fawaidusalafiyatz @fawaidussalafiyatz Channel on Telegram

fawaidusalafiyatz

@fawaidussalafiyatz


Ungana nasi upate faida mbalimbali | kitabu na suna group zetu ni:
① https://t.me/fawaidussalafiyatz
② https://t.me/Darasazandoa
③ https://t.me/upotevuwamashia

fawaidussalafiyatz (Swahili)

Wewe ni mmoja wa watu wenye kiu ya kuelimika na kutafuta faida za kidini? Basi Telegram channel ya "fawaidussalafiyatz" ni mahali pazuri kwako! Kupitia channel hii, utapata mafunzo mbalimbali ya kidini kutoka kwa wataalamu wa dini

Channel hii inakupa fursa ya kuungana na watu wengine wenye malengo ya kujifunza na kutafakari kuhusu masuala ya imani. Unaombwa kujiunga na kitabu na suna group zilizoorodheshwa kwenye channel kwa ajili ya kupata faida zaidi. Vilevile, utapata maelekezo ya jinsi ya kujiunga na vikundi vingine vinavyohusiana na dini.

Kwa kutembelea kiungo cha Telegram cha "fawaidussalafiyatz", utapata maudhui ya kuelimisha yanayojikita katika mafundisho ya Kiislamu. Vipindi vya mafunzo yatatolewa kwa lugha rahisi ili kuhakikisha kila mshiriki ananufaika ipasavyo

Usikose fursa ya kujifunza na kuelimika kutoka kwa wataalamu wa dini. Jiunge na channel ya "fawaidussalafiyatz" leo hii na uwe sehemu ya jumuiya inayojifunza na kukuza imani yake. Karibu!

fawaidusalafiyatz

11 Feb, 13:54


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Jumatatu 11, Shabani 1446 Feb 10, 2025M

Jina la kitabu :

كِتابُ التَّوحيد

Kikao cha hamsini na saba .

با ما جاء في قول الله تعالى

﴿وَلَئِنْ أَذَقْنَاهُ رَحْمَةً مِنَّا مِنْ بَعْدِ ضَرَّاءَ مَسَّتْهُ لَيَقُولَنَّ هَٰذَا لي...﴾ الآية

Jina la mtunzi:


الإمام المجدد محمد بن عبد الوهاب  -رحمه الله-  .
🎙🎙

Mwalimu :

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

11 Feb, 13:53


Darsa ya Jumatatu iliyopita 👇

fawaidusalafiyatz

09 Feb, 18:28


🎧 فهرس الدروس الصوتية 🎧

001. Tafsiri ya Qur-ani Tukufu
002. منهج السلف الصالح وحاجة الأمة إليه
003. التسديد لفهم التوحيد
004. تعليم الصبيان التوحيد
005. مسائل متعلقة بصيام الست من  شوال
006. عشرون مسئلة تتعلق بأحكام الأضحية
007. المختصر اللطيف
008. التهاون في الجمع بين الصلوات بسبب المطر
009. شعبان : فضائل وأحكام
010. سفينة النجاة : كتاب الصيام
011. باب الصيام : من المختصر اللطيف
012. صفوة الزبد: كتاب الصيام
013. شعبان : ١٠٠ مسألة ومسألة في أحكام الصيام على مذهب الإمام الشافعي رحمه الله تعالى
014. أحكام زكاة الفطر الفقهية
015. أريج العطر بمهمات مسائل زكاة الفطر
016. 🎧صفوة الزبد: باب صلاة العيدين
017. 📓: الدرة المختصرة في محاسن الإسلام
018. عشرين مسألة تتعلق بأحكام الأضحية 
019. 🎧 : مسائلُ مُهمَّةٌ في أحكامِ الأُضحية 
020. 🎙Khutba ya Eid Al-adhw’haa mwaka 1445
021. الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

fawaidusalafiyatz

09 Feb, 13:26


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

الدورة الرمضانية الثالثة

شرح كتاب  : 100 مسألة ومسألة في أحكام الصيام على مذهب الإمام الشافعي رحمه الله تعالى 

الجمع :  الشيخ لبيب نجيب عبد الله -حفظه الله تعالى - 

Kikao cha ishirini na mbili

Masuala ya thelathini na saba na masuala ya thelathini na nane

Mwalimu:

*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

-10   Shabani - /1446 baada ya Hijrah sawa na 9- Feb -2025M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

08 Feb, 15:23


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

الدورة الرمضانية الثالثة

شرح كتاب  : 100 مسألة ومسألة في أحكام الصيام على مذهب الإمام الشافعي رحمه الله تعالى 

الجمع :  الشيخ لبيب نجيب عبد الله -حفظه الله تعالى - 

Kikao cha ishirini na moja

Kukamilisha masuala ya thelathini na tano na masuala ya thelathini na sita

Mwalimu:

*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

-9   Shabani - /1446 baada ya Hijrah sawa na 8- Feb -2025M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

03 Feb, 11:24


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Jumatatu 4, Shabani 1446 Feb 3, 2025M

Jina la kitabu :

كِتابُ التَّوحيد

Kikao cha hamsini na sita .


باب من هزل بشيء فيه ذكر الله أو القرآن أو الرسولﷺ

Jina la mtunzi:


الإمام المجدد محمد بن عبد الوهاب  -رحمه الله-  .
🎙🎙

Mwalimu :

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

02 Feb, 12:11


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

الدورة الرمضانية الثالثة

شرح كتاب  : 100 مسألة ومسألة في أحكام الصيام على مذهب الإمام الشافعي رحمه الله تعالى 

الجمع :  الشيخ لبيب نجيب عبد الله -حفظه الله تعالى - 

Kikao cha ishirini

Masuala ya thelathini na nne , na thelathini na tano

Mwalimu:

*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

3-   Shabani - /1446 baada ya Hijrah sawa na 2- Feb -2025M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

30 Jan, 03:44


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

30 Jan, 03:43


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

الدورة الرمضانية الثالثة

شرح كتاب  : 100 مسألة ومسألة في أحكام الصيام على مذهب الإمام الشافعي رحمه الله تعالى 

الجمع :  الشيخ لبيب نجيب عبد الله -حفظه الله تعالى - 

Kikao cha kumi na tisa

Masuala ya thelathini na mbili , na thelathini na tatu

Mwalimu:

*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

30-   Rajabu - /1446 baada ya Hijrah sawa na 30- Jan-2025M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

29 Jan, 03:47


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

29 Jan, 03:45


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

الدورة الرمضانية الثالثة

شرح كتاب  : 100 مسألة ومسألة في أحكام الصيام على مذهب الإمام الشافعي رحمه الله تعالى 

الجمع :  الشيخ لبيب نجيب عبد الله -حفظه الله تعالى - 

Kikao cha kumi na nane

Masuala ya thelathini, na thelathini na moja

Mwalimu:

*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

29-   Rajabu - /1446 baada ya Hijrah sawa na 29- Jan-2025M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

