Millard Ayo

@millardayo


BLUE BOY WA KISHUA
Journalist
Award winning TV/Radio Personality | Amplifaya @CloudsFMTZ |Journalist from Africa | I 💙 TIGO PESA APP | Bookings [email protected]
www.youtube.com/watch?v=g3NCUIuMVI0

Millard Ayo

11 Oct, 03:25


Furniture na Decor zenye mvuto wa kupendezesha nyumba au ofisi yako, kwa bei nzuri utazipata hapa @gsmhometz Mikocheni.📍 GSM Home Mikocheni +255 746 905 121 #GSMHomeTz #NewArrival #officedecor #decor

Millard Ayo

11 Oct, 02:20


Photo by millardayo on October 10, 2024. 可能是 4 人、報紙、海報、雜誌、橫額、行事曆和顯示的文字是「 reka-ai JHURU arar UZINDUZI DAFTARIU ΜΚΑΣΙ Rais Dk. Samia kuwaongoza Watanzania สครม HabarıLEO - KEHBOЙ EEWUGA พพ5 இரயளர் Bil 164/- 64/-kukopeshwa 51,645 elimu ya 51,645elimuyajuu juu 68Wt BOTnAMИEA 13598018 CCM yatoa maagizo mazito kwa viongozi Uandikishaji uchaguzı wa mitaa waanza 2024-25 MIVATYRS MAGAZETI TANZANIA UPDATES TES #MillardAyoUPDATES OCTOBER MAGAZETI OCB 11 BREAKING NEWS? Pakua APP ya 'millardayo' ...subscribe YouTUBE ya millardayo' ayoT 」的圖形.

Millard Ayo

10 Oct, 22:00


Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi amepiga marufuku tabia ya Viongozi kukamia kukata majina ya Wanachama wanaoshiriki kwenye Chaguzi mbalimbali huku akiwataka Viongozi wanaoshinda kuacha pia tabia ya kuwashughulikia ambao hawakuwapigia kura.Akiongea Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga leo October 10,2024, Nchimbi amesema “Tunapoelekea kwenye Chaguzi zetu, utekelezaji wa haki, acheni kupanga safu Viongozi bora ndio wapitishwe, ni kosa kubwa la kimaadili Kiongozi kumkamia Mwanachama kwamba safari hii tutahakikisha fulani anakatwa, kila Mwanachama ndani ya CCM ana haki sawa na mwingine”“Na tunao Watu wachache kwenye Chama chetu ambao akimaliza tu Uchaguzi wakati ameshachaguliwa kuwa Mwenyekiti au Katibu anaanza kupeleleza nani hakumuunga mkono na anaanza kuwashughulikia ambao hawakumuunga mkono hii ni tabia mbaya sana lazima tuikatae, Mtu akikupigia kura ni haki yake akikunyima ni haki yake, wewe unataka kila siku na kila Mtu akuunge mkono wewe ni Mungu!?, anayeungwa mkono na kila Mtu ni hela”#MillardAyoUPDATES

Millard Ayo

10 Oct, 22:00


@millardayo

Millard Ayo

10 Oct, 20:55


Producer Mkongwe wa muziki Nchini Marekani, Andre Romell Young maarufu kama Dr. Dre anakabiliwa na kesi ya fidia ya dola milioni 10 akituhumiwa kuendesha Kampeni ya vitisho dhidi ya Dr. Charles J. Sophy ambaye alikuwa mshauri wa ndoa yake.Dr. Sophy anadai kwamba baada ya kutoa ushauri wa ndoa kwa Dre na Mke wake Nicole Young kabla na wakati wa talaka yao, alikumbwa na vitisho vya mara kwa mara kutoka kwa Dr. Dre jambo lililomfanya kuogopa usalama wake na kumlazimu kufungua kesi Mahakamani.Wanandoa hao walianza kumtumia Dr. Sophy mwaka 2018 kwenye maswala ya matibabu na ushauri wa ndoa ambapo anasema baada ya muda, Dre alianza kumtuhumu kuvuruga mchakato wa talaka na kumfanyia vitisho vya mara kwa mara ikiwemo kumtumia msg usiku.Maelezo katika kesi hiyo ambayo Dr. Sophy ameifungua katika Mahakama moja Los Angeles Jumatano ya wiki hii, yanadai kuwa Dre pia alituma Watu kumfuata Sophy nyumbani kwake jambo lililomlazimu kuongeza ulinzi binafsi madai ambayo Mwanasheria wa Dr. Dre, Howard King, amesema yamekuja kama kisasi baada ya Dre kufungua malalamiko kwenye bodi ya matibabu dhidi ya Dr. Sophy akimtuhumu kushindwa kutekeleza majukumu yake ya kitaaluma wakati wa talaka.Inaripotiwa kuwa mchakato wa talaka kati ya Dre na Mkewe Nicole Young ulianza mwaka 2020 na kukamilika December 2021 ambapo Necole alipokea dola milioni 100 kutoka kwa Dre. kama sehemu ya makubaliano ya mgawanyo wa mali. #MillardAyoUPDATED

Millard Ayo

10 Oct, 20:55


@millardayo

Millard Ayo

10 Oct, 20:55


Kwa wale wote wenye hitaji la kushiriki kwenye GREEN CARD LOTTERY msiteseke, msiwaze wala msipasuke vichwa, CIELO TRAVELS @cielotravelagency wako tayari kuwasaidia kujaza application yote kwa gharama ya shilingi elfu 30 tu !! piga 0743794416 au 0769567651

Millard Ayo

10 Oct, 19:50


Photo shared by millardayo on October 10, 2024 tagging @ayotv_. May be an image of 2 people and text.

Millard Ayo

10 Oct, 18:45


Katibu wa Baraza la Sanaa Zanzibar Bassfu Juma Chum amepiga marufuku tabia inayoonekana kushamiri Visiwani Zanzibar ya Wanawake kucheza muziki katika matukio mbalimbali ya hadhara wakiwa wamevalia vijora vilivyoloanishwa maji.Chum amesema tabia hizo ni pamoja na Watu kukodi magari na kuingiza makundi ya muziki ikiwemo ma-beni ( vigoma), vidumbaki na Ma-dj wakipiga muziki kwa kutumia spika kubwa huku kukiwa na makundi ya Wanawake wanaovalia sare maalum za Vijora ambao hucheza kwenye shughuli mbalimbali zikiwemo sehemu kunakochezwa mipira.Katika oparesheni iliyofanywa na Baraza hilo, magari saba yamekamatwa na kushikiliwa katika Kituo cha Polisi Madema Zanzibar ambapo Baraza hilo la Sanaa limeahidi kuendeleza oparesheni hiyo ili kudhibiti matendo ambayo ni kinyume na mila na Desturi za Zanzibar. #MillardAyoUPDATES 📹 @ayotv_