wa bidhaa kama simu na kompyuta imeahidi kutoa kiasi cha Dola za Kimarekani milioni 1 sawa na Tsh. 2,722,680,000/= kwa mtu yeyote atakayefanikiwa kudukua mfumo huo.

Kulingana na ripoti ya Zdnet, Apple hivi karibuni ilizindua changamoto ya kujaribu usalama wa seva ambazo zitakuwa na jukumu kubwa katika huduma zake za kijasusi za Apple, kisha kutangaza kwamba wataalamu wote wa usalama au mtu yeyote mwenye hamu ya udadisi wa kiufundi wajiaribu kudukua ili waweze kufanya uthibitisho wa madai yao.

Seva hiyo ya Apple Intelligence imepanga kuzinduliwa leo Oktoba 28 katika uzinduzi wa iOS 18.1 ambapo itakuja na maboresho mbalimbali katika vipengele vya Akili Mnemba katika simu za iPhone na maboresho katika huduma ya sauti ya Siri.

Swahili News

28 Oct, 16:07


globalpublishers

WAZIRI wa Maji Juma Aweso amewahakikishia wakazi wa Dar es Salaam na Pwani upatikanaji wa maji safi na salama katika mikoa hiyo kwani changamoto ya hitilafu ya mtambo wa kuzalisha maji wa Ruvu juu tayari imerekebishwa.

Waziri Aweso ameyasema haya leo Oktoba 28, 2024 katika ziara ya kukagua na kutembelea mtambo wa kuzalisha maji wa Ruvu Juu na kujione mwenyewe ukarabati uliofanywa na wahandishi wa Dawasa baada ya kutokea kwa hitilafu katika moja ya mitambo kiasi cha kuathiri uzalishaji wa maji safi na salama.

Amesema kwa kawaida mtambo wa Ruvu juu ukiwa katika hali ya ubora wake unazalisha maji kiasi cha lita 197milioni kwa siku , lakini baada ya kutokea kwa hitilafu uzalishaji wa maji ulikuwa katika kiwango cha chini kiasi cha lita 170milioni hivyo kuathiri upatikanaji wa majai katika maeneo hayo.

"Nilikuwa katika ziara ya mkoa wa Simiyu nikapata taarifa za kilele za malalamiko kuhusu kukosekana kwa maji hasa katika maeneo ya malamba mawili, Saranga, Mbezi Msakuzi,...

View original post

Swahili News

28 Oct, 16:07


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Katika hali ya kushangaza Jumamosi ya Oktoba 26, bibi harusi aliyefahamika Kwa jina la Sorelle Manuella, alianguka ghafla na kuaga Dunia wakati sherehe za harusi zikiendelea huko Douala Cameroon, baada ya kupata mshtuko wa moyo.

Sorelle aliyekuwa akiimba kwaajili ya mume wake alianguka ghafla, huku wengi wakidhani pengine alikuwa anaigiza kuchangamsha watu waliojitokeza lakini baada ya kuwa kimya Kwa muda ndipo wakagundua kuwa amepata na matatizo, na haraka jitihada za kumuokoa zikaanza na baadaye kumuwahisha hospitali.

Baada ya kupelekwa katika hospitali mbili tofauti, taarifa za Madaktari zilionyesha kuwa sorelle ameaga Dunia baada ya kupata mshtuko wa moyo wakati sherehe hizo zikiendelea.

Sorelle ameacha mume na watoto watatu, huku mtoto wake wa mwisho akiwa na umri chini ya mwaka mmoja.

Video hii inaonyesha tukio hilo.

🔴Download Onasasa App, follow Global TV, like, comment ujifunze namna ya kutengeneza fedha mtandaoni.ana kuboresha miundombinu katika viwanja hivyo.