28 Jan, 12:16


مِنْ قواعد الصِّيام :

١- كُلُّ فِطْرٍ ارْتَفَقَ فِيْهِ شَخْصَانِ وَجَبَ فِيْهِ الْقَضَاءُ مَعَ الْفِدْيَةِ

٢- إِذَا اجْتَمَعَ مَانِعٌ ومُقْتَضٍ غُلِّبَ الْمَانِعُ عَلَى الْمُقْتَضِيْ

انتفاه : أبو ثرياء اسماعيل بن سيف امبوندي الشافعي

٢٨-رجب- ١٤٤٦ه‍ الموافق ٢٨ -يناير - ٢٠٢٥م

fawaidusalafiyatz

28 Jan, 04:18


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

28 Jan, 04:17


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

الدورة الرمضانية الثالثة

شرح كتاب  : 100 مسألة ومسألة في أحكام الصيام على مذهب الإمام الشافعي رحمه الله تعالى 

الجمع :  الشيخ لبيب نجيب عبد الله -حفظه الله تعالى - 

Kikao cha kumi na saba

Masuala ya ishirini na tisa

Mwalimu:

*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

28-   Rajabu - /1446 baada ya Hijrah sawa na 28- Jan-2025M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

27 Jan, 06:39


Kitabu chetu 👆

fawaidusalafiyatz

18 Jan, 14:22


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

اسم الكتاب :

الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

التأليف :  الشيخ العلامة الحبيب أحمد بن زين بن علوي الحبشي -رحمه الله تعالى - 

Kikao cha thelathini na nne na cha mwisho

قسم التزكية والسلوك

Maasi utupu , maasi ya mwili mzima .


*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

18-   Mfungo kumi - /1446 baada ya Hijrah sawa na -Jan 18 -2025M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

11 Jan, 14:17


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

اسم الكتاب :

الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

التأليف :  الشيخ العلامة الحبيب أحمد بن زين بن علوي الحبشي -رحمه الله تعالى - 

Kikao cha thelathini na tatu

قسم التزكية والسلوك

Maasi ya mkono na miguu na utupu!


*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

11-   Mfungo kumi - /1446 baada ya Hijrah sawa na -Jan 11 -2025M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

05 Jan, 08:26


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

05 Jan, 08:25


Kiswahili chake 👇

fawaidusalafiyatz

05 Jan, 08:25


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

05 Jan, 08:22


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Jumapili 5, Mfungo kumi  1446 January 5, 2025M

UJUMBE WA LEO 👇🏾

Swali la kwanza kuulizwa mwanadamu siku ya kiama katika neema alizoneemshwa👇

Msomaji:

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

04 Jan, 17:53


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

04 Jan, 17:52


Kiswahili chake 👇

fawaidusalafiyatz

04 Jan, 17:52


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

04 Jan, 17:51


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Jumamosi 4, Mfungo kumi  1446 January 4, 2025M

UJUMBE WA LEO 👇🏾

Ubaya wa kujiona 👇

Msomaji:

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

03 Jan, 18:55


Nyiradi zinavyopukutisha madhambi 👇🏾

https://youtu.be/bjCpJv5-xaw?si=yYn_dHftWJMAasS6

fawaidusalafiyatz

03 Jan, 04:14


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

03 Jan, 04:13


Kiswahili chake 👇

fawaidusalafiyatz

03 Jan, 04:13


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

03 Jan, 04:11


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Ijumaa 3, Mfungo kumi  1446 January 3, 2025M

UJUMBE WA LEO 👇🏾

Ubaya wa kuwanusuru watu kwa dhulma 👇

Msomaji:

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

02 Jan, 04:09


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

02 Jan, 04:09


Kiswahili chake 👇

fawaidusalafiyatz

02 Jan, 04:09


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

02 Jan, 04:08


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Al-hamis 2, Mfungo kumi  1446 January 2, 2025M

UJUMBE WA LEO 👇🏾

Aliyetakiwa heri na Allah 👇

Msomaji:

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

31 Dec, 18:44


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

31 Dec, 18:43


Kiswahili chake 👇

fawaidusalafiyatz

31 Dec, 18:43


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

27 Dec, 18:28


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

27 Dec, 18:28


Kiswahili chake 👇

fawaidusalafiyatz

27 Dec, 18:26


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

27 Dec, 18:21


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Jumamosi 27, Mfungo tisa  1446 Dec 28, 2024M

UJUMBE WA LEO 👇🏾

Hadithi inayozungumzia

miongoni mwa neema za peponi👇

Msomaji:

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

27 Dec, 05:40


Marejeo ni ukurasa wake wa twitter 👆

fawaidusalafiyatz

26 Dec, 20:29


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

26 Dec, 20:29


Kiswahili chake 👇

fawaidusalafiyatz

26 Dec, 20:28


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

26 Dec, 20:28


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Al-khamis 25, Mfungo tisa  1446 Dec 26, 2024M

UJUMBE WA LEO 👇🏾

Wa sheikh Swaleh Al-uswaimiy -Allah amuhifadhi- .

Msomaji:

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

25 Dec, 14:24


Marejeo ni ukurasa wake wa twitter 👆

fawaidusalafiyatz

25 Dec, 14:24


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

25 Dec, 14:23


Kiswahili chake 👇

fawaidusalafiyatz

25 Dec, 14:23


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

25 Dec, 14:22


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Jumatano 24, Mfungo tisa  1446 Dec 25, 2024M

UJUMBE WA LEO 👇🏾


Msomaji:

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

24 Dec, 18:34


Marejeo ni ukurasa wake wa twitter 👆

fawaidusalafiyatz

24 Dec, 18:33


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

24 Dec, 18:33


Kiswahili chake 👇

fawaidusalafiyatz

24 Dec, 18:32


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

24 Dec, 18:31


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Jumatano 24, Mfungo tisa 1446 Dec 25, 2024M

UJUMBE WA LEO 👇🏾


Msomaji:

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

23 Dec, 18:56


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

مِن أجمل ما مرّ بي اليوم.

KATIKA MAZURI MNO AMBAYO YAMENIPITIA LEO !.

قول الحافظ ابن كثير - رحمه الله - في "تفسيره" عن نبي الله عيسى بن مريم - عليه السلام -:

Ni kauli ya Al-hafidh ibn Kathir -Allah amrahamu-katika tafsiri yake kuhusu nabii Isa bin Mariam -amani iwe juu yake-:

«وكان أول كلمة نطق بها وهو صغير في المَهد أنْ قال:

Na yalikuwa maneno ya mwanzo aliyoyatamka na hali yeye ni mtoto (mchanga) kitandani alisema (hivi):

{ إِنِّي عَبْدُ اللَّهِ آتَانِيَ الْكِتَابَ وَجَعَلَنِي نَبِيًّا}

“Hakika mimi ni mja wa Allah,Amenipa kitabu na Amenifanya Nabii”

ولم يقل:

Na hakusema :

أنا الله، ولا ابن الله.

