“...tumecheza mechi 16, tumeshinda 15, tumetoka na clean sheet 12”
Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi anasema muhimu kwao ni alama tatu walizopata, aeleza kilichowanyima magoli zaidi kipindi cha pili akisema “waliamua kukaa na mpira wakikabia chini, na sisi tukawaacha...”
Naye Kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally anachambua kiufundi alichokifanya kipindi cha pili baada ya timu yake kuwa pungufu,, azikumbuka nafasi mbili walizopata akisema “...tungekuwa na utulivu tungepata goli... sasa hivi matokeo yangekuwa 2-2”
Kocha Ahmad azungumzia pia kadi nyekundu waliyoipata akisema “..tunalibeba sote”.
Nyota wa mchezo huu ni kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua ambaye amekabidhiwa tuzo yake...
FT: Yanga 2-0 JKT Tanzania.
Je, una lipi?
@alikamwe