Swahili News

28 Oct, 16:07


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Msanii wa sanaa ya kuingiza sauti kwenye vipande vya video mbalimbali Mkalimani OG @mkalimani

Swahili News

28 Oct, 16:05


Vifaru vya Israel vyazidi kusogelea miji miwili ya kaskazini mwa Gaza

Swahili News

28 Oct, 16:00


@HabariTz ✰✰✰

Saratani ya mfuko wa uzazi
Takwimu kutoka Muungano wa Saratani ya Ovari duniani zinaonesha kuwa saratani ya mfuko wa uzazi yani Ovari ni tishio kubwa kwa wanawake. Zaidi ya wanawake 900,000 ulimwenguni wamegunduliwa nayo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Nchini Kenya, ni saratani ya pili kwa wanawake, ikiwakilisha asilimia 4 ya visa vyote vya saratani. Fathiya Omar mwandishi wetu kutoka Mombasa, Kenya anaielezea zaidi saratani hii inayoathiri mfuko wa mayai ya uzazi wa mwanamke. #kurunziafya 28.10.2024

Swahili News

28 Oct, 15:56


Rutte: Naweza kuthibitisha uwepo wa wanajeshi wa Korea Kaskazini nchini Urusi

Swahili News

28 Oct, 15:56


Azam Sports

COASTAL vs KAGERA SUGAR: “Tumerekebisha makosa ya mchezo uliopita” maneno ya kocha msaidizi wa Coastal Union, Joseph Lazaro akizungumzia mchezo wao wa kesho wa NBC Premier League dhidi ya Kagera Sugar.

Kwa upande wa Kagera Sugar aliyezungumza ni Kaimu Afisa Habari wao Stephen Julius ambaye amemwakilisha Kocha Melis Medo

Mechi itapigwa katika dimba la Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha, saa 10:15 jioni na itakuwa LIVE

Swahili News

28 Oct, 15:56


Azam Sports

Salum Kihimbwa dakika za jioooooooni anawanusuru Fountain Gate kwa goli hili la ‘free-kick’

FT: Fountain Gate 2-2 Mashujaa.

Inafuata Namungo vs Pamba Jiji LIVE

Swahili News

28 Oct, 15:56


Azam Sports

MATOKEO|

FT: Fountain Gate 2-2 Mashujaa.

LIVE

Swahili News

26 Oct, 10:09


Azam Sports

COASTAL vs YANGA: Magwiji wa soka nchini Keneth Mkapa, Adolph Rishard na Duwa Said, wanasema haijawahi kuwa mechi rahisi wakutanapo Coastal Union na Yanga SC.
Leo timu hizo zinakutana kwenye mchezo wa NBC Premier League kwenye dimba la Sheikh Amri Abeid.

Mechi ni saa 10:15 jioni na itakuwa LIVE

Swahili News

26 Oct, 10:09


Azam Sports

EL CLASICO | “Mbappe ndio msumari tunaoutegemea” maneno ya shabiki wa Real Madrid kutoka Mabibo Mwisho akibainisha mtazamo wake kuelekea mechi ya leo ya kati ya Real Madrid dhidi ya Barcelona.

Mechi ni leo saa 4:00 usiku na itakuwa LIVE

Swahili News

26 Oct, 10:09


Azam Sports

SERIE A

Saa 3:45 usiku Atalanta watakuwa uwanja wa nyumbani Gewiss wakikipiga na Verona

Mchezo huu utaruka mbashara kupitia AzamSports3HD

Je, ni wenyeji wa mchezo ama wageni nani kuondoka na alama tatu?

Swahili News

26 Oct, 10:09


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, imeandaa 'event' maalum itakayofanyika Novemba 2, 2024 katika Hoteli ya Johari Rotana jijini Dar es Salaam.

Event hiyo iliyopewa jina la A Night of Giving, ina lengo la kuwakutanisha wadau mbalimbali ili kuchangia matibabu ya ugonjwa wa moyo na mishipa yake kwa watoto, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete.

@taasisiyamoyo

Swahili News

26 Oct, 10:09


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Watoto wa mjini wanakwambia ujanja ni kumiliki tambo kali kwa maana ya simu ya kijanja! Mazrui Smartphone waliopo China Plaza, Ground Floor, Kariakoo jijini Dar es Salaam ni mabingwa wa uuzaji wa simu kali mjini kwa bei nafuu kabisa.

Wanazo simu kali kama Samsung, iPhone, Google Pixel na nyingine kibao. Kama hiyo haitoshi, wanauza accessories kama glass protectors, covers na chargers za simu aina zote. Wale wa mikoani pia ondoeni shaka, Mazrui Smartphone wanatuma mzigo wako kwa haraka na kwa uaminifu wa hali ya juu nchi nzima.

Piga simu namba 0783835366 au 0750367468.