Mimi ni Mwenyezi Mungu wala mimi ni mtoto wa Mwenyezi Mungu .


إلى أنْ قال:

mpaka aliposema:

{ وَإِنَّ ٱللَّهَ رَبِّى وَرَبُّكُمْ فَٱعْبُدُوهُ ۚ هَٰذَا صِرَٰطٌ مُّسْتَقِيمٌ }

Na hakika Allah ni Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi .Basi muabuduni.Hii ni njia iliyonyooka.

مريم 36

Maelezo ya mfasiri:

Huu ni ushahidi wa wazi juu ya upotevu wa dini ya kinaswara ambayo miongoni mwa itikadi zake ni kuamini kuwa Isa bin Mariam -amani iwe juu yake-ni mtoto wa Mwenyezi Mungu au yeye mwenyewe ndiye Mungu ,au ni mmoja katika miungu mitatu wanayoiamini hao Manaswara ,na Mwenyezi Mungu ametakasika na yote hayo wanayoyazungumza makafiri .

Isa bin Marym -amani iwe juu yake- yeye  ni mja wa Allah na hilo ni neno lake la mwanzo kutamka baada ya kuzaliwa tu , neno ambalo linabatilisha itikadi ya Manaswara ya kuamini kuwa yeye ndiye Mungu au mtoto wa Mungu au ni mmoja katika Miungu mitatu wanayoiamini Manaswara na yote haya ni upotevu na ukafiri, na itikadi sahihi kwa Isa bin Marym ni kuamini kuwa yeye ni mja wa Allah na ni mtume katika mitume yake .

Tanbih:

Maneno haya yameandikwa na sheikh Abdul-Qadir Al-junaid-Allah amuhifadhi- , ila mimi nimeyaingiza katika lugha ya kiswahili na kuweka maelezo .

Mfasiri : Abuu Thurayyaa Ismail Seiph Mbonde Asshafiy .

Muandaaji: fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

🗓️ Imeandaliwa: Mfungo tisa   12, 1445H ≈ Oct 25, 2023M.

#Muhimu: Vuna thawabu kwa kusambaza faida hizi. Sambaza kama ilivyo, si ruhusa kubadilisha chochote. Tuwe waadilifu.

Jiunge na chennel yetu ya telegram upate faida nyingi, kujiunga bonyeza link hii: 👇🏾
https://t.me/fawaidussalafiyatz

https://t.me/fawaidussalafiyatz

         •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

23 Dec, 18:24


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Jumatatu 23, Mfungo tisa 1446 Dec 23, 2024M

Jina la kitabu :

كِتابُ التَّوحيد

Kikao cha hamsini na tano .


باب التسمي بقاضي القضاة ونحوه

👇🏾

باب احترام اسماء الله تعالى وتغيير الاسم لأجل ذلك


Jina la mtunzi:


الإمام المجدد محمد بن عبد الوهاب  -رحمه الله-  .
🎙🎙

Mwalimu :

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

23 Dec, 06:53


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

23 Dec, 06:52


Kiswahili chake 👇

fawaidusalafiyatz

23 Dec, 06:51


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

23 Dec, 06:50


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Jumatatu 23, Mfungo tisa 1446 Dec 23, 2024M

UJUMBE WA LEO 👇🏾


Msomaji:

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

23 Dec, 06:49


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

23 Dec, 06:49


Kiswahili chake 👇

fawaidusalafiyatz

23 Dec, 06:48


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

01 Dec, 18:28


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Jumatatu 30 , Mfungo nane 1446 Dec 1, 2024M

Jina la kitabu :

كِتابُ التَّوحيد


Kikao cha hamsini na mbili

باب قول الله تعالى :

﴿فَلا تَجعَلوا لِلَّهِ أَندادًا وَأَنتُم تَعلَمونَ﴾


Jina la mtunzi:


الإمام المجدد محمد بن عبد الوهاب  -رحمه الله-  .
🎙🎙

Mwalimu :

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

30 Nov, 14:54


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

اسم الكتاب :

الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

التأليف :  الشيخ العلامة الحبيب أحمد بن زين بن علوي الحبشي -رحمه الله تعالى - 

Kikao cha ishirini na saba

قسم التزكية والسلوك

Sehemu (inayozungumzia) namna ya kuitakasa nafsi na madhambi, na kuwa tabia njema


*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

28-   Mfungo nane - /1446 baada ya Hijrah sawa na 30- Nov -2024M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

28 Nov, 19:33


INASIKITISHA SANA 👇🏾

Usisahau kusubscribe:

https://youtu.be/IEksg8_AGfg?si=Gs_34dU4J0sYSSFX

fawaidusalafiyatz

27 Nov, 19:08


Dua iliyokusanya 👇🏾

Usisahau kusubscribe

https://youtu.be/K5WlRkhv5QY?si=3Ga8vDyDv35Xo2vi

fawaidusalafiyatz

26 Nov, 18:52


Mwanamke aliyetaka kuswali na wanaume msikitini bila kujua, na mazingatio tunayoyapataka ktk hili

Usisahau kusubscribe👇🏾:


https://youtu.be/noVAtIdqDDQ?si=K5sfpoL-8q18bCvu

fawaidusalafiyatz

25 Nov, 11:07


https://youtu.be/0bMDZN77yvY?si=fA3BxeSzjVyc4vNP

fawaidusalafiyatz

24 Nov, 18:15


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Jumatatu 23 , Mfungo nane 1446 Nov 25, 2024M

Jina la kitabu :

كِتابُ التَّوحيد


Kikao cha hamsini na moja


باب قول الله تعالى

(يَعْرِفُونَ نِعْمَتَ اللّهِ ثُمَّ يُنكِرُونَهَا)


Jina la mtunzi:


الإمام المجدد محمد بن عبد الوهاب  -رحمه الله-  .
🎙🎙

Mwalimu :

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

24 Nov, 18:13


MIONGONI MWA STAREHE KUBWA ZA DUNIA NI HII :👇🏾

https://youtube.com/shorts/FE0-r2WFDXw?si=Q4m5p2GhqJCHTI8w

fawaidusalafiyatz

23 Nov, 14:46


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

اسم الكتاب :

الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

التأليف :  الشيخ العلامة الحبيب أحمد بن زين بن علوي الحبشي -رحمه الله تعالى - 

Kikao cha ishirini na sita

قسم التزكية والسلوك

Sehemu (inayozungumzia) namna ya kuitakasa nafsi na madhambi, na kuwa tabia njema


*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

21-   Mfungo nane - /1446 baada ya Hijrah sawa na 23- Nov -2024M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

22 Nov, 07:14


https://youtu.be/feqlpxs-3ds?si=agvnP8_V9jObKi-n

fawaidusalafiyatz

21 Nov, 05:51


https://youtu.be/VKDHjVb6aZo?si=9jdBeP0cwUl6Bioy

fawaidusalafiyatz

19 Nov, 19:05


https://youtu.be/aWdQpesKbtU?si=qu5PNoKQgwQV1mR9

fawaidusalafiyatz

19 Nov, 10:56


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net


Faida za kuwa na moyo safi na kuwapendelea watu heri .


