I teach Forex at great cost so that I can keep up with reality. Nikisema nifundishe kwa Tsh. 150K kama wengine huko mtandaoni nitapata watu wengi sana ioa SITOKAMILISHA JUKUMU LANGU
mtandaoni yanasemwa mengi sana. kiasi cha kwamba nimechoka kufatilia yote yanaanzia wapi. kila mtu anataka aonekane ananijua sana na kutoa maoni yake. forex trade inarisk kubwa sana na inafaa kila mtu ajifunze, huwezi kununua gari na hujajifunza utakekuendesha! na hata utakaempa akuendesheee gari lako, akipata majanga utaishia kulalamika lakini kisheria sidhani kama utamfanya kitu. nasisitiza traders, tuendelee kujifunza forex kwa gharama yoyote
Karibu kwenye ๐๐ข๐ฅ๐๐ซ ๐ฆ๐๐๐ก๐๐๐ฆ ๐ง๐ญ! Tunafurahi kukuona ๐๐บ๐ฒ๐ท๐ถ๐๐ป๐ด๐ฎ hapa.
Hapa utapata: Mafunzo na Mwongozo: Tutakusaidia kuelewa misingi ya biashara ya forex na mikakati bora. 1.Mawazo na Uchambuzi wa Biashara: Tutaangazia fursa muhimu za biashara na uchambuzi wa kina wa soko.
2.Msaada wa Moja kwa Moja: Jiunge na mazungumzo na watumiaji wengine, uliza maswali, na pata msaada kutoka kwa wataalamu wetu.
3. Habari na Matukio ya Soko: Pata habari za hivi karibuni na matukio muhimu yanayoathiri soko la forex.
Tunathamini ushirikiano wako na tunakaribisha maoni yako. Tafadhali jisikie huru kushiriki mawazo yako na kuuliza maswali yoyote.
Karibu sana na tuanze safari yetu ya mafanikio kwenye soko la forex pamoja!