Swahili News

26 Oct, 10:09


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Shindano la @samiachallenge

Swahili News

26 Oct, 10:09


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Mwili wa Ombeni Phiri ukiingizwa katika kanisa la KKKT Kijitonyama, Dar es salaam kwa ajili ya ibada maalum ya kumuaga leo Oktoba 26, 2024.

Video ipo You

Swahili News

26 Oct, 10:09


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Mwili wa Ombeni ukipelekwa katika kanisani la KKKT Kijitonyama, Dar es salaam leo Oktoba 26, 2024 kwa ajili ya ibada maalum ya kuagwa.

Video ipo You

Swahili News

26 Oct, 10:09


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Watangazaji @millardayo, @fridaamaniofficial na @vido

Swahili News

26 Oct, 10:00


@HabariTz ✰✰✰

BREAKING NEWS: IRAN YADHIBITISHA WANAJESHI WAWILI WAMUUAWA KUFUATISHA SHAMBULIZI LA ISRAEL
Jeshi la Iran latangaza vifo vya wanajeshi wawili katika shambulio la usiku la Israel

Jeshi la Iran limesema katika taarifa yake kwamba wanajeshi wake viwili viliuawa wakati wa shambulizi la usiku la Israel kwenye maeneo ya kijeshi nchini Iran.

"Jana usiku, wapiganaji wetu wawili walijitolea kabisa wakati wakikabiliana na makombora yaliyorushwa na utawala wa Kizayuni wahalifu," ilisema taarifa hiyo, ingawa ilificha utambulisho wa watu hao.

Swahili News

26 Oct, 09:50


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Benki ya NMB @nmbtanzania imesaini makubaliano na Shirika la Kimataifa la Fedha (IFC) na Mastercard kuzindua Mradi wa Ushauri wa “Banking on Women Advisory Project,” ambao unalenga kuboresha ya kifedha kwa Wanawake Nchini Tanzania.

Makubaliano hayo yamesainiwa katika Mkutano wa mwaka wa Shirika la IFC na Benki ya Dunia uliofanyika Washington DC, Marekani na kuhudhuriwa na Wajumbe wa NMB walioongozwa na Afisa Mkuu wa Fedha, Juma Kimori aliembatana na Mhazini, Aziz Chacha na Meneja Mwandamizi wa Bidhaa, Beatrice Mwambije.

Mradi huo wa miaka minne unalenga kuja na ya kifedha inayokidhi mahitaji ya Wanawake kibiashara ikiwemo Huduma mahsusi, mikopo nafuu na Elimu ya kifedha ikiwa ni hatua muhimu katika mkakati wa benki ya NMB kuweka ujumuishwaji wa kifedha wa Watanzania, kupitia Kampeni yake ya “Sisi ni Huduma, Tumekupata”.

Kupitia makubaliano hayo, Wafanyakazi wa Benki ya NMB pia watapatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo ili kuendelea kubaini fursa za kubuni...

View original post

Swahili News

26 Oct, 09:50


@HabariTz ✰✰✰

millardayo

Wenye ratiba ya usafi weekend hii tujuane kwa emoji moja ya mkwara tafadhali manake sio kwa mikwara hii..... 😄 Mimi nipo na Sabuni yangu pendwa ya kipande MARHABA toka @azaniagroup !!!!

Swahili News

26 Oct, 09:04


Ujenzi wa mahandaki ya kuhifadhi taka za nyuklia kwa maelfu ya miaka

Swahili News

26 Oct, 09:04


@HabariTz ✰✰✰

TRT Afrika Swahili

Kulingana na viwango vya ubora wa soka ulimwenguni vilivyotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ndio kinara wa mchezo huo katika ukanda wa Afrika Mashariki.

'Les Léopards' imeendelea kushika nafasi ya kwanza katika ukanda wa EAC, ikipanda nafasi moja ulimwenguni na kushika nafasi ya 57.

Swahili News

26 Oct, 09:02


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Mwimbaji mkongwe nchini, Steven Hizza aliyepata umaarufu kupitia wimbo wake wa Tanzania Yetu, amefunguka jinsi atakavyozitumia shilingi milioni 50 alizopewa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Global TV ndiyo iliyoibua stori ya Mzee Hizza tangu akiwa anaomba msaada na baada ya kupata tuzo na kupewa fedha hizo, mwandishi wetu, @imeldamtema amefunga safari mpaka jijini Tanga kwenda kuzungumza naye.