كتب الشيخ صالح العصيمي -حفظه الله تعالى- عبر حسابه على تويتر .


Ameandika sheikh Swaleh Al-Uswaim -Allah amuhifadhi- kupitia ukurasa wake wa twitter (maneno yafuatayo) :


طهارة القلب وحبُّ الخير للنَّاس تنفيان عن صاحبهما طلب العلوِّ والفساد في الأرض؛

Usafi wa moyo na kuwapendelea heri watu humtenga mbali (mtu) mwenye (tabia) hizi mbili na kutaka kujitukuza na kuleta uharibifu katika ardhi


فيكون من الفائزين، قال الله تعالى:

na (mtu huyo) huwa ni miongoni mwa wale wenye kufaulu, amesema Allah -aliyetukuka- :

﴿تِلۡكَ ٱلدَّارُ ٱلۡـَٔاخِرَةُ نَجۡعَلُهَا لِلَّذِینَ لَا یُرِیدُونَ عُلُوࣰّا فِی ٱلۡأَرۡضِ وَلَا فَسَادࣰاۚ وَٱلۡعَـٰقِبَةُ لِلۡمُتَّقِینَ﴾.

Hiyo ndiyo nyumba ya akhera,tumewafanyia wale wasiotaka kujitukuza duniani wala uharibifu.Na mwisho mwema ni wa wacha-Mungu

سورة القصص ٨٣

الثلاثاء ٢٣ ذو الحجة ١٤٤٤ه‍

Maelezo ya mfasiri:

Hakika huu ni ukweli usiofichikana kuwa vitu hivi viwili:

1-Usafi wa moyo

2- Kuwapendelea watu heri


kama mtu atajipamba na tabia mbili hizi basi zitamuepusha na kufanya ufisadi duniani, na kutafuta utukufu, na kujikweza, na kuwa kiburi , na bila shaka tabia hizi mbili ukiziangalia kwa makini utaziona kuwa zinaondoa tabia mbaya ambazo husababishwa na uchafu wa moyo kama vile:

Kujiona,husuda ,mafundo na mengineyo katika maradhi ya moyo ambayo humpelekea mtu akafanya ufisadi katika ardhi kwa kumuasi Allah kwa maasi mbalimbali kama vile kutowapendelea watu heri kwa sababu ya moyo mchafu aliokuwa nao, na pia huondoa maradhi ya kiburi ambayo humpelekea mwenye maradhi hayo kuikataa haki na kuwadharau watu .

Tunamuomba Allah azitwaharishe nyoyo zetu na atujaalie tuwe ni wenye kuwapendelea waislamu wenzetu kheri .

Mfasiri : Abuu Thurayyaa Ismail Seiph Mbonde Asshafiy .

Muandaaji: fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz


🗓️ Imeandaliwa: Mfungo nane 17 , 1445H ≈ Nov /19 , 2024M.

#Muhimu: Vuna thawabu kwa kusambaza faida hizi. Sambaza kama ilivyo, si ruhusa kubadilisha chochote. Tuwe waadilifu.

Jiunge na chennel yetu ya telegram upate faida nyingi, kujiunga bonyeza link hii: 👇🏾
https://t.me/fawaidussalafiyatz

https://t.me/fawaidussalafiyatz

         •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

18 Nov, 16:37


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Jumatatu 16 , Mfungo nane 1446 Nov 18, 2024M

Jina la kitabu :

كِتابُ التَّوحيد


Kikao cha hamsini


باب من جحد شيئا من الأسماء والصفات


Jina la mtunzi:


الإمام المجدد محمد بن عبد الوهاب  -رحمه الله-  .
🎙🎙

Mwalimu :

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

17 Nov, 19:03


Heri ipo ktk quran 👇🏾

Usisahau kusubscribe

https://youtu.be/L8s_tZ0u5kc?si=xA2_5iLB-h_paEFQ

fawaidusalafiyatz

17 Nov, 09:16


Assalamu alaykum warahmatullah:

Swali na jibu 👇🏾

fawaidusalafiyatz

17 Nov, 05:54


Swali mwanamke anavaa nguo gani anapohirimia hijjah?

Jawabu :


Mwanamke anavaa nguo zake za stara za kawaida na wala havai kama wanavyovaa wanaume .

fawaidusalafiyatz

16 Nov, 14:29


Mwenye swali kuhusu hayo tuliyosoma na haswa hijjah na umra basi alitume kwa namba hii :

0687297829

fawaidusalafiyatz

16 Nov, 14:23


Katika darsa hapo niliposema kuchinja mnyama nakusudia mbuzi au kondoo na sharti zake ni zilezile sharti za mbuzi wa udh-hiyah.

fawaidusalafiyatz

16 Nov, 14:18


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

اسم الكتاب :

الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

التأليف :  الشيخ العلامة الحبيب أحمد بن زين بن علوي الحبشي  -رحمه الله تعالى - 

Kikao cha ishirini na tano

Sehemu ya sita  na ya mwisho ya  somo la hija 


*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

14-   Mfungo nane - /1446 baada ya Hijrah sawa na 16- Nov -2024M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

16 Nov, 07:58


☝️

Kikao cha 24 , sehemu ya 5 ya somo la hijjah

fawaidusalafiyatz

16 Nov, 06:28


Assalamu alaykum warahmatullah wabarakatuh:

Baada ya muda -Allah akitaka- tutatuma darsa ya mwisho ya hijjah .

fawaidusalafiyatz

16 Nov, 06:23


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

اسم الكتاب :

الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

التأليف :  الشيخ العلامة الحبيب أحمد بن زين بن علوي الحبشي -رحمه الله تعالى - 

Kikao cha ishirini na tatu

Sehemu ya nne ya somo la hija


*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

14-   Mfungo nane - /1446 baada ya Hijrah sawa na 16- Nov -2024M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

12 Nov, 19:12


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

اسم الكتاب :

الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

التأليف :  الشيخ العلامة الحبيب أحمد بن زين بن علوي الحبشي -رحمه الله تعالى - 

Kikao cha ishirini na tatu

Sehemu ya nne ya somo la hija


*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

10-   Mfungo nane - /1446 baada ya Hijrah sawa na 13- Nov -2024M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

05 Nov, 18:14


Audio from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

05 Nov, 18:12


Maneno ya sheikh Swaleh Alu-Sheikh -Allah amuhifadhi- yaliyojaa ujumbe mzito mno nawanasihi wenye kujua kiarabu wasikilize ili wajue namna wanawachuoni wakubwa wanavyoeleza namna ya kuamiliana na waislamu wenzako hata kama wanamakosa 👇🏾

fawaidusalafiyatz

03 Nov, 17:42


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Jumatatu 2, Mfungo nane 1446 Nov 4, 2024M

Jina la kitabu :

كِتابُ التَّوحيد


Kikao cha arobaini na nne

باب من أطاع العلماء و الأمراء
في تحريم ما أحلّ الله أو تحليل ما حرم الله فقد اتخذهم أربابًا من دون الله


Jina la mtunzi:


الإمام المجدد محمد بن عبد الوهاب  -رحمه الله-  .
🎙🎙

Mwalimu :

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

02 Nov, 14:40


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

اسم الكتاب :

الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

التأليف :  الشيخ العلامة الحبيب أحمد بن زين بن علوي الحبشي  -رحمه الله تعالى - 

Kikao cha ishirini

Mwisho wa somo la zaka na mwanzo wa somo la hija 



*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

30-   Mfungo saba - /1446 baada ya Hijrah sawa na 2- Nov -2024M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

31 Oct, 13:07


Nasaha za sheikh ibn Baz- Allah amrahamu-usisahau kusabscribe 👇🏾

https://youtu.be/Q5Viis751-E?si=2GY-uWl1zdV9uYW9

fawaidusalafiyatz

29 Oct, 11:53


Tusubscribe channel yetu ya YouTube 👇🏾

https://youtu.be/GJTCk4ZE2GY?si=99ZSaBzKQDpDdahX

fawaidusalafiyatz

28 Oct, 16:42


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net


HAKUNA MTU ASIYEKUWA NA MAADUI !


كتب الشيخ صالح العصيمي -حفظه الله تعالى- عبر حسابه على تويتر .


Ameandika sheikh Swaleh Al-Uswaim -Allah amuhifadhi- kupitia ukurasa wake wa twitter (maneno yafuatayo) :


إذا علم العبد من نفسه أنَّه ينصر دين الله كما أراد منه؛

Pindi mja atapoijua nafsi yake kuwa yeye anainusuru dini ya Allah kama (Allah) alivyomtaka

لم يُغيِّره ما يقوله الخلق عنه:

(basi) hayatombadilisha yale wanayomzungumzia viumbe (kama alivyosema mshairi) :

(ليس يخلو المرءُ من ضدٍ وإنْ*حاولَ العزلةَ في رأسِ جبل).

Hakuna mwenye kuepukana na (watu waliokuwa) dhidi yake ,hata kama atajaribu kujitenga (akaishi) juu ya kilele cha jabali (peke yake) .


الأربعاء ٢٩ ربيع الاول ١٤٤٦

Maelezo ya mfasiri:

Hiyo beti aliyoinukuu sheikh- Allah amuhifadhi - ni katika mashairi ya ibn l-Wardiy- Allah amrahamu - na kama alivyosema mmoja ya wale waliosherehesha mashairi haya kuwa:

Mwanadamu lazima awe na maadui, na kwa kiwango cha akili aliyokuwa nayo maadui huongezeka kwake, na anasema ibn Hazmiy - Allah amrahamu - katika kitabu chake Tahdhib nnufus na pia kinaitwa "Mudaawatu nnufus :

ما من أحد إلا وله أعداء بقدر عقله، ومن رام حياةً بلا أعداء؛ فإنه يروم مستحيلا .

Hakuna yeyote isipokuwa ana maadui kwa kadri ya akili aliyokuwa nayo, na yeyote mwenye kutaka kuishi bila ya maadui basi huyo anayakusudia maisha yasiyowezekana

ولم أرَ أحداً ليس له أعداء إلا المجانين.

Na sijapatapo kumuona yeyote asiyekuwa na maadui isipokuwa wendawazimu .

تهذيب النفوس .


Tambua hivyo : Kama unataka kuishi katika dunia hii bila ya kuwa na maadui basi tambua kuwa unataka kuwa kama mwendawazimu!


Mfasiri : Abuu Thurayyaa Ismail Seiph Mbonde Asshafiy .

Muandaaji: fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz


🗓️ Imeandaliwa: Mfungo saba 26 , 1445H ≈ Oct /29 , 2024M.

#Muhimu: Vuna thawabu kwa kusambaza faida hizi. Sambaza kama ilivyo, si ruhusa kubadilisha chochote. Tuwe waadilifu.

Jiunge na chennel yetu ya telegram upate faida nyingi, kujiunga bonyeza link hii: 👇🏾
https://t.me/fawaidussalafiyatz

https://t.me/fawaidussalafiyatz

         •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

28 Oct, 06:43


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

اسم الكتاب :

الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

التأليف :  الشيخ العلامة الحبيب أحمد بن زين بن علوي الحبشي -رحمه الله تعالى - 

Kikao cha kumi na tisa

الزكاة


Ufafanuzi wa maneno ya mwandishi .


*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

25-   Mfungo saba - /1446 baada ya Hijrah sawa na 28 - Oct -2024M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

27 Oct, 16:43


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Jumatatu 25, Mfungo saba 1446 Oct 28, 2024M

Jina la kitabu :

كِتابُ التَّوحيد


Kikao cha arobaini na tatu


باب من الشرك إرادة الإنسان بعمله الدنيا



Jina la mtunzi:


الإمام المجدد محمد بن عبد الوهاب  -رحمه الله-  .
🎙🎙

Mwalimu :

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

26 Oct, 10:46


Video from mbondeismail3

fawaidusalafiyatz

26 Oct, 10:44


MIONGONI MWA USIA WA WEMA WALIOPITA KWA VIJANA 👇

fawaidusalafiyatz

22 Oct, 05:17


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa: https://www.fawaidusalafiyatz.net


WINGI WA WANAFUNZI NA UCHACHE WA WANAFUNZI KWA SHEKHE !


هذا الإمام الأوزاعي- رحمه الله-يقول:

Huyu imamu Al-auza'iy-Allah amrahamu -anasema :

مات عطاء بن أبي رباح يوم مات، وهو أرضى أهل الأرض عند aالناس،

Alifariki 'Atwaa bin Rabah siku aliyofariki na hali yeye ni mtu anayeridhiwa zaidi na watu ardhini,

وما كان يشهد مجلسه إلا تسعة أو ثمانية.

(pamoja na hivyo) hakukuwa wanao hudhuria kikao chake (cha kufundisha) isipokuwa (watu) tisa au wanane

[سير أعلام النبلاء (٨٤/٥)

Maelezo ya mfasiri :

Kuhudhuria watu wengi kwa mtu fulani hakujulishi kuwa yeye ni mwanachuoni au manhaji yake imesalimika, na wala kutohudhuria watu wengi hakujulishi kuwa yeye si mwanachuoni au manhaji yake haikusalimika na huyu 'Atwaa bin Rabah alikuwa ni mwanachuoni mkubwa wa Makkah na Mufti wao, na pindi alipofariki waliulizwa watu wa Makkah :

"Vipi alikuwa 'Atwaa kwenu? ", wakasema :

مثل العافية ما يعرف قدرها إلا إذا فقدت

“ (Alikuwa) mfano wa afya haijulikani nafasi yake ila pindi itakapokosekana ”


na pia katika hadithi ndefu ya Mtume -swala na salamu zimfikie -aliyokuwa akielezea watu watakaoingia peponi bila ya hesabu wala adhabu, ndani ya hadithi hiyo akaelezea kuwa yeye Mtume -swala na salamu za Allah zimfikie - alioneshwa nyumati (mataifa) mbalimbali akasema hivi :

.. فَرَأَيْتُ النبيَّ ومعهُ الرُّهَيْطُ، والنبيَّ ومعهُ الرَّجُلُ والرَّجُلانِ، والنبيَّ ليسَ معهُ أحَدٌ،..