Hapa anaeleza jinsi atakavyotumia shilingi milioni 50 alizopewa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mahojiano kamili yatakujia 'soon' kupitia Global TV, Youtube.

Habari @imeldamtema

🎥 @crush

Swahili News

26 Oct, 09:02


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Tazama Msemaji wa Jeshi la Ulinzi la Israeli (IDF), Daniel Hagari akizungumza kuhusu kukamilika kwa shambulio la Israeli dhidi ya Iran.

Jeshi la Israeli limefanya mashambulizi ya kijeshi nchini Iran na kuzilenga kambi za kijeshi katika majimbo ya Ilam, Khuzestan na Tehran, alfajiri ya leo, Jumamosi Oktoba 26, 2024.

Israel imedai kuwa mashambulizi hayo ni kulipa kisasi kile ilichoeleza kuwa ni
mashambulizi ya miezi kadhaa kutoka kwa Iran na washirika wake.

Jeshi la Iran limethibitisha kutokea kwa mashambulizi hayo na kueleza kuwa yamesababisha "uharibifu mdogo."

Israel imeonya kuwa endapo Iran itafanya shambulizi lolote kulipiza, basi jeshi lipo tayari kukabiliana nao papo kwa hapo.

Swahili News

26 Oct, 09:02


@HabariTz ✰✰✰

globalpublishers

Tuzo za Malkia wa Nguvu Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara zimetamatika kwa Malkia Watano kupewa tuzo kwenye sekta mbalimbali, tukio lililofanyika usiku wa Agosti 25, 2024 kwenye Ukumbi wa Police Officers Mess.

Washindi wa Malkia wa Nguvu Kusini- Mtwara ni pamoja na Mwanamke mwenye ushawishi tuzo aliyopewa Mwanaidi Mdendemi ambaye alipitia ubaguzi na manyanyaso baada ya mume wake mwenye asili ya Kiasia kufariki.

Hakupata mali, aliachiwa watoto watatu, maisha yaliharibika, akawa mlevi, lakini alifanikiwa kuanza maisha upya kwa kuuza mandazi kwenye beseni na sasa amekuwa mjasiriamali mwenye ushawishi mkubwa Mtwara.

Tuzo ya Biashara ya Chakula imeenda kwa Paulina Maivaji maarufu kama MC Pau, yeye ni mwalimu wa shule ya msingi, alianza biashara ya chakula kama mpika chips wilayani Tandahimba, kwa sasa biashara yake imekua kubwa, amekua na uwezo kulisha sherehe tano mfulululizo na kwa pamoja.

Upande wa Biashara ya Mapambo mshindi ni Martha...

View o

Swahili News

22 Oct, 19:31


Azam Sports

“...tumecheza mechi 16, tumeshinda 15, tumetoka na clean sheet 12”

Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi anasema muhimu kwao ni alama tatu walizopata, aeleza kilichowanyima magoli zaidi kipindi cha pili akisema “waliamua kukaa na mpira wakikabia chini, na sisi tukawaacha...”

Naye Kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally anachambua kiufundi alichokifanya kipindi cha pili baada ya timu yake kuwa pungufu,, azikumbuka nafasi mbili walizopata akisema “...tungekuwa na utulivu tungepata goli... sasa hivi matokeo yangekuwa 2-2”

Kocha Ahmad azungumzia pia kadi nyekundu waliyoipata akisema “..tunalibeba sote”.

Nyota wa mchezo huu ni kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua ambaye amekabidhiwa tuzo yake...

FT: Yanga 2-0 JKT Tanzania.

Je, una lipi?

@alikamwe

Swahili News

22 Oct, 19:31


Azam Sports

“...tunaamini mwaka huu ubingwa ni wetu”

Wasemavyo mashabiki wa Simba mkoani Mbeya baada ya ushindi huku msemaji wa klabu, Ahmed Ally akisema “...tumetibu maradhi mengi”, na kutaja maradhi waliyotibu kwa ushindi huo.

Mashabiki wa Tanzania Prisons nao wamesema neno wakieleza kuyapokea matokeo na kuahidi kufanya vizuri mechi zijazo...