Basi nikamuona Nabii akiwa pamoja na watu kuanzia watatu na kuendelea wasiozidi kumi, na Nabii (mwingine) akiwa pamoja na mtu mmoja au wawili ,na Nabii (mwingine) hana mtu yeyote..

رواه البخاري ومسلم.

Faida tunayoipata hapa sisi walinganiaji, au wale masheikh na wanafunzi wenzangu tusiangalie wingi bali tufikishe na tufundishe tukitaraji ujira wetu mbele ya Allah, na wala tusitafute wafuasi katika mitandao mbalimbali ya kijamii kwa kupitia faida mbalimbali tunazozisambaza, na kujiepusha na makusudio hayo ni dalili ya ikhlaswi ni dalili ya kufanya matendo kwa ajili ya Allah, ama kufundisha au kueneza faida kwa kuangalia wingi wa watu bila shaka ni ishara ya kukosa ikhlaswi.

Mfasiri : Abuu Thurayyaa Ismail Seiph Mbonde Asshafiy .

Muandaaji: fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

🗓️ Imeandaliwa: Mfungo mosi 23, 1443H ≈ May 24, 2022M.

#Muhimu: Vuna thawabu kwa kusambaza faida hizi. Sambaza kama ilivyo, si ruhusa kubadilisha chochote. Tuwe waadilifu.

Jiunge na chennel yetu ya telegram upate faida nyingi, kujiunga bonyeza link hii: 👇🏾
https://t.me/fawaidussalafiyatz

https://t.me/fawaidussalafiyatz

•┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

20 Oct, 14:20


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

اسم الكتاب :

الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

التأليف :  الشيخ العلامة الحبيب أحمد بن زين بن علوي الحبشي -رحمه الله تعالى - 

Kikao cha kumi na nane (a)

الزكاة


Mwalimu:


*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

17-   Mfungo saba - /1446 baada ya Hijrah sawa na 20 - Oct -2024M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

17 Oct, 16:37


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

اسم الكتاب :

الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

التأليف :  الشيخ العلامة الحبيب أحمد بن زين بن علوي الحبشي -رحمه الله تعالى - 

Kikao cha kumi na saba :

Mwisho wa darsa ya funga


Mwalimu:


*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

15-   Mfungo saba - /1446 baada ya Hijrah sawa na 17- Oct -2024M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

14 Oct, 19:11


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net


MAANA SAHIHI YA USHUJAA .


كتب الشيخ صالح العصيمي -حفظه الله تعالى- عبر حسابه على تويتر .

Ameandika sheikh Swaleh Al-Uswaim -Allah amuhifadhi- kupitia ukurasa wake wa twitter (maneno yafuatayo) :


من الخطأ في حقيقة الشَّجاعة توهُّم أنَّها جراءة اللسان أو ضخامة الأبدان،

Miongoni mwa makosa katika (kufahamu) ukweli wa ushujaa ni kudhania kuwa (ushujaa) ni urefu wa ulimi au ukubwa wa mwili

وإنَّما هي قوَّة القلب وثباته؛ بأن لا يزول عما يتحقَّقه، ولا يتحوَّل عما يتيقَّنه،

Na hakika si vingine (ushujaa) ni nguvu ya moyo na kuthibiti kwake (ktk mambo) kwa kutotoka katika lile ililolijua ukweli wa kulijua na wala usibadilike ukaliacha lile lililokuwa na yakini nalo,

فلا تخدعُه رقرقة العَبَرات، ولا تجتاله زخرفة العِبارات،

Na halitomhadaa bubujiko la machozi na wala hatozolewa na maneno yaliyopambwa,


ولا تكتسحه زلزلة الاضطرابات،

Na wala hatochukuliwa na tetemeko la wasiwasi

وقد تراه مع هذا حصِر اللسان ضعيف البدن.
Na unaweza ukamuona ni mwenye kuuzuia ulimi (wake) na mwenye mwili dhaifu .


الأحد ٢٦ ريع الأول ١٤٢٦ه‍

Maelezo ya mfasiri:

Sheikh -Allah amuhifadhi- anasema kuwa katika makosa ni watu kutofahamu maana sahihi ya ushujaa ni kule kudhania kwao kuwa ushujaa ni mtu kuwa na ulimi mrefu wa kuwasema watu wasio na makosa na kuzungumza bila kuchunga misingi ya kisheria, na kuchafua heshima zao na mimi naongeza kwa kusema hivi :

Tena wapo wafanyao hivi kwa nembo ya kuihami dini na kuingiza uwongo ndani yake, na pia watu wanadhania kuwa ushujaa ni mtu kuwa na mwili mkubwa ! kisha sheikh akaeleza kuwa maana sahihi ya ushujaa ni :

Ushupavu wa moyo na kuthibiti katika lile la haki aliloliju na kutobadilika kwa kuliacha lile alilolifahamu kwa yakini na kutohadaika na maneno ya watu wenye kuzungumza kwa masikitiko au kuyapamba maneno yao na kuingiza utata ili kuwatia watu wasiwasi katika ile haki waliyoshikamana nayo ,mwisho sheikh -Allah amuhifadhi-akamalizia maneno yake kwa kusema kuwa mtu huyu pamoja na ushujaa huu aliokuwa nao na ushupavu huu wa moyo wake unaweza ukamuona kuwa ni mtu mwenye kuuzuia ulimi wake, na umbile lake unaweza ukaliona ni dhaifu kimuonekano wa nje .

Bila shaka yule aliyeumiliki ulimi wake huyo ndiye shujaa wa kweli na Mtume -swala na salamu za Allah zimfikie-amemsifu mtu huyu pale aliposema:

«طُوبَى لِمَنْ مَلَكَ لِسَانَهُ، وَوَسِعَهُ بَيْتُهُ، وَبَكَى عَلَى خَطِيئَتِهِ»

“ Heri nyingi kwa yule aliyeumiliki ulimi wake ,na ikamtosha nyumba yake na akalia juu ya makosa yake ”

رواه الطبراني في الكبير والصغير


Mfasiri : Abuu Thurayyaa Ismail Seiph Mbonde Asshafiy .

Muandaaji: fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz


🗓️ Imeandaliwa: Mfungo saba 12 , 1445H ≈ Oct /15, 2024M.

#Muhimu: Vuna thawabu kwa kusambaza faida hizi. Sambaza kama ilivyo, si ruhusa kubadilisha chochote. Tuwe waadilifu.