FT: TZ Prisons 0-1 Simba SC

Swahili News

22 Oct, 19:31


Azam Sports

TABORA UNITED vs PAMBA JIJI | Wote wawili wametoka kuachana na makocha wao walioanzanao msimu.....

Kesho wanakutana kwenye Dimba la Ally Hassan Mwinyi, Tabora. Je, wamejiandaaje...

Hiki ndicho pande zote mbili zimezungumza...

Mechi itakuwa saa 10:00 jioni LIVE

Swahili News

22 Oct, 19:30


Azam Sports

KUFUZU CHAN | “...nimetaka zaidi mdomo wa Aishi kuliko mkono wake”

Kocha wa Taifa Stars ya CHAN, Bakari Shime ameeleza sababu za kumchagua na kumpa jukumu la unahodha wa kikosi hicho, golikipa Aishi Manula...

Naye Afisa Habari wa TFF, Cliford Ndimbo ameeleza kuhusu ratiba kamili ya kikosi hicho kuelekea mchezo wao dhidi ya Sudan.

Swahili News

22 Oct, 19:30


Azam Sports

Pointi tatu muhimu kwa akina Ronaldo....!!!

FT: Esteghlal 0-1 Al Nassr

LIVE

Swahili News

22 Oct, 18:34


Kwa Undani

Swahili News

22 Oct, 18:08


Azam Sports

Cha pili....... Clatous Chama na free-kick ya viwango...!!!

47’: Yanga 2-0 JKT Tanzania.

LIVE

Swahili News

22 Oct, 18:08


Azam Sports

MSIMAMO: Yanga bado pointi mbili tu.....!!!

Swahili News

22 Oct, 18:08


Azam Sports

Mbili-kavu....!!!

FT: Yanga 2-0 JKT Tanzania.

Je, una lipi?

Swahili News

22 Oct, 18:08


Azam Sports

85’ |

Yanga 2-0 JKT Tanzania

LIVE

Swahili News

22 Oct, 18:08


Azam Sports

75’ |

Esteghlal 0-0 Al Nassr

LIVE

Swahili News

22 Oct, 18:08


Azam Sports

65’ |

Yanga 2-0 JKT Tanzania

LIVE

Swahili News

22 Oct, 17:04


Jioni

Swahili News

22 Oct, 16:51


Duniani Leo

Swahili News

22 Oct, 16:41


Azam Sports

RAIS SAMIA ALIPIA GHARAMA WAWAKILISHI WA TANZANIA KWENYE FIM AFRICA MOTOCROSS

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa tiketi za ndege kwenda na Kurudi nchini Morocco kwa washindi watatu wa mashindano ya Pikipiki ya Samia Motocross Championship WANAOKWENDA kushiriki mashindano ya FIM Africa Motocross of African Nations yanayofanyika Oktoba 25- 27, 2024 nchini Morocco.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ametoa kauli hiyo mapema leo Oktoba 22, 2024 wakati akiwaaga washiriki wa mashindano hayo, walioondoka leo jioni.

Washiriki hao ni wachezaji Kelvin Akyoo, Simon Mangombo pamoja na Colins Simonson ambapo wameambatana na kiongozi wao mmoja.

Mwandishi Wetu

Swahili News

22 Oct, 16:41


Azam Sports

Kocha wa Tanzania Prisons, Mbwana Makata alia na makosa ya golikipa wake huku kocha wa Simba Fadlu Davids akisema ubora wa golikipa wa Tanzania Prisons umewanyima magoli zaidi.

FT: TZ Prisons 0-1 Simba SC

Inafuata Yanga vs JKT Tanzania LIVE

Swahili News

22 Oct, 16:40


Azam Sports

Uchambuzi wa vikosi vya timu zote mbili kabla ya mechi.

@godlisten_muro7 amechambua mfumo wa Yanga na @james_samwel31 amekaa na mfumo wa JKT Tanzania.

05’: Yanga 0-0 JKT Tanzania

LIVE

Swahili News

22 Oct, 16:40


Azam Sports

Yanga wametangulia dakika ya 23.....!!

Yanga 1-0 JKT Tanzania

LIVE

Swahili News

22 Oct, 16:40


Azam Sports

35’ |

Esteghlal 0-0 Al Nassr

LIVE

Swahili News

22 Oct, 16:40


Azam Sports

15’ |

Yanga 0-0 JKT Tanzania

LIVE