Jiunge na chennel yetu ya telegram upate faida nyingi, kujiunga bonyeza link hii: 👇🏾
https://t.me/fawaidussalafiyatz

https://t.me/fawaidussalafiyatz

         •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

14 Oct, 05:23


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

اسم الكتاب :

الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

التأليف :  الشيخ العلامة الحبيب أحمد بن زين بن علوي الحبشي -رحمه الله تعالى - 

Kikao cha kumi na sita :

الصيام


Mwalimu:


*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

11-   Mfungo saba - /1446 baada ya Hijrah sawa na 14- Oct -2024M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

12 Oct, 11:17


🎙️قال العلامة ابن الجوزي رحمه الله تعالى-:

Amesema mwanawachuoni mkubwa ibn l-Jauziy -Allah aliyetukuka amrahamu-:

✍️ "واعلم أن الزمان لا يثبت على حال، قال عز وجل:


Tambua kuwa zama hazithibiti katika hali (moja), amesema (Allah) aliyeshinda na kutukuka:

﴿ وَتِلْكَ الْأَيَّامُ نُدَاوِلُهَا بَيْنَ النَّاسِ﴾

Na siku za namna hii tunawaletea watu kwa zamu .


فتارة فقر، وتارة غنى، وتارة عز، وتارة ذل ،وتارة يفرح الموالي، وتارة يشمت الأعادي،

Basi (hii dunia) wakati mwingine (huwa) ni ufakiri na wakati mwingine ni utajiri na wakati mwingine ni utukufu na wakati mwingine ni udhalili na wakati mwingine wanafurahi wanaokupenda na wakati mwingine wanafurahi maadui zako

فالسعيد من لازم أصلًا واحدًا على كل حال، وهو تقوى الله عز وجل فإنه إن استغنى زانته، وإن افتقر فتحت له أبواب الصبر،

Basi mtu mwema ni yule aliyejilazimisha na msingi mmoja katika kila hali, nao ni (msingi wa) kumcha Allah -aliyeshinda na kutukuka bila shaka huo (msingi):

Kama (mtu) akiwa tajiri utampamba, na kama akiwa fakiri utamfungulia milango ya subira

وإن عوفي تمت النعمة عليه، وإن ابتلي حملته،

na kama akipewa afya njema (basi) neema hutimia kwake ,na kama akipewa mtihani humbeba ,

ولا يضره إن نزل به الزمان أو صعد، أو أعراه أو أشبعه أو أجاعه؛

Na wala hakuna kitakachomdhuru kama zama zitamshusha au kumpandisha au zikamweka uchi au zikamshibisha au zikampa njaa

لأن جميع تلك الأشياء تزول وتتغير، والتقوى أصل السلامة حارس لا ينام".

Kwa sababu vitu vyote hivyo huondoka na kubadilika na ucha Mungu ndiyo msingi wa kusalimika (na) ni mlinzi asiyelala .

📚 المصدر: صيد الخاطر ٣٩/١

Maelezo ya mfasiri:

Tupo katika dunia na hizi siku Allah huzigeuza kati ya watu: Wakati mwengine hali hii wakati mwengine hali hii zama hazidumu katika hali moja silaha pekee ni ucha Mungu tu .

Tambua kuwa katika hii dunia ni lazima Allah atakujaribu kwa mitihani mbalimbali kama alivyosema mshairi:

ثَمَانِيَةٌ تَجرِي عَلَى النَّاسِ كُلِّهِم
وَلا بُدَّ لِلإِنسَانِ يَلقَى الثَّمَانِيَهْ

(Mambo) manane huwapitia watu wote, hakuna budi kwa mwanadamu akutane na (mambo) manane .

سُرُورٌ وَحُزنٌ وَاجتِمَاعٌ وَفُرقَةٌ
وَيُسرٌ وَعُسرٌ ثُمَّ سُقمٌ وَعَافِيَه


Furaha, na huzuni , na kuwa pamoja , na kutengana, na wepesi,na uzito kisha maradhi na afya .


Mfasiri : Abuu Thurayyaa Ismail Seiph Mbonde Asshafiy .

Muandaaji: fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz


🗓️ Imeandaliwa: Mfungo saba 9, 1445H ≈ Oct/12, 2024M.

#Muhimu: Vuna thawabu kwa kusambaza faida hizi. Sambaza kama ilivyo, si ruhusa kubadilisha chochote. Tuwe waadilifu.

Jiunge na chennel yetu ya telegram upate faida nyingi, kujiunga bonyeza link hii: 👇🏾
https://t.me/fawaidussalafiyatz

https://t.me/fawaidussalafiyatz

         •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

09 Oct, 13:34


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net



Moyo ni kama chombo!


قال ابن القيم - رحمه الله- :


Amesema ibn l-Qayyim- Allah amrahamu -:


فالخبيث يتفجر من قلبه الخبث على لسانه وجوارحه

Basi mtu mbaya hububujika kutoka moyoni mwake mabaya (yanayodhihiri) katika ulimi wake na viungo vyake

والطيب يتفجر من قلبه الطيب على لسانه وجوارحه

Na mtu mzuri hububujika kutoka moyoni mwake mazuri (yanayodhihiri) katika ulimi wake na viungo vyake

📚زاد المعاد ١ /٦٨

Maelezo ya mfasiri:

Amesema kweli ibn l-Qayyim -Allah amrahamu- na waarabu pia wanasema hivi:

كُلُّ إِنَاءٍ بِمَا فِيْهِ يَنْضَحُ

Kila chombo hutiririka (humwagika) kile kilichomo ndani yake .

Maana ya msemo huu :

Mwanadamu ni kama chombo kama unavyoona chombo kilichojazwa maziwa kinapomiminwa humwagika maziwa na hakiwezi kumwagika maji basi ni hivihivi mwanadamu ambaye moyo wake umejaa tabia njema kama ukarimu , unyenyekevu n.k ,tabia hizi hudhihiri katika maneno yake na mwenendo wake, na vilevile mtu mwenye tabia mbaya kama vile: husuda ,chuki kiburi na kupekua makosa ya watu, vilevile tabia hizi hudhihiri katika kinywa chake na viungo vyake na hata kama akijitahidi kuzificha ni lazima zitadhihiri kama alivyosema Zuhair ibn Abbi Sulmaa :


وَمَهما تَكُن عِندَ اِمرِئٍ مِن خَليقَةٍ

وَإِن خالَها تَخفى عَلى الناسِ تُعلَمِ

Na tabia yoyote itakayokuwa kwa mtu, hata kama akidhania (kuwa tabia) hiyo inafichikana kwa watu (basi) itajulikana tu


Mwisho:

Tunamuomba Allah azipambe nyoyo zetu na tabia njema


Mfasiri : Abuu Thurayyaa Ismail Seiph Mbonde Asshafiy .

Muandaaji: fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz


🗓️ Imeandaliwa: Mfungo saba 6, 1445H ≈ Oct /9, 2024M.

#Muhimu: Vuna thawabu kwa kusambaza faida hizi. Sambaza kama ilivyo, si ruhusa kubadilisha chochote. Tuwe waadilifu.

Jiunge na chennel yetu ya telegram upate faida nyingi, kujiunga bonyeza link hii: 👇🏾
https://t.me/fawaidussalafiyatz

https://t.me/fawaidussalafiyatz

         •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

08 Oct, 16:25


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

اسم الكتاب :

الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

التأليف :  الشيخ العلامة الحبيب أحمد بن زين بن علوي الحبشي -رحمه الله تعالى - 

Kikao cha kumi na tano :

Hukumu ya swala ya Jamaa na swala ya jeneza na swala za suna .


Mwalimu:


*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

5-   Mfungo saba - /1446 baada ya Hijrah sawa na 8- Oct -2024M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

05 Oct, 15:18


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

اسم الكتاب :

الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

التأليف :  الشيخ العلامة الحبيب أحمد بن زين بن علوي الحبشي -رحمه الله تعالى - 

Kikao cha kumi na nne :

Mwisho wa somo linalohusu swala ya Ijumaa .


Mwalimu:


*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

2-   Mfungo saba - /1446 baada ya Hijrah sawa na 5- Oct -2024M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

03 Oct, 09:02


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

اسم الكتاب :

الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

التأليف :  الشيخ العلامة الحبيب أحمد بن زين بن علوي الحبشي -رحمه الله تعالى - 

Kikao cha kumi na tatu :

Mwisho wa somo la la vinavyobatilisha swala, mwanzo wa somo la swala ya Ijumaa .


Mwalimu:


*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

30-   Mfungo sita - /1446 baada ya Hijrah sawa na 3- Oct -2024M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

23 Sep, 08:03


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net


نصيحة للزوج

Nasaha kwa mume


الزوجة لا تستغني عن التدليل بتقدم عمرها ،أو بإنجابها طفل أو أكثر،

Mke hatosheki na kudekezwa kwa kuongezeka umri wake au kwa kuzaa kwake mtoto (mmoja) au zaidi ya mmoja

هي تبقى كوردة يحييها الاهتمام والحنان ويقتلها الإهمال والذبول ..

Yeye hubakia kama vile ua (ambalo) huhuishwa na (kule) kutunzwa na mapenzi na humua (kile kitendo cha ) kupuuzwa na kunyauka..

اهتم بها دللها لا تحرمها من حنانك وعطفك فالمرأة لا تحتاج سوى الاهتمام والكلمة اللطيفة منك،

Mjali huyo (mkeo) ,mdekeze wala usimnyime mapenzi yako na huruma wako kwa sababu mwanamke haitajii isipokuwa kujaliwa na maneno mazuri kutoka kwako

لا تنس أنك كل شيء بالنسبة لها لأخ والأب والحبيب والزوج .

Usisahau kuwa wewe ni kila kitu kwake (wewe kwake) ni kaka na baba na mpenzi na mume .

المصدر : مجموعة نصائح للزوجين



Maelezo ya mfasiri:

Ndoa ni safari ndefu sana ambayo ndani yake kuna mitihani mbalimbali na misukosuko ,na wapo baadhi ya wanaume hupunguza mapenzi kwa wake zao baada ya hao wake zao kuzaa watoto kadhaa,hapo utawaona hawana tena yale mapenzi motomoto waliyokuwa nayo kabla ya wake zao kuzaa! , na hili ni kosa kwa sababu mke anapenda kudekezwa hata kama amekuwa mtu mzima au amezaa watoto ,na wanaume wengi hawafahamu kuwa mke ni kama au zuri lenye kupendeza ambalo linahitajia kutunzwa kwa kumwagiwa maji mara kwa mara ili liendelee kuwa hai na kama litaachwa na kupuuzwa basi litanyauka na kukauka na matokeo yake kufa kabisa !

Mwisho tunawaambia wanaume watunzeni wake zenu na kuwajali,na muwatilie umuhimu na muwadekeze na kuwafanyia huruma kwa sababu hawa wanawake wanahitajia sana mambo haya na kupewa maneno matamu na musisahau kuwa nyinyi baada ya kuwaoa hao wanawake na kuwaleta katika majumba yenu mmekuwa na nafasi za kaka zao na baba zao na pia nyinyi ndiyo vipenzi kwao na waume zao .

Tanbih:

Makusudio ya kumdekeza mke ni kumdekeza kwa kumfanyia yale ambayo sheria haikuyakataza , na pia mke anatakiwa amtii mumewe katika yale yasiyokatazwa na sheria kwa sababu huo ni miongoni mwa misingi ya ndoa .


Mfasiri : Abuu Thurayyaa Ismail Seiph Mbonde Asshafiy .

Muandaaji: fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz


🗓️ Imeandaliwa: Mfungo sita 20, 1445H ≈ Sep /23, 2024M.

#Muhimu: Vuna thawabu kwa kusambaza faida hizi. Sambaza kama ilivyo, si ruhusa kubadilisha chochote. Tuwe waadilifu.

Jiunge na chennel yetu ya telegram upate faida nyingi, kujiunga bonyeza link hii: 👇🏾
https://t.me/fawaidussalafiyatz

https://t.me/fawaidussalafiyatz

         •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•

fawaidusalafiyatz

22 Sep, 17:31


https://t.me/fawaidussalafiyatz

Website ingia hapa:  https://www.fawaidusalafiyatz.net

Jumatatu 20, Mfungo sita 1445 Sept 23, 2024M

Jina la kitabu :

كِتابُ التَّوحيد


Kikao cha arobaini na mbili


باب ما جاء في الرياء



Jina la mtunzi:


الإمام المجدد محمد بن عبد الوهاب  -رحمه الله-  .
🎙🎙

Mwalimu :

Abuu Thurayyaa Ismail seiph Mbonde Asshafiy

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

Kuwa nasi :

fawaidusalafiyatz.net
Tembelea website yetu: ☟
https://www.fawaidusalafiyatz.net
Telegram bonyeza hapa: ☟
https://t.me/fawaidussalafiyatz

fawaidusalafiyatz

21 Sep, 14:33


FIQIH YA MADHEHEBU YA IMAMU SHAFII .

اسم الكتاب :

الرسالة الجامعة والتذكرة النافعة

التأليف :  الشيخ العلامة الحبيب أحمد بن زين بن علوي الحبشي -رحمه الله تعالى - 

Kikao cha kumi na mbili :

Vinavyobatilisha swala


Mwalimu:


*Abuu Thurayyaa Ismail seiph  Mbonde Asshaafi'y*

حفظه الله تعالى ورعاه ووفقه

*📚 العلم حیاة القلب📚*

18-   Mfungo sita - /1446 baada ya Hijrah sawa na 21- Sept -2024M
/
Tembelea Chanel yetu: ☟
https://t.me/Majmuutulaabifiqhishafii

Group la WhatsApp:☟
https://chat.whatsapp.com/LCmiCMbfYC2BHFpca0NFy2
      •┈┈┈┈•✿❁✿•┈┈┈┈•